MAOMBI: OMBA MUNGU ATANGULIE MBELE YAKO by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2021
- MAOMBI: OMBA MUNGU ATANGULIE MBELE YAKO by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Asante sana mtumishi wa Mungu,sijui nisemeje lakini. Kushirikiana na wewe kimaombi nimepata amani na kuuona mknono wa Mungu.naomba Mungu aendelee kukutangulia kwenye huduma hii amina
Asante Bwana Yesu kwa maombi haya. Bwana Yesu tutangulie ktk ndoa za wtt wetu. Amen.
Ee Mungu naomba utangulie mbele. Kwny kila hitaji langu na mahitaji ya washirika wote wa Madhabahu hii🙏🙏
Ameen
Bwana wa Mungu utangulie mbele yangu katika kila eneo la maisha yangu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Bwana yesu nitangulie katik ndoa yangu mtangulie mmewangu kwakila utafutaj wake ongoza Maisha yetu mungu wetu katangulie
Mungu nitangulie mbele yangu Mimi pamoja na familia yangu Kwa jina la yesu
Ameen
Unitangulie ee Yesu katika kila eneo la Maisha yangu🙏
Ameen
Mungu wangu wambinguni nitangulie siku zote za maisha yangu
Bwana yesu nitanguliye katika safari yangu ya kuwa na mutoto
Mungu nitangulie mimi na family yangu kwa jina la yesu Ameen
Mungu peeke yetu hatuwezi tangulia mbele yetu bila wewe sisi sio kitu.Mungu tusaidie . Amen.
Eee Mungu utangulie maisha yeti,ndoa za watoto wetu,Amira za watoto wetu,afya zetu ktk jina la Yesu aliyehai
Nipo hapa kwa Makusudi yako Mungu, Yesu wewe ni kila kitu kwangu...Naomba Uguse Maisha yangu na Familia yangu , ukatubadilishe sawasawa na mapenz yako , Ukakamilishe makusudi yako juu ya yangu na familia yangu huu mwaka 2022 ukawe wa kuvuna na kujenga
Amen mwenyenzi Mungu naomba unitangulie kwa kila kitu
Bwana yesu ukatngulie watoto wangu mueni musyoki musoi nawajubfyy wore nakia melisa kilonzo jeden amen tangling jasi yamikono yangu
Bwana yesu nitanguoue kwakila kitu
Naomba Mungu unitangulie mbele yangu mimi na watu wangu siku zote za maisha yangu.
Mungu naomba unitangulie vile uliwatangulie Wana wa Israel tangulie kimaisha na families yangu mungu
Mungu tangulia mahali popote nitakanyaga nifanikiwe Amina
Naomba mungu awatangulie watoto wangu na mimi aniponye na kuumwa kichwa kila siku
Ameen ameeen
Eee Mungu Naomba unitangulie mbele yangu kwa jina la Yesu
Mungu anitangulie kila jambo la Maisha yangu atangulie
Asante mungu kwa kutushindia ,tangulia mbele yetu ukatupatie hazina za gizani.🙏🏼
Ameen
Asante kwa maombi ya asubui ya Leo bwana yesu naomba unitangulie ktk safari yangu ya kwenda nje ya nchi asubui ya leo
Bwana yesu naomba utangulie mbele yang..tangulia mbele ya familia yangu.pia tangulia mbele ya mume wangu
Amen mungu nitangulie katika atua zangu
Ameen
Tangulia katika kila jambo katika maisha yangu...Tangulia mbele yangu Bwana.
Amen. Mungu tangulia katika maisha yangu. Tangulia mbele yangu Unipiganie na kunishindia.
Ubarikiwe sana kwa neno zuri la Mungu,
Ameen
Ee Mungu nikumbuke usku waleo
Ameen
Asanti kwa hii maombi moyo wangu ulikua umeinama so nashukuru mungu nmetulia kupitia kwa hii maombi
Eeh! Mungu nitangulie Mbele yangu kwa kila sehemu nipitiayo... Naamini kwa Jina LA bwana Yesu kristo. Amen.
Mungu nitangulie kwa hii kazi Na maisha yangu napitia mambo mangumu .....nitangulie mbere ya maisha yangu
Asante Yesu wewe ni namba moja kwangu. Umeniumba ili nikutumikie Amina.
Amina yesu leo nakukabidhi watoto wangu nataka uwatangulie.itangulie ndoa yangu.itangulie afya yangu
Amen 🙏 ubarikiwe kwa kutupa moyo wa kuomba tunaimani Mungu atajibu maitaji yetu ya ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.
Bwana Yesu nitangulie katika ndoa yangu.
