"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- November 8, 2017 mkutano wa sita wa Bunge la 11 umeendelea tena Bungeni Dodoma ambapo Wabunge walikuwa wakijadili na kushauri kuhusu mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa.
Ni mpango unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na mwongozo wa kuandaa mpango na bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019.
Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama na kuzungumza ni pamoja na Mbunge wa Tarime vijijini John Heche ambae alihoji uhalali wa Serikali kuchoma moto nyumba za Wananchi wa tarime pamoja na kukamata mifugo ya wafugaji.
nikiwa kama mhamasishaji wa vijana kanad yakinondoni mh Henche 2po pamoja 2020 kileleni gonga like apa kama wew nikijana
Mbunge wangu yupo vzr sana mungu akutangulie uko vzr
big up heche kumbe hatukukosea
John Heche for president ! from Kenya
Mungu akulinde heche point tupu umeongea
mheshimiwa ahsante sema hata wasipokuelewa au wakubeze mungu ndo anaejua ipo siku mungu atajibu ubalikiwe heche.
Wewe ni kiongozi hasa Mungu akubariki kwa kuongea ukweli
Mungu akubaliki hata wapinge hoja yako mungu ndiye anatujua sisi watoto wake
Sema Mh. Cheche amna kuogopa huo ndio uongozi, vichanga kimara wanalala nje jua mvua yote yao inasikitisha sana
mungu akubariki mshhua
Safi sana Mh. Heche!!!
Mhe. Heche 👍🏽👍🏽👍🏽
Mungu akupe maisha marefu maana kuna hekima na busara ndani yake. Kwa kweli ninakuombea saana kwa mtumishi wa Mungu nazan kila mtu akisikiliza hii clip nazan atapata hekimu na busara kutoka kwa Muumba wetu. Mungu akubariki kwa kweli
UMEONGEA POINT SANA!UMEWASEMEA WANYONGE! UNGEKUWA KARIBU MAFUTWA YALIYOMIMINWA DAUDI KUWA MFALME NINGEKUMIMINIA KICHWANI
Duh! Heche unatisha kweli Chadema ndio habari ya mjini.
big up jembe safi sana
Safi sana Heche, nakupongeza sana
wote mngeungana nakutusemea ingekuwa safi sana
Mi CCM lakin nimekuelewa mheshimiwa umeongea poiint🙋
Bg up heche
Awakukosea kukuchagua big up
Sema tata heche
Hilo suala la airport umeongea point sana. Spidi ya ujenzi na utaratibu uliotumika inaacha dukuduku sana
heche uko sawa tuko pamoja ngoja 2020 kitaeleweka 2 waache wataipenda wenyewe
👊👊👊👊👊👊👊👊
Big up sana Mh Heche
Asante heche!!
Separation of power ...haipo🙏🙏
uko vzr all things when you talking is true
Uyu jamaa alikua mbunge wa nchi nzima nimemfatiria Sana uchangiaji wake yaan hajawa tu mbumnge wa Tarime Ila alikua mbunge wanchi yaan daah mungu aendelee kukulinda mzee
umeongea point kabisa baba
Axante xana heche wapasue
duuuuh haya bhana
nitakitunza kitambulisho changu cha mpiga kula
Heche oyee
Ukweli mchungu.ambao mzalendo yoyote lazima aupongeze.
Duh bro umeongea Fact, Narudi darasani kusoma uchumi sana sana topic ya DD & SS VS Economic Development bila kusahau Market segmentation/Niche
Uko sawa kamanda
Hapo tatizo sio shule unafik,kujipendekeza,kutojiamin na uzwazwa wasomi nchi hii ndo changamoto
Nakuelewa sana mzee baba
Moja kati ya wabunge wanaoniinspire ni John Heche, hajawahi kuwa muoga kusema kweli.
Mh,heche msema ukwel mpenz wa Mungu,simamia ukwel
wanyonge wataeleweka tu na Kiongozi wao ,
God ukwel husmama daima
Safiiii baba umeongea
daah kwel aiseee
Daaaaa hii issue ya Uwanja wa Ndege mimi pia cjajua kwa nini imekua hivyoo!!! Daaaaa hii INJIii
Positive thoughts
Kweli kbsa heche ya ukweli ongea baba no uoga ila ksho utitwa htiana
👍👍👍👍👍👍👍👍👍
nakuunga mkono kwa asilimia zote ndg yng heche maana km 185 cyo padogo
Asante sana kwa kutusemea Yaani inauma sana tunazidi kuwa maskini kwa bomoa bomoa serikalini inatuumiza sana
upo sawa mbunge
Upo uzuri kaka
Ukweli unauma wakitingwa ni tarifa taarifa taarifa. Hovyooo!
Nyie Ccm tukutane 2020
Jacqueline Boazy tutakutana, sijui mna kitu gani cha kuwaambia wananchi kuwa mmewafanyia zaidi ya kuropoka hovyo na kuongozwa kwa matukio, ila CCM inayo mengi tu ya kusema mbele ya jamii, mfano kuubadili muonekano wa mji wa mbeya kwa barabara Safi na zenye kuvutia ambazo sugu aliwadanganya wananchi mbele ya Waziri mkuu kuwa ni jitihada zake pamoja na meya, bila ya kusahau na bukoba ambapo kama kawaida yenu rwakatale naye akasema ametafuta pesa wakati ni Serikali iliyopeleka fedha za kusimamia ukarabati wa miundombinu, Niishie hapa sababu najua wajua kuwa CCM imefanya meeengi ndani ya miaka 2
Mtanzaniahalisi 2910 kwan hƙo mɓy mnaongozwa na mbunge gan?? Halaf ss hatupoƙei kodi za wananchi hatuwez fanya kitu zaid ya kuihimiza serikali ifanye kama wananchi wavotaka na ndo maana pamoja na kwamba hatujafanya kitu ila ni watetez wa wananchi upinzan na ccm mnatetea serikal so wananchi!!
