The right way to Pray is to let the will of God come to Pass for the 2024+2025 Elections. To cancel the will of men and the will of the devil on this Nation. Watumishi wa Mungu nanyi kaeni vizuri barazani pa Mungu, mlijue kusudi la Mungu hasa ni nini. Msituchanganyee!!! Msichanganye Unabii na matakwa yenu. Sisi WAOMBAJI TUNASIMAMA na BWANA. Kama Manabii mnashindwa kuwa JICHO & SAUTI sahihi ya Mungu na kuwa Waadilifu na Ofisini zenu, basi tunawatupa kule. HAIWEZEKANI NCHI MOJA, KILA NABII ANAONGEA YAKE, HAKUNA MFANANO. Waombaji take care, uzuri pazia lilipasuka, kila mtu ana haki ya kuingia Patakatifu, kumuuliza Bwana.
Hujanijua namwogopa Mungu huwa nanena alichonionyesha Mungu Basi sio matakwa yangu Kuna siku utakuja kujua yupi ni wa kweli omba acha hukumu za kishabiki
nafurai swala la waganga kutokua na msaada 🎉🎉🎉🎉 tunataka viongozi wanaomjua mungu ❤
Watu waombe ili mpango wa Mungu utimie na si mapenzi ya kishabiki.
Mungu atupe Rais anayejali wanyonge
Hatujamchagua muda wake inatosha mungu amkatae kwa jina la yesu ameuza bandari aende Dubai simwombei kweli
Nakuomba san raisi samia ikombow Zanzabar iko mikono mibaa usiwach Zanzabar kwenye ccm
mungu akutunze nabiiii
Atapita kwa kishindo asema Bwana
The right way to Pray is to let the will of God come to Pass for the 2024+2025 Elections. To cancel the will of men and the will of the devil on this Nation. Watumishi wa Mungu nanyi kaeni vizuri barazani pa Mungu, mlijue kusudi la Mungu hasa ni nini. Msituchanganyee!!! Msichanganye Unabii na matakwa yenu. Sisi WAOMBAJI TUNASIMAMA na BWANA. Kama Manabii mnashindwa kuwa JICHO & SAUTI sahihi ya Mungu na kuwa Waadilifu na Ofisini zenu, basi tunawatupa kule. HAIWEZEKANI NCHI MOJA, KILA NABII ANAONGEA YAKE, HAKUNA MFANANO. Waombaji take care, uzuri pazia lilipasuka, kila mtu ana haki ya kuingia Patakatifu, kumuuliza Bwana.
Hujanijua namwogopa Mungu huwa nanena alichonionyesha Mungu Basi sio matakwa yangu Kuna siku utakuja kujua yupi ni wa kweli omba acha hukumu za kishabiki
Amina baba, ujumbe makini kabisa MUNGU atufute machozi tumechoka sana kuteseka na utawala uliopo...
❤
Muda wake ukiisha. Utawala umemtosha. Aache tuchague sasa.
Sauti Nabii, MEDIA please mpeni Nabii Sauti ya Kusikika Vizuri. Kuna shida gani sauti ni ndogo mara kadhaa?