Nakubaliana na wewe by💯 kama mimi Binafsi kuna mambo 2 yananikoseha raha, kukusikiza wewe kwa wakati mmoja na muziki wa vinanda zinanifanya ni lale, Pili 2 muziki uko juu kiasi ya kuniumiza masikio na kichwa kwa jumla, utanisaidia vipi mwalimu wangu?
Asante kwa somo zuri kaka Joel, dah ni kweli tumekuwa watu wa kuahirisha mambo muda mrefu..sasa naanza kukimbia katika kujishughulisha na masuala ya kujiajiri...nimejiwekea malengo ya kuongeza ujuzi kwa kusikiliza talks toka kwa wataalamu wa masuala ya biashara pia kusoma kitabu cha Rich dady poo Dady...Barikiwa kaka
.Asante sana kwa chakula hiki kizuri, mimi natumia sana mbinu ya kwanza na ya tatu, nilikuwa na tatizo katika kufanya serving lakini baada ya kusoma vitabu viwili The richest man in Babylon na kile cha Mwakasege unafanyia nini kila pesa inayopita mikononi mwako.vimenisaidia sana
Hii mbinu ya START ASAP nimeipenda sababu nina pesa kidogo nimeiweka ili ntafute na nyingine nianze biashara ila kwa mafundisho yako naanza nayo hii hii asante kaka kwa kunitoa tongotongo
Mm ni muhanga wa hayo yote uliyozungumza nimejifunza mengi Sana na ntaanza kuyafanyia Kaz ipasavyo mungu akujalie afya njema ili uweze kutoa elimu zaidi simu hii nimenunua kwaajil yakujifunza Mambo ya msingi katika maisha hususan Kama haya niliyo sikia kutoka kwako kweli nimeamin simu ukiitumia vizuri lazima utoke hatua moja kwenda nyingine na mm nimesonga kiukwel
Asante Sana Kwa ushauri wako mzuri nimejifunza vitu muhimu Sana kutoka kwako... Mimi tatizo langu nashindwa kufikia malengo yangu naweza jiekea lengo flani nikiwa sina pesa..nikipata pesa mawazo yanakua mengi nafanya nisicho kipanga kabla..sasa hali hiyo inanisumbua Sana inanifanya nashindwa kufikia malengo yangu..Mfano lengo langu likiwa ni kununua gari sasa naweza sema nikiweka mshaara wangu Kwa mda wa miezi mitano takua nimefikia lengo langu..lakini huko kuziweka ndio tatizo mara huyu ashanililia shida mara nimeona kitu nimekipenda hilo mwisho wa siku badala kwenda bele narudi nyuma...
Mm natumia ile mbinu ulio fundisha ktk kitabu cha ishinde tabia ya kughairisha mambo, kanuni ya dakika 2 hiyo kwangu ndio the best @alafu kuna kitabu kinaitwa the magic of believe sio mbaya ukikitafsiri kwa kiswahili utakuwa umesaidia wengi,hata kitabu cha Napoleon hicks kitabu chake kilitafsiriwa kwa lugha tofauti duniani,hicho kitabu ukinapatikana hapa hapa yuttb ukiandika the magic of believe audiobook kiskize kiziri sanaa pia ukifanya hivyo kukitafsiri utasaidia watu wengi sanaa
Broo shukrani sana kwa mbinu tunazozipata kwako siku hadi siku, Mimi pananihusu sana hapo kwenye point ya pili start as soon as possible nitafanyia kazi sana hapa,
Jamaa unayagusa maisha yangu sana mi nimeanza kutumia njia ya kutumia japo dk 2, hii ya commitment divice imekuwa bado na changamoto sana najitahidi kuitumia lkn baada ya muda najikuta nierudia tabia ile na baada ya kuona nimepoteza tena wakati naweka tena comitment.
