Kupitia ujumbe huu Eeh Mungu mpiganie mama yetu, aipatwe na majaribu haya shetani asipate nafasi katika jina la Yesu
Najaribu kuwaza kuhusiana na comment hii ila kumbukumbu zinanirudisha nyuma kwenye mkataba wa bandari zetu na dp afu nabaki dilemma😢.
Mama asipatwe na matatizo, kisha Mungu aweke MTU anaemtaka kwenye kiti. Mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa sawasawa na mapenzi yake 🤝
Isue mama yeye alimsaliti magufuli ndio na yeye wana msaliti kwasababu apandae mahindi atavuna mahindi 😊
❤❤❤❤❤Mungu ni mwema anajibu kwa wakati wake
ukafiri huo et utabiri et umeonyeshwa huo ndo ukafiri kwasababu ya kusema uongo kwa viongozi na kukubali uongo huo kwa watu wa kawaida
Mapenzi ya MUNGU yatimie Amen
Nakuamini sana,nabiii
HIYO NDO TANZANIA. HAKUNAGA UAMINIFU KABISA.
Miugiza imeanza
wango'ane hata macho tushawachoka sis😊
YESU tusaidie
Kumwombea Raise ,siyo Mama
Tumwachie mungu
Bora waumizane wao kwa wao kuliko kuuwa wengine Raisi samia ajiuzuru trh
Mh,huu unabii mtizamo!
Rollinga ubarikiwe
Watumishi tufunge kumwombea mama haya majaribu yapitie mbali, na Malaika wa Mungu waingilie kati na kumfunika mama yetu kwa lolote baya lisimpate katika jina la Yesu
Mapenzi ya Mungu yatimizwe
God help Tanzania
Baba unapatikana wap coz ww ni nmweli mno na umekuwa mwalimu wangu kiunabii !!
Ata mimi namuogopa sana kwa utabili wake
Let it be in the name of Yeshua❤😂❤😂😅❤😂❤😂
Huu nimwaga wa taarifa kuhusu yajayo
Wavutane,washatuchosha kwakweli,waumizane
Yesu aingilie kati
Always rushwa ipo kwenye uchaguzi Tanzania
Huyu lolinga anapatikana wapi
Wameshaanza kuumizana
Huyu jamaa mkweli sana huwezi kumuelewa lakini utabili wa huyu jamaa ni mkubwa sana
Mungu tupe mtu sahihi maana sisi hatuelesi hii serikali na utuepushe na mabaya yaonekanayo ktk utabiri timiza mapenzi Yako tu mungu si yetu tupe mtu anayejali utu asiyeleta uonevu Kwa mtu wa chini Wala wa juu
Jamani jamani mimi siyo mwanasiasa! Hii awamu ya sita imepewa namba kabla ya muda wake. Raisi aliyepo madarakani kwa sasa yupo kwenye nafasi hiyo kwa mujibu wa katiba yetu, yupo kumalizia awamu ya tano. Awamu hii ya kumalizia muda ikishapita, ndiyo tutaingia kwenye awamu ya sita. Rais aliyopo madarakani, anaweza kutangaza nia ya kugombea urais 2025 pamoja na wengine ndani ya chama chao ambao watakuwa wamekidhi vigezo. Mchakato huu ukifuatwa, hayo machafuko yatatoka wapi? LAKINI kwa kutaka kuingiza goli la mkono, tutahitaji maombi tupate msaada kutoka kwa Mungu. Kibinadamu na uroho wa madaraka kuna hiyo hatari ya kugeukana na kuchunana ngozi.
Acha iwe hivyo.Tumechoka.
Yupo Danieli ndaniya Taifa letu la Tanzania.
Isaya 7:7-10! Nyuma ya kuanguka kwa CCM yuko Mwenyezi Mungu wala sio vyama vya upinzani…
Tuombe sana
Sound hzo
Atapita tu
Mbona utabiri wako umejikita kwa chama tawala tu? Au ni utabiri wa mlengo wa kimaslahi?.
Mama heshimu katiba unamalizia kipindi cha mtàngulizi wako.Tangazia.umma Kwa ufasaha uelewe,migogo ndani yachama isiwe ya Taifa,CCM ijitambue mchambue ilani/Katiba yenu kuwa sahihi.
