MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
Omba Mungu aondoe kitu chochote kilicho kaa ndani yako ambacho kinakuzuia usisonge mbele katika eneo lolote la maisha yako.
MSTARI:
"Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa."
Mathayo 15:13
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Naomba kila pando lililokinyume kwenye maisha yangu na family yangu likapate kung'olewa Kwa jina la Yesu na presha inayoni sumbua itoweke Kwa jina la Yesu Amen.🙏🙏
Naomba Kila pando ambalo si mpango wako Bwana, juu ya uzao wangu na uchumi wangu yakang,olewe Kwa jina la Bwana
Nami nimemupokeya Bwana Yesu kristo kuwa mokozi wa Maisha yangu! Amen
Bwana yesu nakuomba niondolee mapando yote yliyopandwa maishani mwangu kwa siri na kwa dhahiri. Niondolee maradhi yote mabaya. Niondolee Tamaa za dunia hii.. Niondolee roho zote za kudhulumiwa kwa Jina la yesu ameen
Mungu ondoa kitu kinachonizuiya nicsonge mbere katika maisha yangu niwe uru sasa Amen 🙏🙏
Damu ya yesu kwenye afya yangu maisha yangu mtoto wangu familia yangu biashara yangu kazi zangu amen 🙏
Ameen
Mungu naomba uondoe mapando yote ayaliyo pandwa na shetani na niweze kurudi kazini ,naamini Mungu unaenda kujibi maombi yangu na tukae sawa mimi na mume wangu tofauti Zetu zitoke kwa jina la yesu😭🙏
Niko
Burundi naomba muniombee mungu aniponye niko naugonjwa wakuvunjika kichwa nina maumi mingi sana na nina stress mingi kwaju ya kichwa hiki sasa nataka Mungu aniponye katika jina Yesu Kristo
Mungu naomba uondoe udhaifu na kutokujiamini ndani ya mwili wang ammen
yesu damu yako inene mema juu ya maisha yangu
Kila pando alilopanda ndani yangu linalonirudisha nyuma kila mara ling,oke kurudi nyuma kila mara lingoke kwa jila la Yesu kristo alie hai🙏🏻🙇🏻
Ameen
Mungu niondole mapando ya kulsi kifamilia na Uzao Amen 🙏🙏
Pando lolote aduu alilo panda kwenye maisha yangu au family yangu Nina ngwoa kwa jina la Yesu kristo wanazareti naachilia damu ya Yesu
Ninang,oa pando lolote ambayo adui amepanda ndani yangu Amen
Nataka nikapone sukari kwa damu ya yesu kristo. Nataka nikapone maumivu yote kwa damu ya yesu kristo nataka afya yangu ikaimarike kwa damu ya yesu kristo.
Bwana Yesu atakuponya. Tutakuombea
Mungu naomba uniodoree kizuizi chochote ktk maisha yangu ktk kazi zangu na ktk iman yangu kwa damu ya yesu
Eee Mungu babayangu ondoa mapando ya magonjwa, ulafi,kucheleweshwa haki , ndoa kwa ajili yangu na wanangu, wanangu wafunguliwe; kimasomo, kikazi , kiafya n ktk safari zao
Naomba milango yangu iliyofungwa na shetani ifunguliwe kwa jina la Yesu. Narejesha vyote vilivyo liwa nzige madu madu na tunutu.
Mungu ondoa kizuizi kincho fanya watoto wangu anywe pombe kwa jina la Yesu
Naomba Kila kilicho kinyume na maisha yangu na kwa familia yangu kiondoke kwa damu ya Yesu kristo..
