MAGOLI YOTE: YANGA SC 3-2 RUVU SHOOTING (TPL - 16/12/2018)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Vijana wa Jangwani, Yanga SC wameendelea kuwa mwiba mkali kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu baada ya leo kuichapa Ruvu Shooting mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam.
Alikuwa ni Heritier Makambo dakika ya nne kati ya dakika tano zilizoongezwa mwishoni kabisa mwa mchezo, ndiye aliyeipa ushindi Yanga kwa kufunga bao la tatu baada ya timu zote kuwa zimefungana mabao 2-2.
Yanga walitangulia kupata bao kupitia kwa Amissi Tambwe dakika ya 11, kabla ya Fully Maganga kuisawazishia Ruvu dakika ya 31.
Kipindi cha pili Yanga wakiwa wanaonekana kushambuliwa zaidi, walipata bao la pili kwa shuti kali nje ya 18 kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 78, lakini Said Dilunga akaisawazishia Ruvu kwa mkwaju wa penati dakika ya 84 baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.
kama unamkubali fei toto gonga like apa twede sawa
mbele tu nyuma mwiko hii ndo yanga bhana
Japhet Masunga yeeeh
Jamani
Yanga
Inatisha
@@benjaminrichard7229 mwinyi zahera tunakuomba utuvumilie viongozi wanapenda rushwa sisi washabiki tunakupenda sana uwepamoja nayanga nasisi tuko pamoja nawewe popott pale utalindwa
Nakubali yanga
Kama umeikubali yanga wana jagwani like za kumwaga
nyambafu nyie mpira PESA,malizeni ligi tuwachukue hao wote timu nzima wanakaa benchi kazi yao ni kula pesa tuu za msimbazi za MOOOOO.
Yanga timu kubwa bn
Ni kwa Neema tu za Mungu na kwa hekima za coach papa mwinyi Zahera tupo hapa tulipo . 🙏🙏🙏🙏
Yanga noma sana
Tuko vizuri ,hawaamini tunachokinya ,jamani yanga itauwa watu ,subirin wenzetu watoe droo viongonxi lazima watimuliwe yanga inaumiza watu mbaya hahaaaaa
Kuanzia Leo nimehama simba nahamia yanga yani wao wanashinda tu kilasiku duuuu
Karibu Chamani Doris
Doris Faustine 😹😹😹
Karibu sanaaaaaaaa
Karibu xana ndugu
Baki kwenye chama lako bhna ,
Kam unaangalia 2020 kwa kumis makambo like ap
Kwel kabisaaa
km kwl ww ni yanga dam gonga like apa
Kweli lakigaid
Namkubali huyu mtangazaji hahahahaha amenifanya niwe nacheki mechi za bongo.anaitwa nani huyu jamaa.
Baraka mpenja
@barakampenja
kama umeamini Leo Dante hakuwa kwwny kiwango chake gonga like hapa twende
That is Dar es salam Young Africans
Makambovic
Yanga inatishaaaa!! Sana huyu anaejiita munyama asiombe kukutana na kisu umekwisha hongera sana yanga tupo pamoja sana Kama unaikubali yanga nyoosha kidole juu
Lich Mavoko kam kawaidaaa
Dua ya kuku kwanza. Yanga kabebwa
yanga inatisha wapinzan buuuu hehehe
Yanga ni konk fire so konk master 😁😁😘😘
Devo
Yote kwa yote tuseme ukweli ajibu ndo msaada mkubwa kwa yangaa,,,big up ajibu ,,,feisal, makambo,na tambwe pamoja na timu mzima kwa ujumla mmecheza kwa kujituma na kuhakikisha mnapata ushindi,,,,sasa nasema hivi,YANGA OYEEEEEEEEEE
Nassoro Ramadha
Mashabiki Wa nkana wanacoment wap
Hivi hii sindio ile yanga ambayo watu walikuwa wanaidhiaki et ohhh yanga manji kafungwa mara ohhh yanga hamna pesa pumbavu zenu hela hatuna lakini matokeo tunapata yanga raha bhana kama nawewe unaipenda yanga acha majungu gonga like yako hapa hawaamin wanachokiona
Ruvu Shooting Walitamani Sare..Sema Kitambaa Hakikutosha..😂😂😂..Wanangu Wa Nkana Fc Mupoo
Yanga walifanya makosa sana kumuacha tabwe
Kakolanya ni kwer kakosea lakin tunakuomba kocha wetu. Mpendwa. Zaera. Msamehe na mludishe kundin kakolanya maana uyu kabwili atatugalim uko mbere 2endako
Nyie mnaomtaka Beno mtasababisha mpasuko ndan ya Timu sio muda
Hiyo game mabeki umakini ulikosekana hata angekuwa beno bdo shda ile ile so labda tuendelee kuangalia mechi zngne makosa ya kabwili na sio hii ,,,,,,ni kweli beno ni muhimu bdo BT si kwa hii match
kwahuo beno hawez kukughsrimu huko mbele, unajua alitoka nan hile saa 7 usiku? unajua walimpeleka wapi? kakaa siku ngapi huko, beno hakuwa anadai mshahar balo ni pesa ya hulr mktaba wangapi wanaidai club na hawajagoma? sukuma ndaniiii na wewe pia
kweri
Ramadhan Mohamed kwani yeye beno hafungingi
Msikikizeni MPENJA KWENYE GOLI LA FEISAL SALUMU yaaan MPENJA bhana raha saaanaaaa.........!!!!