Mtabiri au Mchungaji
Atolewe tu masikini tunataabika
Jesus
Wasanii hawa
Namuona pm and vice president of Tanzania steps down watch and see
Rais Samia kibaraka cha wazungu hapo ndipo alipo haribu. Mali za tanzania anawapa wazungu kuliko wananchi wake. Wananchi wanapata tapu na makodi lakini wazungu wakula Mali zahabu madini,bila ya kuilipa tanzania kwa haki kwasababu ya rais wetu
Hawa ni waongo sana . Anachokiongea kila mmoja anakiona . Mungu wa wapi anayekwambia wewe ? Haya yanaonekana sio mambo ya kuona
Hamna kitu
Inawezekana maana Mimi pia niliota ndoto raisi samia amekalia kiti nikaona kile kitu kimevunjika lakn kimefungwa na mpira mweusi lakn raisi amekalia hicho kiti huku akinesanesa na kucheka bila hofu,.nikashtuka usingzn mpaka Leo hyo ndoto kama inaanza kutoa majawabu maana huu uongozi wake haupo hai
Nyie wakristo wachochezi sana watu wabaya sana roho mbaya hamtakii mema nchi wala rais wetu ndio maana hata ibada zenu nikuombea majini tu kutoa uchawi mafuta mnayotumia wanayoyaanda niwaisilamu yanafanyiwa visomo kisha mnauziwa alafu mnajifanya manabii kwendeni zenu huyu mama samia mtamuona hivyohivyo akiendelea na urais chuki tu as kidini hamna lolote ufala tu
Kama alitabiri kuwa mangufuli atakufa sana wakifa wengine tumezoea CCM NIKUUA BASI TUCHANGUE VYEMA VINGINE NAO CCM WATAWAIBIA KURA SASA MTANZANIA HERI USICHANGUE YEYOTE TUONE WATAKULA WAPI NCHI ISIMAMIWE NA JESHI BASI
Mngu atusaidie tanzania ya mama samia suru hasan watanzania tunampenda mno mama
Huyu mtu anatumika, kuna watu wamemwambia kinachoendelea huko ndani ya ccm.... ng'ombe mnene sana aliyevalishwa nguo!! ya kijani..
Nguvu yao ni kuiba kwa kutumia mfumo kama 2019 na 2020!
Tangu lini mwanamke kuongoza maelfu ya watu ili hali dini yao tu yenyewe haimubariki kwa hilo??? Logically Mungu ataivurugu Tanzania kisiasa ili tuujue ukuu wake. Bikira Maria hakupewa mamlaka juu ya mitume ingawa alikuwa ni mzazi wa Kristo.........
Ukisoma Biblia vizuri hasa tafsiri zote za Kingereza, hakuna sehemu Yesu amewahi kum address Mariam kama mother, instead alikua akitamka "woman" and not mother. Nenda kasome na wewe
Tayari
Kuombea watu aaaaah mambo ya politcs yanatokq wap huk
Acheni kicks nyie nimizimu tu kila mtu nabii kila mtu mtabiri mmefeli waabudu shetani tulieni mtaona mama atapita kwa nguvu bila mwehu yoyote kumsumbua ss watu wote wa dua tupo nyuma ya mama hakuna tena nasema hakuna mbweha yoyote atamsumbua mama tutamrarua kwa dua kali mnoo
Mh!Huu ni UTABIRI au UCHAMBUZI!!! Mbona ni vitu vya Kila siku tunaishi navyo tu Kila awamu ya Uchaguzi?? 😂😂😂
Kwa Nini tukiombee chama tawala ? Wakati sisi tunatamani kusambarstik
Nabii uko sahihi kabisa hata mimi niliona watu tunakimbia kimbia ovyo kutakuwa na vurugu sana uchaguzi utakuwa na vurugu watu watakufa wengi sana
Inatajiwa muombe rais mwema aingie
YAANI HILI KANISA NI SIASA TUU NA NDOTO.
