VIJANA WAKIWASHA WIZI WA FEDHA ZA UMMA | UTEKAJI | NGORONGORO | KATIBA MPYA | WATANGAZA MAANDAMANO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- #TANZANIA: VIJANA WATANGAZA MAANDAMANO
Vijana watangaza maandamano nchi nzima, moja ya sababu zao ni watu kutekwa na wenye mamlaka wanatoa kauli za kuudhi badala ya kutoa kauli za kukemea pia sababu nyingine ikiwa ni ugumu wa maisha.
Zaidi: • VIJANA WAKIWASHA WIZI ...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Hawa ndo vijana sasa sio hao wanaoshinda kutwa nzima wakifuatilia Ali kiba na Diamond. Mungu awatangulie👏👏
Na mpira Simba n yanga huwambii ktu
Wanamfatilia manara anavyokatika na mkewe
Nice,good job Soka✌️✌️✌️
Asanteni sana vijana kwa kuliona hili,nyinyi ndio wenye nchi hii,tunawaunga mkono kwa maamuzi yenu.
Fanyeni kama Kenya vijana wizi ni mkubwa Kwa viongozi wa CCMliamsheni Dude tupo nyumayenu
Mama Samia ajiuzulu hatumtaki kabsa mm ni ccm lakn cjawah kumwelewa mama kizmkaz
Samweli mbwambo safi sana vijana msirudi nyuma mungu awabariki tuwatoe hawa wezi
Pamoja sana.
Good move.
It's about time.
Tumechoshwa na wizi wa wazi wa rasilimali za nchi hii.
Samia must go
Na mama yako na mkundu Wako pia must go stupid
WAJUKUU ZANGU, MUNGU AWALINDE 🙏🏽🤲
Halafu huwa nakufananisha na Omondi wa Kenya, aisee broo umefanana nae sana, nahisi mmefanana hata misimamo, broo nakuahidi utafika mbali sana
Hongereni vijana.Nyinyi ndio wenye nchi,ipiganieni nchi yenu ila muwe wabunifu kujibunia ajira.Ufisadi,rushwa na ubadhirifu unaitafuna sana nchi yetu.
Ayo ni mambo ya msingi piga uwa haki yetu wataitoa...watuteke wote Sasa tujue moja
Mbona aura zao zinaonekana kama waoga kabisa.I don't think of they are real serious with what they are planing to do.But I appreciate they have done an excellent initiative to open up their minds.
😮
Msisahau kuwa kutakuwa na vitisho vya Polisi mmejiandaaje kwa Hilo?.
The aura is tense..😂😂wanafanya kuigiza ya Kenya
@@ulimbagakipole3971😂😂
Mimi ni ccm Ila umeongea vyema sana Mdogo wangu✅
Safi sana vijana sisi ndiyo wa kulijenga taifa letu tupambane Kwa ajili ya maisha yetu na wajukuu wetu
Nilikuwa kila siku na uliżą vijana mko wapi nashukuru Mungu mumetambua Hilo Mungu awalinde na kuwapigania
Wajukuu zangu big up kabisa maana nchi hii ni yenu navizazi vijavyo msirudi nyuma hata kidogo
Asanteni sana kwa kuliona hili na Mungu wa mbinguni atakuwa upande wetu vijana, wakoloni weusi wa ccm na familia zao wanaogelea kwenye wizi na ubadhirifu wa kodi na rasilimali za taifa
Safi sana mbona mechelewa sana
Vijana Amkeni
Safi sanaaa vijana tutawaunga mkono nasi watumishi tupo nyuma yenu tumechoka ccm imetunyanyasa vyakutosha hasa stahiki zao bado kikoktotoo hata hiyo asilimia 7 iliyoongezwa ni siasa tupu hakuna aliyelipwa hadi leo
Ninawapongeza sana vijana.hakika ss mmeshajitambua. Mungu Awabariki sana na Azidi kuwatumia.kuondoa haya mawazo ya kandamizi ya miaka nenda rudi
Mungu awalinde na mtashinda kabisa (Zaburi 60:12)
Safi sana
Hatutaki koment za kisenge. Humu ndani vijana wanawazo siriazi tunataka viongozi wasiokuwawabazi!! T🎉🎉🎉🎉❤❤
Safi sana vijana tuko pamoja
Big up vijana
I love to hear this..keep foing gen z🙏🙏
Ni ufisadi tu kwa hii😂 awamu ya sita, RIP JPM
Huyu mwizi mvunja katiba manamsifia nn
@@juliuszakayo6771matako wewe alivunja katibaa ya mama yako
Hongera sana wajukuu zangu tuko pamoja 👏👍
Ongera sana majenz wa Tanganyika hii nchi ni yetu sote
Hongera vijana fight for your future Gen z TZ hoyeeee
vijana wa kitanzania ni waoga sana na chakushangaza bado wahajaelewa kua wao ndiyo wahanga wakubwa
Nikweli ila njaa huondoa huo uoga 😅maana hali yakiuchumi mtaani nitete watu Wana Kula mlo mmoja halafu wachache ndio wanakula mema ya nchi
Hongera sana vijana inshaallah
tuandamane tuuu .kama mbwai na iwe mbwaiiii
Namkumbuka sana jpm.mzarendo kuliko hii mizigo.