COMMITMENT DEVICE INANIHUSU KWA SANA..MARA NYINGI HUWA NASHIKWA NA UVIVU TU NAJIKUTA NAFANYA MAMBO RAHISI AMBAYO HAYAWEZI NISAIDIA KWA BAADAE MF. MPIRA,MUSIC
😢😢😢😢Mbona kama unanisema mimi jamani yani dah nimeanza kupanga kuwanza mazoezi ila hadi sasa mwezi wa 7 sijafanya kitu me na simu simu na mimi alafu sijui ninachokifanya yani naigia natoka
Kaka nmekuelewa Sana lakin ningeomba kuuliza he ukiwa umeajiriwa but unalipwa per day,,utafanyaje uwe na reduction ya moja kwa moja ukilinganisha na kufanya kazi kwenye makampuni makubwa
Katika kanuni tatu zote ni nzuri lakini nzuri zaidi na yenye matarajio ni "start ASPP" yani hapo tu wale wenye maneno mengi wanapo zeekea. Hivi nawezaje kupata kitabu chako bro nihisi nimechelewa sana.
Mimi kabla sijapata kazi niliyo nayo sasa Nilimuomba Mungu sana anipe kazi ila baada ya kupata kazi nikapata hela nikawanamawao why nahisi niko pale pale nikagundua kitukimoja binadamu akiwa anashida huwa anakuwa na uweze mkubwa wakufikiri na kuwa napositive ideas kuliko akiwa anapata mahitaji yake yakawaida imefikia sehemu nikakumbuka that time nikiwa sina kazi nilikuwa nasema yani nikiwa na shilingi laki tano tu mimi najiajiri pekeyangu sitakitena kuajiriwa kwasasa napata mara sita yake kwamwezi lakini bado naona hakunabiashara nitakayoweza kuifanya.Nashukuru kupitia vipindi vyako nimefunguka kimawazo naweza kusema niko huru nimeanza biashara.
Yeah mi kwangu Mimi naamini hiyo start asap ndo nzuri kwangu na ndio ambayo nitaifanyia kazi
Hii ni elimu ambayoo nikubwa na haifunzwi chuoni Asante mentor wanguu Mr Joel Nanauka
kaka asante sana
.HEE ndugu yangu mimi NIKO KWENYE implementation stage . Naomba msaada WAKO
Hii Kanuni Nimeielewa Sana Brother Joel Nanauka stay blessed kaka.
Nakubaliana na wewe by💯 kama mimi Binafsi kuna mambo 2 yananikoseha raha, kukusikiza wewe kwa wakati mmoja na muziki wa vinanda zinanifanya ni lale, Pili 2 muziki uko juu kiasi ya kuniumiza masikio na kichwa kwa jumla, utanisaidia vipi mwalimu wangu?
Napenda sana lectures zako na lengo langu 2020 nataka nisevu pesa japo kidogo
Asante kwa somo zuri kaka Joel, dah ni kweli tumekuwa watu wa kuahirisha mambo muda mrefu..sasa naanza kukimbia katika kujishughulisha na masuala ya kujiajiri...nimejiwekea malengo ya kuongeza ujuzi kwa kusikiliza talks toka kwa wataalamu wa masuala ya biashara pia kusoma kitabu cha Rich dady poo Dady...Barikiwa kaka
ubarikiwe sana ningefurahi zaidi kama ungekuwa mentor wangu
.Asante sana kwa chakula hiki kizuri, mimi natumia sana mbinu ya kwanza na ya tatu, nilikuwa na tatizo katika kufanya serving lakini baada ya kusoma vitabu viwili The richest man in Babylon na kile cha Mwakasege unafanyia nini kila pesa inayopita mikononi mwako.vimenisaidia sana
Asantee San kak Joel Arthur nanauka. kanuni hii nimeipenda San
Hii mbinu ya START ASAP nimeipenda sababu nina pesa kidogo nimeiweka ili ntafute na nyingine nianze biashara ila kwa mafundisho yako naanza nayo hii hii asante kaka kwa kunitoa tongotongo
Commitment device naanza kuitumia maana kuna vitu nilikuwa nashindwa kabisa kuviacha!!! Thank you sir become blessed
Somo tamu hili!!
Asante sana ,mimi Niko ku ya pili nimeanza na nilicho nacho hapa nilipo ,kwa uwezo wangu.Ni faida ,Priscille rehema songolo ni binti yangu
Akrasia effect is my struggle. Thank You for this information
Mbinu ya kwanza nimeipenda zaidi kaka, barikiwa sana
mimi n implementation stage
safi kaka nimependa mafundisho yako
Kaka joel an mungu akupe maisha marefu jaman,,,,,,manake c kwa mafunzo aya
Am so excited to listen u then bro
Asante sana kk
Asante sana
very nice message, thank you bro
Tabia ya tatu
Allah Akupe Nguvu kwa Maoni yako
Hi Joel !am real appreciated you coz you make me to wakeup now to reach ma goals ,but I don't know how to start with ma ideal !
