ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mda ndo huo jaman hata like 10 tu
😂Mzee mwinyi na mkewe😂Uku nako amina na ex wake😂Kitatange nae yuatembeshwa bila viatu amechoka anako kwenda kumbe ashafika😂😂🙌🙌
NAOMBA LIKE ATA 5 ATA KAMA MIM ND WA MWISHOO😂😂
Zahor muoga ee😂😂 sikwambio hizo
Amina ni mke sasa hvy stara muhim
Naombeni mau yangu leo
Mashallah Amina anamsimamo ila sijapenda anvyojitamtandio anatakiwa ajistiri anapo toka kwenda sokoni (ngengeni) kama humulhat mashallah
Jamn kitatange anaenda kupanga daraja bovu mbona 😂😂😂😂
Fungate hamu ya ndoa watu wapo macho jmn😂🎉🎉🎉
Niko macho kuliko kitatange
Nimekuwa 18 leyo sijachelewa sana kazi iyendeleaa🙏🙏🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯
Kitatange makubwa madongo Yana nafuu no room 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fungate imekua ndefu sana story yakosa utamu sahi kitatange maliza tena
🎉 achieni vipande agalau 3 munatuweka ham kama zote
Mwamchosha jaman kitatange awezi mwendo wa masafa marefu mrudisheni kwa mkewe😅😅😅mkewe naye apelekana mbio na Zahoro kule😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kitatange anatumia vizuri nafasi yake
Amina na x wake kazi anayo
Kitatange umekua mume sasa vaa viatu
Kitatange rudi nyubani kuna fisi kadharimia
Amaa leeoo see ponaaaa
Kitatange kachafukwa hadi viatu havina maana ❤
Mwanangu NASSOR ( CHOLO ) ushakuwa unaigiza sasa hv Kitambo sanaa hatujaonana ila nikirudi lazima nikutafute
Mashallah mama mulihat nimependa Hilo Dera ❤❤❤
Tim fulus Tim rial leo ijaza nimepata mda wakuangalia live.😂
Niko kwa orodha😂😂😂
Hahahahaha! Mwinyiiiiii eti nakupia akili duh😅
Na huyu anataka kuaribia Amina ndoa
Kitatange 😂😂km kaowa kweli vile ❤❤
Pambe tuh🎉
ukiachwa achika bwana
jamani mie nampenda rafiki yake kitatange
Fungate iko poa ila muendelezo episo 31 ndo imeishia hpo endlez drama dramaiyo tuone amin hatmayake
sawa
Kitetange achaubishi wewe shida upate chumba nakwa mwendo hoyoo wajikongoja kama kinyonga utajuta ulifikiri nyumba yakipanga waipata kiurahisi😂😅😅😅😅😅 chapa mwendo
Unashangaa Amina anapona alafu anaenda kwa bwana wengine😂😂😂
Sipati picha
Tutaenda kwa mganga mwengine kumrudishia kitazi chake
❤jamani kungwi ni mbeya kagoma kuondoka😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Simpendi huyo kitatange anavotembea kwani lazima aende hivo
Kazi alofanya kitatange na huyu jamaa atakani kwa amina.yafaa asulibiwe msalabani
Kitatange unanikera ivo unavotembeaa
Kitatange na baba ake why wanatembea bila viatu, au huko Zanzibar ni jambo la kawaida?..
HUO SI UHALISIA WA MTU NI MCHEZO TU ILA TAMBUA KWENYE MAISHA KUNA WATU WANA MAISHA KAMA HAYO ALIO EA UHUSIKA KITATANGE
@@zmuxzanzibar4583 Asante sana, hongereni sana kwa kazi nzuri.
😂😂😂Kitatange kachoka kweli
Utampaje mtu pesa kwa kukuonesha nyumba tu kabla ya kuona kitu unachohitaji.
Mara pa kitatange anapata nyumba anayoishi akaribu na dula dah sijui itakuaje
Hii tamsilia naona kuna ubaguzi hapa mana kuna wasanii hawaonekan
sawa ila haiwezekan kila filam wasanii wawe ndo hao hao
Sipon ata siku moja😅😅😅
❤❤❤
Kwani huyu kitatange hana viatu?