Alitoa ajira kiasi gani au unakumbuka kwa lini ?
Kwa lipi
@@abdalaomari8430Aliwabana vilivyo mafisadi, alipambana na waajiriwa hewa, na wanafunzi wasiokuwa na sifa za kusoma vyuo vikuu lakini waliokuwa huko. Alishughulikia mikataba mibovu nk.
Mungu akawatete upande ule Sasa mabunduki tuombe mukawalinde sio kuwatisha haya maisha kweli watu wanatia huluma wamama tuombe tusizimie mioyo
Ni kweli kabisa vijana mmepiga penyewe hasa, ahsanteni sana Mungu awabariki sana vijana. Inasikitisha sana..😭😭😭😭😭😭😭😭
Wamewateka wamezima ndoto zao jmn.😢😢
Well said
Nilikuwa kila siku na uliżą vijana mko wapi nashukuru Mungu mumetambua Hilo Mungu awalinde na kuwapigania
Wajukuu zangu big up kabisa maana nchi hii ni yenu navizazi vijavyo
Hongela saana,, saana vijana mko vizuri saana,,sio libunge halina hata aibu ,,eti nipo bungeni miaka 15,,:;nipo bungeni miaka 20. Na baado jimbo hilo anadai maaji na barabara vituo vya aafya huo ni ubepali,,kaa pembeni waachie wengine wagombee ili tupate mabaadiliko,,kataaeni vijana huo ni upuuzi wakulinda. Matumbo yaao binafs kataeni
Mungu awabariki na kuwalind
Mungu awabariki❤
Hongela mungu atusaidie
Tusimame na vijana wetu ktk taifa hili kwa kuwajengea misingi mizuri ya haki, bora na imara
Hapo sasa mnakujakuja gen z
Umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu Pamoja tunaweza vijana 💪 💪 💪 💪 💪 😢😢😢😢
Hongeren vijana wachadema
CCM hovyo
Hili vuguvugu liendelee na lisambazwe nchi nzima, hata mbuyu ulianza hivi!😊
Kumbe ni vijana wa chadema, nilidhani ni vijana wa Tanzania
Usicheze na hisia za wananchi
Mbona hawajajitambulisha kama ni chadema au ndo umeaamka
Mungu awatangulie katika maandamano yeni mna haki ya kufanya hivyo
VIVA GEN Z TZ.....WATANZANIA TUNAWAELEWA VIZURI SANA....MNAZUNGUMZA UKWELI MTUPU....TUNA VIONGOZI NA FAMILIA ZAO NA WATU WACHACHE WANAOISHI 'PARADISO' NA MAMILIONI YA WATANZANIA NI MASIKINI WA KUTUPWA.
Pambaneni vijana tumewasomesha Ili mtukomboe MUNGU Ni mwema 🙏
Co vijana Kila m2 inamuhusu
Watoto wangu Mama yenu Niko pamoja nyie tukomboeni
Masauni ni nani? Ni nchi gani????? Na ni kwa nini awe wasiri Tanganyika???? Yeye ni Mzanzibari Sio Mtanaganyika
Big up vijana wanaharakati, huku ndiko kupaza sauti kunakostahili,vijana wengine acheni kubet,kunywa viroba na kulalia chips na vichwa vya kuku na pilipili nyingi,pigeni kibarua,kuleni kushiba,muamke kuungana mkono juhudi za kupigania haki zenu. Leo hivi tunambiwa na wafanya biashara tufanye manunuzi mapema kabla ya tar.08/08/20224 bei ya tyles na bidhaa za ujenzi zitapanda maradufu!,lakini hatusikii mafisadi wamewajibishwa vipi. Bei kupanda kunatukatisha tamaa mno sisi wazazi wenu tunaohangaika na maisha kama watumwa,huduma za msingi hakuna,kikokotoo kinatukokotoa,vijana wetu wasomi tunao majumbanì,kila kitu bei juu loh! Twafa...
