Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2017
- Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu.
Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao.
Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi.
Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka.
Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅
Kama sisi sio wanafiki tugonge like
Ee baba
WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA
Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali
huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly
Nassor Said sure
William Ruto
Kweli kabsaa
Mbona unaugovi na magufuri
Ndio,
Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!
Ndiyoooo
Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio
lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa
@@luluamri370 Ndio hayo hayo
viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana
Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo
Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana
Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅
@@nyawawawanyawawa935 shoga wew
Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo
hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale
Dadaktaa!
Kabisaa hakunaa
Haipingiki mkuu
Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....
.
Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!
SEMA risu mwanasheriamkuuuu sioweee
I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele
Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu
Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako
...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
Sio mlemavu wa akili kama wwe
mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana
Dele BM
Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.
Ki r0 .
-
Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani
@@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.
@@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani
Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri
Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa
Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????
Yuko sawa lisu
tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu
Tutakupenda daima mungu akupe nguvu
mbona kama nimeskia "mfanyeni kiwete huyo!"
Hapo ni wapi amepingaa?
Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.
Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
We we acha uwongo
MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻
We miss you TUNDU LISSU 😭😭
Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.
Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!!
Wewe ni mkweli aiseeee!!!
Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa
Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu
Dah MAGUFULI alimkosea huyu
Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww
🤣🤣🤣🤣🤣
Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.
mtakuja kumkumbuka uyo lisu kwani mushamzomea mara ngapi ,pamoja na zito mwisho munajishuku wenyewe?
We miss him
Rudi mwanaharakati...mchango wako ni mkubwa na mhimu ktk nchi...hii n nchi yetu ote
Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.
Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa
jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?
Tundu ni baba lao
jamaa anajua kujenga hoja
We miss you brother
Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa
Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!
Sure
Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa
mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima
Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma
katiba wanapitisha wao kisha wanazomea awa vp
uyu jamaa ana akili nyingi ,,ujue simpendi uyu mbunge anaeomba taarifa kwanza sauti lake baya
Big uko
lissu anajua sana my role modal
Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo
Mungu ndoo anajua
huyo ndo lusu
safi sana km list uno vizur
Nikipitia hizi bunge kukuangalia rais lissu mtarajiwa naingiwa na imani sana utatuvusha salama na wewe ndio itakae kuwa rais wa wanyonge
i miss this stuff
Hahaha gonga like kwa lisu
Message sent.
Lisu ni bingwa wa mabashite
Vipi bado unamkubali? JPM kashinda au lah?
Chuma kisicho shika kutu! Ee Jehovah mnusuru mja wako huyu na hila za mwanadamu asiependa ukweli.
Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani
Huyu ndy mwakilishi mkazi wa Waizi wa madini na rasilimali Tanzania. Bwana Mashavu PUMBAV KWELI
Tundu Lissu ni chumaaaa
Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana
Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂
Uyu mwana ume niadhina ya taifaaa.
Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo
Genius Lissu
We miss you
Lissu the GOAT.
2020 LIKE HAPA
wewe tundulisu unawatendea haki watanzania tumeelimika vya kutosha
Ukiona mpaka anashambuliwa basi ujue wameshindwa hoja... hoja za huyu jamaa zimekuwa zinawatesa....
Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu
Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU
Na cccmmmmm
RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE
Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.
Mashine ya kazi👏👏👏👏
Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana
yani kuna mda huwa naona wabunge wa ccm hawajielew
Kabisa
Yap waambie kazi kuchukua posho tu
Mbona tena leo anawatetea wezi
Amewatetea kwa lipi kaka
Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi
Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote
Lissu is the father of Tanzanian Pleiades Viva Lissu Viva.
Naiangalia hii July 2023, iyo rubbish ikae kwene Hansadi😂
mshakaji aliwaonya,tutakuja kushatakiwa na tutalipa....wakamzoea,wakamcheka,wakamkeji...Hatimae Leo tunatKiwa kulipa....alisema hio riport ni professario rubish.....
Hongera kwa ujasiri
Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...
Tulieni mashine lissu afanye yake mbona mnaruka ruka?
Hongereni singida mashariki
Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana
Shikamoo Lissu
Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.
Duh
Kweli kabisa
Mungu ametupa zawad
wanafiki wanaona aibuu sasa ...
Tundu lissu amesemaje
leo
Jmn Hadi machizi yananitoka juuu Hawa ccm..siwapendi
Waeleze bb ukweli
N uwongo uwongo uwongo 😂😂
Wewe unajuwa Nini Apo apo
Vingi tu hadi Mama ako namjua
@@haidaryjoe5546 🤣😂🤣
@@haidaryjoe5546 duuuu!!!
Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri
siku hiyo ndio mashetani walienda kumpigia risasi. na mungu wetu alivyo mkuu leo yupo hi na wasalimu hatunao tena
Leo ana sema tutashitakiwa na wazungu awezi kuwa raisi uyu
Sawa baba wape ukweli
Daah huyu alitakiwa aendelee kuwepo bungeni kwani tumeyajua mengi kupitia kwake
Da BURIAN ,hili BUNGE hatutaliona tena ,Wala kulisikia Tena,Mpaka wapinzani wakweli watapo kubaliwa kuludi bungeni,
Kweli mkuu