Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
mshakaji aliwaonya,tutakuja kushatakiwa na tutalipa....wakamzoea,wakamcheka,wakamkeji...Hatimae Leo tunatKiwa kulipa....alisema hio riport ni professario rubish.....
Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅
WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA
Kama sisi sio wanafiki tugonge like
Ee baba
Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali
MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻
viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana
Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo
Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana
Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅
@@nyawawawanyawawa935 shoga wew
Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo
Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!
Ndiyoooo
Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio
lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa
@@luluamri370 Ndio hayo hayo
Tutakupenda daima mungu akupe nguvu
huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly
Nassor Said sure
William Ruto
Kweli kabsaa
Mbona unaugovi na magufuri
Ndio,
Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri
Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....
.
Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!
SEMA risu mwanasheriamkuuuu sioweee
Hahaha gonga like kwa lisu
I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele
Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu
Favourite speech ever
mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana
Dele BM
We miss you TUNDU LISSU 😭😭
hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale
Dadaktaa!
Kabisaa hakunaa
Haipingiki mkuu
Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako
...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
Sio mlemavu wa akili kama wwe
Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty
Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.
Ki r0 .
-
Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani
@@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.
@@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani
Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri
Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa
Mbona tena leo anawatetea wezi
Amewatetea kwa lipi kaka
Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa
Daah yaani wabunge wanamkejeli mtu ambae anapambania taifa
Kuna watu wanabusara sanaaa yaaan ww mwenyekit saf sana
Hongera kwa ujasiri
Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu
Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww
🤣🤣🤣🤣🤣
Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.
Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo
Genius Lissu
Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.
TUNDUUUUU👊👊👊👊👊
Yuko sawa lisu
Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.
Mungu ndoo anajua
Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!!
Wewe ni mkweli aiseeee!!!
Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo
Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani
Nakuubari mh lisuu
Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma
i miss this stuff
Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!
umetisha san lisu
Hapo ni wapi amepingaa?
Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
lissu anajua sana my role modal
Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu
Dah MAGUFULI alimkosea huyu
Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.
Message sent.
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
We we acha uwongo
Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????
tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu
Hongereni singida mashariki
Dah sikujua Bunge Raha hivi😂😂
Mda wake umeisha vzr sana
Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa
We miss him
We miss you brother
2024
Mashine ya kazi👏👏👏👏
Tundu namkubali san anaongea point
Lissu anaongea kwa hasira kwani anaona mambo sio mazuryanayofanyika
Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa
Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...
UOOOONGOOO UOOOOONGOOOOOOO....UOOOOONGOOOOOOOOOOOOOOOOOO🤣🤣
RUBISH👐 HAKIKAAA NIMEAMIINIIIIIIIIIII🔥🔥
ASANTEEEE BABAAAAAAAAA
Sure
Tundu lissu amesemaje
leo
Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana
Angekua ndugaiii
We miss you
Naiangalia hii July 2023, iyo rubbish ikae kwene Hansadi😂
mshakaji aliwaonya,tutakuja kushatakiwa na tutalipa....wakamzoea,wakamcheka,wakamkeji...Hatimae Leo tunatKiwa kulipa....alisema hio riport ni professario rubish.....
Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU
Na cccmmmmm
RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE
Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.
safi sana km list uno vizur
Shikamoo Lissu
Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.
nakukubali sana baba 3:03
Duh
Leo ana sema tutashitakiwa na wazungu awezi kuwa raisi uyu
This video will never get old 😂😂
Yap waambie kazi kuchukua posho tu
Da BURIAN ,hili BUNGE hatutaliona tena ,Wala kulisikia Tena,Mpaka wapinzani wakweli watapo kubaliwa kuludi bungeni,
Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana
Mmmmm
Nimeamini kama nchi hapa tulipigwa
Kwakweli pesa zilizomsomesha tundu lisu zilifanya kazi yake kila lakher tundu lisu ishi sana mpaka wajukuu wakuanue
mwamba ndo huuyoooo hapo sas💪💪
N uwongo uwongo uwongo 😂😂
Wewe unajuwa Nini Apo apo
Vingi tu hadi Mama ako namjua
@@haidaryjoe5546 🤣😂🤣
@@haidaryjoe5546 duuuu!!!
hili ndo lilikua bunge la moto kweli sio la sasa hakuna wanachofanya bora hizo hela ziende mahospital
Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa
mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima
jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?
Tundu ni baba lao
jamaa anajua kujenga hoja
Lissu is the father of Tanzanian Pleiades Viva Lissu Viva.
Ubunge iwe mwisho miaka kumi Kila siku nyie tuuu😃😃😃😃😃 Mpumzike khaa!!
UPO SAHIHI 100% MH. LISSU
Daah huyu alitakiwa aendelee kuwepo bungeni kwani tumeyajua mengi kupitia kwake
Lissu ndo mtanzania😊
Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi
Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote
Hapa ukweli unauma mtu akisema ukweli anachukiwa sijui tukoje hii ilikuwa sawa kabisa
Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana
Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂
siku hiyo ndio mashetani walienda kumpigia risasi. na mungu wetu alivyo mkuu leo yupo hi na wasalimu hatunao tena
Huyu MWAMBA 😭😭😭😭😭😭😭