HISTORIA YA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DKT.HUSSEIN MWINYI|KUZALIWA,ELIMU,UONGOZI Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbconlinetz
Facebook: / tbconlinetz
Dr Hussein Mwinyi Rais ni mwadilifu mwenye huruma na ni mchapa kazi. na ni Rais wa kwanza mtanashati.pongezi kwako baba ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
Maashaallah. Mungu amzidishie elimu itakayomletea manufaa hapa duniani na pia kesho akhira inshaa Allah.
Dr by Professional
Mbona hamjasema kazaliwa wapi ??
Sasa uyo mzee vipi😂
Udactari.. kuongoza 🤔 what's purpose
ndio maana wakatuletea mtu kutoka Mkuranga ili aje kututawala kwa mkono wa chuma, halafu aikabidhishe rasmi Zanzibar iwe chini ya Mtawala Tanganyika kwa makubaliano ya kutiliana saini, hapo iwe ndio mwisho wa SMZ, mwisho wa Zanzibar.
Kwani wazenji ni nani?
Ndiyo hao hao kimahesabu wametokea bara tu hata mnyanye nini, Karume mwenyewe mmalawi, Nasoro Moyo mngoni, Hamadi Masauni kutoka Kilwa, Natepe mmatumbi akina Hamdan Muhidin ni Kilwa, Isack Sepetu mnyaturu na wengine wengi tu.
Mix ya muomani na wahindi waliokuja kujenga reli enzi za itawala wa British, ndio maana Zanzibar haina makabila rasmi.
Utasikia mdonge, mtumbatu, mmakunduchi n.k.
Huyu mtu safi sana kuliko nyie watu wa unguja hamna ila ujinga na choyo akitoka huyu tunaleta john kutoka bara kabisa
@@khamisjuma2947
Zanzibar ni ya Wazanzibari
MuHiMu ni UonGoZi wA BuSaLA .
UonGoZi wA kusimAmiA haKi Na usAwA biLa yA chuKi Na uoNeVu.
NA KuteKeLeZa MaJukuMu NA AHaDi .