Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 444

  • @gidiuskato7722
    @gidiuskato7722 6 หลายเดือนก่อน +26

    Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 ปีที่แล้ว +11

    WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 4 ปีที่แล้ว +78

    Kama sisi sio wanafiki tugonge like

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 ปีที่แล้ว +9

    Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 ปีที่แล้ว +5

    MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478 7 ปีที่แล้ว +60

    viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 7 ปีที่แล้ว +2

      Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo

    • @kitabwana9741
      @kitabwana9741 6 ปีที่แล้ว +2

      Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 4 ปีที่แล้ว +1

      Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 2 ปีที่แล้ว

      @@nyawawawanyawawa935 shoga wew

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo

  • @juliuskizito8929
    @juliuskizito8929 7 ปีที่แล้ว +63

    Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!

    • @selestinefrancis8473
      @selestinefrancis8473 6 ปีที่แล้ว

      Ndiyoooo

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 ปีที่แล้ว +2

      Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 ปีที่แล้ว

      lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa

    • @steamnature
      @steamnature 4 ปีที่แล้ว

      @@luluamri370 Ndio hayo hayo

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 ปีที่แล้ว +10

    Tutakupenda daima mungu akupe nguvu

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid2331 7 ปีที่แล้ว +56

    huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 ปีที่แล้ว +2

    Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 4 ปีที่แล้ว +18

    Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 6 ปีที่แล้ว +6

    Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!

  • @silasfaiwelo4114
    @silasfaiwelo4114 4 ปีที่แล้ว +6

    Hahaha gonga like kwa lisu

  • @amosmerama3680
    @amosmerama3680 4 ปีที่แล้ว +15

    I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu

  • @gidiuskato7722
    @gidiuskato7722 4 หลายเดือนก่อน +1

    Favourite speech ever

  • @delebm543
    @delebm543 7 ปีที่แล้ว +37

    mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana

  • @willeydavid2108
    @willeydavid2108 3 ปีที่แล้ว +13

    We miss you TUNDU LISSU 😭😭

  • @kelvinalex5644
    @kelvinalex5644 7 ปีที่แล้ว +85

    hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 5 ปีที่แล้ว +1

      Dadaktaa!

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 4 ปีที่แล้ว

      Kabisaa hakunaa

    • @husenijryahya5232
      @husenijryahya5232 4 ปีที่แล้ว

      Haipingiki mkuu

    • @shanelisessoa6319
      @shanelisessoa6319 4 ปีที่แล้ว

      Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz

  • @habarinamichezo6427
    @habarinamichezo6427 6 ปีที่แล้ว +23

    Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako
    ...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว

      Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb ปีที่แล้ว

      Sio mlemavu wa akili kama wwe

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 4 ปีที่แล้ว +9

    Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty

  • @vanessagoodluck7176
    @vanessagoodluck7176 6 ปีที่แล้ว +46

    Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.

    • @hilaliissa5056
      @hilaliissa5056 6 ปีที่แล้ว

      Ki r0 .

    • @hilaliissa5056
      @hilaliissa5056 6 ปีที่แล้ว

      -

    • @ibrahimgwasma235
      @ibrahimgwasma235 4 ปีที่แล้ว

      Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 4 ปีที่แล้ว

      @@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 4 ปีที่แล้ว

      @@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani

  • @athuimansaidi6525
    @athuimansaidi6525 4 ปีที่แล้ว +8

    Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 9 หลายเดือนก่อน

      Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbona tena leo anawatetea wezi

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 4 ปีที่แล้ว +3

    Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa

  • @saudatoller642
    @saudatoller642 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daah yaani wabunge wanamkejeli mtu ambae anapambania taifa

  • @sniper93999
    @sniper93999 4 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu wanabusara sanaaa yaaan ww mwenyekit saf sana

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwa ujasiri

  • @KilusuMigaro
    @KilusuMigaro ปีที่แล้ว +2

    Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu

  • @israeleliah7163
    @israeleliah7163 4 ปีที่แล้ว +5

    Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 7 ปีที่แล้ว +10

    Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.

  • @hamisyahaya9504
    @hamisyahaya9504 4 ปีที่แล้ว +2

    Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 ปีที่แล้ว +5

    Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.

