Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Mbunge wa Viti Maalum CUF, Riziki Shahari, ametema cheche bungeni kuhusu kuwasilishwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za maliasili, akilalamika kwamba uamuzi wa mheshimiwa rais wa kuwasilisha muswada huo bungeni kwa hati ya dharura, haupo sahihi kwa sababu muda uliotolewa kujadili ni mfupi.
Mbunge huyo aliendelea kuhoji, iweje nchi ambayo ina wasomi, wanasheria na wataalamu, ikubali kupumbazwa na wajanja wachache kwa kutumia mikataba ambayo imepitishwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TBC 1, wanakuletea taarifa ya habari iliyosheheni matukio mbalimbali nchi nzima.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Mashaallah mam upo bungen lkn umejistir vzr allah akuongoze useme ukwl daima bila uoga
Mashallah, very nice mama. U real know what you are doing. May Allah bless you.
Jamani huyu mama nimemkubali siyo wa kawaida hekima ya wabunge wamama kama huyu ni chache sana hapo bungeni.
rev john lyimo kaka wakina wapo lkn wanaminywa ko wanakua waoga Sana,,, lakin kwasasa hivi nchi ilipofikia acha walijilipue tu
upo vizuri sana mama hapo bungeni kama wangepatika 5 tuu kama huyu mama bunge lingekua zuri
Tuwe wazalendo baada ya kukubali kufisadiwa kwa muda mrefu! Tutafute tulikopotezwa turudi ktk njia sahihi aliyotuelekeza BB wa Taifa mwlm J.K.Nyerere. Wanaotuwakilisha wanyonge ni nyie wabunge. Maendeleo hayana chama!
upo vizuri sana mama yangu
mamy Salem wabunge wà chama tàwàla hàwawezi kuikaba serikali
upo vizuri mama Asha Ali...masha Allah ..proud of you ..
MWANAMKE umenikosha moyo wangu....I love you...Safi akiri kubwa tu inaweza kusema serikar....Asante dada angu. Language safi massage inaderiver kiulaini
da.. huyu mama yupo nondo ... ametisha. sana... nice one
victor yohana ndio tunataka hvyo sio ndioooo namikofi yakinafki,,,,,,mama muache ateme cheche
Kutoonekana kwa Bunge live kunatufanya tukose mambo mengi sana yenye umuhimu juu ya mustakabali wa nchi yetu. Mpaka leo nashangaa katika masuala muhimu ya nchi baadhi ya wabunge wanaleta uchama. Kuendelea itakuwa ngumu sana kwa mtindo huu. Kama Bunge likikosa nguvu serikali itafanya inachojisikia tu na matokeo yake ni ukiukwaji wa sheria
yuko vizuri.....namuelewaga sana huyu Mh
Zito kabwe you are man of vision
Huyu Mama yupo njema sana. "Anauliza tunakubali vipi kujificha nyuma ya Technicalities". Huyu Mama Jamani hana Twitter account nahitaji kum follow.
Kamanda Safi sana Wewe unahekima Sana
huyu Mama namkubali
Mama Mungu akubariki
Safi sana Fanya kazi yko mungu akujariee mama
mama shaa penda sana wewe,uko vizur
uko vizuri mam
Safi sana mama yetu Mungu akupe maisha marefu
Huyu mama ni shida. Ni ukweli mtupu hata kama watabisha. Lakini siku zinaenda zinakaribia kufikia ukweli muda utatoa jibu.
Namshukuru Mungu ,wasimamizi wote wanawapa wabunge wote nafasi huru wakutoa hoja zao kwauhuru,
anachoongea zitto ni kutoa mikataba ya madini kutoka kwenye concession contract kuja katika production sharing contracts/agreements, tukifanya ivo tutakuwa vizuri. angalizo . serikali iwe inaoa pesa zote na kwa wakati katika uwekezaj
Aliyewaondoa Bungeni hawa kwa hila Mungu amlaani. Ndomaana tunateseka kwasababu za ujinga wa walio wengi walioshirikiana na kutuletea mjinga mwenzao atuongoze.
Hasante sana mama yangu good points
Tisha sana mama
Mashaallah mama Allah akulipe kwa kuwatetea wapiga kula wako.
