HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
  • HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"
    Mbunge wa Tarime vijijini, John Heche, amehoji Bungeni sababu ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli kuharakisha mchakato wa kuwahamishia watumishi wa umma Dodoma bila kuwapatia stahiki zao huku ikijua inafanya makosa.
    Heche amesema hayo wakati akichangia mapendekezo yake katika muswada wa sheria ya kulifanya jiji la Dodoma kuwa makao makuu.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
    / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

ความคิดเห็น • 71

  • @mercybyashara9711
    @mercybyashara9711 6 ปีที่แล้ว +2

    Asante Heche

  • @vijaypatrick7134
    @vijaypatrick7134 6 ปีที่แล้ว +1

    Asante heche

  • @gabrielkitia6767
    @gabrielkitia6767 6 ปีที่แล้ว +3

    Nakuelewa Sana mh

  • @ngomagipaul7011
    @ngomagipaul7011 5 ปีที่แล้ว

    Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..

  • @andrewmagwila8649
    @andrewmagwila8649 6 ปีที่แล้ว +2

    big point

  • @williamkishiva9446
    @williamkishiva9446 5 ปีที่แล้ว +1

    Hii machine aisee

  • @ramahhouzzer2342
    @ramahhouzzer2342 5 ปีที่แล้ว +1

    Heche point zako ni nizito sana kwa mtu aliesoma na muelewa

  • @josephmatonyi1802
    @josephmatonyi1802 5 ปีที่แล้ว

    Henche asante tata asante saaannaaa

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 ปีที่แล้ว +2

    amina na iwe ivy kweli

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 ปีที่แล้ว

    Daaa hecheee hata waliokupigia kula wanajisikia lahaaaa,Mungu akujalie hakika uko vizuri.

  • @zubedaramadhani5777
    @zubedaramadhani5777 5 ปีที่แล้ว

    Asante ukwel WA mungu utabakia siku zote

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 6 ปีที่แล้ว +4

    Umeongea points zote baba

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 6 ปีที่แล้ว

      Anthony Mgogo si. Uongo

  • @kibachak7850
    @kibachak7850 5 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana

  • @zumamarande2969
    @zumamarande2969 6 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @abduliurassadaudi5051
    @abduliurassadaudi5051 6 ปีที่แล้ว

    huwezi kuona point

  • @mgimaabdul1064
    @mgimaabdul1064 4 ปีที่แล้ว +2

    Heche natumaini unazijua shidazetu sio kama waropokaji

  • @wiza2309
    @wiza2309 6 ปีที่แล้ว +4

    Ni kweli tupu, tatizo haiwezekani kutengua tena. Ila kwenye utaratibu wa Kindoa kuna tatizo, watu wanaishi mbali na familia, umuhimu wa familia uzingatiwe maana ndio kiwanda cha raia waliopo na wajao

    • @evodmagidanga7730
      @evodmagidanga7730 6 ปีที่แล้ว

      Wiza Mushi Unapoingia kwenye majukumu ya kiuongozi hujui kuwa unafamilia? Kama ni familia baki nyumbani basi ulee familia.

    • @wiza2309
      @wiza2309 6 ปีที่แล้ว

      @@evodmagidanga7730 ndiyo maana tunasema iwepo mipango, kilabjambo linafanyika kwa mipango hapo hakuna swala la uongozi, wewe hujapatwa na kadhia, watoto shule n.k. ulipate kwa mwenzako utaona simple

  • @emmanuelalphaxard9276
    @emmanuelalphaxard9276 5 ปีที่แล้ว

    Kamanda heche

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall5029 6 ปีที่แล้ว +3

    Kuna tofauti kubwa katika uzito wa hoja inapotolewa na mbunge wa chadema kuliko wa CCM japo mi siyo mwanasiasa na sina chama ila huwa wanaongea ukweli mwingi kuliko uongo.

  • @PetroMwita-yc2uy
    @PetroMwita-yc2uy 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂lnauma sana na inaliza sana heche

  • @marwanguma1137
    @marwanguma1137 5 ปีที่แล้ว

    nabii,hafiiiii kamwe..

  • @kibachak7850
    @kibachak7850 5 ปีที่แล้ว +2

    Ndomana huwa nasikiliza hoja za upinzani tu cyo fisiem

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 6 ปีที่แล้ว +8

    Akisimama mbunge wa cdm lazima uwe makini hoja mzito na zenye mashiko

    • @mohammedsalim6398
      @mohammedsalim6398 6 ปีที่แล้ว

      Fredreck Mwakalinga hapana ni kama wanapoteza hamu yA kuchangia na wamekata tamaa na wamezidisha CHuki na jazba? Hawawezi tena kuisaidia serikali ni ma lawama jazba na matusi?ni kelele tuuu wote Nadhani wangepumzika wakawaacha ccm wakafanya kazi zao ,Mbona serikali inafanya kazi vizuri tu? Jana tumeona miradi yA Maji mikubwa tu inazinduliwa? Tena majimbo yanayoongozwa na chadema? Leo inafuatiliwa tena bunda kwA bulaya? Siasa za CHuki hazitatunufaisha

  • @scholarmawalla6735
    @scholarmawalla6735 6 ปีที่แล้ว +3

    Wanazengo mbona mko kimya hapa hamjasikia ama mnafanya makusudi? mpita njia

  • @evodmagidanga7730
    @evodmagidanga7730 6 ปีที่แล้ว

    Kazungumza vizuri ingawa ni kwa jaziba. Ila ukweli ni kwamba hakuna nchi au mtu yoyote ambaye anaweza kutatua changamoto zote, pia kitu kingine mfano wa mgonjwa hauendani na kuhamia Dodoma.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 6 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli wanaupata,unazibua pamba zilizopo masikioni mwao.

