E Mungu naomba ondoa pando lililooandwa kwangu la kupoteza Hela bila sababu naliondoa tangu saa hii nimekataa kucheza kamali kuanzia saa hii ninayosikiliza maombi haya nipe milango ya mafanikio yangu iliyo halali Toka kwako E Mungu
Mungu naomba uondo Kila pando lilipandwa ndani yangu na adui lilipandwa ndani yangu kuziba riziki kwa namna yoyote kupitia waganga au kwa neno la laana yoyote navunja kwa damu ya yesu katika jina la yesu kritro nyota yangu igare kama jua🎉
Nimetamani Bwana Yesu anitoe katika madeni kwa biashara yangu, ndoa yangu iwe sawa, msichana wangu afunguke na apate kazi, kijana wangu awache ulevi na saidie familia yake.
Eee Yesu wa Ekaristi ninakuomba umuondolee mtoto wangu pando la kukukopa kwenye mitandao kausha Damu Eee Yesu kwa Damu yako Takatifu sana ninakuomba uwainue watoto wangu waachane na mikopo . Eee Yesu nakuomba uwateketeze wachawi wote wanaotufutilia familia yangu
Nimepata shida leo nilikuwa najisikia vibaya lakini baada yakuomba maombi haya nimefunguliwa asante Bwana yesu kristo kwaajili ya mtumishi wako une mtumia tufunguliwe
Mungu naomba uondoe kila pando la adui lililopandwa ndani yang pando la kunirudisha nyuma pando la umasikin na pando la wachawi pamoja na waganga naomba Uondoe yesu
Kila pando ambalo halikupandwa na baba wa mbinguni kwenye maisha yangu naenda kuliondoa tangu Sasa pando lolote lililotumwa kwangu ili kuvuruga maendeleo yangu naondoa kwa JINA LA YESU kirsto wa nadhaleti
Mungu naomba huondoe uchawi katika nyumbani kwangu mm na familia yangu navunja maagano ya giza madhabau ya Mungu yangoe mapando katika jina la yesu kristo Amen 🙏
E Mungu naomba ondoa pando lililooandwa kwangu la kupoteza Hela bila sababu naliondoa tangu saa hii nimekataa kucheza kamali kuanzia saa hii ninayosikiliza maombi haya nipe milango ya mafanikio yangu iliyo halali Toka kwako E Mungu
Napokea wattowangu
Asante bwana Yesu kwa maombi haya kutoka kwa mtumishi wako na Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Mungu naomba uondo Kila pando lilipandwa ndani yangu na adui lilipandwa ndani yangu kuziba riziki kwa namna yoyote kupitia waganga au kwa neno la laana yoyote navunja kwa damu ya yesu katika jina la yesu kritro nyota yangu igare kama jua🎉
Nimetamani Bwana Yesu anitoe katika madeni kwa biashara yangu, ndoa yangu iwe sawa, msichana wangu afunguke na apate kazi, kijana wangu awache ulevi na saidie familia yake.
Damu ya Yesu Kila chakula nilicholishwa na hao wachawi natapika kwa jina la Yesu
Pando la kazini toka kwa jina la Yesu tooo ooooka Kwa jina Yesu ngooka Kwa jina la Yesu
Mungu uondoe Mapando ya Adui
Nakunywa Damu ya Yesu okoa watoto watoto wangu waachane na madeni
Eee Yesu wa Ekaristi ninakuomba umuondolee mtoto wangu pando la kukukopa kwenye mitandao kausha Damu Eee Yesu kwa Damu yako Takatifu sana ninakuomba uwainue watoto wangu waachane na mikopo . Eee Yesu nakuomba uwateketeze wachawi wote wanaotufutilia familia yangu
Pando toka kwa jina la Yesu wamezidi hawa wachawi
Naondoa pando LA kamali kwa JINA LA YESU na kurudisha mtaji wangu Kisha nikakipe madeni yoyote nikawe huru nahitaji amani ya moyo na maisha yangu
Najiondoa kwenye madeni yasiyolipika kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Pando la wivu toka kwa jina la yesu kristu
Nakataa pando LA madeni yasiyolipika katika maisha yangu tangu Sasa najiondoa na madeni hayo nahitaji kuwa huru
Naondoa pando LA madeni kwa JINA LA YESU narudisha wateja wangu wote na biashara yangu ukangae tena upya kwa nguvu zaidi
Mtumishi unarudiarudia sana sentensi nenda moja Kwa Moja kwenye pointi.
Ondoka pepo kwa Damu ya Yesu kristu
Asante Innocent Mungu akubariki sana kwa upendo wako usipungukiwe na kitu chochote
Nimepata shida leo nilikuwa najisikia vibaya lakini baada yakuomba maombi haya nimefunguliwa asante Bwana yesu kristo kwaajili ya mtumishi wako une mtumia tufunguliwe
AMEEN AMEEN AMEEN AMEEN AMEEN AMEEN AMEEN
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Akisanti mungu akisanti Pasteur kwa maombi
Mungu naomba uondoe kila pando la adui lililopandwa ndani yang pando la kunirudisha nyuma pando la umasikin na pando la wachawi pamoja na waganga naomba Uondoe yesu
Kila pando ambalo halikupandwa na baba wa mbinguni kwenye maisha yangu naenda kuliondoa tangu Sasa pando lolote lililotumwa kwangu ili kuvuruga maendeleo yangu naondoa kwa JINA LA YESU kirsto wa nadhaleti
Ameni amen nashukuru bwana yesu kwakunifungua na kuondoa kila pando vifungo mimi na family yangu amen
Amen and amen
O dr
Amen Amen
Naomba uniondolee kitu ambacho kina zuia manikio yangu
Mungu naomba huondoe uchawi katika nyumbani kwangu mm na familia yangu navunja maagano ya giza madhabau ya Mungu yangoe mapando katika jina la yesu kristo Amen 🙏