Commitment device ni powerful....au hata kama hutaki/huwezi kuweka fixed acount, anza na kuweka kibubu kisicho na ufunguo, au nunua vipande UTT
Nimenunua Kibubu. Hata kukivunja cwezi.
✅✅✅✅
asante sana!nimekuelewa
❤
Implementation effect inanihusu sana hiyo
Mm ni muhanga wa hayo yote uliyozungumza nimejifunza mengi Sana na ntaanza kuyafanyia Kaz ipasavyo mungu akujalie afya njema ili uweze kutoa elimu zaidi simu hii nimenunua kwaajil yakujifunza Mambo ya msingi katika maisha hususan Kama haya niliyo sikia kutoka kwako kweli nimeamin simu ukiitumia vizuri lazima utoke hatua moja kwenda nyingine na mm nimesonga kiukwel
Asante Sana Kwa ushauri wako mzuri nimejifunza vitu muhimu Sana kutoka kwako...
Mimi tatizo langu nashindwa kufikia malengo yangu naweza jiekea lengo flani nikiwa sina pesa..nikipata pesa mawazo yanakua mengi nafanya nisicho kipanga kabla..sasa hali hiyo inanisumbua Sana inanifanya nashindwa kufikia malengo yangu..Mfano lengo langu likiwa ni kununua gari sasa naweza sema nikiweka mshaara wangu Kwa mda wa miezi mitano takua nimefikia lengo langu..lakini huko kuziweka ndio tatizo mara huyu ashanililia shida mara nimeona kitu nimekipenda hilo mwisho wa siku badala kwenda bele narudi nyuma...
Tafuta mtu wa kukusimamia
Jomn unapatikana wap
Nimekuelewa kaka
Basi nitashukuru ninakikundi kidogo cha watu kwa hiyo nafikiri tutashukuru ukija ahsante kwa mafunzo yako
Asante big up kaka
DaH saf implement
Mm natumia ile mbinu ulio fundisha ktk kitabu cha ishinde tabia ya kughairisha mambo, kanuni ya dakika 2 hiyo kwangu ndio the best @alafu kuna kitabu kinaitwa the magic of believe sio mbaya ukikitafsiri kwa kiswahili utakuwa umesaidia wengi,hata kitabu cha Napoleon hicks kitabu chake kilitafsiriwa kwa lugha tofauti duniani,hicho kitabu ukinapatikana hapa hapa yuttb ukiandika the magic of believe audiobook kiskize kiziri sanaa pia ukifanya hivyo kukitafsiri utasaidia watu wengi sanaa
Thanks nikwa Mara ya kwanza nisikiliza lecture zako lakini kwangu implementation intation ninzuri sana
commitment device is the best for me..
Kwangu mim commitment device
Asante Sana Kaka Joely Mungu akubariki zaidi 🙏
Ndugu mm hiyo ya kwanza maana ndio inaonipotezea sana
Joel you are smart..endeleza kipaji chako kuielimisha jamii
respect brother
Mbinu namba tatu
Broo shukrani sana kwa mbinu tunazozipata kwako siku hadi siku,
Mimi pananihusu sana hapo kwenye point ya pili start as soon as possible nitafanyia kazi sana hapa,
Je vp kama unafanya mambo ayafanikiwi naomba unisaidiee mafnzo
Asante
Implementation Intent. Hakika kwa sisi vijana unakuwa na mawazo mengi pindi ukitaka fanya yote huwa tunajikuta kutofikia malengo.
Ally Juma kwa maarifa haya naamini utaanza kufanya angalau nina
Joel Nanauka yes Brother
Implementation intension
Implementation intetion
Thanx alot
Nimekua na shida Kama hiyo nikitaka kufanya jambo am not doing it. Thank you very much for your advice. I will just do it immediately.
ur the Bext Joel!!! nahtaj kitab chako lkn nko shy nakipataj????