Asante bwana yesu hujawah kuniacha cku zote umenipigania
Mungu naomba uondoe mapando waliotupandia ya madeni naya kushindwa na maisha
mungu aondoe chuki na ukimya kwa mchumba wangu vikang'olewe vyote kwa jina la yesu
Amen and Amen hallelujah 🙌 🙏 👏🏻 napokea ushidy
Mungu anipe kusonga mbele katika maisha
Amen
Kila pando alilo aslolipanda MUNGU ndani yangu naliamuru litoke katika Jina la YESU krito
Eeeh MUNGU 🙌🧎🙌🧎🙌🧎🙌🧎🙌🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭😭😭yaondoe mapando ndani yangu na Kwa watu wangu wa katibu pia familia yangu
Ameeeeeen
Pando katika kifua changu ishindwe kwa damu ya yes🙏🙏
Mungu aondoe pando la chuki kwa baba ya mtoto wangu , agape ministry wache Kunichukia waniajiri.... roho yakukataliwa ikufe
Eee mungu naomba kile kilicho pandwa kwa ndoa yangu na watoto wangu wanikatae eee Mungu naomba ukaweza kung'oa
Kila pando alilolipanda adui kwenye maisha yangu ili nisisonge mbele kiuchumi nalingoa Kwa damu ya Yesu
Mungu niondolee mikosi yote iliyowekwa na adui ili nisifanikiwe niwe mtu wa kuhangaika
Naomba ning'oe ulemavu nakupiga keleleusku kwajina la Yesu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Aniponyesheye maman yangu mwili yote inauma shigo moyo mikono migulu bya mingi
Mungu aniteee duka langu lizidiwe na wateja na nipate mme sahihi
Jambo mtumishi.mtoto huyu ame uuguwa na ugonjwa wa kifafa naomba msaada kwa maombi.
Tutamuombea
Ameen Ameen Asante Sana Mchungaji kwa ajili ya haya maombi nna imani kua babangu ambaye anagonjeka magonjwa ambavyo hayajulikani atapona kwa Jina la Yesu kristo
Mashemeji wabadilike ma father in law mungu tenda yaliyo ya ko🙏🙏🙏
Ameen
Mungu niondoree roho ya umasikini kwenye maisha yangu
NINA,NGOOA KILA PANDO LISILOPANDWA NA BABA WA MBINGUNI KWA NJIA YA NDOTO EEH BWANA YESU KRISTO LIN,GOE KWA JINA LA YESU KRISTO 🙏
Ameen
Kweli mngu ningome wakalam2 awe mbaya au muzur ila mungu unastahili imani angu ipo kwake
Ameen
Nasikilizasana maombi yako nafunguliwasana ubarikiwe
Ameen
Mwenye nyumba anipende mm na asinitoe chumbani kwa jina la yesu🙏
Amen nasonga mbele kuanzia leo jina la YESU kristo amen
eeee!!! bwana yesu nalomba ongowa mapando ya aduyi katika maisha yangu.
Naomba adui chochote alichopanda katika maisha yangu leo naing'oa kwangu kwa mumewangu kwatoto wangu
Asante bwana Yesu kwa kunifungua,. This is such a powerful prayer I've ever had/heard
Nang'oa kizuizi kicho fanya tusibariki ndoa kwajina la Yesu
Nataka tabia mbayajuu yangu nawatoto iondoke leo kwa jina la Yesu aliyehai
Mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana niombee sana utabarikiwa na mungu ❤❤umenibariki saaana namushukuru mafundisho Yako yanaponya hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤
Nang'oa mapando yote yaliyo pandwa kwa nguvu za Giza toka kwa jina la yesu
Kila pando lilopandwa na adui katika Familia yangu namwambia Yesu ayaondoe kwa damu yake Takatifu Amina
Naomba pando lolote juu yangu yesu ondoa sasa hivi
Mungu akubariki mtumishi akupe maisha marefu amina
Ameen napokea uponyaji wafamilia ktk biashara
Naomba yesu aniponye hofu
Ameen
Ubarikiwe Mtumishi Sana Sana Asante Yesu Kwa kunifungua 🙏🙏
Roho ya madeni iniachie kwa jina la yesu kirisho
Àmina
Asante Bwana YESU Kwa kuniweka huru. 🙏
Amen. Nang'oa kwa damu yesu...