Ubarikiwe mama mungu akulinde sana
nimekuelewa Mama, Unajua unachokiongea hongera sana
Mibunge ya CCM ikisikia hoja inayowabana na kuonesha weakness zao yanakimbilia neno 'TAARIFA' au MUONGOZO ili kumpoteza mchangiaji asisimame kwenye hoja zake
Mhleguse Kambona kaka nchi hii bila waheshimiwa kama hao hatutafika ,,,nahuyo naibu wako amekaa kukosoa hatar vitu vya maana ,,,amin kwamba mbuge wa upinzan mmoja,,sawa wabunge mia wa fisiem
mama anajua
mtu kama Msukuma Anasema hajui kingereza anataka Nani amfundishe kwA nini asiende kwA wananchi wake wamfundishe
Heche Chacha si ndio faida ya kujua kusoma na kuandika? Haya mikataba yote in English what do you expect!!! Msukuma hoyee bora ungekuwa Mbarabaig. Nampa pole .
Heche Chacha kk lugha kuu n kiswahili
maashaallah! mama respect kwako.
Huyu mama anafaa sana katika matumizi ya kujenga rasilimal nchi yupo vizuri sana
Big up mamy nakukubali uko juu tuko pamoja
hongera kwa kazi
Asante mama na Ndiyo maana ukaitwa mama
I love mum sema ukweli
Shikamoo mama,,,,
mama riziki big up
,
Nimemuelewa san mhe: riziki shahari kama wabunge wanekuwa wanaenda bungeni kwa matatizo ya wananchi kam huyu mama hakika wangelifikisha taifa hili mbali
mungu akuzidishie hekima mama
Daaa huyu mama anafaa nimefurai
mashallah mama angu upo vizuri sana
Good sana mama nimekusoma
Shida moja mama hata uongeee vipi points Kunawatu wagumu vichwa kaa vya kambare
Gasto Bruno tena mikambare matope ya shamba lampunga
Kweli kabisa hasa wabunge wa ccm
Namuombea mungu Sana Zito Chama chake kisipate nafasi ya Urais, kwani tutakosa mengi Sana, ingekua idhini yangu huyu Jamaa angekua mbunge Maishani mwake tena wa upinzani, kwani hivi vitu alivyonavyo huwezi kuvipata kwenye Chama kinachotawala
Nawachukia Sana mbunge anayetuwakirisha bungen kwa lugha ya kiingereza na kiarabu huwa nawaona kama walevi hiv hawajui kuwa hata baba yake anafuatiria bunge hata wa St vii bunge ni muhimu kwake
Mama Shahari maneno yako yana maana kwa watu wenye akili timamu tu!! Vinginevyo nikumpigia mbuzi gitaa, hata hivyo endelea kupaza sauti mama huenda iko siku utaeleweka.
Mwenyekiti upo vizuri
maaashaaallah uyu bimkubwa ni fundi
mama uko vizuri kwa kusema hukweli.
Mungu akubariki mama na mungu anatuasa tuseme ukweli hakama unama
Live longer mama hadi mwsho wa bunge
msukuma ndo walewale wanaoletewa mikataba ya kiingeleza wanakubalitu ndioooo pumbavu sana mwambie baba yako hakurudishe shule ukasome
George Bulege akapimwe mkojo
😂😂😂😂
Nakukubali sana Zitto unajiamini sana,unajielewa&unaweza kujenga hoja
Hahahahahaaa
Bunge live.jamani tunakosa mengi,nape mungu anakuona
mama ni mzuri,zíto sijamwelewa anachoongea
Esta Akili Zitto ameongea mkato, ila ya maana sana, anachosema ni kwamba kubadili sheria ya umiliki haitoshi, tubadili mfumo wa uzalishaji tutumie ukandarasi badala ya hisa
Esta Akili hujamwelewa maana una kichwa kigumu
@@DM-cv3kc x
Nimekuelewa mama hongera
Mama yupo vizuri aiseee wape wape hao wanaofumba macho
Big up mama MWANAMKE KUJENGA HOJA
Shikamoo mama shahari
hongera mama.
uko vizuri sana kwa busara jmn
Safi sana mama
Huyo naye msukuma kama kingereza shida miaka yote anafanya nini kwanini asijifunze hicho kingereza, akina diamond awali hawakkukijua lkn leo wanakiongea yeyey anabweteka
ccm hawasikii kabisa Wanasema saSa hivi kuwa wananchi wamewateka kazi yao ni kudhalilisha watu
Mama upo vzr unaongea point
Watanzania kama huyu mama ni adimu sana Jamani (wabunge wote angekuwa hivi! Nchi yetu ingenyooka Mbona? Sheria zinatungwa kingereza wasiojua kingereza wanasindikiza or? Wapi msukuma!
