MAOMBI: Omba Mungu akupe kibali katika kila eneo la maisha yako By Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- MAOMBI: Omba Mungu akupe kibali katika kila eneo la maisha yako By Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Mtumishi WA bwana mungu akubarik sn mi naenda sn kuomba na wew na ninabarikiwa sn mungu amekupa kalama ya Hali ya juu bwana aendelee kkutumia ili uweze kufungua watu wake Amina barikiwa sn
Eeh MUNGU naomba kibali kwenye kila eneo la maisha yangu bila wewe mimi siwezi baba
Naomba kibali kazini kwqngu
Kwy biashara zangu
Kwy ndoa yangu
Kwa watoto wangu
Kwa wazazi wangu
Kwa wenzangu wote wanaonizunguka
Nikakupendeze wewe YESU na wanadamu
TEMBEA NAMI YESU
Asantee yesu kristo ,jina lako litukuzwe milele,naomba nipate kibali kwa kazi yangu na kwa familia
tembea nami yesu kwa maisha yako
Usiace YESU upogusa wengine namimi usinipite nakuitaji Mungu wangu
Amen Bwana yesa naomba kibali chako katika jina LA yesu kibali chako kiwe juu yangu katika jina La yesu
Mungu atpe kibali kila eneo la maisha yangu na watoto wangu
Mungu nipe kibali ktk maisha yangu ,nipe kibali za kumiliki Baraka zangu nikatembee na kibali cha Mungu ktk kila maisha yangu ndani ya mwaka huu
Ameen ameeen
Bwana yesu nipe kibali cha kusikilizwa na watòto wangu wa kazi ktk jina la yesu kristo. Wasisikilize watu wengine ktk jina la yesu kristo nipe kibali cha kulipwa pesa zangu zote ktk jina la yesu kristo, nipe kibali cha kumaliza madeni yote ndani ya mwezi huu ktk jina la yesu kristo, ukatembee na mm ktk jna la yesu kristo, nipe kibali cha kutoa fungu la kumi ktk jina la yesu kristo, nipe kibali cha kupendwa na kila moja ktk jina la yesu kristo.
Ameen ameeen
Bwana yesu ukatembee na mimi
Asante Yesu kwa Kibali, Kibali hiki kitembee na mm kila eneo la maisha yangu.
Mungu akubariki mtumishi naomba Mungu anipekibali
maishani wangu na mahalipoteniendapo anipe kibali kama Shadraka na Meshack na Abednego, Asante sana mtumishi wa Mungu
Ameen
Bwana yesu nashukuru kwa kinipa kibali na upendeleo kwa maisha yangu
Ameen
EE MUNGU NAOMBA UNIPE KIBALI KTK KAZI YANGU BIASHARA YANGU,WATU WANAONIZUNGUKA NA KILA SEHEMU.
AMEN
Bwana Yesu naomba ukanipe kibali.Kibali cha Bwana kiwe juu yangu
Asante bwana yesu mwenye kusifiwa ni wewe tuu bwana yesu nipe neema na kibali kazini kibali kwa family yangu kibali Kila eneo la maisha yangu kibali chako mungu kikawe na Mimi Kila siku zote za maisha kibali chako mungu pekee kiniinue 🙏🙏🙏
Napokea kibali kwa jinala yesu
hee Mungu najiunganisha kwenye maombi haya amen 🙏🙏
Ameen
Amen amen roho za kuchukiwa na kukataliwa zitoke katika jina la yesu
Ameen
Napokea kibali na neema ya kutii neno la kristo yesu 24/7.
Bwana yesu wewe ni mwema bwana yesu wewe mzuri, ni wewe tu, Bwana yesu, wewe ni mungu mwenye upendo niwewe tu unaye stahili kusifiwa hakuna km ww, niwewe tu ninaye kuabudu bea a yesu wewe ni mwema, naomba nipe kibali ktk kila eneo la maisha yangu. Ninaomba nikapate kibali machoni pako ktk jina la yesu krito kibalichako kiwe juu yangu, kibalichako bwana yesu. Naomba nipate upendeleo wako ktk jina la yesu kristo. Naomba nikapate kibali chakuuza shamba langu ktk jina la yesu krito bwana yesu kibali chako kikawe juu yangu, Kibaki chakuheshimiwa na kila moja kikawe juu yako nikatembee nawewe mwaka huu wote,nisitembee pele yangu, tembea nami jehova, ktk jina la yesu krito, nipekibali chakufanikisha mipango yangu yote ktk jina la yesu kristo. Tembea na mm bwana yesu. Tembea na watoto wangu bwana yesu ktk jina la yesu kristo. Tembea na wajukuu wangu ktk jina la yesu kristo.
