“Sijawahi kuona Bunge linapelekwa na Serikali kama hili”-Halima Mdee
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- September 4, 2018 Wabunge walikuwa wakijadili Muswada wa sheria ya kulitangaza jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya nchi wa mwaka 2018 (The Dodoma capital city Declaration Bill 2018) ambapo miongoni mwa waliopata nafasi ya kuchangia ni pamoja na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ambaye amekosoa taratibu zilizotumika na Serikali katika kutekeleza mapendekezo hayo.
Lugha ya speaker katika hili sikumuelewa, nafasi yake sikuiona, zaidi namshukuru Mungu kwa kimpa HEKIMA halima mdee kujinasua na majibu ya speaker! Maana mwishoni aliyeingia kwenye kumi na nane ni mwingine speaker kaishia kutafutiza vya kujibu eti umemkumbusha maigwa ndo 18 hiyo? Eti unasema wanachuo ni watoto ndo 18 hiyo? Ee Mungu bila hatutaweza! Ukiangalia vizuri utaona hoja zote zenye mashiko kama hizi tayari zishatupwa tangu ktk mjadala!
Mungu libariki bunge letu! Ee mwenyezi tuhurumie maana sisi ni tegemezi daima mbele zako! Ibariki afrika ibariki Tanzania, wetu wake uwabariki baba yetu! Twajiinamisha mbele zako tena! Ninamatumaini hutanyamaza! Amina mubariki RAIS wetu mpendwa! MPE HEKIMA ee Mungu, wabunge wetu wape macho mbona vitu wanataabika jinsi hii wapi wamefungwa??? Wafungue kwa damu yako ya thamani uinusuru nchi yetu na hali mbaya kwa ajili kushindwa kutenda haki,kweli,uhalisia,uzalendo,uwazi n.k Bwana yesu uliyemuongoza DAUDI katika uongozi wake usipite RAIS wetu,bunge mahakama,!! Ninakushukuru Mungu wa nchi yangu!
Ahsante Halima
Jitahidi 2020 kiti chako ukitetee Mh halima
tuwapeleke watoto wetu shule !Asante Mh.Halima
Mwache Kwanza ajikanyage,Nasubiri aingie Kwenye Kumi na Nane(18) Nimjibu.. Huyu ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Thank You Tanzania
Yani hatuna SPK was binge anaegemea upande mmoja
Kingz Tv lugha za mtaani- shows u that he’s not taking his job seriously.
Point
Fact
hakuna swala la msingi hapo zaidi ya ulimbukeni wa kupiga debe2 bungeni.kuna mambo ya msingi angeweza kuongea ambayo yangegusa wananchi.
speaker lugha hiyo sio nzur kwa wabunge wako, kujikanyaga
Woow!!! she is very courageous just like MP Gladys Wanga and other women MPs here in Kenya.
I like her confidence.
instablaster.
Mi naipenda sauti yako tu halima nakusikilizaga saaana ila sauti naipenda Sana afu upo serious about this one fire
mmmh sinaga hata chembe ya hamu kusikilizaga hawa watu..kama speaker ndo anatoa kauli za waziwazi za ubaguzi...mmmh hatari sana..."ajikanyage"..hata km hupendezwi na hoja za mbunge patient ni muhimu
Yur right man ...that speaker is very rude
Sheria hupindishwa kwa maslah ya uma.
Ndugai mungu anakuona.kwamba mbunge anajikanyaga?
Kichwa chako mdeee cjui nikifananishe na wabunge wangapi wa chama kile najivunia kuwa na mbunge kama ww
Nakupongeza mh.vazi la leo limenibariki!
HON:HALIMA MDEE UKO SAWA NA AKILI YAKO PANAFU SANA..HAUFAI KUA MBUNGE WA TANZANIA NJOO KENYA WE NEED BRAIN LIKE YOURS
Zinga Hassan We akili una Alima yuko sawa
Zinga Hassan kwel kabisaaaaa
Huyu mama anavuta bangi au ana kunywa pombe tena gongo na sauti mbya ndio kabisaaa namchukia hana anachofanya bumgen huyo mpuuz tu ww sijui wamsifia nn naon anapiga kelel tu hapo
Kuonge taratibu ck zote hawez anakula bange huyo toen njeeeee
Safi sana mdee unahoja yenye mashiko
mdee ukovizuri sana kubwa la maadui
sinta Maseta
Halma is good goods
Nakupenda sana dad kwann hukuwa mbung wangu,,,,wananch wako wanakupenda sana natumain
Spika unapaswa kuwa serious wakati mnajadili issue za kitaifa
Kwa hiyo unataka kuhalalixha wazee kutembea n watoto😀u cant be serious asante mdee
Mambo
Hongera mh.mdee umewaambia kwel kabisa sema ndio hivyo masikio ya kufa
Safi halima
Hatuna spika tz ,haingii akilini akawa na kauli hiyo
Mungu ambariki awalaani waliofanya hivyo.
