Kwa kweli Mungu tuhurumie sisi wanawake pamoja na huyu mchunga kukemea rasta na wigi kwa wanawake lakini roho ya uangamivu haiyuachilii maana hatusikii. Eee Yesu nijalie mwisho mwema hata kama mimi ni mwanamke
Kwa kweli sisi wanawake ni hatari sana, wanapo tuambiya juu ya ma wigi ; tujikaze kuacha. Hatuwezi muona Mungu na tuki sukwa nyele. Na hata relaxer ni mbaya tubaki natural. Mungu akubariki Muchungaji.
Namshukuru Mungu kipindi hiki kikiwa kinarushwa kila siku jumapili. kitatusaidia sisi wa mbali. nawashukuru mchungaji na viongozi wa kanisa kwa maono haya nawaomba msisitishe. niko Dar huku niliko ni shida sana kupata kanisa linalosema kweli. nimesoma iyunga kila jumapili nilikuwa nahudhuria hapo kanisani nilikua sana kiimani
Ndugu, kuna tofauti kati ya MUNGU au Mungu inayoanza na "M" Ina maanisha ni muumba wa mbingu na nchi. Hiyo 'mungu' inayoanza na herufi ndogo inawakilisha miungu, yaani mashetani. Ubarikiwe!
Nikamskia juzi Baba yangu ask Mtokambali anasema kanisa basi hata kila ibada uwepo mda maalumu wa maombi maana hatuombi kabisa hatuna mafuta zimejaa ruturujia kwenye makanisa yetu NAOMBA UNISAMEHE...
Kwa kweli Mungu tuhurumie sisi wanawake pamoja na huyu mchunga kukemea rasta na wigi kwa wanawake lakini roho ya uangamivu haiyuachilii maana hatusikii. Eee Yesu nijalie mwisho mwema hata kama mimi ni mwanamke
Naomba mungu aniurumie anisamehe dhambi zangu 😭😭😭anielekeze katika njia zake 🙏🙏🙏
Amen barkiwa nikiwa kenya
Kwa kweli sisi wanawake ni hatari sana, wanapo tuambiya juu ya ma wigi ; tujikaze kuacha. Hatuwezi muona Mungu na tuki sukwa nyele. Na hata relaxer ni mbaya tubaki natural. Mungu akubariki Muchungaji.
nimepata kubadika kiima kutokana na kufuatilia maubili yako mtumishi ubarikiwe sana
Nina barikiwa sana na mahubiri yako mchungaji nikiwa hapa European 🇸🇪
Mchungaji ubarikiwe sana ''upo vizuri''
Amen Mhubiri, nafuatilia kutoka Kenya, umekua wa baraka tele kwa mahubiri na nyimbo, endelea mbele Mhubiri.
Ameen baba mchg barikiwa sana
Mtumishi wa Mungu, unatubariki sana kwa mafundisho mazuri, unaisema ile kweli ya Mungu, Mungu akulinde Baba.
Ameen
Mungu akubark sana mtumishi wa Mungu tunapata badiliko sana kuptia mahubiri yako🙏🤝🤝
Amen
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kuwa Yesu yuaja na tuwe tayari,Mungu uturehemu
Niko Kenya but I wish ningefika tz tuonane Hana kwa Hana mtumishi nakupenda Sana.
Nampenda sana mchungaji wangu
Nina Barikiwa sana mtumishi wa Mungu KWA mahubiri yako nikiwa hapa European 🇸🇪
Ahimidiwe Mungu Baba juu mbinguni.
Amen Mungu azidi kukutunza Baba Yetu wengi tunapona maana nimejikuta tu nasikiliza adi mwisho nimependa Sana
Namshukuru Mungu kipindi hiki kikiwa kinarushwa kila siku jumapili. kitatusaidia sisi wa mbali. nawashukuru mchungaji na viongozi wa kanisa kwa maono haya nawaomba msisitishe. niko Dar huku niliko ni shida sana kupata kanisa linalosema kweli. nimesoma iyunga kila jumapili nilikuwa nahudhuria hapo kanisani nilikua sana kiimani
Hata kama nina dhambi ninaomba uni SAMEHE.🙏😭🙏🙏🙏😔
ubarikiwe mtumishi numekuwa na mabadikiko baada ya kuwa nafuatilia maubili yako
AMINA Mch Karibu TENA Mpnda Katavi
Asante sana baba kwa injili hii tunayoihitaji sana katika nyakati hizi hakika twahitaji msamaha wake Kristo
Ameen
Amen thanks 🎉
Nabarikiwa mch abiud kwa Mahubiri mazuri
Ameen mtumishi Mungu akubariki
Amina mtumishi wa mungu kwa kutupa taarifa hii na sisi twendelee kujipeleleza ndani ya mioyo yetu juu ya huu unyakuo
Ndugu, kuna tofauti kati ya MUNGU au Mungu inayoanza na "M" Ina maanisha ni muumba wa mbingu na nchi. Hiyo 'mungu' inayoanza na herufi ndogo inawakilisha miungu, yaani mashetani. Ubarikiwe!
Ameen
Ubarikiwe sana baba kuna vitu nmejifunza
Ubarikiwe sana baba karibu kwetu monduli pia
😅😅😅 arudi kwao aliwahi kuoa asante sana kwa injili nyeupe hii
Yesu naomba unisaidie
Barikiwaa
Asante pastor
Hallelujah ameeen
Kweli Amen 🙏🙏💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 😊
Ameeeeeeeeeeen
Nikamskia juzi Baba yangu ask Mtokambali anasema kanisa basi hata kila ibada uwepo mda maalumu wa maombi maana hatuombi kabisa hatuna mafuta zimejaa ruturujia kwenye makanisa yetu NAOMBA UNISAMEHE...
Ubarikiwe
Nataka tele mtumishi
Lazima siku moja tutengane na wenyeji wa hii dunia
Huu wimbo nitaupata wap
Kanisa linapatikana wap
🎉🎉🎉
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
Amen
Kanisa linapatikana wap
Amen
Amen
Amen