  • @fredsonjaphet
    @fredsonjaphet 9 หลายเดือนก่อน

    TUNDUUUUU👊👊👊👊👊

  • @abdallahibrahim2264
    @abdallahibrahim2264 7 ปีที่แล้ว +12

    Yuko sawa lisu

  • @jessykaelus1579
    @jessykaelus1579 7 ปีที่แล้ว +16

    Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu ndoo anajua

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 ปีที่แล้ว +4

    Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!!
    Wewe ni mkweli aiseeee!!!

  • @athuimansaidi6525
    @athuimansaidi6525 4 ปีที่แล้ว +3

    Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo

  • @RashidRashid-on4fh
    @RashidRashid-on4fh 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani

  • @YustaMwanjela
    @YustaMwanjela 7 หลายเดือนก่อน

    Nakuubari mh lisuu

  • @ericklaizer1696
    @ericklaizer1696 4 ปีที่แล้ว +4

    Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 2 ปีที่แล้ว +2

    i miss this stuff

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 ปีที่แล้ว +2

    Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!

  • @ZakayoZakayo-xe6uq
    @ZakayoZakayo-xe6uq หลายเดือนก่อน

    umetisha san lisu

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 ปีที่แล้ว +5

    Hapo ni wapi amepingaa?
    Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 ปีที่แล้ว +5

    Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽

  • @vicentmayanda3935
    @vicentmayanda3935 4 ปีที่แล้ว +3

    lissu anajua sana my role modal

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 4 ปีที่แล้ว +5

    Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu

  • @nasibumatutera786
    @nasibumatutera786 2 ปีที่แล้ว +5

    Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.

  • @DanielDaniel-ey8th
    @DanielDaniel-ey8th 7 ปีที่แล้ว +2

    Message sent.

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 7 ปีที่แล้ว +23

    hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 ปีที่แล้ว +12

    Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????

  • @renatusvedasto1201
    @renatusvedasto1201 6 ปีที่แล้ว +12

    tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu

  • @helenamapunda5848
    @helenamapunda5848 6 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni singida mashariki

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd ปีที่แล้ว

    Dah sikujua Bunge Raha hivi😂😂

  • @JosiaWmela
    @JosiaWmela 2 หลายเดือนก่อน

    Mda wake umeisha vzr sana

  • @0685-z3e
    @0685-z3e 5 ปีที่แล้ว +5

    Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 ปีที่แล้ว +6

    We miss him

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize9848 5 ปีที่แล้ว +4

    We miss you brother

  • @Wakaliwatown
    @Wakaliwatown 3 หลายเดือนก่อน +1

    2024

  • @eliassingoi7565
    @eliassingoi7565 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashine ya kazi👏👏👏👏

  • @ndenimasawe7258
    @ndenimasawe7258 2 ปีที่แล้ว

    Tundu namkubali san anaongea point

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 4 ปีที่แล้ว +1

    Lissu anaongea kwa hasira kwani anaona mambo sio mazuryanayofanyika

  • @danielernest8588
    @danielernest8588 4 ปีที่แล้ว +9

    Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 6 ปีที่แล้ว +4

    Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 2 ปีที่แล้ว

    UOOOONGOOO UOOOOONGOOOOOOO....UOOOOONGOOOOOOOOOOOOOOOOOO🤣🤣
    RUBISH👐 HAKIKAAA NIMEAMIINIIIIIIIIIII🔥🔥
    ASANTEEEE BABAAAAAAAAA

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 ปีที่แล้ว +6

    Sure

  • @HamisSondole-xz1ol
    @HamisSondole-xz1ol ปีที่แล้ว +1

    Tundu lissu amesemaje
    leo

  • @jumachacha2731
    @jumachacha2731 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana

  • @dickykagusu686
    @dickykagusu686 3 ปีที่แล้ว

    Angekua ndugaiii

  • @jamesharrison1553
    @jamesharrison1553 4 ปีที่แล้ว +8

    We miss you

  • @Omushonga
    @Omushonga ปีที่แล้ว +1

    Naiangalia hii July 2023, iyo rubbish ikae kwene Hansadi😂

    • @deogratiusdaudi5482
      @deogratiusdaudi5482 ปีที่แล้ว

      mshakaji aliwaonya,tutakuja kushatakiwa na tutalipa....wakamzoea,wakamcheka,wakamkeji...Hatimae Leo tunatKiwa kulipa....alisema hio riport ni professario rubish.....

