MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz aceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Anayetizama ii 2024 km mimi gonga like twende sawa.
Anaemsikiliza huku akisoma koment agonge like hapa please😂😂
Kwani Are there ppl who pause to read comments?
Kama unamukubali bwege gonga like hapa
Nakukubal cans bwege
Bwege juu.
Babu kubwa hiyoooo
Saf
Nakupenda sana mbunge bwege Mungu akujaalie maisha marefu
Nimekupenda bureee
Amina
Swadaqta
Emeni
Mheshimiwa wangu huyu Ila me niko 🇰🇪 but napenda ajenda zake sana big up mheshimiwa
Muheshimiwa bwege waambie wasikie sisi 2poo nyuma yakoo
AFRICA ukizungumza ukweli unaitwa MCHOCHEZI.
Kikulacho kinguoni mwako.
😂😂😂😂😂 Bwege umemkomesha spika lakini nilifwatwa japo kakuziba mdomo kwa kutumia Cheo.
hhhhh
Bwege woyeeeeeee 🤘🏿🇹🇿
Ujumbe Umefika Bwege Wewe Kiboko
Toa yamoyoni
Ujumbe umetufikia
Wew hacha uchuro
Tunae kusikiliza tunaakili zetu tunafaham kwnn spika anachukia wala usijar walitaka kukununua
Wangepatikana wabunge wengine 11 kama bwege. Bunge lingenoga sana.
Kagombee uchaguz mwaka huu
Bwege....semaaaa.....!!!!!
Semaaaa....usiogope...
Semaaaa....
Unaye skia ukisoma comment na wee ni mkenya supporters za hustler urushe like hapa
Huyu mbunge ndo mwakilishi halisi wa wananchi wengne ni wawakilishi wa vyama
Bwege oyeeeeeeeeee🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Wapeeee dozz
Noma Sana
Waliona mbunge bwege anampenda kukaa nyuma bunguni gongeni like tano hapa
Bunge la magu lakera kwa kulicheki kwa online na sio kwa Tv live kama zaman. Like kama nawe lakukera
Wakenya ,,,we olskia wapi??
Gongeni like mkipita
"lkn alifatwa"
Ila ndugai kwa kuvunga unahatari Sana......
"Itakupa tabu sana"(ndugai unamanisha NN???)(atatekwa au kupigwa risasi nn Mana msivyotaka kuambiwaga ukweli Basi aibu aibu aibu..........
Dawa yao iko jikoni soon watainywa kwa uchungu mkali sanaa
Bwege kweli wewe ni noma
Sema ukweli mze baba hawakuelewii Tuu
Gf.
.
Hivi kweli hii haki! Kodi tunalipishwa penda usipende,hata familia zetu zinakosa chakula kisha FEDHA HIZO KUNUNULIA WABUNGE KWELIIII??.
AHSANTE MH BUNGALA MUNGU AKUPE MAISHA. UBUNGE NI HAKI YAKO. Watakao kunyima kura hao ni mabwege!!!
Ulikuwepo hao hawana sera ndo wanasema wananunuliwa kwa luwasa wao walimnunua achen usenge
Hili lichama litakufa siku moja si mbali kwa jina la Yesu !!
Bwege anasema vema sana
Huyu jamaaa noma balaaaaa mbavu zangu na saluti kwako Bwege
Walinifuataaaaa Ahaaaaaaaa yaani jamaa anachekesha balaa
Kumbe wananunua wabunge!
Kila vita Kuna mbinu zake,hakununuliwa lkn Leo wako wapi??
Ukweli mchungu spika vumiliya ujuwe mengi ya ukweli
Mkweli mungu tu
Mbona ndugai unaogopaaas
Mawazo yako amuogope yeye mungu
Haogopi, mawazo yako tu
@@khadijamillanzi5273 mungu yup unae mjua ww
Thanks for the detailed message Bwege.. 🤔
Mh. BWEGE ,bunge na mimi tumekumiss sanaaa
Mh. Bwege wachane hao wa ndio mzee na serikali yao
Ndugayi vipi naww ulikuweko kwenye kutaka kumununua nini mbona unamktaza kwakumtisha usimtishe tulia sindano ingie upate dawa
Anunuliwe yeye ananini anajisifu tu nan anahera ya mchezi
Mh
Atakumbukwa bwege daima
mungu atulinde kwani halimbaya mtaaani
Nipo hapa 2024
mzee Huyuuu anachekesha saana
Bora ungekubali kununuliwa Leo uko wapi?
Nampendaga bwege mm
kajitahidi kumziba mdomo lakini tume muelewa, huyu ata mbele zamungu, kauli yake ita wajiaa.
samson decoman sanaaaaaaaaaaa
Ongera Sana bwege kwakutetea kilwa na Tanzania
samson decoman nyimbo madi
Suleman bungara nakupenda sanaaa!!
Huyu jamaa asikose kura mana anamchango mkubwa sana kwenye bunge
Safi sana mzee mwenzangu
Bwege yupo sahihi
Big up bwege, hii spika mbovu inakoromakoroma kwa 📻 ngoja niing'oe kwa 📻 station
Ahsante bwege ni mjanja sana sio mnafiki
Hisotoria imebaki mwenye hataki! Ajinyonge maaan ukwelj utabaki milele
Spika ji2lize ujuwe vingi.....ww acha kudumaza inchi alaaa!!!
