ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Leo Ally Kamwe yupo serious sana, kama vile kuna kitu hajaridhika nacho
Ali kamwe upo vizur,fanya kazi.wanayanga itig tunakukubali sana
❤❤❤ undeliondoka ubgetukera sasa zaid ya sana ALLY ALLY ALLY nimekuita mara tatu unajuwa mana yake kuitwa mara tatu
Ratiba nzuli Sana yanga mbele kwambele ❤️❤️❤️❤️❤️
Kamwe. Plus. Manara. Viva.
Kwani yupo huyu yanga Raha sana😊
ally kamwe manara wote watu wetu kazi safi🎉
Uwongoz wa Yanga kwnn hayo makombe huku Zanzibar hafiki kumbuken kuwa aslimia kubwa ya huku visiwan ni mshabiki na wapenzi wa yanga mnatuangusha
Nikuombe tu Mzee wetu manala ubaki kma mhamsishaji huyu mdgo wko aendelee na Yale ya cku zote nawapenda sana mnatupa raha,sana,
MARAISI 2 KWENYEINCHI MOJA NI NGUMU SAN
Upo sahihi mkuu@@allahisone6386
Kiukweli alikamwe upo viziri binafsi nakupenda Santa kama semaji la Tim yangu pedwa ya yanga
Unapotajja Dua ufafanue kuwa ni kwa dini zote isionekane kama kuna chembe ya udini maana Timu ina wachezaji na washabiki wa dini zote
din ya hak ni uislam2
Kamwe wewe msemaji mkini sanaaaaa
@kisakazdm nimekusikia jinsi ratiba na utamu wa siku ya jumapili ya wananchi ilivyo.Sisi huku Arusha mmetuandaliaje?
Like hapa umefurahi kamwe kumuona
Yanga tam bhana nimefurah sana
Wazeee kila ukigusa wayaa,waya
kwa mtazamo wangu mm binafsi naona ni vyema tu haji angefungiwa miaka 20 mana anapenda sana bifu na watu
Alikamwe SEMA no wiki ya Mwananchi Hilo ndo jina siku yeti ilivyo sajiliwa rekebisha hilo
Masimango hata kidini au kimila huwez kumsimanga mtu, ni laana mnjitakia ,Mungu hapendi
Ally Shaban Kamwe nafasi ingine ambayo nakutabiria ni kuwa mbunge wa bunge la Tanzania na ikiwapendeza kuwa waziri wa michezo Tz.
Hana furaha kama alivyozoeleka😊
Unasimanga, unakula,unasimanga, unakula. 😂😂😂😂,nimeipenda hyo.
Kamwe ameamua kuficha sura yake halisi moyoni mwake,akabakiza sura ya utu uzima ,hii inaonesha dogo amekomaaa kiakili,Katika maisha jifunze kubeba na himili hisia zako.itakusaidia baade .
Jamaa kweli hayuko sawa....Tone na sura ni vitu viwili tofaut ..
Acheni kumdadisi kijana
Mwamba tunakuelewa🖐️
kwa hiyo Ally kamwe ni meneja habari na Manara ni mshereheshaji😂😂😂
Ally kamwe naitaji kujua idadi yachapati maana awauyakwanza zilikuatano kutokana natukio lataree5 hiivp
Very good ,yanga juuuuuuuuu
tunakuerewa msemaji wetu
Daima mbele nyuma mwiko💚
Kijana amekomaa kweli kwel
Nyie mnaishia kwenye media uwanjani hamuendagi
Mimi mwana Simba lkn tarehee 8 siendii naijua hyoo 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mwanasimba yupi acha kutuongepea wewe ni Yanga
😂😂😂😂😂@@georgemallya4311
Mbona kama sura yako inaonesha kuna shida moyoni mwako. Atuja kuzoea kwenye Hali iyo
Hata Mimi nimeona 😅😅😅
Kweli kabsa
Simba mnahangaika kweli 😂
Anajua kinachomsononesha moyoni mwake
Kweli...jamaa usoni hayuko sawa.😅😅
Kila kitu ulichoongea ni copy za Simba ,kweli Simba Ni Big NATION, wao wanaanza wengine wanaiga
Ali kamwe yuko sawa banab🫲🫲🫲🫲🫲🫱🫱
Mimi naomba mniweke kwenye kamati ya kuwasema na kuwasimanga
Mimi ni yanga damu huyo manara ni chawa tu hapo huyo n I Simba damudam
Ally kamwe wanayanga tunakukubali huna baya
Kwenye kusimanga sijapenda
Headline na alichokisema ni tofauti
Ali kamwe sio msemaj😂😂😂 ivo kusema hajui😂😂😂
Ahmed. Kolo. Ally. Anaumia. Akiwa. Waapi??