Thanks a lot guy
Ya mwisho kaka implementation int
Implementation intentions, upande wangu, kukosa hiyo inasababisha delays nyingi
mbinu namba moja na tatu nitaanza kuzifanyia kazi
nimebarikiwa na wewe kwa kweli... Mimi hapo ni mbinu ya kwanza na ya tatu.. uuuuwii
asante
Ya 3 ninzuri ila Sasa tatizo nikwamba kuailishi ndilo jambo linalo tawala zaid
Jamaa unayagusa maisha yangu sana mi nimeanza kutumia njia ya kutumia japo dk 2, hii ya commitment divice imekuwa bado na changamoto sana najitahidi kuitumia lkn baada ya muda najikuta nierudia tabia ile na baada ya kuona nimepoteza tena wakati naweka tena comitment.
SASA mkuu commitments devices zangu ni juu ya kufuatilia somo lako TH-cam kila siku nifanyeje
implementation effect yenyewe
Mbinu ambayo inaweza kunisaidia sana na kwa haraka ni commitment Device.
Savings ngumu sana kwangu
kaka Joel Niko tbr na Ndoto ya kuanzisha kiwanda kidogo cha kukamua na kuchuja mafuta ya arlizeti
ya pili na ya tatu bro
Thanks
Start ASAP naona inanihusu
Hakika nitamuvu sasa kwani umeniamsha kimawazo
nice
Naomba kitabu cha kutimiza malengo.nitakipata Je??? Nakaa Danemark
Christine Nizigama hi wasiliana na 0756094875 utakipata Christine
Implementation intation thnx brother najifunza meng ktoka kwko jamani
Start ASAP.
Nitasoma kitabu cha timiza malengo page mbili kila nilalapo Na niamkapo🇿🇲
start as possible
Hiyo device nini cjui
COMMITMENT DEVICE INANIHUSU KWA SANA..MARA NYINGI HUWA NASHIKWA NA UVIVU TU NAJIKUTA NAFANYA MAMBO RAHISI AMBAYO HAYAWEZI NISAIDIA KWA BAADAE MF. MPIRA,MUSIC
nikweli sana
Hiyo namba tatu imenigusa sana
Implementation intention
start as soon as posssible
Tupende kuongelea wataalam wetu na si kutukuza wazungu wanawafanya wasomi wetu wawe watumwa wa wakuwatukuza wazungu
Please I do have a question my question is which is the best to read the newspaper and to read a book
Tunaomba namba yako
Mimi niku save that's I very need
Mbinu ya tatu inanihusu
Nahitaji kitabu cha timiza melengo nakipataje
😢😢😢😢Mbona kama unanisema mimi jamani yani dah nimeanza kupanga kuwanza mazoezi ila hadi sasa mwezi wa 7 sijafanya kitu me na simu simu na mimi alafu sijui ninachokifanya yani naigia natoka
video zako tuzipate whatsapp
Kaka nmekuelewa Sana lakin ningeomba kuuliza he ukiwa umeajiriwa but unalipwa per day,,utafanyaje uwe na reduction ya moja kwa moja ukilinganisha na kufanya kazi kwenye makampuni makubwa
implementation mm ninyoona inabidi nianze nayo
Katika kanuni tatu zote ni nzuri lakini nzuri zaidi na yenye matarajio ni "start ASPP" yani hapo tu wale wenye maneno mengi wanapo zeekea. Hivi nawezaje kupata kitabu chako bro nihisi nimechelewa sana.
bro inabidi nipate mawasiliano yako tuonane bro joel
Kitabu cha timiza malengo yako kinapatikana wapi kaka? Nakitafuta sana hicho kitabu lakini sijui pa kukipata na wala sina wa kumuuliza
Hamza Makelo pole sana wasiliana na 0756094875 utakipata
Noted : implementation intention
Mimi kabla sijapata kazi niliyo nayo sasa Nilimuomba Mungu sana anipe kazi ila baada ya kupata kazi nikapata hela nikawanamawao why nahisi niko pale pale nikagundua kitukimoja binadamu akiwa anashida huwa anakuwa na uweze mkubwa wakufikiri na kuwa napositive ideas kuliko akiwa anapata mahitaji yake yakawaida imefikia sehemu nikakumbuka that time nikiwa sina kazi nilikuwa nasema yani nikiwa na shilingi laki tano tu mimi najiajiri pekeyangu sitakitena kuajiriwa kwasasa napata mara sita yake kwamwezi lakini bado naona hakunabiashara nitakayoweza kuifanya.Nashukuru kupitia vipindi vyako nimefunguka kimawazo naweza kusema niko huru nimeanza biashara.
kipengele cha commitments kinanigusa