NITAPIGA KURA MBILI TU , dawani na rais TU .
Hakika Zito na bibi ye2 ni wa2 wnye hekma na buxara wnye kjua maslah ya nchi kwaujumla wapnzani mko vzur xana ila huu upnde mwngne wao kila hoja ndio tyuuuuuu duuu shda kwel nchi hii.
Keep it up mama
huyu mama hata kuwa raisi anafaa kabisa
David Emanuel african merod taharabu
vizuri sana mama
Mam Mungu akujalie kwa kuongea ukweli bila hofu
love you mama
Santee mama ang uko vzur
mama" yupo vizur
special 1 mjengoni
Ahsante Sana Zito zuber kabwe kwa nasaha zako adhimu kabisa
zitto kabwe is a leader
yeah
Msukuma go back to school,usipoteze mda wa waliotumia wakati wao stahiki kwenda shule,pia mliompa ridhaa ya kuwawakilisha mjitathimini kwenye maamuzi yenu.
Big up mama 👏👏👏👏
Gasto Bruno mashallah mama ni Mama asante kazi nzuri mbunge anaejitambua
Mama yangu, bila kujali itikadi za vyama, umenena, Mungu akubariki. Ila angekuwa mpinzani angeishakamatwa na kuwekwa rumande bila dhamana. Sasa wajinga watakuona mwiba kama Bashe. Tunaomba miiba iwe mingi ili tusaidie wanyonge. Kwani tunaposema " samaki mmoja akioza wote wameoza " Je, ukiangalia kwenye tenga wote watakuwa wote wameoza kweli? Big-up sanaa mama.
Safi Sana mama
mama we nimtanzania naunamachungu na Tanzania mpaka imeniuma mtu anaenda shabikia vtu vyakujal tumbo lake pacna kujua ye ndo kawekwa na kura za wananchi😢😢😢😢
Mama yupo vizuri
CCM hawezi kufanya kitu katika nchi hii kwaajili ya wananchi .Mifano iliyotolewa ni kwaajili ya matokeo yalivyokuwa katika nchi tofauti ambazo zimeingia katika machafuko ambayo yaliweza kuepukikwa kama CCM mnafikiria nchi hii ni milki yenu iko siku mtakuja kujutia. Ushabiki wa CCM hauna macho.
Mama huyu msomi anajua mengi
Jamani serikali waeleweni sana waapizani bungeni wapo sawa sana
nice
Zitto ni asset serikal mtumien
lait tungepata wamama kumi bungeni kama ww. Nchi yetu ingepata uelekeo. Mungu akulinde mm yangu kwa kucmamia ukweli.
Hilo neno la mnaharibu inawezekana hata nyinyi mnaoongea mnaharibu lakini hata nyinyi wenyewe mnasema mnatengeneza
DAAAH HIII HATAREEEEEEEEEEEE KUTOJUA KIINGEREZA KWA HIYOOO SASA IWEJE LUGHA MLIZOPITISHA KUTUMIKA BUNGENI NI MBILI KISWAHILI NA ENGLISH JAMAN MMH WAHESHIMIWA TUNAOMBA MTUTENDEEE HAKI JAMANI
Duh sijui kingereza, duh msukuma anampotezea mada mama kiaina
Nimekuelewa mama
Mwanazuoni malidadi katika tasnia nzima ya lugha adhimu ya Kiswahili na kingereza
Kachuni unampotezea mda mama tetu
Pole msukuma! Kusoma kunafaida.
Jaman wabunge kwel wanatukosea capita kula tukisha wapakula hao dar wakitaka kula ndowanarud nihaki kwel wadau
dah mama ww nomaaa mpaka raha
Msukuma anadhihirisha usukuma wake anachangamsha binge
Good
Napenda mama jinsi umepresent hoja,nice mam.
mama usikose kugombea mwaka2020 tutakupigia,mama were unatisha sanaa
mama mungu atakulipa