usoni bwana Ali kamwe Hana furaha kabisa anajua hana ufalme tena
Hatujamzoea hvo 😅😅😅
Magoma yupo hapo..kama hayupo basi magoma sio mzeee
Ali sio kawaida yako kuwa serious hivyo 😅 unaonekana huna furaha bro
Kweli nimeamini huyu jamaa ni mshamba
uzinduzi umepoa hivoo
Hiyo Kaiza Chiefs unayoiongelea ni mbovu mno kutokea, siyo ile iliyocheza na Simba
Ungeenda ukacheza ww
Kechenayo na ukoo wako uone mtakavyokunya
Mwambie mkeo akacheze nayo
Hamnaga cha kwenu kipya??? Ila kwa kuiga,nakujitia wajuaji nyie utopolo,sikui hamuonagi hata aibu,kila kitu kuiga,nyooooo,
Unaumia ukiwa wapi Dunduka
Wewe manara ni bwana mdogo kwa ally kamwe usimletee figisu ktk cheo chake
Hiyo ya kuchangisha damu haijapishana saaaaana na ile ya mnyama simba
Ally naomba utuwekee wale wamwiduka band na wimbo wao wa NAIPENDA YANGA goma kari sana
We nimwanachama wa utopolo,
Kwel UTOPOLO hawana shukran yt aliyofnya Ali komwe leo wanamfanya km kiraka...sio poa
Utateseka sana, kamwe bado yupo saana yanga, daima mbeleee.
@@jumamustapha8254 hujielew ttzo
Mbona uso umekonda ghafla kuna kitu kinakutafuna taratibu 😊😊
Chezea manara weye...
Mnaekonda ni nyie baada ya manara kurudi
Hii nimeipenda,mtu kala chuma nne na bado akachoma moto uwanja wa watu.😂😂😂,yani wabongo bn
Chezea manara wewe.utakimbia mwenyewe na bado
Ally mbona hatuoni mbwembwe zako leo
dogo mhongo sana
Haa😂😂😂😂 tuwasimange tu😅
Sema uyo mzungu angekuachia Tu ugali wako Ulikua unajitahidi Sana
Tumekuelewa
Ludi upige kazi unajua kuwkomexha makolo
Hujui kuongea, mwsnamume huyo hapo pembeni mwako ananesanesa kwenye kiti
Tunakubali hajui lakini ndiyo msemaje wetu huyu na tunatamba naye
Haji umezeeka sura yako inatisha bwana achana na hiyo kazi bwana
Kamwe wewe wa hovyo
Kilichomkuta Nugaz ndo kilekile kinachomkuta mista kamwe...
😂😂😂😂😂
Wote wajinga mnao wasimaga
Leo Ally Kamwe yupo serious sana, kama vile kuna kitu hajaridhika nacho
Ali kamwe upo vizur,fanya kazi.wanayanga itig tunakukubali sana
❤❤❤ undeliondoka ubgetukera sasa zaid ya sana ALLY ALLY ALLY nimekuita mara tatu unajuwa mana yake kuitwa mara tatu
Ratiba nzuli Sana yanga mbele kwambele ❤️❤️❤️❤️❤️
Kamwe. Plus. Manara. Viva.
Kwani yupo huyu yanga Raha sana😊
ally kamwe manara wote watu wetu kazi safi🎉
Uwongoz wa Yanga kwnn hayo makombe huku Zanzibar hafiki kumbuken kuwa aslimia kubwa ya huku visiwan ni mshabiki na wapenzi wa yanga mnatuangusha
Nikuombe tu Mzee wetu manala ubaki kma mhamsishaji huyu mdgo wko aendelee na Yale ya cku zote nawapenda sana mnatupa raha,sana,
MARAISI 2 KWENYE
INCHI MOJA NI NGUMU SAN
Upo sahihi mkuu@@allahisone6386
Kiukweli alikamwe upo viziri binafsi nakupenda Santa kama semaji la Tim yangu pedwa ya yanga
Unapotajja Dua ufafanue kuwa ni kwa dini zote isionekane kama kuna chembe ya udini maana Timu ina wachezaji na washabiki wa dini zote
din ya hak ni uislam2
Kamwe wewe msemaji mkini sanaaaaa
@kisakazdm nimekusikia jinsi ratiba na utamu wa siku ya jumapili ya wananchi ilivyo.Sisi huku Arusha mmetuandaliaje?
Like hapa umefurahi kamwe kumuona
Yanga tam bhana nimefurah sana
Wazeee kila ukigusa wayaa,waya
kwa mtazamo wangu mm binafsi naona ni vyema tu haji angefungiwa miaka 20 mana anapenda sana bifu na watu
Alikamwe SEMA no wiki ya Mwananchi Hilo ndo jina siku yeti ilivyo sajiliwa rekebisha hilo
Masimango hata kidini au kimila huwez kumsimanga mtu, ni laana mnjitakia ,Mungu hapendi
Ally Shaban Kamwe nafasi ingine ambayo nakutabiria ni kuwa mbunge wa bunge la Tanzania na ikiwapendeza kuwa waziri wa michezo Tz.
