RC Mwanri Amvunja Mbavu Waziri Mkuu "Nchi inakata roho"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- RC Mwanri Amvunja Mbavu Waziri Mkuu "Nchi inakata roho"
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amemuhakikishia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwa miradi yote inayotakiwa kutekelezwa ndani ya mkoa wake itakamilika ndani ya muda kwa sababu yeye sio mtu wa utani na atakayethubutu kumuangusha atamchukulia hatua kali.
RC Mwanri ameyasema hayo katika jukwaa la Biashara na Uwekezaji lililofanyika mkoani humo na kuhudhuriwa na mgeni rasmi Waziri Mkuu Majaliwa, ambapo pia amemuomba kutimiza ahadi za serikali katika kuendeleza ujenzi wa viwanda mkoani humo.
#RCMWANRI #WAZIRIMKUUMAJALIWA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK
Mh. mkuu wa Mkoa MUNGU akutuze Kwa Jina La Yesu Kristo, yote uliyo Nena kuhusu maendeleo MUNGU akatimiza kwa Jina La Yesu Kristo wote tuseme Amen
Amina
Mrope Amadeus Ameen
AMEN
This man is a true leader...I dare say, sent from above...he is a rare gem.
Mmmmh ni hatali
Sincerly speaking tuache wivu Jamaa anijitaidi sana and also he is a good speaker so much hauchoki kumsikia full wisdom good RC Mwanri
UMETUWAKILISHA vyema wazee. Tumezoea kuona wakuu wa mikoa vijana
Hongera saaaaaaaana Comrade Mwanri.👏👏👏👏👍👍👍
Duh! Nampenda Sana mkuu wa mkoa huu lugha anayotumia it's so nice ucheshi na pia anajua jinsi ya kuishi na watu wa aina zote najivunia kuzaliwa Tabora
Duhu hili jembe kwelikweli mungu akuoe maisha siku moja uwe wsziri
fantastic ,adorable ,awesome speech ..Shakamoo Adri Mwanri
Kuna utajiri wakunukia humu lakini kuna umasikin wa kunuka ahahahaaaaahaaa mkuu wa mkoa Tabora Nakupenda sana M/mungu azidi kukuweka😍😍😘
Huyu ni mtumishi wa Mungu ana hekima ya Mungu haweki watu ndani hovyo kama wakuu wa mikoa wengine.
Sawa sawa mkuu Mungu akulinde na kukutunza
Huyu jamaa ni very intelligent
Kaiza Mulinda ya hali ya juu
Ukiwa na lengo utapata mipango ukiwa na mipango utapata mikakati ukiwa na mikakat utapata mbinu ukiwa na mbinu utapata ushindi... Nmempenda nimeipenda!!!!
as me
Mpango- mkakati-mbinu- Ushindi -Bambam
sophy eliah i love it
Nimekuelewa sana
Uko vzr Dada
Rc mwanri ni mtu ya kazi kuchapa hongera sana
Hongera mku wa mkoa @Agrey Mwami kazi yako ni nzuri unajua shida za mkoa wako na namna ya kutatua kero za mkoa wako. Unafanya kazi kwa manufaa ya maendelea ya mkoo wako, wewe uko tofauti sna na wakuu wengine wa mikoa.Mungu akubari sna
Anafaa sana
He is good person , only time will tell
Tabora ni sehemu iliyobeba historia kubwa sana hapa Tanzania. Leo hii Tabora iko kama Toronto Canada. Hii kauli imenijaza furaha sana.. Nakupenda mzee wangu Aggrey Mwanry, ww sio mkuu wa mkoa wa Tabora pekee yake, ww ni mkuu wa mikoa yote ya Tanzania. Mungu akutie nguvu ktk kazi zako...akuangazie nuru za uso wake. Amen.