Ameen ameeen
Mungu Baba wa mbinguni uliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo nakuomba kwa rehema na neema yako unipe kibali katika kila eneo la maisha yangu na familia yangu mbele zako na mbele ya wanadamu 24/7 forever katika jina la yesu kristo. Amen.
Amen MUNGU akupe kibali kila eneo la maisha yako mtumishi
Mungu katika jina la yesu kristo naomba nipe kibali na neema katika kila eneo la maisha yangu na familia yangu 24/7 forever kwa utukufu wa jina lako mungu Baba.
Mungu naomba kibali Kila eneo la maisha yangu na kazi yangu na familia yangu
Mungu nipe.kibali cha kukujua wew ktk maisha yangu 🙏
Mungu naomba nipate kibali chako unitangulie kwa kila jambo.
Ameen
Bwana yesu kristo uwape kibali watoto wangu kwenye eneo lao kimasha yesu nisaidie amiinaaa
Bwana yesu nakusifu wewe tu unastaili kusifiwa naomba unipe kibali katika eneo la maisha yangu na watoto wangu
Mungu naomba kibali chako katika maisha yangu, nipe kibari katika kazi zangu, familia yangu Amina
Ee Mungu naomba kibali kwenye kila Eneo la maisha yangu nikatembee na kibari, Mwaka huu wote kibari chako kiwe nami kila Eneo la maisha yangu Mungu naomba kibari, Mungu naomba kibari kwako Kuna kibari Cha kupendwa, Cha kupata faida , Cha kupata kazi Naomba kibari Naomba kibari Naomba kibari Maana kwako ndiko Kuna kibari Cha pekee Cha kweli na Cha haki
Asante sana sana Yesu kwa kunipa kuomba kibali,Asante Yesu kwa kunipa kibalu,nami naamini kibali chako Yesu kinaenda kutembea nami kila eneo la maisha yangu, Amen
Bwn yesu tembea nami nishike mkono
Bwana yesu nipe kibali kwenye mausiano yangu naomba nisaidie nipate mume mwema na wamaagano yesu nisaidie amiinaaa
Asante bwana Yesu wewe ni mwema umenipa kibali amen
Ameen
Napokea kibali chako BWANA Yesu kwa imani kubwa
Asante yesu Kwa Ii maobi uliompea pastor Kwa ajili ya kutuokoa sisi wanyonge tusiowezana ni maobi ikona nguvu sana.. Asante yesu aleluya aleluya..
Ee! Mwenyezi Mungu naomba Unipe kibali kwenye Maisha yangu na family yangu na Biashara yangu uchumi wang kwà kila eneo Mungu kama wewe Unipe kibali nipate Kazi nanifngue Masikio🙌🙌🙌🙌🙇🙇🙇
Mngu akubarik mtumishi wamngu innocent Morris kwa maombi barikiwa sana mtumishi wamngu
Amen
Mungu nipe kibali kwa maisha yangu na ndoa yangu na family yangu nipewe kibali
Asante mungu mmoja wambinguni umekuweka mtumishi wako HapA duniani atuokoe amen 🙏
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Mungu nipe kibali ktk maisha yangu ,nipe kibali za kumiliki Baraka zangu nikatembee na kibali cha Mungu ktk kila maisha yangu ndani ya mwaka huu ktk jina la Yesu Kristo
Ameen ameeen
Mungu naomba kibali cha kulejesha nyota yangu na maisha yangu nikubalike popote niendapo..na naomba kibali cha kuinua kipaji changu cha mziki.
Mungu naomba unipe kibali katika eneo la maisha yangu pamoja na watoto wangu
Mungu naomba KIBALI CHAKO kwenye kila eneo la maisha yangu mbele zako na mbele za wanadamu kwa mwaka huu wote wa 2023🙏
Ee Mungu naomba nipate kibari cha kukubarika kwa Damu ya Yesu
Ameen
❤❤❤❤❤❤nakwabutu Bwana Yesu Kristo wewe nimuzuri kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah 🙏🙌🙌 hallelujah 🙏🙏💖
MUNGU naomba unipe kibali na Neema Kwa kila eneo la Maisha yangu.