Fundi wa kizanzibari huyooooh
😆😅😂😃eti p.o. yanga mbovu huku tunashinda.ubingwa uleeeeeeeeeeeeeee❤💙
Mchezo usiuchezee ww
Msimu huu kuanzia namba 1 mpk 10 migoli bora yote inatoka YANGA AFRIKA...!
THIS IS YANGA! No way out what you have to do is to stay come as you cut your Hair. Jifanye kama unajikuna.
Ibrahim Mohamedi 😜😜😜😜😶
La kwnz wakarudsha la pili wakarudsha makambo akasema ss ngoja tuwafung dkka za mwisho tuon kama mtarudsha hahahahaha
Yanga yetu
OMG Fey Toto supeeeeeeeeeeeer.
Dante akicheza na yondani ndio anakuwa mzuri
Mmmmh Hawa Yanga waend 2 LALIGA
Hahaha
Umetishaaaaaa
Dismas Chaz kw mpira gani ngoja utawaktaaa tu
Kama unamkubali makambo gonga like
Karudiiiii tena mzee wa kuwajazaaa
Tumetoka mbali sana yanga mungu ni mwema kwetu
Fei totoooo
Grace Leonard kweli fei
Hiyo ndio yanga ya kimataifa
Oyoo ooo
Grace Leonard
Wangapi bado tunaiangaliaga hii.???
mtangazaji wewe wanipa raha akii
huyu kweli totooooo jmn hii yanga mmmmh
#Manara somaaaa huko ngapiiiiii
vidume wanapita simba pisheni njia wanaume wapite
hapa Kakolanya amrudishe vinginevyo huko mbele yanga atapotea maana Kabwik kila mechi anaruhusu goli
ni kweli kabisa jamani mrudisheni kakolanya jamani msameheni tu
Sosoma Charles hakuna usimpe lawama kipa shida ni mabeki
Sosoma Charles kawaida hiyo hakuna kipa hasie fungwa
Aixha Jumaa sure
Kwani Leo kafanya kosa gani? Ile penati so yake ,goli LA pili imedeflect ikajaa hata degea kafungwa Leo magoli yote yamegonga mabeki kabla hayajaingia ,kabwili angefanyaje.Kwanza mechi tano kijana amesimamana timu inashinda .Acheni timu ya ushindi iendelee na isibadilike
Tutaikumbuka hii yanga
Yanga I send my suport from Poland. We are the champion this seson
Yanga BABA LAO
Its okay its okay yanga fireee yanga itabaki juu mbingunii
Busta Rhymes
fei toto ni motoo wakuwotea mbali
Tutakukumbuka daima makamboo
Hii ndio yanga
yanga hii nomaaa sanaaaa injinia somaa iyo injinia atakupoza
kakolanya yukowapi
aaaaa eeeeee iiiiii ooooooo uuuuuu😂😂😂😂
Ashura Mgaya nini
Mamaaaaa nakufaa
Mambo
Kwa nn ufe my
Hidaya Omary usife njoo nikuponye
yanga daima mbele nyuma mwiko goal la Feisal limemfanya masau bwire ametoa bastòra kwa mashabiki wa yanga #yanga inawatia hasira kwa wanayoiombea mabaya ila alichokifanya masau kimpira haipaswi kua hivyo
simba ngapi huko nkana?