Mungu mkuu na amubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa aggrey mwanri na aendelee kumpa maisha marefu
Aki tz iko juu sanaa
Safi sana, wapigishe mchakamchaka mpaka wahitimu, na Roho Mt akuongezee neema, upendo, nguvu na kibali, ili ukamilishe kazi uliyotwa na Mungu hapo Tabora
Mungu ambariki Baba huyu amejaa hekima kubwa mno ahsante tunashukuru Tabora mmepata mkuu wa mkoa anayewaza mema sijuu ya tabora tu bari Tanzania nzima
Najivunia Tabora mkoa wangu na mkuu wetu wa mkoa. Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki Tabora na mungu mmbariki RC aggrey Mwanri kuongoza na kuwaongoza Tabora. Amiin
Pamoja sana mkuu wa mkoa wetu,mungu akupe maisha marefu,Kama na naww unampenda gonga like
Kama na Wewe Unamkubali Mh. Agrey Mzee wa fyekelea ndani tugonge like hapa twende Sawia
Q
Hongera Sana MKUu WA mkoa aro
Poa sana
P1 sana mkuu
RC Bora Tanzania 2018 no comment!
yko jirani yake pale ila yy cdhn kama ni muongeaji sana
Rehema Ibrahim kwa sababu gani
Yeah
tuko 2019
Wewe makonda ndio bora
Hotuba nzuri. Angetoa hotuba hii kwenye medani za kimataifa natumai ingepata heshima kubwa. Imejaa mizaa, imeelimisha imetoa taswira ya kitaifa, historia adimu ambayo wengi hawaifahamu lakini pia mtoa hotuba Mhe. Aggrey ameongea sio kama mtu bali kama taasisi. Aggrey hana ushamba wa uongozi wala taabu yoyote katika kuwanyenyekea viongozi wake wa juu na siyo kwa unafki wala uoga bali kama sehemu ya kudhihirisha uongozi bora. Hotuba hii inapaswa kutazamwa na viongozi wa kisiasa na wanafunzi wa siasa nchini. Aggrey ni mwanasiasa hodari.
I do appreciate you Mh Mwanri ,, unajua kujenga hoja kiukweli hebu waamshe wana Tabora kiuchumi wanyanyuke...
Hongera Rc Agrey Mwanri Mungu akibariki na akutimizie haja na hitaji la Moyo wako
Asante sana mwanri unafanya kazi nzuri sana hongera sana
Huyu Mzee nampenda Sana tuko safi mno.
Yupo vzr
Huyu mzee namfuatilia kila nikiweka bando gonga like Kama naww nihivo
Daah Mungu akupe maisha marefu..maana Mungu kakupa hekima, busara na maarifa..hongera mkuu.
Mungu atakuinua Mpaka dunia ishangae...piga kazi Baba unakubalika sana
Una maalifa sana yakuelewesha jamii ya watu ambao elim ya nindogo MUNGU akujalie ufanikiwa na wana nchi wako
Safi Sana mkuu wa mkoa
Noma san huyo mzeee
Mbeya we need people like you my Agreyy
Hata Kama were siyo mtabora Kama Mimi...ila unamkubali mzee wa fyekelea mbali. Gonga like usipite kimya
we ntumie nmba yako bc
@@suleymansaid9301 we bana wewe
Shakila Masoud nambie
@@suleymansaid9301 poa tuu....shwari
@@suleymansaid9301 nitumie yako nitakucheki whatsap
safi sana mkuu,kwa kunena na neno LA mungu pia ubarikiwe
Yaani kwa mara ya kwanza kumuona anaongea anacheka
Mwanri ni mkuu wa mkoa anaeimudu kazi yake nakupa big up sana mzee chapa kazi kwa sana tu mkuu
Kwa jicho la tatu ni .mtumishi wa Mungu huyu ktk serikali
Mh ni wa pekee sana mungu akubariki baba yangu
mungu akubariki sana mh mkuu wa mkoa wa tabora uko vzr sana unaona mbali sana nimeamini kweli unaufunuo wa mwnyz mungu
Kiongozi wa kiroho katika utumishi wa Serikali huyu. Hekima na busara na maarifa mengi yako katika kinywa chake na ni energetic. Anayo haiba ya uongozi. Hongera kwake. Anaitendea haki nafasi yake na kuzidi....
umoja wa wasoma koment tanzania(uwakota)tunamkubali agrey
Napitisha hoja mwenyekiti.
yah
Mkuu wa mkoa wa tabora yuko vizuri sana na ana hekima ya kiroho ndani yake.
