Mbunge wa Kawe Halima Mdee (CHADEMA) ni miongoni mwa Wabunge waliosimama leo Bungeni Dodoma na kuyasema ya moyoni kuhusu Wizara ya Kilimo, mifugo na uvuvi.
Amina Mdee Nimekusikiliza nikakusaidia kulia...Hii nchi tunakomoana kiVyama tunasahau Maendeleo hayana Vyama. Kukomoana nasio Kusaidiana. Mungu itembelee Tanzania
Ushauri wangu kwa Mh Halima Mdee,Mbunge wa kuchaguliwa Kawe.Kiafya unauathiri mwili,unapokuwa unachangia hoja unatumia sauti ya nguvu mno.Jityuni kwasababu Mara nyingi huwa kuna vipaza sauti sasa usitumie nguvu sana.Hivyohivyo katika mikutano pia badilisha namna ya utumiaji wa nguvu sana kwani nia ni Ujumbe ufike.Mimi siko kwenye Mada unazowasilisha Mimi Niko kiafya Namuomba pia Daktari wako akushauri ifaavyo.Niwie Radhi.
Kwa mazuri yanayofanywa Ni vyema kupongezwa! Ila kwa kuwa anajua impact ya Mambo yannayoendelea ndio maana anaweka angalizo! Maana anayoyasema Ni kwa sababu anasoma takwimu
Hii nayo ni moja ya zawadi alotuletea mwenyezi mungu hapa duniani. Kawe mtumieni vizuri huyu mbunge wenu yupo vizuri sana
Watu wa Kawe hatujutii hata siku moja kukutuma ww Bungeni. We strongly proud of you our cster.
Ukiambiwa halima Jiwe ccm hamtaki-sikieni hoja anavojenga@safi dada Mungu hakupe zaidi ulinzi wake na afya-safi big-up
Huwa huropoki ni Mbunge unaejipanga kwa hoja na si ushabiki, nakukubali sana.
Dada akina mdee mungu awabariki msiongope atawasaidia
halima welcome rombo,mosh huku kunakufaa sana,we need a women like you mdee,ww ni kichwa na makonda.
Bahat Evagre sema,mama
yaan kwajins nnavyokupenda Na hujawahi angusha watanzania hoja zako zote huwa n point big up sana cster
Dada point uko vizuri
Alima Mdee freedom fighter you are always my role model in the world of politics and leadership
Upo xahih Halima, kwel upo bungen kutupigania Watanzania... tungepata wabunge hata 30 kama ww na Imani tungefika mbali xna...
Asante sisi Kyerwa hatuna mbnge maana tunavyo nyanyaswa na Kahawa n.k atusikii utetezi wowote .
A wonderful and eloquent member of parliament. She will be the best president Tanzania and Africa will never have .
Point tupu big up Halima Mdee
mungu akubariki sana umeongea point tuu wambieee
Dada alima pongezi kwako
Wooooow, congration
halima uko vizur big up sana Dada angu uko poa,, kilimo kwanza my xcta
Mdee saw uko unatetea wananchi wako ila mmmmmmh cjui unavuta bangi inamaana hakuna kilichofanywa kizuri na ccm au ? Mm namnga mkono mbunge aliesema wabunge wawe wanapimwa akili nahic mdee hayuko timam
+Mussa Makole mussa wewe ndo upimwe akili malaya weww
Ww ninomaaaa
watanzania tumenyimwa raa jamani kwanini lakini
Huyo ndio Halima, love you big time
Queen of heart kweli sana
Big up
Wabunge wengi wa ccm wavivu wa kuchambua na kusoma...wao wanacho angalia chama kwanza, they don't care about us...!!!
JOSEPHAT MAPUNDA hawajui kusoma
Hakika ww ni mtetez wa wanyonge big up sans✌✌✌💟✌
you 've knocked on the point! honourable mdee,,big up Dada, saidiani wananchi wa tz
Amina Mdee Nimekusikiliza nikakusaidia kulia...Hii nchi tunakomoana kiVyama tunasahau Maendeleo hayana Vyama. Kukomoana nasio Kusaidiana. Mungu itembelee Tanzania
Wazee na vijana (ambayo biblia inaniambia ni wenye nguvu) wanabaki kushabikia magu ili wapewe vyeo. Nakukubali halima
my hero
big apu dada
Uko vzr mbunge wng
Ahsante kwa kuwakumbusha hilo
Mdee yuko vizuri sana anajua na kuelewa hoja zake vizuri
ï appriciate u mdee love u much
Taarifaya habariyaleo
hongera Halima Mdee wewe ni kichwaaaa
Halima love u 😍😍😍
halima pamoja uko dr lakini unapigania wakulima maccm yamelogwa hogera sana
Hongera mbunge kijana nakuelewa saaana
asnteee mh
Dada amesema points tupu. Thanks Milard.
Halima wewe jembe njoo ugombee jimbo la mtwara
Nampenda sana halima mde I LOVE YOU
Wape ukweli dada
safi sana eti mibunge mingine unaunga mkono penye kusifia sifieni panapotakiwa kupongeza pongezeni panapostahili kukosoa kosoeni alaa!Camon!
Pitia muvi mbalimbali kutoka kigoma
Kwel we in mwanamke shujaa
you are the best 😘😘😘😘😘😘👏👏👏👏👏
uuuuuuuuuiiiiiiiiiiii,halima unanitoa machoz nikweli tumenyimwa elimu watanzania,na nikweli mbingu na ardh haviwez kutana ndichokilichopo kwa viongozi wetu sasa.
kichwa kimoja cha ili jembe ni wabunge 20 wa chichiem
Sillas Michael hahaha umenikosha jaman kichwa kimoja wabunge 20 wa ccm
💟💟💟💟💟💟 love love mdee
Dada www jembe shikamooo
.....hii tanzania watu wote wangekua kama kamanda wetu halima mdee nchi hii ingekua mbal sana wambie sisters
Peter Kisiri
Halima naomba uje ugombee kwenye jambo letu jamani mnaoongozwa na halima mna raha sana da!
Sina la kusema ndugu yang ila cha muhimu MUNGU akulinde
Thank you madam
safi sana jembe langu nakukubali
hujawahi kuwaangusha watanzania wewe⏩nakupenda.many love 4reve✌
wachane tuu hahaaaa nimeikataa maana haina ishu uwiiii mbavu Zangu bigp mdeee
Nakukubali sana Halima Mdee
Huwa unajua kutetea hoja na sio ushabiki.
Huyu mdada nampenda huko tz
safi sana kamanda watu kamanyi nyi ndo tunawataka ndani ya mchi ya tz
Kati ya billion 101 ambazo zikitakiwa kwenye kilimo zimeebda bil 3 alafu linatokea jitu mi nahamia ccm naunga mkono pumbavuuu
upinzani umefika Mahala pake😂😂🙏mdee
piga kazi mama nakupenda sana
hii njema sana, wapinzan mkifanya huyo, mtasonga mbele, naongea kwa dhamira njema kabisa.
Ndio maana nimekuota Kumbe upo vizuri hivi Safi Sana
Kwa mara ya kwanza leo ndio nimesikia akiongea vizuri hongera sana mdee
Yani mpaka nataka kulia,kwa jinsi unavyo nifungua,asante halima.tulikumis
namkubal uyu Dada anajuwa wajibu wake
safi dada
Faraji Lusinga
Huyu mama anafaa kuwa kiongozi
Good good point
Asanteee sister wengine Wamekaaa wanaweka tumbo mbeleee tuuu hawajui cha kufanyaa
Asante Dada halima nakukubali sana
Wabunge wanunue mashamba na wao walime waonyeshe mfano,wasituletee usanii bungeni.
wambie nyumbu hao Na wakwetu wamo humo wamesinzia Kahawa tunazigawa Na wabunge wetu wamelala
Asantee Halima mdee umemaliza yooote mizee imekaa tu kusifia wasitumbuliwe😕
Duuuuuuu Majanga
Mh Halima nakupendaje? nakukubalije? hongera kwa Mama aliyekuleta dunia. Mungu akuepushe na kila baya. Amen
Neema Swai daaah ni kwelii kaongea yalio wazi kabisaaaa viwanda vya kuchambua zao la "PAMBA" majangaa tyuuu
Mbunge kichwa Sana huyu dada
Hongera mama nakupenda bure uyasema yote Mungu azidi kukulinda
ongea mama uko sawa kabisa
Kingu Amimu kweli mama wambie ccm
Asante dada wewe no Nouma!