Mungu ni tangulie mbele yangu
Ameen
.mungu tangulia mbele yangu ktk kila jambo maishani mwangu
Bwana yesu tangulia katika safari yangu ya leo
Ameen!Mungu tangulia mbele yangu
Asante mtumishi kwa maombi
Mungu unita ngulie shida zangu 🙏🙏 Amen Amen
Ee Mungu naomba utangulie mbele yangu. Amina
Barikiwa zaidi Mtumishi wa Mungu.... Napokea na kuamini.... Kwa Jina LA Yesu Kristo. Amen.
Yesu naomba tangulia uwapiganie watoto wangu.
mungu naomba unitangulie na watoto wangu natamani kufika kweli mungu nitangulie
Bwana yesu tangulie mbere zangu 🙏
Naomba mungu utangulie katka Mapito Yangu.
AMEN Yesu tangulia mbele yangu🙌
Yesu wangu nitangulie bila wewe siwezi
Bwana Yesu Naomba utangulie mbele yangu 🙏
Mungu nakuomba utangulie mbele yangu
Hiyo ukuta inayo simama mbele yangu nisioleke ivujike kwa jina na yesu
Amen 🙏🙏🙏
Ameen
We mungu tanguria mbele yngu popote ni nitakupotezea kwa ubaya na watto wangu watangulie mbele yao
Ameen ameeen
Bwana yesu nitangulie naanza safari ya kutafuta pesa ya biashara
Mungu nitangulie ktk magumu ninayopitia
Bwana yesu ukanitangulie kwenye Kila eneo la maisha yangu
Ameen
Ewe mwenyezi mungu nitangulie katika kazi yangu na uwatangulie watoto wangu na mama yangu na ndugu zangu ukatawale katika mahisha yetu🙏🙏🙏🙏
Amen Mungu nakuomba utangulie mbele yetu mimi na wanangu
Asante sanaa,Naomba Mungu atangulie mbele yangu, Amen
Ameen ameeen
Aminaa napokea kwa jina la Yesu
Mungu akubariki sana past
Amen yesu tangulia mbele yangu
Amen 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽
Ameen
Ameeeeeeen ameeeen Mungu akubariki sanaaaaaaa mtumishi wa Mungu
Amen
Yesu nitangulie kitika kila eneo la maisha yangu
Amen
Ee Bwana Yesu, naomba unitakungulie ktk kila eneo la maisha yangu,maisha ya watoto wangu,ktk maisha ya mama yangu,katk maisha ya family yangu, Amen 🙏🙏🙏🙏
Baba muumba mbingu na nchi naomba ukatangulie familia yeti pia watoto wetu
Ee bwana Mungu nakushukuru, naomba unitangulie Mimi na familia yangu kwa Kila Jambo Amina
Napokea kwa jina la yesu
Ameen mungu akubariki
Amen Amen Amen yes
Mungu Tangulia Mbele Yangu, Bwana Yesu Tangulia Mbele Yangu Mana wewe Utanipa Hitaji LA Moyo Wangu
Asante sana kwa maombi haya Mtumishi wa Mungu. Neno kubwa sana na la nguvu mno. Napokea kwa jina la Yesu. Barikiwa
Amen and Amen mungu anitangulie mbele yangu kwa kila jambo
Bwana yesu naomba utangulie mbele yangu kwakila jambo langu kwakila hatua yeyote ninayo kanyaga mbele zako
Ewe mwenyezi mungu naomba utangulie ktk njia zangu.🙏🙏🙏
Hallelujah in from Riyadh Saudi Arabia
naomba mungu anitangulie kwa Kila Jambo maana Mimi Kama mtu siwezi
Ameen
asante yesu
Amen bwana yesu nitangulie kwa kila jambo
Mungu nenda mbele yangu ukinitangulia ww nitakuwa na amani
Amen and amen
Amen 🙏
Amen Amen
Amen Mungu naomba unitangulie kwakila jambo
Tangulia elimu yanguBwana
Ameni .sitakikutegemea hakilizangu naomba Mungu haingiliekati mahishayangu.yote
Elvis mwanangu Mungu. akutangulia ki masomo Amen
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu ubarkiwe sana kwa mugozo wa maombi
Ameen Ameen
Eeee, asante yesu
Ameen
Nitangulie bwana
Ameen
Hatuwezi bila wewe Yesu niongoze ee Yesu wangu
Kazini setup tangulia Bwana yesu
Bwana yesu tangulia mtoto wangu kwa masomo
Asante Yesu kwa neno lako
amen
Amen and Amen kwa jina la yesu
Ubarikiwe baba
Yesu tangulia mbele yangu
Ameen 🙏
Amiina