Tupo
Huyu kama kunge kuwa na mkuu wa mikoa yote tanzania chin ya waziri mkuu bas 2nge mchagua huyu aisee maguful ongera una wachapakaz kwel kwel gonga like kwake
Nampenda sana, alikuwa mbunge wangu wa siha, alitufanyia makubwa sana siha, safi sanaaaaa
Tanzania ya Viwanda ndiyo hii.
Inchi inanyooka BAM BAM!!
Lengo
V
Mpango
V
Mkakati
V
Mbinu
V
Ushindi
V
BAM BAM!!
Mkuu wa Mkoa Mwanri Chapa Kazi. 👍👍👍👍
kiongozi ambaye kwasasa anapendwa na watu wate na pia anafuatiliwa sana,kwani huchuki kumsikiliza ,pia anamaneno ya kutia moyo na busara na utani kiasi.kweli nampenda mno mno.Rais amepata jembe sana .mungu mbariki Aggrey mwanri na familia yake umpe maisha marefu na umjaze roho wako amuongoze katika kazi zake za kila siku .AMEN
mwenzake yupo anakimbizana na Fiesta. Hongera zako Mhe.RC
Your the best hongera Mheshimiwa
Lozi muhandoOmari Sukari
Kama umeaona akicheka Mkuu wa mkoa😂😂 konga like hapa
upo vizuri mkuu mungu akulinde
Aaaaaah umetisha Baba Fyekelea ndani maendeleo ya Tabora
Kama unanipenda tabora na mkuu wa mkoa wa tabora wake like
Tabora mmepata jembe la ukweli mkimchoka tunamuomba Mbeya
Hongera mkuu wa mkoa
Mkuu kura ya ndiooooo kwako😁😁😁😁😁😁
Naipnda ila cmpendi mbunge wangu zd
@@musatbobius5472 ohoho hatutaki
Amina mkali aisee
Yaani viongozi wa awamu ya tano naomba mungu awatunze mzidi kufanya kazi kwa moyo kwa ajili ya nchi yetu
Kqma unaona uyu mkuu yuko sawa gonga like APA ilinijue
Naomba mungu uhamishiwe mwanza safi san
Jamn huyu baba Mungu amlinde.. Amina!
hongera baba nakukubari sana
nice speech,, God bless you
Uyu mkuu wa mkoa yuko vizuri sana mungu ampe maisha matefu
RC, very comfortable
Naweka MB kwa ajili ya kuangalia Huyu mzee tu. Weka like tujuane
Uko vzr bb,hamia shinyanga.
Best speech
Huyu jamaa anafaa kuwa rais gonga like kama jibu ni ndio
Mheshimiwa nami mwananchi wa hapa Buseresere nakupongeza sana uko vizuri viongozi wa sampuri yako ndiyo wanaohitajika katika serikali yetu ya Awamu ya tano hongera wana Tabora mmepata mkuu wa mkoa JEMBE...!
Excellent Regional commisioner
Mungu akutunze uwe na maisha marefu pia mafanikio mema
najivunia sana kuwa mkuu wa mkoa mtendaji na mchapa kazi, TABORA stands up
I like Tabora
Dah hongera mkuu
Jamaaa ana flow without kusoma kwenye karatasi......yuko vyemaaa
na haropokwi ajabu sana huyu mzee yuko sw
Thank u very much RC keep it up
Jamaa ni kichwa.. No disrespect
Yupo vizur sana
Yuko vyema
Good speech, Hawa ndo wanafaa kuwa viongoz sasa
Mzee Hodari kwa kuongea .....salute RC 🙌🙌🙌💯
Niliwahi kuwa nae tukizindua jengo la hospital ya polisi lilojengwa na the pool of Siloam Church tulikesha wote daah anampenda MUNGU kuliko jambo lingine, MUNGU BABA ambariki sana,
tunaotoka toronto..gonga like hp
Huyu mzee Hachoshi ku msikiliza hakika Nimepata bahati yakushudia Mkuu wa mkoa Bora kabisa Kutokea Tz 🇹🇿
Kazi nzuri mkuu tunakuheshimu sana mkuu wetu wa mkoa wa tabora
Nice
wakuu Wa mikoa ndio huyu sio hawa wanaopiga siasa asante Baba kwa kuwa umemweka Mungu mbele utaweza na kufikia malengo.
good job
Huyu RC wa Tabora no mfano wa kuigwa na viongozi wengine ktk taifa hili,ana kipaji cha kuelimisha wananchi na kuwashawishi kushiriki ktk shughuli za maendeleo ya mkoa.Hongera sna Mwanry.