Naomba mungu katika mwahuu wote kibali cha kristo
Mungu nipe kibali mwaka huu nikatende katika kibali chako popote ingiapo
AMINA KIBALI MAISHANI MWANGU KILA SEHEMU HASAA KAZINI LORETO AMBAPO VITA NI VIKALI ZAIDI NA BILA WEWE YESU PEKEE YANGU SIWEZI KABISA UMEKUWA MTETEZI MAADUI WANAPOUNGANA NA KUNI-INUKIA UNASIMAMA NAMI IN JMN🙏
Ameen ameeen
Naomba mungu anipe kibali kwenye Kila eneo la maisha yangu na familia yangu
Mungu wangu naomb kibal chak katik maish yang yote'ndoa yang' uchum wang na kazin kwang nahitaj kibal chako amina
Bwana yesu naomba unisimamie katika maisha wew ni mungu wa ukoaji nakuabidu na nakuomba msaada
Ahsante kwa maombi mtumish
Ameen
Hakuna mwingine ni wewe tu Mungu unayestahili kusifiwa
Bwana yesu naomba kibali cha mafanikio ya halali ktk maisha yangu mwaka usipite
Naomba kibali Cha ndoa eee mungu wangu
Napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah kibali kubali kazini maishani mwangu naomba kibali kubali hallelujah
Mungu naomba nipe kibali cha afya nipate kupona magojwa yesu nisaidie amiinaaa 🙏
Mungu nipe kibali katika kazi yangu katika jina la nyesu
Mungu nipe kibali kibali chako kiwe juu yangu
Asante mungu naomba unipe kibali machoni kwako
Ameen
Asante bwana yesu kw maombi haya yakuniweka karibu na wewe.
Amen mtumishi wa Mungu
Amina mungu wangu sikia maombiii yangu kupitia madhabahu
Naomba MUNGU unipe kibali Cha kupata 50000000
Mungu akubariki mtumishi naomba mungu anipe kibari katika kila eneo la maisha yangu
Salome Mwaka huu wrote mungu uwape Kigali cha kristo watoto wangu wafanikiwe katika shughuli zao uchumi ,ndoa na vitus vyote
Tembea nami bwana yesu najitaji ukatembee nami jehova
Ameen
Bwana yesu kristo naomba kibali chako kiwe juu yangu siku zote za maisha yangu.amina
Ameen
Asante Yesu, Wewe ni mwema, mwaminifu wapekee na wa haki, Kwako Kuna ushindi kunakicheko furaha Amani Asante Yesu
Asante bwana yesu Kwa neema na kibali mbele za mungu
Asanty pastor Kwa kutuobea mungu akubariki sana
Bwana yesu nakuxhukuru kwa Kila
Jambo naomba 🎉Kibali ya kusimama nawe
Mungu nipe kibali pamoja na famili
Ameen mungu anipe kibali kazini kwangu
Ameen
Mungu naomba kibali kazin kwangu kuanzia sasa kwa jina la yesu
Bwana yesuninakuabudu bwana yesu nakuabu niwewe.unaestahili kusifiwa
Asante Mungu kwa kukutumia mtumishi wa Mungu
Ahsante Bwana Yesu Kwa kibali chako katika maisha yangu
mwenyezi mungu naomba utembeye na mimi katika maisha yangu
Mwaka huu wote Mungu uwape kibali cha kristo watoto wangu wafanikiwe katika shughuli zao uchumi , Ndoa na vitu vyote
Amen 🧎🏻♀️🧎🏻♀️ usiniache mungu napokea kibali cha kukubalika na unirangulie Kwa kila jambo pekeyangu siwezi mungu
Ameen
Baba naomba unipe kibali nikubalike kila mahali boss wangu wanikubalu watoto wao wanikubali kazi yangu ikubalike
God is king naeye akubariki, akupe Nema zake zote. Psalms 20 : 1_9. Asante bwana Yesu Kristo, na familys zako zote, Psalms 122 : 1_9.
Wewe Ni mwema wewe ni mzuri wapekee na haki nakuabudu pekeyako Asante kwa kila kitu maishani mwangu
Naomba kibali kwenye maisha yangu kila nitakacho kifanya kiwe na kibali kwa jina la yesu
Amen,napokea kibali Kila eneo la maisha yangu!
Kibari in Jesus Name
Ameen thanks mtumishi wa mungu
Amen!! Nimebarikiwa kwa jina la Yesu!!! Asante Yesu kwa kunipa kibali Tena maishani mwangu. Amina!!!
Amen nimebarikiwa Sana
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen bwana abarikiwe
Mungu naomba kibali kila eneo la. Maisha yangu
Naomba kibali chako bwanaYesu,kwenye kila enjoy la maisha yangu.u mwema kwangu
Ameen
Bwana Yesu tembea na familia yangu Isaya 43 katika jina la Yesu kristo naomba kibali katika biashara zangu watoto wangu Bwana Yesu Amen
Kibali cha kristo kinitangulie. Ameen
Ameen
Amen
Namuomba mung anipe kibali Cha familia yangu na afy yangu
Amina napokea kibali kwa bwana mwaka huu wote
MUNGU naomba kibali kila eneo la maisha yangu