Anayejikanyaga siyo Harima labda serikali ya 5 na kifumbo cheza ndomnao jikanyaga
Nicee my MP
✌halema
I appreciate halima mdee
Huyo speaker hujui wajibu wake anafikiri kaajiriwa na Magufuli!! Wabunge wa ccm wanaboa sana badala ya kutetea wananchi walio wachaguwa wanatetea serikali,
..uko vizuri Mdee!..issue ni Jiji na makao makuu!..ccm hamkiwezi hicho kichwa!!!!
Nice nice
Excellent, ila kingereza kwa mbunge musukuma unamuacha, pia kama rais amesha tangaza na kuupa uhalali bila ya bunge kupitisha haina haja ya huo mjadala koz Kuna baazi ya watu wapo juu ya shelia hususani mhutu. Akiamka alichoota usiku ndo anakitoa na watu wanapiga makofi.
Naskitika sn huenda vichwa makini km hivi tutavipoteza 2020 kwa sababu ya siasa uchwara na fitina za hovyoo. kabsa.Only those with brains will understand
Animal
Abby Adams kwel kabisa
noma sana
Mh nakupenda sna jmn natamani siku Moja nikuone kwr
Wapinzani wanataka kumbukumbu za kisheria kuwekwa sawa. Lakini wale wa upande wa pili kazi yao ni kulinda maslahi
vzr kamanda
Tatiz0 la viongzi wengi wengi watanzania wanapenda kufwata mikumb0 Nasi0sheria Dada halima mueleze huy0 spika asipende kuburuzwa
Kumbe spika ndiye mjibu hoja siku hizi!
Yaani spika unasema mwache ajikanyage sasa hiyo ni kauli gani
well done ccta
Et anajikanyaga ,lugha gani hyo!!!?
kiukweli nakuelewaga sana harima mdeee miaka mingi uishii hakunaga kama wewe wewe ni kichwaaaa
Ndio maana aliitwa fala one time.
Hapo kichwa,si mchezo.the husband to be should be a man
jpm anaipereka tz wwapi
hii ndio nchi yangu ya ahadi..NDIO MZEE
Tukicoment mengine hapa tunaanza kutafutana ila hii inchi ni yetu sote sio ya kikundi flani au watu flani haki itendeke bungeni na kauli ziwe nzuri kujibu hoja za wapinzani
Mpiga kelele hata darasani hawakosekani pumba tupu
Mimi na siasa ni vitu viwili tofauti kwahiyo napita tu hapo bila kuchangia ki2
Spika Kanywa Viroba..
😀😀😀😀😀wallah
yes halima tit for tet bandika bandua
Nikweli kabisa alima mdee
So, let me ask you our brothers and sisters from Tanzania, do you guys have two capitals?
Is it Dodoma or it's Dar.....
Someone to expound on this please.
James Sammy the capital city since independence was Dodoma
James Sammy the capital city since independence was Dodoma
I know get it
Ajikanyage aingie kwenye 18😀😀😀😀😀😀
Speaker kweli ni cha chamaa
sisi wananchi hatujuia lugha zakigeni
Theonas Wiston unalalamika hujui lugha ya kigeni, mmmh! Jitahidi kwenda shule kwani serikali imeweka mikango wazi ELIMU BURE. Jitahidi ndugu yangu, acha kuwachukia wanaoielewa.i
Theonas Wiston jina lako tu la kigeni, maana yake hujijui sio?
og
Wewe speaker you dont take sides kumi na nane wapi? Are you part of the mps? No wonder she refered you fala at one point.dont take sides
Kusema Mbunge anajikanyaga ni ishara ya dharau kwa kiongozi mwezio, APO SPIKA UMETUMIA LUGHA CHAFU MAHALA AMBAPO SIO PAKE; USHAURI, WABUNGE MSIWE MNATUMIA VIROBA AU BANGI MKIWA MNARATIBA YA KUINGIA BUNGENI.