Hawa jamaa wanasema maono ifike Mahal wawe kisheria siyo kiimani
Waombage wasilale ccm msipusie ss wengine hatuombei chama tunaombea taifa letu la tanzania kina wenyewe
Anacho ongea kwel hata mimi hilo nmeona
Hii yote inakuja kwa uroho wa madaraka na sosi kubwa kwa nn akae samia na ni mzanzibari
Kiufupi hayo ni necha ya taifa letu uliko ya sema, nisawa nakusema samaki havuliwi nchi kavu😂😂😂 hizo ni tabia zetu msimu WA uchaguzi
Acha tuzichape ili tueshimiane
Mpuuzi mkubwa na unabii wako wa KUZIMU Mungu akulaani hakuna litakalofanikiwa ibilisi wewe
Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana anaasema mambo makubwa sana ambayo wewe mwenyewe huwezi kuyaelewa
Ebu watu funguken EPUKA san ktk dunia kufuata mkumb mamb mng yanaendlea munawayesa akil wanaoelewa we umeot umeot wap ata ukiot ndo wanafsri n mitume naanabii waliop ss n wabashr kma achn Aziz za tumbo wasom duuuh
Huu si unabii ni maoni
Umeonaa 😢 ndio tatizo kubwa la manabii wa Africa wanashindwa kuwa wanyenyekevu kuushinda ulevi wa fedha na umaarufuu waliopata kwa uweza wa Mungu ,Matokeo yake wanajikinai nakuanza kutabiri kwa uwezo wa akili zao badala ya uwezo wa Mungu nabi mkuu ,😢😢
This is not prophecy from God ,This is Prophet presumptuously,Unaweza kuwa nabi wa Mungu wakweli lakini ukawa unaanza kujikinai ukajikuta hapa kuanza Kutoa unabi kwa akili zako ,
‹›
Most Relevant Verses
2 Peter 1:20
Verse Concepts
But know this first of all, that no prophecy of Scripture is a matter of one’s own interpretation,
2 Peter 1:21
Verse Concepts
for no prophecy was ever made by an act of human will, but men moved by the Holy Spirit spoke from God.
2 Peter 1:19
Verse Concepts
So we have the prophetic word made more sure, to which you do well to pay attention as to a lamp shining in a dark place, until the day dawns and the morning star arises in your hearts.
Deuteronomy 18:22
Verse Concepts
When a prophet speaks in the name of the Lord, if the thing does not come about or come true, that is the thing which the Lord has not spoken. The prophet has spoken it presumptuously; you shall not be afraid of him.
1 John 4:1
Verse Concepts
Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, because many false prophets have gone out into the world.
Damu ya magufuli itajibu tu
Matapeli wakubwa hawa 😅😅😅😅
wakatane vichwa kabisa wame tuchosha
Disaster Disaster
Dalali wa enjiri, kila mtu anajua haya siyo mpaka unabii
Emungu tusaidie tutaenda wap nawatoto wetu
Aah Manabii wanaangalia mabaya TU??! Mwacheni mama apige KAZI. Subirini 2030.
Mama Samia Suluhu Hasan ndiye rais 2025-2030, tena atapita kirahisi sana kuliko marais wote waliopita
@@sophiaommy8343 Ninayezungumza hapa pia ni mtumishi wa Mungu tunza haya maneno yangu uje uone yakitokea
Ebu tupe utabiri wandugu yako siwengine tu
Vyama vya upinzani vimeshakufa iliyobaki wale ruzuku tu
Watumishi tufunge kumwombea mama haya majaribu yapitie mbali, na Malaika wa Mungu waingilie kati na kumfunika mama yetu kwa lolote baya lisimpate katika jina la Yesu
Hapo kwenye kumuombea mama Mimi bila unafiki mmmhhh. Naogopa tu kumalizia nisije kutekwa bure. Ila Mungu atukumbuke atupe magufuli mwingine mwenye kuwapenda watu wake au watanzanià huyu wa Sasa mmh hatupo pamoja naw ktk safari
Acha Mungu atende sawasawa na mapenzi yake, na aweke MTU amtakae kwenye kiti kikubwa. MUNGU ndio mtendaji wa mwisho na wa uhakika
Asante Prophet.
Ila jitahidi kumtafuta mkarimani atakeweza kuendana na speed ya kuhubiri kwako Dada yupo vzr ila speed n ndogo ko kuna ujumbe mda mwingne haufiki sawasawa kwa wafuatiliaji wa Mitandaoni