  • @awadhially
    @awadhially หลายเดือนก่อน

    Mwamba wa tarime

  • @danielwu4924
    @danielwu4924 5 ปีที่แล้ว +1

    bro jaribu kweka mitambo yako sawa coz saut yako mwishon mwa video ii iko juu mno so kulko ata mbunge fanyia kaz ilo

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 ปีที่แล้ว +1

    m4c

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 6 ปีที่แล้ว

    Ni kweli kila jambo razima liwe na mipango, hata nyumbani kwako ni mipango kwamba mwaka huu ntafanya hiki next hiki

    • @evodmagidanga7730
      @evodmagidanga7730 6 ปีที่แล้ว

      Fantson Mpango Mipango ya kuhamia Dom ilianza Lini?

  • @rashidmaingu3639
    @rashidmaingu3639 6 ปีที่แล้ว +1

    Nchi hii imebak kuw inaendeshwa kwa matamko,mkulu akisema asubuh k2 ata km hakiwezekan kwa ck hyo lazima watendaj wafanye atakama n kwa lasha lasha ilimladi kumlidhisha yy

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 ปีที่แล้ว

    Sioni point.

    • @a.msanga1621
      @a.msanga1621 6 ปีที่แล้ว +3

      Kuelewa inahitaji utulivu na uwezo wa akili yako upoje

    • @evaristshonga9566
      @evaristshonga9566 6 ปีที่แล้ว

      cjui ameongea nn hapo ndo ninapopata shida kuwatambua wapinzani

    • @bahatisadikiwambura8547
      @bahatisadikiwambura8547 6 ปีที่แล้ว +3

      huwezi kuona Kama umpofu

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 6 ปีที่แล้ว +1

      Mtu ameanza na katiba hujaelewa
      Huoni pointi
      Ameongea kutojipanga kuhamia dodoma hujasikia
      Anasema kuhusu ndoa za watu hujaona kitu
      Yawezekana huoni kabisa

    • @georgesamwelchacha7680
      @georgesamwelchacha7680 6 ปีที่แล้ว +1

      +Evarist Shonga
      Mpaka uwe na uelewa mkubwa ndipo utalielewa bunge

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 6 ปีที่แล้ว +2

    heche ninoma yaan wewe pekeyako sawa na wabunge makofi 50 wa ccm aiseee wazee wakununua wabunge wanakuwinda kama lisu

  • @ibraharuna3045
    @ibraharuna3045 5 ปีที่แล้ว

    HECHE UKO VZR NA HEBU IFIKE WKT WABUNGE WOTE MUISAIDIE TAIFA HILI NA C KUPIGA MAKOFI KIHOLELA.

  • @humayduwe1762
    @humayduwe1762 6 ปีที่แล้ว

    Hahaaaa tisha sana kichwa

  • @smarty1064
    @smarty1064 5 ปีที่แล้ว

    Ha ha ha haa fact inauma mzee hatutaki kusikiaaa

  • @sultannchacha666
    @sultannchacha666 6 ปีที่แล้ว

    Jamani wabunge wa Ccm sio kwamba wao wanapenda ila inawabidi ili waonekane waadilifu kwa mtu mmoja na si kwa watz

  • @fatumarajabu810
    @fatumarajabu810 6 ปีที่แล้ว

    Kwakweli ...miundo mbinu ddoma bdo sana.... Wangetengza kwanza

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 6 ปีที่แล้ว

    Wengine wana vyeti feki """""waanze kusoma """""badala ya kupiga simu na miayo chuoni!!!!!!!!!!!!

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 ปีที่แล้ว +1

    Hata angeanza na wimbo wa taifa . Mi nimezoea kusikia kelele kutoka kwao.

  • @omarmbwana4029
    @omarmbwana4029 6 ปีที่แล้ว

    Sawa hamna mpango hayo yanayofanyika katika nchi hii ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali pesa zinatoka wapi nyinyi wapinzani acheni kuropoka ovyoovyo wananchi wenu hamuwajali halafu munapiga domo tuu wakimbia bajeti ww

  • @nkatakulimamkuwa4872
    @nkatakulimamkuwa4872 6 ปีที่แล้ว +3

    Wabunge wa upinzani wanaakili kuliko mipumbavu ya ccm pumbavu

    • @dariuslimbu2325
      @dariuslimbu2325 6 ปีที่แล้ว

      Ni kipi hapo kilichokufanya utukane

    • @jimykayaga2376
      @jimykayaga2376 6 ปีที่แล้ว

      @@dariuslimbu2325 ujawai niangusha heche mungu akubarik sna mwalimu wng

    • @fantsonmpango7742
      @fantsonmpango7742 6 ปีที่แล้ว

      Darius Limbu kupiga makofi kujipendekeza japo ukweli unajua

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 6 ปีที่แล้ว

      Nkatakulima Mkuwa wao wanasubir 2020waje wapore na kitupiga dag

    • @mkamaboniphace7635
      @mkamaboniphace7635 5 ปีที่แล้ว

      Duuu nikweli jembe

  • @salumushabani5364
    @salumushabani5364 6 ปีที่แล้ว +1

    Anae lalamika dodoma kuwa jiji ajiuzuru

  • @ngomagipaul7011
    @ngomagipaul7011 5 ปีที่แล้ว

    Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..