Duli nenda kwa mkeo bana
Nyieh n waislam muwe munajistir ata km c Waislam ila huo c utamaduni wa kizanzibr sema nn fungate iko poa
asante kwa maoni yako mazuri
❤❤❤❤❤❤
Zahoro tuliza mshono Mali ya kitatange hiyo
Ishafika 🇰🇪
Kitatange havai viatu
Kama kangaroo
Mda ndo huo jaman hata like 10 tu
😂Mzee mwinyi na mkewe😂Uku nako amina na ex wake😂Kitatange nae yuatembeshwa bila viatu amechoka anako kwenda kumbe ashafika😂😂🙌🙌
NAOMBA LIKE ATA 5 ATA KAMA MIM ND WA MWISHOO😂😂
Zahor muoga ee😂😂 sikwambio hizo
Amina ni mke sasa hvy stara muhim
Naombeni mau yangu leo
Mashallah Amina anamsimamo ila sijapenda anvyojitamtandio anatakiwa ajistiri anapo toka kwenda sokoni (ngengeni) kama humulhat mashallah
Jamn kitatange anaenda kupanga daraja bovu mbona 😂😂😂😂
Fungate hamu ya ndoa watu wapo macho jmn😂🎉🎉🎉
Niko macho kuliko kitatange
Nimekuwa 18 leyo sijachelewa sana kazi iyendeleaa🙏🙏🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯
Kitatange makubwa madongo Yana nafuu no room 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fungate imekua ndefu sana story yakosa utamu sahi kitatange maliza tena
🎉 achieni vipande agalau 3 munatuweka ham kama zote
Mwamchosha jaman kitatange awezi mwendo wa masafa marefu mrudisheni kwa mkewe😅😅😅mkewe naye apelekana mbio na Zahoro kule😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kitatange anatumia vizuri nafasi yake
Amina na x wake kazi anayo
Kitatange umekua mume sasa vaa viatu
Kitatange rudi nyubani kuna fisi kadharimia
Amaa leeoo see ponaaaa
Kitatange kachafukwa hadi viatu havina maana ❤
Mwanangu NASSOR ( CHOLO ) ushakuwa unaigiza sasa hv
Kitambo sanaa hatujaonana ila nikirudi lazima nikutafute
Mashallah mama mulihat nimependa Hilo Dera ❤❤❤
Tim fulus Tim rial leo ijaza nimepata mda wakuangalia live.😂
Niko kwa orodha😂😂😂
Hahahahaha! Mwinyiiiiii eti nakupia akili duh😅
Na huyu anataka kuaribia Amina ndoa
Kitatange 😂😂km kaowa kweli vile ❤❤
Pambe tuh🎉
ukiachwa achika bwana
jamani mie nampenda rafiki yake kitatange
Fungate iko poa ila muendelezo episo 31 ndo imeishia hpo endlez drama dramaiyo tuone amin hatmayake
sawa
Kitetange achaubishi wewe shida upate chumba nakwa mwendo hoyoo wajikongoja kama kinyonga utajuta ulifikiri nyumba yakipanga waipata kiurahisi😂😅😅😅😅😅 chapa mwendo
Unashangaa Amina anapona alafu anaenda kwa bwana wengine😂😂😂
Sipati picha
Tutaenda kwa mganga mwengine kumrudishia kitazi chake
❤jamani kungwi ni mbeya kagoma kuondoka😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Simpendi huyo kitatange anavotembea kwani lazima aende hivo
😂😂😂😂😂
Kazi alofanya kitatange na huyu jamaa atakani kwa amina.yafaa asulibiwe msalabani
Kitatange unanikera ivo unavotembeaa
Kitatange na baba ake why wanatembea bila viatu, au huko Zanzibar ni jambo la kawaida?..
HUO SI UHALISIA WA MTU NI MCHEZO TU ILA TAMBUA KWENYE MAISHA KUNA WATU WANA MAISHA KAMA HAYO ALIO EA UHUSIKA KITATANGE
@@zmuxzanzibar4583 Asante sana, hongereni sana kwa kazi nzuri.
😂😂😂Kitatange kachoka kweli
Utampaje mtu pesa kwa kukuonesha nyumba tu kabla ya kuona kitu unachohitaji.
Mara pa kitatange anapata nyumba anayoishi akaribu na dula dah sijui itakuaje
Hii tamsilia naona kuna ubaguzi hapa mana kuna wasanii hawaonekan
sawa ila haiwezekan kila filam wasanii wawe ndo hao hao
Sipon ata siku moja😅😅😅
❤❤❤
Kwani huyu kitatange hana viatu?
Duli nenda kwa mkeo bana
Nyieh n waislam muwe munajistir ata km c Waislam ila huo c utamaduni wa kizanzibr sema nn fungate iko poa
asante kwa maoni yako mazuri
❤❤❤❤❤❤
Zahoro tuliza mshono Mali ya kitatange hiyo
Ishafika 🇰🇪
Kitatange havai viatu
Kama kangaroo
❤❤❤