I envy Tabora..The RC has his province at heart..he is a true leader..a leader with a vision for his people...he is concise..he is God fearing, he loathes corruption, he respects authority, he is a TRUE leader...God bless you RC
Umeandika maneno mazuri, lakini hukuwa na sababu ya kuandika kiingereza. Speech Ipo kwa Kiswahili, hakuna haja ya ku-andika kwa Kiingereza
True bila kusahau mkuu ni rafiki, ukibahatika kukutananaye face to face naamini utanielewa zaidi.
very nice
Nje ya ukuu wa mkoa kazi zingine anazoweza kuzifanya ni
1.kuhubiri
2.kuigiza(comedy)
Mkuu wa MKOA wa tbr tuko vzr na niseme anakipaji cha kuongea vzr kama Mwl. Nyerere. Hicho ni kipaji.
huyu ajekuwa wazili mkuu au rais yuko vizur sana
Mimi pia namuombea hivyo awe waziri mwisho wake awe Rais kabisa safiii
MATHEI HAULE
Yaani huyu mie nampenda aje kua Rais akimaliza Magufuli, yuko poa sana tena ni mzalendo
@@rehemaibrahim8475 ha ha haaaa
Kwa Mara ya kwanza katika serikali ya Magufuli naona MTU mwenye HEKIMA na busara katika uongozi wake , kiongozi ni yule ambae akitokea watu humfurahia na si kumnunia . Mwanri yuko vizuri kwakweli !
Safi sana MH. mkuu wa mkoa ubarikiwe
Babaunatisha uko vzr sana saluti kwak
Wanyooshe mkuuu naomba 2020 muheshimiwa rais akuhamishie mkoa wa kigoma iliutunyoshee mkoa wetu tuko nyuma sana mkuuuu.
Huyu Mkuu anakipaji cha uongozi, nakubali Sana Sukuma ndani
Best RC nchi nzima more than .....konda
Ubarikiwe baba Damu ya Yesu ikulinde na kukufunika
Kiukweli mmmmmmmh mungu humuongezea kweli kwenye hekima huongezewa hkima
Aggrey mwanri keep it up my uncle...nakupenda sana
Good speech
Namkubali sana huyu kiongozi, yuko vizuri
nakupenda sana Mh Mwanri,ubarikiwe sana tena mno
Ukimweka.Mungu mbele my brother utatoboa tu!
Rc wa Toronto oyeeeere
Wanatakiwa km Hawa Kila mkoa,ndio tutaenda kwa spidi Kali lkn tusipomtanguliza Mungu Mambo hayataenda ,Mambo mengine bila Mungu na maombi tusahau kubadilika,huku mbey nguvu nyingi saan badala ya hekima km Agrey,natamani kuhamia tabora
Uyo bwana anafaa kuwa kiongoz mkuu serikalini ili aissidie Tz nxima kwel ataibadilisha nchi
Hakika ukigombea uraisi Hakuna wakukupinga Mkuu una pita bila kupingwa, Mungu abariki kazi ya mikono yako!
Alishawahi kuwa naibu waziri wa tamisemi awamu iliopita
Kati ya watu ninaowakubali mmoja wapo ni wewe,, kwa kweli ni muwazi sana
@@kambangwachanneltv8166 na mambo yake yalikua hivi hivi
Namkubali Sana huyu baba,kwangu Mimi ni mkuu wa Mkoa Bora kwa sasa..Big up Sana mzee Agrey..unastahili kuwa Mkuu wa mkoa
Huyu jamaa kaonewa kuwa mkuu wa mkoa
Nicomedian mzur Baraa
Gonga like kwa comedian
Mzee kazi unaijua pia unajua kwenda na watz maana unawapa elimu nawanakuelewa pasipo shida unastahili ukitakia maendeleo watu wako nikuwatendea wema