Mbili kwa moja niulize tena swali kama hili baada ya mechi inakuja hapa nyumbani nitakujibu pia
Abdulaziz Khamis jipe moyo hutashinda
Aaa!eee!iiii!ooo!uuu!ngapii ukoooo.Fantastic goal Feisal salum
iko vizuri even with no money we'retishaling
Hawa watoto wa bwire hawa magol ya aina hii yanajirudia tena mwaka huu 2020_2021 3_2 Mech mzunguko wa pili
alisema soma hapo we enginea 😀😀😀😀😀😀
Mmm! Huyu Makambo!
mmebebwa goli la kwanza
Makambo hili jina hatar sana ,
Yanga laha sana jamani!!! huo ndo mwanzo na bado ndo kwanza ukurasa unafunguliwa!!!!!!
Yanga jaman bola tukachezee ulaya maana kiwango hich c cha nch hii
nani mwingine aje oyoooooooo
Manuva Family bado nkana
Iyo
Ndio
Yanga
Bwana
2024 😅😅😅🎉
HIVI NYIMBO YA DIAMOND IMERUHUSIWA?ONA RAIA WAKIICHEZA BARABARANI
th-cam.com/video/5AMVvrm6dLU/w-d-xo.html
Daah me mtangazaji2 kama Unamkubali gonga #Like japo nimechelewa aaa! eee! iii! ooo! uuu!!
Simba mrud mje mmalizie vipolo vyeno yang 2chukue ubigwa
hili goli la salum unaweza hata ukaombea mkopo benk yoyote
Goli la kwanza ni clear offside
ka;lien offside sasa wenye akili wanaona hhhhh dua la kuku
wale ambao walikua wanaiponda yanga nyosha mkia juu
Afu wajifnye kam wanajikuma
Mliokuja baada ya makambo kusajiliwa tujuane 😂😂😁😁
Kaká iyo ndio Yanga nipo Mozambique😮
Baraka mpenja sauti ya radi unanikosha sana aaa eee iii ooo uuu fei toto totoooo
yanga 🔥 🔥 🔥
Soma kwenye ramani kama unabisha nyoosha mkono jifanye unajikuna kama yanga ni konk 🔥
Kwakwel hyo mtangazji mm nakupenda xna kaka mkubwa
Kabwili mbona yuko sawa , magoli anofungwa sio kuwa mbovu .
Kama gemu umelicheki Tatizo mabeki sio golikipa
kocha msamehe kakolanya hawez kuludia tena
KAMA UNAUNGA MKONO SOKA TANZANIA GONGA LIKE NA SUBSCRIBE ZOI Languages kujifunza lugha za kigeni
Yanga 💪💪💪💪
huyu mtangazaji kha
mbele daima nyuma mwiko ndio kauli mbiu ya ss wana jangwani
Kama nayaona 4 kule lione
Eti mama nakufa+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
yanga ni konkiii 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂
Baraka mpenjaa duh kuna watu wanaona wivu ulivyotangaza goal ya mtt Feisal
duh kila ck mnashinda moja
Huyu mtangazaji nae chega tu baoya kweli mdananda
Jamani nyie kilacku munashinda nyie tu
jifanyeee unajikunaaaaa
Huyo ajibu aende Genk anasubil nn bongo
Baada ya goli makambovic wamepotea njia
Hayo niyakwako lakini penyeliziki hapakosi wanaokuombea ufeli walasishangai
Bado hamjaweka full highlights?
Waaaaaapi mkia fc mjifanye Kama mnajikunaaaaa
Makambo siwezi kamsahau maana balaaa
mama wee nakufwaa sio kwa makambo ni hatar
imoooo
makambooooooo!!!!!hahaha this is young African blaza
mtangazaji kweli wewe ni tko
Ninoma sana
Yebabaaa
wataelewa tyuuuuu
Mtangazaji yupo yanga
jangwan
Timu ya wananchi Dsm young Africans
Katun
Uef chelsea v man city
Kama hujui yanga ndo ijuee
Inanikumbusha ileyanga ya akina tegete, ngasa, nizar golin alikuwepo yew beko nomasana dakika zamwishoilikua lazima golilipatikane iwe isiwe
Hiiiiiiiiiiiindio yanga nilisema ukionayanga anaongoza ujueligi imeisha yanga anakamilisha mechi2 ubingwa jangwan
shikamooo marahaba yanga
hongera sana yanga