Aaha nimekusikia kijana upo vizr sana Ila kitaeleweka2
Saf, Sana vjana tuko pamoja tupambane nchi Ni yetu.
No comment
Hongeren sana vijana kwakujitambua kudai haki na kutetea nchi yetu
Vijana safi vijana tupo pamoja tuamke tunachelewa
Nikweli kabisa msemalo,ila watawasikiliza,kweli,maana wameziba masikio,,wanainchi wanaishi Kama watoto wakambo kwenye inchi Yao.
Tunashangilia mabaya kuliko mazuri.
Big up sana vijana
MUNGU AWABARIKI
Huwezi kupata ajira wakati mtu anae staf anapewa Tena KAZI na vijana wapo
😅😅😅😅
😂😂😂😂kweli nilimuona mwalimu wa mtu amepewa kazi na alisha staafu
Kielimu nakuungeni mkono sana elimu yetu ya tanzania unaweza ukamaliza form 5 huwezi kuajirika unaambiwa huna vilification ya kazi unayo iomba 2 wizi ni kweli nimwingi kwa wafanyakazi wa serikali ila mengine amejitahid ilo lazima nisema ukweli mengi amejitahidi
Hongereni sana vijana.
Mnatakiwa muungane muende Mahakamani kuipinga hiyo Sheria.
Confident guy Safi sana
Kweli CCM. Mungu Atawaumbua mchana kweupe.kwa matendo yenu
Ee Mungu.ninaomba ufute hiki chama ktk ulimwengu wa roho na ktk uhalisia wake. hakifai tena.hasira yako Mungu iwake ss
Hapa ndipo serekali iweze kuona uwelewa mpana wa vijana wakizazi hiki wanao kiongoza 😊ipo haja ya wao kuyafanyia kazi hayo maoni yote yaliyo kosolewa kwenye mambo mbali mbali ambayo hayapo saawa
Made in genz from Tanzania
Moto umeanza toka kenya Uganda sasa tz yangu macho
Tutawaunga mkono hauliwi mtu hapa safari hii ni jino kwa jino
Mambo ni mengi niliyokuwa siyajui hongereni sana vijana kwa ufafanuzi , kwa hiyo kura zimeanza kuharibika hatujaanza kupiga kura makubwa
Vijana Umoja Wetu ni Nguvu Yetu ......Tumeshachoshwa na hawa Wazee wa CCM ...Taifa Letu sijui wanalipeleka wapi
Hebu mfikirie Kinana anatoka halafu uamwingiza Wasira au Pinda au Bulembo halafu unategemea kushinda mechi ya kusimama ujenzi wa uchumi wa nchi.
Congratulations Sana Gez wa Tz nikweli kabisa Usemavyo sahihi God bless Tanzania Sisi vijana kama hatutaweza kupambana basi Ila kwa wakati tulionao sasa ni wakati sahihi kabisa.
Amina 🙏
Kweli wakati umefika bila kujali vyama udini ukabila vijana muwe jasiri watawatisha ila msirudi nyuma viongozi na watoto wao wanaendelea kutumbua nchi amkeni vijana serikali ya ccm ni dhalimu sana
Vijana tukiamua tunaweza kuleta mabadiliko.Tusimame vijana kamavijana uchama tuweke mbali.tuaze kuamshana.Afrika moja, Africa huru
Kwel kabis
Amukeni vijana wa African
Vijana mumechelewaaaaaa,haraka chukueni hatma yenu toa hii mijizi
Vijana fanyeni kweli tupo pamoja
Sema kodi ipo juu sana, mazao ya mkulima yapande,
Mpo vizuri chadema mwenyezi Mungu awasimamiye tupo pamoja inshaallah
Ndugu, hawa sio CHADEMA
@@gidongailo7174andamaneni tuu,mama ni msikivu,mtatulia .