Nataka nipone uvimbe tumboni upande wa kulia chini in name Jesus Amen 🤲🤲🤲🤲
Mtumishi biashara yangu..😢😢🤲🤲
@@juditholoo8809❤
Mungu anisaidie nipate mtoto ndoa yangu inakoxa aman kwaajil yamtoto😢
Ameen
Mtumishi nimempokea yesu kwenye maisha yangu amina
Nang'oa pando lilompandwa kwenyefamilia yangu isiendelee
Amen roho ya miscarriage inaondoka Leo katika jina la yesu kristo
BNmempokea YESU Leo JINALABWANa
Ameen ameeen
Mungu naomba uondowe vyote vinavyo nisumbua
Niondolee roho zote chafu kwa jina Yesu
Anaomba mtt wangu wa pili wa kiume abadike tabia yake mbaya
Ngome zivunjike kwadamu yayesu naamini mapando yatoke
Ameen
Amina pastor kwa kunifungua na Kila aina ya mapando kupitia damu ya yesu
Naondoa kila kifungo klicho wekwa kinyume namapenzi ya mungu
Naomba Ugojwa uliomlaza binti yangu miaka tisa Ungo'ke
Mpando iliopandwa kwa mwili ya yangu na damu yangu vitoke zote
Nimempokea bwana Yesu kristo Leo
Ee yesu nang'oa mapando yote yaliyopandwa juu yangu
Amen, nashukuru kwa aye maombi❤
Ameen
Asante sana barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Naombea mume wangu afunguke apate kazi ,kudharauliwa,magonjwa kwa watoto wangu ,kiburi pia naomba iniondokee in jesus name
Ameen
Nanga mapando yote mabaya kwa Jina la Yesu
Mungu niondolee vidonda vya tumbo nataka niwe Dada wa kufunga na kuomba lakini hali hii inanirudisha nyuma hali ya kuhailisha vitu vya KiMungu.
Kila Pando liliopandwa Na adui ambao MUNGU hakunanda likaondoke katika Jina la YESU Kristo.
Asante Yesu nimepona
Ameen
Bwana naomba ondoa magonjwa yote mwilini mwanangu 😢😢😢😢
Bwana yesu wewe ni bwana katk jina la yesu krsto
Niondolee mapando bwana nipe kibali bwana nikaonekane bwana Yesu nikaketishwe na wakuu bwana
Alléluia mungu akubariki akujaze tena mafuta télé
Natoa mapando ya wadeni wote wasionilipa,lakini nadhirumiwa kwa damu ya Yesu kristo mapando yaondoke leo.
Nuru ya yesu iangaze kwa maisha yangu,damu yake nayo ikaniongoze
Yesu nakuomba niondolee kila pando lolote katika mwili wangu
Mungu nisaidie ng'oa mapando vizuizi vyote kwenye maisha yangu,mponyeshe mama yangu,msaidie mwanangu awe kichwa na sio mkia afaulu ajielewe akipewa home work afanye kwa wakati
Mungu wangu nisaidie roho ya madeni iniachie . amen
Mchungaji Mimi Nina madeni mpaka nakosa amani nakosa usingizi na mume Wang hajui naogopa kumwambia
Maana alinikataza Kila nikijarbu kuacha nashindwa najikuta na Baki hapo hp
Pole Mungu atakupigania yataisha
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✋🎉🎉🎉😢
Nang'oa Kila mapando ya majini mahaba katika mawili wangu kwa jina ya Yesu kristo na kwa Damu ya Yesu kristo iliyomwagika pale msalabani. Amen🙏
Mungu aondowe .pando la chatani ndani w
Yangu
Mtumishi nimemupokea bwana yesu leo
Na ng oa pando lolote kwa jina la Yesu
MUNGU niondolee Kila kizuizi kinacho zuia mafanikio yangu Kwa damu ya YESU Aminaa
Naomba mungu unifungulie milango ya ya baraka zangu katika maisha yangu yesu wangu ulie hai
Naomba Yesu uondoe mapandikizo ya magonjwa yanayozuka ghaflaghafla ili nisisonge mbele lakini kwa imani nitashinda kwa sababu najua Yesu kristo ndiye jibu la maisha yangu,na familia yangu Ameeen
Ninang’oa mapando yaliyopandwa kwangu, kwa watoto wangu n familia yangu… Yang’oke yote kwa jina la Yesu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Naomba dam ya yesu inilinde Nina kuwa na hofu kila Mara na kunitengenezea pressure. Mungu niguse na Naomba uiondoe hofu, wasiwasi
Ameen
Eeeee menii barikiwa sana baba
Ameen