JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA KAZINI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA SERIKALINI...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 50

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 11 หลายเดือนก่อน +11

    J. Heche moja ya hazina tuliyonayo hapa Tz. Mungu akubariki sana kiongozi

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 11 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana Heche kwa viwango vyako vya elimu

  • @hamadimziraymziray-ry4vi
    @hamadimziraymziray-ry4vi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hazina yetu hy❤❤❤❤

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 11 หลายเดือนก่อน +3

    WE'LL SAID MR JOHN HECHE

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli chama cha walimu Ina mifumo michafu sana imenyanganya serikali baadhi ya walimu na kuwaajiri upya matumizo mabaya ya fedha za walimu

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 11 หลายเดือนก่อน +2

    Heche kuwa mkweli kuna siku moja umesema kuwa wewe uliacha ualimu kwasababu ya kumpiga mtoto alipokuja mkuu wa wilaya hiyo kesi ikaibuliwa uliposemeshwa ukachukua vifaa vysko ukaondoka

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 11 หลายเดือนก่อน

    Hili la walimu inasikitisha kwa kweli. Juzi juzi kwenye wilaya mojawapo mkoani Rukwa walimu walialikwa kwa semina ya siku mbili, wamelipwa dsa 40,000/=, i e. 20,000/= kwa siku 😮

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 11 หลายเดือนก่อน +2

    Na kusema ukweli siyo hasira na tunataka tume iwe huru mmetutesa vya kutosha

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ameingia SIASA ili alambe RUZUKU 😢😢😢😢😢

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 7 หลายเดือนก่อน

    Marehemu alikua mshamba sana. Funza waendelee kumtafuna

  • @MilajiYasssni-pl6ox
    @MilajiYasssni-pl6ox 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 11 หลายเดือนก่อน +1

    Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 9 วันที่ผ่านมา

    Mimi ni ccm pia ni mwalim huyu jamaa yupo real anaongea ukweli

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 11 หลายเดือนก่อน

    Kitu kinacho wafanya walimu wasiwrze kufanya Kwa uhuru, ni kutishiwa, na wenyewe kushindwa kujiamini.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 11 หลายเดือนก่อน

    We fisiemu unayejifanya uko ulaya acha uongo ulaya hata house girl anatoboa sembuse mwalimu ATI asijenge we unaumwa mavi mkaharishe mbwa wee

  • @AblayKilyenyi
    @AblayKilyenyi 3 หลายเดือนก่อน

    Mze baba endelea na msimamo huohuo uliowakweli,usikubali kdanganya napesa zisizo haki zikakutoa kwenyenjia yakweli.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 หลายเดือนก่อน

    ✌️👍👊.

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 11 หลายเดือนก่อน +1

    Si kinatawala chama kimojja?

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 11 หลายเดือนก่อน

    Loli modo wangu

  • @samuelmbogo7448
    @samuelmbogo7448 11 หลายเดือนก่อน +2

    Huja tembea, changamoto za waalimu hata huku ulaya (UK) zipo. Huku ulaya UK mwalimu kujenge nyumba au kumiliki nyumba ni changamoto. Punguza kulalamika, kila ikisikika ama kuhojiwa nikulaumu ,kushutumu! Sasa wakati mwingine haueleweki una taka nini au chama chenu kina simamia nini!. Rushwa ulaya ipo tena sana tu.

    • @prosperreuben1724
      @prosperreuben1724 11 หลายเดือนก่อน +6

      Kwahiyo kwasababu umaskin upo ulaya tusikerwe na umaskini tanzania tujivunie umadkin wetu sio

    • @Ushauri235
      @Ushauri235 11 หลายเดือนก่อน +1

      Acha wewe utalinganisha na huku

    • @unjuusalvatory5331
      @unjuusalvatory5331 11 หลายเดือนก่อน +1

      Huku Ulaya UK, 😂😂😂😢 Daaah

    • @coolruler6820
      @coolruler6820 11 หลายเดือนก่อน

      Kalale wewe hujielewi,,,,unaishi kwa kukuriri, kwahiyo unamanisha kilicho ulaya lazima kiwepo na Tanzania?

    • @csato9415
      @csato9415 11 หลายเดือนก่อน

      🧠 🕳 🗑😒

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 11 หลายเดือนก่อน

    Fact

  • @jovinkenesya484
    @jovinkenesya484 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uko saw kka

  • @HusseinAmlani
    @HusseinAmlani 2 หลายเดือนก่อน

    Jitahid pamaban juu chini uje ugombee uwe laid nakukubali Sana Kaka una point sana kwa ss tunao jierewa

  • @saidrajabu635
    @saidrajabu635 11 หลายเดือนก่อน

    Kumbe nawewe nimzee wa selena

  • @yohanampamba601
    @yohanampamba601 7 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mwamba hakika wewe ni hazina ya Taifa.

  • @deodatangereza960
    @deodatangereza960 11 หลายเดือนก่อน

    Asichezee ajira za watu,kazi imemshinda anaingia mafichoni chadema kwa wasio na mielekeo wenzake hana lolote!!!

  • @bedatarimo9679
    @bedatarimo9679 11 หลายเดือนก่อน +1

    Edb😢dgl

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 หลายเดือนก่อน +1

    Heche unapoongea neno hebu jaribu kutafakari kabla haujaongea unachotaka kuongea unaisema Serikali yetu na kusema eti Serikali ya kikoloni ina nafuu wewe uliiona wapi hiyo Serikali ya kikoloni na wewe umezaliwa huo mwaka unaosema.Maana huwo ukoloni hata mwenyekiti wako Mbowe hajazaliwa huo unafuu umeuona wapi ?

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 11 หลายเดือนก่อน

    Huwezi taja top 3 Professions ukaacha Uhasibu

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi wewe hizi hasira zako wanafunzi walikuwa wanakuelewa kweli!!!

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 11 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha huyu angeua wanafunzi hasira nyingi kuliko tija!

    • @issackmwakyami2740
      @issackmwakyami2740 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kwamba Hana hasira,ila ana hasira na ma ccm

    • @AyubuSimpasa-e9q
      @AyubuSimpasa-e9q 11 หลายเดือนก่อน

      Safi jibu zr​@@issackmwakyami2740

    • @MbojeMwabalase
      @MbojeMwabalase หลายเดือนก่อน

      Unaelewa?

  • @emmanuelmwambona3438
    @emmanuelmwambona3438 11 หลายเดือนก่อน

    Waliruka fensi hahahaha

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 11 หลายเดือนก่อน

    Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni