“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe ameingia tena kwenye headlines za Bunge Dodoma leo November 9, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia mapendekezo yake katika mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo alihoji ni kwanini Serikali inaficha taarifa za kuporomoka kwa pato la taifa?
Hongera sana bashe ww ni msomi u ayeelewa umhim wa kusoma kwako MUNGU akubariki sana
hongera sana Bashe unafaa kuigwa maana wengi wanaogopa kusema ukweli wanasubiria wapinzani waongee
pamoja sana
Huyu ni Mzalendo halali Mungu Mbariki Bashe
Hakuna comment hata moja iliyomkosoa bwana bashe inaonekana jamaa yuko vizuri congratulation bashe you are the best naomba usiame ccm ila bbaki kuwa na msimamo wako naamini mungu atakusimamia
Sina tabia ya ku comment but yanibid ni comment Kwasbb nafsi Yangu yanisuta, African history has never get true leader from the leading political party but Ccm has got it,(Bashe Bashee Basheee)Big up my brother from another Mother Hussen Bashe love forever for new Africa,new Tanzania 🇹🇿
Brother Hussein Bashe wewe ni Dkt. you express a vivid and real vivid.
Nataman japo hat nusu ya bunge zima ingekuw kama @husseinbashe nampenda san san tena san mungu ambarik anaongea point
steve hiraly please subscribe to my chanell
DJ YLB VEVO Is there positive things?
Mwenyezi Mungu akubariki sna kka yang H. Bashe kwa kusimamia iliyo kweli. Asante
Safi mbunge hunaye jitambua.. Hafu wabunge wa ccm.. mbadilike fanyeni kazi kwajili ya taifa na sii chama.. good BASHE
√VERY INTELLIGENT & DOCUMENTARY MEMBER OF PARLIAMENT, Big UP Bashe.√
bashe Allah akuhifadhi uje uwe raisi wetu huko mbeleni you are genius umesoma na unaelewa pia tamaa umeeka pembeni
Mbunge bashe mungu azid kukubaliki katika kulisaidia taifa letu uko vizuri sana
Hongera sana bashe tungepata kama ww 70 hivi bunge lingekuwa live na tungepata elimu nzurisana mwenyezi Mungu akubariki ktk msimamo wako na usiwe mnafiki wa kusifia kila kitu tuuu kama mazuz wengine
good leader from ccm for the 1st time in Africa history
Agness Saad very true! Salute Bashe
Kwann usigombee urais..... You are really generous and patient... Unanlazimisha nikuelewe.
Ni miongoni kwa hazina nzuri ilibaki ndani ya CCM.Anapozungumza nakushawishi kumsikiliza kutoka na maandalizi mazuri anayofanya....All the best brother Bashe
Huyu jamaa yuko vizuri. Wengine CCM waoga sana,wanasifia kila kitu.Time will tell,itakuwa aibu mno
daaa huyo ni mwanaumeeeee msomi
Yuko vizuri ila wasemaji wa Chama washaanza kumuwekea mizengwe 2020
This guy is very smart katika uchumi. He speaks with data and facts. He should be somewhere far katika ngazi za kiutendaji serikalini. very inspiring
Conscious MP ..STAY BLESSED BASHE
Bashe uko vizuri sana na michango yako ni muhimu kwa taifa hili .nawaombeni nyiye watu msiyojulikana msinyooshe mkono mtoto huyo wa watu muuache atuongoze tunataka watu kama hawa.
Mary Ndosi
😃😃😃😃😃
Kama we ni mpenzi wa siasa ya kisasa, siasa ya kushabikia hoja na wala si Chama au jina la mtu, basi utamwelewa mh Bashe.
Kwel kk
Paul Thomas true he's a very talented MP
Aisee huyu mheshimiwa siku zijazo tumuombee kwa mungu awe na nia ya kugombea urais sijawah kupiga kura lakini huyu nampigia
Kweli uongozi ni wito huyu jamaa ni kiongozi natamani angegombea urais 2020
Anatema mdini 2 uyu🤝
beshe we ni mbunge wa kitaifa big up sana
bashe mungu akuongezee umli mlefu
Watanzania 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼 tunakukubali bashe
Wabunge wote wa CCM wangekuwa kama Bashe ukijumlisha na upinzani, Tanzania tungefika mbali. Lakini hapo cha ajabu watamuita msaliti. Na Bashe angekuwa mpinzani hapo ungesikia akina Lusinde wakiomba miongozo mbalimbali hata kutolewa nje na Ndugai kwa muda wa wiki nzima.
Shule pamoja na uzalendo vinasaidia. Congratulations Mr Bashe you are really inspiring me to inter into real ground of politics.
Safi sana kaka ongera Mungu akulinde daima
Wish at least quarter of the MPs would be like u Hon. Bashe
Safi Bashe Mungu akusimamie
Daa safi sana
Happiness Mwaipopo you
Akili nying jooh bg up
Daa nashindwa kumtafakali bashe ni kiongz aneyeniinspire sana
huyu ni mbunge huyu ni muwakilishi wawananchi sio wa chama
Mr honorable u should be in opposition big up for standing with truth
unasema kweli mtupu Mungu akushike mko.
Mbona ccm hawapig makofi😆😆😆if u 💚bashe Fanya ka LIKE kidg Basi.
CCM ina wabunge wawili tuuu ambao wako na guts to speak truth to power na ya admit, and Hn. Bashe is one of the two, bravo muheshimiwa Bashe
Big up Mh Bashe. Nchi hujengwa kwa mawazo na mashauri kama hayo, sio kelele na vigelegele.
Upo vizuri mh.Bashe....hongera sana
Big up brother,I know n will alwaz know that u will never let us down Viva Bashe viva Somali
Mungu akubariki sana mh Bashe, wewe ni jembe hasa , nchi hii inahitaji wazalendo km wewe.
Tutaijenga kwa nguvu moja na utashi ktk utendaji Wa tuliowapa Madaraka kusimamia serikali na serikali yenyewe.
Tanzania kwanza
Am a CCM BLOOD but 4 this am not to say,BIG UP BASHE FULL POINT.
Uko vizuri Kaka Bashe,Mungu akutetee daima
Jamani Bashe Mungu amweke muda mrefu aisaidie nchi hii. Mungu wangu! Yuko wapi Filikunjombe? Yuko wapi Amina Chifupa? Yuko wapi Mama Anna Malecela wa wakati ule? Yuko wapi Kolimba? Eee Mungu iangalie Tanzania ya sasa. Ninalia machozi Mungu wangu. Tunainua macho yetu tuitazame milima, msaada wetu utatoka wapi?
bashe hongera kwa kuwaambia ukweri ww ni mbunge namba moja katika wabunge wa fisim endelea na kasi hiyo hiyo
kusikilizwa kupo lakini sio kila jambo likubaliwe
bashe nakukubali sana my brother. wewe ni mfano wa kuigwa endelea hvyo hvyo kuwaelewesha.
Keep it up brother
safi sana bashe
Bashe we jembe la ukweli
haya maneno anheongea mbunge wa upinzani ungesikia hapa.oo hawa wanakosoa kila kitu.
Bashe upo vizuri sana unaelewa jukumu lako.
Hongera sana ,kijana uko vizuri saana
big up My brother bashe nakupenda kupitiliza unaemuabudu ni mungu tu na si hao wanaoabudu binadamu wenzao kisa uongoz
Oh God...
this kid is amazing...
he has respect to elders & educated one, however the elites are living shameful life!
go big son!
God bless you!
0
0
000
Nakupenda Sana Brother Bashe Hussein, Wewe Ni Mbunge Aiseee.Piga Kaz Brother
l real appreciate your argument, god be with u.
Kaka nimekuelewa, umetisha sana aisee
nimepitia coment zote, 100% wamemsuport bashe, basi ni kiongozi mzur.
Nakukubali sana tang nikujue,mungu akulinde na uzalendo wa ktz,pia una nature ya uongozi pigna mpaka mwisho na mungu atakulipa kwa uzalendo wako!
excellent Mr Bashe
U always talk points, unaniinspire sana, big up bashe
very gud guy!! nakukubar xana bashe
nakukubali sana mr bashe ww ni my future president
Bashe Mungu aendelee kukutunza kwa kuwa na huruma kwa wakulima
Asante Bashe
Bashe,Bashe,Basheeee sitaacha kukuckilza kamwe nakukubal sana Bro.
very good Bashe I like you
Safi sana Bashe
mibunge ya ccm ata haimpigii mwenzao makofi ni minafki balaaa
Bashe ni makini sana nakubali sana 💯
ILA KWENYE ICHO CHAMA CHA MASHETANI HAMA
Bashe God bless you
Hongera Bashe Wataelewa Wana Fisiemu Wenzio
Mungu akusimamie# Mh Bashe kwa kusema kwako ukweli.
Bashe so genius...nation needs fresh and positive brain like this, rather than hypocrisy spirit of ndio mzee while economy is stagnant.
Bashe katika wa bunge ccm hakika wewe ni kichwa very good
kwa kwel
Joshua Samson
lulu
bashe muda mwingine uwa uko poa
Mbona bashe kila nikimuangalia hafanani na ccm but nice
nice analysis' from Bashe
you are very systematic
Laiti Kama Wabunge wote wa Ccm wangekua Direct speech na Ukweli kama Bashe basi Taifa lingepika hatua kuelekea Uchumi wa Kati hasa 7.0% .Lakini wengine wanapiga kelele tyu.Gonga like na Comment Kuhusu bashe
Hongera sana nmekuelewa sana
Bashe huwa nakupenda sana 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 we ni wa ukweli
daaaah muheshimiwa bashe mungu akusimamie unaongea point na inaeleweka
Big up mh.bashe!! God bless you!!
Asante sana Mhe. Bashe
critical analyst! I love this game!
KUDOS! Mp Bashe
Bashe anajua sna kumbana prof mpango
Yani siachagi kukusikiliza mungu akupandishe cheo utuokoe love you
One n a million. Najivunia kusoma uchumi kwa ajil ya huyu
MUNGU Ibariki Tanzania, MUNGU mbariki mhe. Bashe
very nice Bashe
asante Bashe kwa sapoti yako
very good bashe
Mungu akutie nguvu Bashe
Nakuelewa sanaa bro ur very bright mungu akuweke ndugu yangu
Maana harisi ya Siasa safi na yakisasaaaaa. SHIKAMOO HUSSEIN
Bashe big up sanaa Chadema tunakuhitajii.
Bashe nakuheshimu sana na ninakupenda sana,we we ni mbunge kweli.Mungu akutunze
Uko vzr sanaaa my brother, na unafaa kuwa mfano kwa mp wenginee..
Safi husein bashe.Umetendea haki kiapo chako.
very nice Bashe. Trueth speaking
Kama kuna watu walipatia kuchagua muwakilishi wao basi watu wa nzega walipatia, Mungu aendelee kukutunza mr Bashe
mungu akubaliki bashe
Angekuwa wa chadema miongozo milion
Nakuaminia sana. Ukigombea Urais Nakuwa wa kwanza kukupigia kura
good, very intelligent MP
Hussein bashe much respect ma bro
Big up bro bashe
bashe ur very bright broo
Shikamoo nyingi sana kwako Bashe.. Umenena kisomi km sio mwana ccm
hongera sana bashe
hoja ya wakulima kupangiwa pakuuza mazao hii haija kaa vizuri kama serikali inahofu na njaa ijiwekee hakiba sio jasho LA mkulima bashe pongezi sana. uko juu
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Bashe, mtu was facts,sio brabraaaa kamayule mwanamke,,, anaesema Heche ati anawashwa, akat dhahili yeye ndo anawashwa,,,
..mkuu malizia Mungu amlinde na Bashe!
upo tofauti sana bashe na wachumia tumbo
Bashe nakuamini upo vizuri sana