Bange kwa kweli haijamwacha mtu kuwa Na sauti nzuri
Kwani wa bunge hamutembei na wana udom? Sisi tunajua yote
It is the truth against the power of Engineer
Kweli spika hatuna unasema ajikanyage aingie kwenye kumi nane baada ya kujibu hoja
Inaonekana spika yuko juu ya sheria, ataanza kutukana straight.
Aliyesema kwenye 18 ni nani jaman?
Wa pili
Huyu esta amechemsha homba ukapimuzike
Wambie Dada
kwa hiyo unataka nini
Walomchagua huyu sojui hawaon jmn jike lisilojitambua kabisaaaa na huyo mumew kaz anayo walah looooo
Speaker ww ni mtu wa dodoma au..maana hubalance...una hukumu badala ya kubalance
Akili kubwa inazungumza
mwenyekiti anahalalisha
Huyo cjui speak naye senge tyuu
Videox
Hili bunge lawapiga keleleeeeeew tu
Hapa hakuna bunge et speak anamuambia mtoa taarifa et muache ajikanyage aingie kwenye kumi na nane htajibiwa duh kweli ili bunge move sio bunge ushuz mtupu yni hpo wewe unapata tbu kuongea kuitaj heshima ya bunge lkn mwisho wa siku hkna kitu hasa kwa speak uyo kazi ipo
Iv uyo spika anatoa lugha gani hizo
Na wala hauna uwezo wa kupinga malizia muda wa mwisho ktk uchaguzi ujao hatukupi kura manake umekuwa ni kihoja badala ya kuwa unatoa hoja.
Pole labda muibe lkn kawe hatuna choice nyingine zaidi ya halima
eeeh office ziko Udom
Jamani ccm msiwazalau wapinza pia spika uwache kuegemea pande moja
ccm musirete vita tanzaniya mujari Kira mutu.raisi UK vizuri.rakini uwe nahekima baba
halima wewe ni dume kwa kweli.. big up
Spika anaonekan hayuko serious na mambo ya kitaifa isopokuwa analinda wakubwa wake waliomuweka
Sylvester kameo university hakuna watoto,thus why wengine wanaenda wameoa au wameolewa,ndio maana huwa kunakipengele cha merital status,acheni bangi na dada yako,jpm go ahead one day they will come to understand you,
Est mwanamke hunjifanya kidume yani hupendezi huwahoni wanwake wenzio wankutizama kama p
wewe una matatizo sio bure hovyo kabisa
Huyu, spika kweli ni PUNGASESE mwache aingie kwenye kumi na nane, mwache hajikanyage! Lugha chafu kweli hapo hakuna spika.
Du mtu anatoa hoja unasema anajikanyaga? Du Mungu atusaidie
izo ngonjera za kisiasa ndio zilipelekea mpaka miaka yote hiyo mipango isikamilike..inatakiwa ifike mahali nanyie wabunge muachane na mbwembwe za kwenye makaratasi muishari serikali ifanye kwavitendo... sio mambo ambayo mmepigia kelele miaka yote huko nyuma kua hayatekezwi kwa vitendo.. leo hii yamegeuka yakutolea mfano tena kwamba yalikua sahihi... huo niupuuuzi na unafiki wakisiasa upinzani muende na nyakati msiwe vinyonga wananchi tutakosa imani na nyie
Kweli kabisaaa
et kujikanyaga duuuu
Mbunge wa jimbo letu machachari had naringa
umeona eee
Mwacheni ahonge atachoka mwenyewe ataka kinya
wa kumi
Mmmh ajkanyege nn hhhhhhhhh hatari
Unaongea utazani unafokea watoto wako wee VP acha jazba mama
Speaker alitumia lugha ya kuudhi
Sipka ndio ww ungeambiwa unajikanyaga ungesha mtowa nje
Lugha za viongozi Muda Fulani Unashindwa hata kuelewa.
Fidel hata kwa mtazamo wako dodoma inastahil kuwa jiji au kwako ni sahh
Waeleze hao manyumbu hawajitambui kabisa wanaburuzwa kizembe.
Spika ww wakusema acha ajikanyange atakingia kwenye kumi na nane,jamani jamani
Spika punguza ubabe
Unatisha alima
Upinzani mnahoja nzito zenye mashiko ila kuna watu wanaona hii ni nchi yao jamani ccm badirikeni pokeeni hoja kwa maslai ya ss wanyonge MUNGU awalipe mnacho stahili kwa udharimu wenu nyie kilakitu ubabe duuu hatarii
Duuuh sijatarajia lugha kama hiyo kutoka
hakuna bunge huru hapa