Hamna cha CCM wala CHADEMA! Watanzania kwa ujumla tumekosa Uzalendo! Sekta ya Elimu tumeidharau kwa miaka mingi na tunaendelea kuvuna matunda mabaya. Tunajaribu kuiga Utamaduni ya Maghribi na tunajisahau wenyewe. Tunahitaji Raisi ambae ni Mchapakazi kama JPM (bila Ubabe) na ambae ni Mnyenyekevu kama JMK (bila Commission)
nice heche man of people
Unatutetea sana watanzania ila tatizo ni kwamba unaowatetea hawajielewi
Kuna nyumbu niliskia inaomba taarifa, ccm mtuonee huruma tumechoka mbona mh heche kaongea fact tupu?
Jamani tatizo sio chama tunaangalia ukweli na kazi
Ok
asante chief
Good bro.
millard mbona umekata hapo kwa mobutu
Daaaaah tatzo wa2 wanapigwa sas me nmechok hta kupiga kura
Uko sawa imekubalika mtoto wa sikuda
Hahahaha Safi
semeni tu msiogope
kama mobutu na zaire yake
Selikali hii itoke madalakani hata Kwa nguvu absult nchi imeozaaa itoke tu selikali hii afai
100%nakuunga mkono kila jambo jema lipimwe kwa fainda ya watanzania wote bila kujali rangi yake au chama alichotoka kazi bila mipango hovyo watanzania weye hali ngumu wanayaona kwa macho
Amina...na shule jamaa ipo
Nakuunga mkono 100%
Et taarifa taarif hovyoooooooooo
👍👍👍👍👍👍👍👍
Yani zahanati ya kwetu ukienda unapenda panadol ata vipimo hamna
Kwa nn usigombee uraisi
Heche kumbuka tulipokatana mapanga kipindi kile tukiwa warisya mimi ndo nilikupa huo ujasiri wa kuwapasua vichwa akina wazir mpango
Daaaaah so sad why this shits happening jmn
Painful truth
tunataka wabunge kama hawa wanaongea ukweli ,kuliko kupeleka wabunge kama mbunge was bunda vijijini boni ketele yeye alienda kutafuta hela tu
1000% fact
Talime heche ni madini msimpotezeee
nisawa kabis
chademe oyeeeeeeeee
Mhe Heche tunakuelewa baba
Mtaniiiiiiii
Unaongea ukwer sana good kamanda
2020 wakitaka kujua watanzani tumechoka polic wasisimamie kula ili waone
hivi huyu serikali ni nani? maana nina hasira nae haswa
Mjinga wewe tulia
facts t
Jembe la msoma
Mh .Huko vizuri sema tu NI kwamba MAJINGA YA KUSHANGILIA KILA KITU HAYAWEZI KUKUELEWA,stupidities
Gasper Massawe na majinga ya kutokuelewa yatamshangilia heche
Mtanzaniahalisi 2910 we ndo mjinga mkubwa
Kweli kabisa👍👍👍👍👍
Hizo billion wangekopesha mabenk nasi zingetufikia tu, sasa uwanja chato halafu kinyemela watanzania hatujui kupitia bunge. Kweli wajinga ndiyo waliwao
Duuh
serikali ikifanya vizuri lazima tuseme,pesa za dawa zinaletwa,tuishauri serikali ituongezee bajeti ya kununua dawa maana 33% ya bf ni ndogo sana kwenye manunuzi ya dawa.
hospital hazina dawa juz tu nimempeleka mama hospital bomba na dawa zakuchomea tumeambiwa tukanunue
MUNGU BARIKI HECHE NA WA BUNGE WOTE WA UPINZANI KWA JINSI WANAVYO TUTETEA WA TANZANIA! HECHE UNAONGEA MPAKA MA CHOZI YANANITOKA.MUNGU AKUBARIKI HECHE!!! Freedom is coming tomorrow! !!!
kwakweli kunavitu vinaendeshwa kiimla nakuwafanya Watanzania hawayaoni.
alafu viongozi waandamizi wamejaa kujipendekeza mpaka wanatia aibu wanasahau kwamba kesho yaja na watakuja kuwajibika mbele za Mungu na kwa Watanzania
Kuna nyumbu et anasema taarif ..hovyo kabisa yanafata mkumbo tu ...tunakuelewa heche
2020 ccm achieni madalaka pumbavu nyie
Heche una akili saaana
CCM wanadhani WATANZAnIa wote wana AKiri kama zAo
Wananchi tunafahamu hiyo ni Kampeni ya KATA FUNUA inayoendeshwa na watumishi wa umma ambao wameshawishika kuitekeleza kwa kutengeneza mazingira ya kwafanya wananchi kuichukia serikali.
dah
Hii serikali ya ccm nimbovu sina na sijahi kuona serikali kama hii kule mbarali wakulima wa mpunga mwaka juzi waliuza junia moja la mpunga sh,100000 mpaka 120000 leo hii junia moja la mpunga linauzwa 40000 mpaka 50000 nadhani utaangalia afu pima na wanasema hii niserikali ya wanyonge
Jiwe ilo
bora uwe rais
nchi ishakua ya kifalme bashite ndio mtoto wa mfalme hamna jinsi tutafika tu
Huyu mbunge yupo sawa