REV. DR. ELIONA KIMARO: MWANAMKE ANA IMANI ILIYOBEBA BARAKA YA KIVIZAZI/ WOMEN FAITH

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • MWANAMKE ANA IMANI ILIYOBEBA BARAKA YA KI-VIZAZI
    WOMEN OF FAITH (W.F)
    Luka 1 : 26 - 37
    Mwanzo 27 : 1 - 29
    Kutoka 4 : 24 - 26
    2 Timotheo 1 : 1 - 7
    NENO KUU:
    "Zitafakarini njia zenu"
    (Consider your ways)
    Hagai 1:7

    Kutoka 4 : 24 - 26
    24 Ilikuwa walipokuwa njiani mahali pa kulala, Bwana akakutana naye akataka kumwua.
    25 Ndipo Sipora akashika jiwe gumu na kuikata govi ya zunga la mwanawe, na kuibwaga miguuni pake akasema. Hakika wewe u bwana arusi wa damu kwangu mimi.
    26 Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri.
    2 Timotheo 1 : 1 - 7
    1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu; kwa ajili ya ahadi ya uzima ulio katika Kristo Yesu;
    2 kwa Timotheo, mwanangu mpendwa. Neema na iwe kwako, na rehema, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
    3 Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana.
    4 Nami natamani sana kukuona, nikiyakumbuka machozi yako, ili nijae furaha;
    5 nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika bibi yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.
    6 Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu, iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.
    7 Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.

    Mhubiri: Rev. DR. Eliona Kimaro.
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

ความคิดเห็น • 8

  • @OliviaSamuel-ec6rg
    @OliviaSamuel-ec6rg 4 หลายเดือนก่อน

    Amen. Unanitia Moyo sana Baba Mchungaji

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 6 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi,hata Mimi Nina Imani ya kivizazi

  • @user-cv7eo8xy7w
    @user-cv7eo8xy7w 6 หลายเดือนก่อน

    Amina mchungaji nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @user-tg1fh8qc4o
    @user-tg1fh8qc4o 6 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana pastor naomba uombee family yetu

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 6 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen!! Mtumishi wa Mungu naendelea kubarikiwa na mafundisho Yako yananiinua sana! Mungu azidi kukuinua katika viwango vingine

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 6 หลายเดือนก่อน

    Baraka kwako mtumishi wa mungu

  • @IreneMtoto-un5lg
    @IreneMtoto-un5lg 6 หลายเดือนก่อน

    Amen 🎉🎉

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 6 หลายเดือนก่อน

    Ninakushukuru Baba kwa mafundisho yako hasa kipindi hiki cha Kwaresma.