Hana furaha kama alivyozoeleka😊
Unasimanga, unakula,unasimanga, unakula. 😂😂😂😂,nimeipenda hyo.
Kamwe ameamua kuficha sura yake halisi moyoni mwake,akabakiza sura ya utu uzima ,hii inaonesha dogo amekomaaa kiakili,
Katika maisha jifunze kubeba na himili hisia zako.itakusaidia baade .
Jamaa kweli hayuko sawa....
Tone na sura ni vitu viwili tofaut ..
Acheni kumdadisi kijana
Mwamba tunakuelewa🖐️
kwa hiyo Ally kamwe ni meneja habari na Manara ni mshereheshaji😂😂😂
Ally kamwe naitaji kujua idadi yachapati maana awauyakwanza zilikuatano kutokana natukio lataree5 hiivp
Very good ,yanga juuuuuuuuu
tunakuerewa msemaji wetu
Daima mbele nyuma mwiko💚
Kijana amekomaa kweli kwel
Nyie mnaishia kwenye media uwanjani hamuendagi
Mimi mwana Simba lkn tarehee 8 siendii naijua hyoo 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mwanasimba yupi acha kutuongepea wewe ni Yanga
😂😂😂😂😂@@georgemallya4311
Mbona kama sura yako inaonesha kuna shida moyoni mwako. Atuja kuzoea kwenye Hali iyo
Hata Mimi nimeona 😅😅😅
Kweli kabsa
Simba mnahangaika kweli 😂
Anajua kinachomsononesha moyoni mwake
Kweli...jamaa usoni hayuko sawa.😅😅
Kila kitu ulichoongea ni copy za Simba ,kweli Simba Ni Big NATION, wao wanaanza wengine wanaiga
Ali kamwe yuko sawa banab🫲🫲🫲🫲🫲🫱🫱
Mimi naomba mniweke kwenye kamati ya kuwasema na kuwasimanga
Mimi ni yanga damu huyo manara ni chawa tu hapo huyo n I Simba damudam
Ally kamwe wanayanga tunakukubali huna baya
Kwenye kusimanga sijapenda
Headline na alichokisema ni tofauti
Ali kamwe sio msemaj😂😂😂 ivo kusema hajui😂😂😂
Ahmed. Kolo. Ally. Anaumia. Akiwa. Waapi??
usoni bwana Ali kamwe Hana furaha kabisa anajua hana ufalme tena
Hatujamzoea hvo 😅😅😅
Magoma yupo hapo..kama hayupo basi magoma sio mzeee
Ali sio kawaida yako kuwa serious hivyo 😅 unaonekana huna furaha bro
Kweli nimeamini huyu jamaa ni mshamba
uzinduzi umepoa hivoo
Hiyo Kaiza Chiefs unayoiongelea ni mbovu mno kutokea, siyo ile iliyocheza na Simba
Ungeenda ukacheza ww
Kechenayo na ukoo wako uone mtakavyokunya
Mwambie mkeo akacheze nayo
Hamnaga cha kwenu kipya??? Ila kwa kuiga,nakujitia wajuaji nyie utopolo,sikui hamuonagi hata aibu,kila kitu kuiga,nyooooo,
Unaumia ukiwa wapi Dunduka
Wewe manara ni bwana mdogo kwa ally kamwe usimletee figisu ktk cheo chake
Hiyo ya kuchangisha damu haijapishana saaaaana na ile ya mnyama simba
Ally naomba utuwekee wale wamwiduka band na wimbo wao wa NAIPENDA YANGA goma kari sana
We nimwanachama wa utopolo,
Kwel UTOPOLO hawana shukran yt aliyofnya Ali komwe leo wanamfanya km kiraka...sio poa
Utateseka sana, kamwe bado yupo saana yanga, daima mbeleee.
@@jumamustapha8254 hujielew ttzo
Mbona uso umekonda ghafla kuna kitu kinakutafuna taratibu 😊😊
Chezea manara weye...
Mnaekonda ni nyie baada ya manara kurudi
Hii nimeipenda,mtu kala chuma nne na bado akachoma moto uwanja wa watu.😂😂😂,yani wabongo bn
Chezea manara wewe.utakimbia mwenyewe na bado
Ally mbona hatuoni mbwembwe zako leo
dogo mhongo sana
Haa😂😂😂😂 tuwasimange tu😅
Sema uyo mzungu angekuachia Tu ugali wako Ulikua unajitahidi Sana
Tumekuelewa
Ludi upige kazi unajua kuwkomexha makolo
Hujui kuongea, mwsnamume huyo hapo pembeni mwako ananesanesa kwenye kiti
Tunakubali hajui lakini ndiyo msemaje wetu huyu na tunatamba naye
Haji umezeeka sura yako inatisha bwana achana na hiyo kazi bwana
Kamwe wewe wa hovyo
Kilichomkuta Nugaz ndo kilekile kinachomkuta mista kamwe...
😂😂😂😂😂
Wote wajinga mnao wasimaga