Mtu makin nampenda sanaaaa halima wangu maisha marefu kwako
Hayo Mambo ya tungekuwa yashapitwa na wkt wew pendekeza nini bora kifanyeke kuisaidia serikali na Nchi kelele kapige ulikofundishwa
Big up
Ibrahim Gwasma
Nampenda sana halima mdee hajawahi kosea
halima mdee jikubali mwenyewe tukipata wabunge kumi kama wewe tutasonga mbele
well done for this mdee
mmoja n mirioni moja
Ushauri wangu kwa Mh Halima Mdee,Mbunge wa kuchaguliwa Kawe.Kiafya unauathiri mwili,unapokuwa unachangia hoja unatumia sauti ya nguvu mno.Jityuni kwasababu Mara nyingi huwa kuna vipaza sauti sasa usitumie nguvu sana.Hivyohivyo katika mikutano pia badilisha namna ya utumiaji wa nguvu sana kwani nia ni Ujumbe ufike.Mimi siko kwenye Mada unazowasilisha Mimi Niko kiafya Namuomba pia Daktari wako akushauri ifaavyo.Niwie Radhi.
pomoja sana milad ayo mmi nmpongeza sana mdeee anatisha
uko vizur dada
Hawa ndio wanaotakiwa bungeni wanachambua, wanashauri. Ndugu zangu mliowachagua hawa turudisheni watu hawa.
Upon vzr Dada sana ,wape ukwel haoooio!!!!
Point tupu! Nakupend Sana Dada yetu
love u SO much mdee pekee yako ujue wabunge 30 wa chichiemu
Sijui nisemeje ila bigg up sana kwako halima mdee yaani we ni kichwa hpo ni wabunge 30 wa cwcw,
I get you well
Talking truth is some thing crucial,,,another side should change and criticize the central
ujawahi niangusha my mdee
Hongera
inauma kweli wanapongezana ujinga tu wamekalia uchama
6:20 'unaweza ucheke uzimie uvunje mbavu ufe'....Mdee
Wabunge wa ccm ni Hewala mzee.
Wabunge wengi wa ccm ni Hewala mzee amua unavyo onainafaa. Hilo swala limepita bilakupingwa. Hawafikiri wanaowaongoza .ni bora mzee afurahi.
Halima hapa bangi ulikuwa huja vita big up
Kama haupongezi bungeni, hunafanya nini siutoke ,
Kwa mazuri yanayofanywa Ni vyema kupongezwa! Ila kwa kuwa anajua impact ya Mambo yannayoendelea ndio maana anaweka angalizo! Maana anayoyasema Ni kwa sababu anasoma takwimu
Thanks jembe
bara bara hatuna umekaa kubwata njoo utujengee bara bara
msema ukweli mara nyingi hapendwi hongera mdee
Ester Goliama mwanamke kujiamini big up mdee
Ulienda wapi halima mdee ulikuwa kimya sna tumekumiss
Emanuel Zakayo walimfumgia bungen asiingie
daaah kaongea yalio wazi kabisa zao la pamba linachangamoto sana miundo mbinu haiko vizuri viwanda vya kuchakata zao hilo bado duni sana
Brnabas Stanslaus sakata zanzbar
.
This is too much sema mamaaaa
nakupa big up wewe nimchumi
Hongera mdee usiwe bendera fuata upepo
watanzania tunawaangalia nyinyi mana upande wa pili ni mazwazwa sana
Halima mdee ni shidaaa anafaa kua Rais wa wanyonge jamani