Kumbe ni chadema nilijua G nzi Tz
Pia Hana poiti huwezi hata kidogo kuangea mambo mengi kwa wakati mmoja angeingilia kwenye ufisadi na ukosefu wa ahila
Hawa ni chadema kivuli
Safi sana vijana sote tuungane kudai katiba mpya
Mimi maoni yangu ni ivi tukiwa tuna andamana inatakiwa tufanye kwa vitendo kama south Africa siyo kama ya chadema yaliopita yakutembea tu inatakiwa pawake kwelikweli wanazalau sana viongozi wa fis m
Mwigulu kapandisha bei ya vitu,mafuta,gesi,vocha,mafuta ya kula, ufisadi kila siku, RIP JPM
Raia tumekubali kupandisha Kodi,Kwa kutumia wabunge wetu. Si mchemba.
@@GodfreyOswardwabunge wenu wapi? Kodi nyingi lakin maendeleo hakuna. Zinaishia tu kwenye ufisad
@@Mosmwampa utaratibu ulifuatwa ndio ukweli. Kama zinakusañywa tunabugia hilo ni tatizo jingine. Mfano njaa, tuliuanzisha wenyewe miaka ya 1990. Mzee Msuya alisema kila mtu ababe mzigo wake. Na mzee mwingine akasema kula urefu wa kamba yako. Kardinal Pengo akauliza. Tunao sema ufisadi kweli au nasi tumekosa nafasi za kufisidi?. Tz siku wakichukia ufisadi hakuna kiongozi ataiba pesa ya umma.
@@GodfreyOsward kama zinakusanywa afu zinabugia Kwa ushauri wako unafikiri watz tufanyeje
Hongera Sana Mr. Soka,Hongera Sana vijana wa Tanzania, nafurahia kuona mwamko wa vijana mnaojitambua Kama wewe Soka, inatakiwa moto huu uendelee mpaka tupate Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na mpaka mama Kizimkazi ajiudhuru arudi Kizimkazi! Ccm inatakiwa iondoke madarakani kwa namna yoyote ile!
Mungu awalinde nyote na awafanikishe katika harakati za kulikomboa Taifa letu Tanganyika yetu, Wananchi amkeni tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, vijiji, mitaa, madiwani, Wabunge na Rais, msiwachague hawa mashetani wauza rasilimali za Tanganyika! Ccm haitakiwi kupata hata mwenyekiti wa mtaa! Asanteni vijana tunawaunga mkono.
Bora vijana Sasa mmeamka
Umetumiwa kalime MWENYEWE mvua Iko wap pembejeo ziko juu.
😂😂😂
Ww ujui kitu kausha watu wafanye yao
Urassa Nini
Kama huna la kuongea kaa kimya
Hata uwezo wa kifikili umeshuka sana. Hamjiulizi kwanini Kila kona Duniani hali ya kimaisha ni ngumu? Mwapotea kwakuwa hamjui wakati tulionao ni wakati wa mwisho. Geukeni tuandamane kinyume na dhambi, tukatae kuwa chini ya utumwa wa shetani. Mpokee Yesu
Chawa huyu
Chawa wa mbinguni. Ushauri wa wokovu hamtaki mnataka mshauliwe kubet
Namsubiria mropokaji wa Dasalama atasema nn kesho
Mbona wamekata sauti?
I salute you Gen Z wa Tanzania,ni nyie wa kutukomboa vijana tuko nanyi,songa mbele kwa moyo mkuu 49:08
Safi vijana mmeamka 🎉🎉🎉
Niiiice
Mdogo wangu ccm ilishakufa kitambo sana miaka 50 iliyopita
Yaani mkifanya kweli nchi itapona
ABADAN 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Nimefrahishwa sana na Hawa vijana maana ukiizumzia serikali ni umeamua kuweka maisha Yako rean KWAMBA Muda WOWOTE unaweza kuwajibishwa BILA kujali LENGO la kijana huyu alikuwa na ANAWEZA nini. NICHI YETU INA WASOMI WENGI AMBAO WENGI WAO HAWAJA WAHI KUITUMIA ELIMU YAO KUWA AKILI WAMEBAKI NA ELIMU BILA FAIDA YA KUISAIDIA TAIFA LETU
Good
Tuko tayar ❤❤❤😊
Mko sawa nawaspoti vijana mkomboe nchi yenu
Wanakula Bata wanainchi wako hoi alafu wanasema tumepata uhuru hivi Nini maana ya uhuru Bado najiuluzaga sana kwa nchi kama yetu🫣
Asante🎉🎉🎉
GEN Z😂😂