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 4 ปีที่แล้ว +2

    Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU
    Na cccmmmmm
    RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE

    • @abednego3876
      @abednego3876 4 ปีที่แล้ว

      Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 7 ปีที่แล้ว +5

    safi sana km list uno vizur

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 ปีที่แล้ว

    Shikamoo Lissu
    Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.

  • @GodianGamanywa
    @GodianGamanywa 5 หลายเดือนก่อน

    nakukubali sana baba 3:03

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 4 ปีที่แล้ว +2

    Duh

  • @mohamedpaul2359
    @mohamedpaul2359 4 ปีที่แล้ว

    Leo ana sema tutashitakiwa na wazungu awezi kuwa raisi uyu

  • @AlexSamoja
    @AlexSamoja 4 หลายเดือนก่อน

    This video will never get old 😂😂

  • @leonardmwita442
    @leonardmwita442 4 ปีที่แล้ว +1

    Yap waambie kazi kuchukua posho tu

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 2 ปีที่แล้ว

    Da BURIAN ,hili BUNGE hatutaliona tena ,Wala kulisikia Tena,Mpaka wapinzani wakweli watapo kubaliwa kuludi bungeni,

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว

    Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana

  • @hannajoseph645
    @hannajoseph645 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmm

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 6 วันที่ผ่านมา

    Nimeamini kama nchi hapa tulipigwa

  • @bakaryngoneke5606
    @bakaryngoneke5606 3 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli pesa zilizomsomesha tundu lisu zilifanya kazi yake kila lakher tundu lisu ishi sana mpaka wajukuu wakuanue

  • @mohamedmnjeja6182
    @mohamedmnjeja6182 2 ปีที่แล้ว

    mwamba ndo huuyoooo hapo sas💪💪

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 4 ปีที่แล้ว +4

    N uwongo uwongo uwongo 😂😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 4 หลายเดือนก่อน

    hili ndo lilikua bunge la moto kweli sio la sasa hakuna wanachofanya bora hizo hela ziende mahospital

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 ปีที่แล้ว +2

    Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa
    mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 7 ปีที่แล้ว +8

    jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?

    • @witneskilinda5034
      @witneskilinda5034 4 ปีที่แล้ว +1

      Tundu ni baba lao
      jamaa anajua kujenga hoja

  • @jasminndalame3670
    @jasminndalame3670 4 ปีที่แล้ว

    Lissu is the father of Tanzanian Pleiades Viva Lissu Viva.

  • @danieljeromelyimo6673
    @danieljeromelyimo6673 4 ปีที่แล้ว

    Ubunge iwe mwisho miaka kumi Kila siku nyie tuuu😃😃😃😃😃 Mpumzike khaa!!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 ปีที่แล้ว

    UPO SAHIHI 100% MH. LISSU

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 ปีที่แล้ว

    Daah huyu alitakiwa aendelee kuwepo bungeni kwani tumeyajua mengi kupitia kwake

  • @LamsonMalenga
    @LamsonMalenga 5 หลายเดือนก่อน

    Lissu ndo mtanzania😊

  • @richardwamungu2268
    @richardwamungu2268 4 ปีที่แล้ว +2

    Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi

    • @MatikoMichael
      @MatikoMichael 8 หลายเดือนก่อน

      Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq ปีที่แล้ว

    Hapa ukweli unauma mtu akisema ukweli anachukiwa sijui tukoje hii ilikuwa sawa kabisa

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 5 ปีที่แล้ว +2

    Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana

    • @mbesinghabi1994
      @mbesinghabi1994 2 ปีที่แล้ว

      Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂

  • @lameckjohnlaizer4755
    @lameckjohnlaizer4755 ปีที่แล้ว

    siku hiyo ndio mashetani walienda kumpigia risasi. na mungu wetu alivyo mkuu leo yupo hi na wasalimu hatunao tena

  • @imranijuma6955
    @imranijuma6955 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu MWAMBA 😭😭😭😭😭😭😭