WAPINZANI KUMGEUKIA RAIS MWINYI?/ NAIBU KATIBU MKUU WA ACT ZANZIBAR AWEKA WAZI / MWINYI MIAKA SABA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
- WorldNewsMedia ni chanzo namba moja cha habari kinachota taarifa mbalimbali ulimwenguni . Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
#mwinyi #raissamia #zanzibar
Baraka Shamte aliukosoa uongozi wa Rais Hussein....kilichomtokezea unakikumbuka?
Critics zilizotolewa na Balozi A Karume unazikumbuka. Sasa Demokrasia gani hiyo Sheikh unatwambia Raisi Hussein anayo? Iko wapi press conference ya kila Mwezi? Uko wapi uwajibikaji kwa wale Mafisadi? Uko wapi uzalendo wake kwa Wazanzibari? Nk nk nk
Mazrui msaliti. Watu wote waliopigwa tuliwaona. Yeye alitoka Hana hata mjearuzo. Alisaliti zamani ila tu ACT ni vipofu macho waz.
Wewe mchambuzi njaa ...Kwanza huyo unayemtaja sio Naibu Katibu Mkuu wa ACT...
Alikuwa naibu katibu mkuu.
Kwa sasa hana nafasi yoyote ndani ya chama amebakia kuwa ni muwakilishi wakuteuliwa na waziri wa afya na mwanachama wa ACT.
Nn nynyi CCM hakun 7 hapa
Dr Mwinyi miaka mitano mengine aongeze ni Rais muadilifu na mcha Mungu.
Kma muna jiamin rkebishen Sheria ya uchaguz
Sisi tunajuw kama mazurui ni CCM
Huyu haja nena shida hii ni siasa na kwa kazi yake ni sawa tu anajua nini ananena yupo vyema
Hizi ndio propaganda saf sana
Miaka mitano mengine Mungu mmoja bila ya kuiba KURA kuuwa Wananchi wanaopiga kura ya kumchaguwa RAISI wanaye mtaka. Ikiwa itapita Dhulma kama tunayo iyona kwenye TV za Dunia basi bora usameheni huo Uchafuzi.
Mchambuzi anawashwa huyo
Anazungumza kashfa kwa raisi hasemi kuhusu kuuliwa watu na kunajisiwa dada zetu kwasababu tu Mwinyi awe raisi ... nahisi kutapika kila nikimsikiliza Huyu jamaa mwenye akili chege
Kipigo alichopigwa na CCM kimemuathiri Akilini Nassor Mazrui
Unasemamaishamazuri haliyakua tunanukanjaa pitamtani uwone siunaropokwa weumeshiba
Tume iwe huru mahakama iwe huru
Halafu tupigen kura kma unajiona mefanya mauri kweli
MaRais walopita woooteee wangekuwa kama Dr. Hussein basi Zanzibar ingebadilika sana na Wananchi maisha yao yangebadilika pia. Dr. Hussein inakutosha miaka mitano hapo Zanzibar ulofanya mazuri yanatosha. Umezeeka kwa hiyo mitano siyo mchezo. Wape nafasi wengine.
Kama waliopita walikua kama Mwinyi zanzibar ingelikua ishafutwa kwenye Map
@@salyali7807 Kwani ipo kwenye Map sasa hivi 😂😂😂😂
WANAOGOPA CCM NA JESHI LAKE WASIJE WAKAMTEKA NA KUIADHIBU FAMILY YAKE KTK UCHAGUZI UKAO🤣🤣
LENGO MAMLAKA KAMILI
AU
UKOLONI WA KAMILI?
Wazanzibara na Mawakala wanataka Ukoloni Kamili wa Tanganyika.✝️
Wazalendo wa Kizanzibari wanataka Mamlaka Kamili ya Zanzibar kuliko Ukoloni kwa Kisingizia Majengo.🏡