🤣🤣🤣🤣🤣Dah natamani Angekua mbunge wa Jimbo langu
Ukweli unauma bwana wewe...!!!
huyoo xiyooo mjingaa xi ukwel,,, kaxema alifatwa mxiwatixhee Yamanawtokeeeaaaa
Muheshimiwa Bwege hatari ana majibu ya kweli
Jina lenyewe bwege
Napenda watanzania wanavyoongea kiswahili fluently
Krbu Tz ujifunze kiswahili vyema
tatizo liko kwenye katiba ya Tanzania spika wabunge ilisitaiki achaguliwe na wabunge hekima na heshima kwa wabunge ingeonekana
Umesomeka
I love you
na kweli wanauwa na wanateka ila kuna wajinga wapumbavu nchi hii bado wanawashangilia watu hao
We had our own, his name was juma Boy juma, he was soo comical just as he is!
Huyu mzee noma xana anachekesha
Tunahitaji bwege Hapa kenya.....anatetea wanyonge kweli,
Mh Spika jikaze sio kwa ubaya,,ukweli uwekwe mezani
Sia Mollel kabisa yan
Kabisa
Nice
Sio kila anaongea mtu lina ukweli mana hata muongo hajawekwa alama
Spika MTU anapoongea mwache aongee. Sio kumtishamtisha.
Point' ni moja tu. Ukweli unabaki palepale kuwa kafuatwa. Ungemuacha afunguke.
Ila Watanzania weny e akili tushajiongeza anamaanisha nini.
7yygghuvhjhgf
Haaaaah
sindano ndogo inayoshona makoti
Bwegeeee
Asante Wajina wangu
Tuendelee mzee mwenzangu,hahahahaaaaaa!
Kwambaliiii...! Kidogooo😁😁😁😁
Uyu spika nae huenda akawa kibaraka nn?!!!
Kwan nn anakimbilia kufunika kombe?
"LAKINI NILIFUATWA"!!!
Salmini Yussuf ilo bunge halina spika kunamwenyekiti ww spika mbona unamsingizia tuu
Speaker jipu
Leo uko wapi?
mzee bundala sio bwege nijina tu
Unakwazwa na nini speaker tulia unywe dawa
Hiyo SPIKA MBOVU MBOVU, MBONA INAZUIA UKWELI USIWEKWE WAZI????. KWANZA WALA HATUITAKI KABISAAA, IMESHAOZA NA ITUPWE NA KUCHOMWA MOTO KABISAAA.
Kwanini bwege angarao usipewe nafasi ata moja bungeni iri bunge rise na furaa kwani urikua na faraja
Ukiingia kwenye 18 zangu utapata tabu sana
Jikaze spika sio kwa ubaya
Huyu si bwege tena namtafutia jina
Daaaah huyu Mr Bwege,Sopowa!!!
Ukweli unaumaa
Sema baba
Inshallah lakini nilifatwa
duh et ukiingia kwenye 18 zangu who ar u by de way pambafuuu
Utekelezaji hakuna mipango kabao inapangwa
Hivi maoni ya mbunge mpaka yawe kwenye mpango ....duu ndo spika Wa bunge huyo...yaani hakuna kitu hapo
Hili bunge la kutishana tutafika kweli jmn
Namkubali bwege
jamani wabunge mko wapi? mbona patupu ?
walinifuataaa! Tz yangu: mm napita tu humu
Wanaoshindwa kumwelewa bwege nawashangaa. Ameanza kumnukulu Baba Taifa. Hiyo mipango yote, kama hakuna uongozi bora, siasa safi, watu, na ardhi hakuna mipango hapo. Kwa hiyo akaanza kuelezea yanayotokea, na aliyoyaona, na kumpata yeye.
Jamaa yuko vzr sana
Hili ndiyo bunge wanalo litaka mikwala mingi
Unaweza kuona kama bwege kweli kumbe........
mhahahahh siasa ya tanzania inachekesha sana wallahi...yani adi kwenye chombo cha serikali kuna uchama..mbunge akiongea ata kama jambo ni la msingi ila kwa kua kasema chadema bax halikubaliwi,na raisi ata akifanya jambo zuri bax kwa kua ni CCM bax hapongezwi,tuungane basiii kujenga taifa moja.hatuwez tukafika kwa aina hiyi..mungu ibarik AFRICA mungu tubariki TANZANIA
Mungu anayaona haya yote jmn hatalipa tu
waambie hao
Kweli bungara ww ni shidaa unafaa sanaaa
Mungu aku rinde
mbn anamtisha
Ahahahaaaaaaaa,waambie hao
Na wanateka na kuua kweli kweli hawatanii chukua hadhari mapema,,
Tena haangalii mbele akisema yuko sure
Duh! Mbona onaongea mambo nyeti sana alafu anapotoshwa kizungu duh! Tanzania yetu bola liende tu
Tunataka wabunge Kama hawa
Safi sana namkubali bwege
Tutakumis Sana mbabaaa dur
naangalia trh 30 oct. 😢
Wewe oolisikia wapi? Ooolisikia wapi? Mheshimiwa
MIPANGO INAPANGWA MIIINGI ILA INAYOTEKELEZWA NI KUNUNUA WABUNGE NA MADIWANI HAHAHAHAAAA SERIKALI YA VIWANDA!!! SASA VIWANDAGANI VYAKUCHAKATA NYAMA ZA WABUNGE NA MADIWANI MNAOWANUNUA?!! HAHAHAAAA NIMECHEKASANA DUH
Hyo ndoo bwege
Tabu noma
Tabu