#PART1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • #PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 141

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +18

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 10 หลายเดือนก่อน +2

    Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 ปีที่แล้ว +4

    Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x 8 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa

  • @user-cr7xy6tw5j
    @user-cr7xy6tw5j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 ปีที่แล้ว +3

    Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana

  • @zawadimapumba7557
    @zawadimapumba7557 7 หลายเดือนก่อน +2

    Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana

  • @WigiberthiMutahaba
    @WigiberthiMutahaba 5 หลายเดือนก่อน

    Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,

  • @HasanOmar-c3p
    @HasanOmar-c3p 13 วันที่ผ่านมา

    Pole

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 ปีที่แล้ว +5

    Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 5 หลายเดือนก่อน

      Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.

    • @RashidThabite
      @RashidThabite 4 หลายเดือนก่อน

      Umetoa radhi nzito sana mama

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 4 หลายเดือนก่อน

      @@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari

  • @allandavid870
    @allandavid870 ปีที่แล้ว +4

    Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  ปีที่แล้ว +2

      Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 ปีที่แล้ว +1

      Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako

  • @AishaOmary-fl8qo
    @AishaOmary-fl8qo 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka

  • @user-ip7rq4ro9w
    @user-ip7rq4ro9w 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm

  • @Anoldi-yj7mf
    @Anoldi-yj7mf 3 หลายเดือนก่อน

    Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji

  • @MohamedAly-zp3zh
    @MohamedAly-zp3zh 7 หลายเดือนก่อน

    Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @user-gu6wg6jp5n
    @user-gu6wg6jp5n 10 หลายเดือนก่อน

    Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema

    • @KiZoMidundo
      @KiZoMidundo 9 หลายเดือนก่อน

      Inasiktsha

  • @herberthatibu8439
    @herberthatibu8439 ปีที่แล้ว +2

    Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.

    • @likimaro6
      @likimaro6 ปีที่แล้ว

      Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?

    • @abdallahmwanga5792
      @abdallahmwanga5792 ปีที่แล้ว +1

      Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe...
      Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 5 หลายเดือนก่อน

    Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana

  • @VeronicaMarsel
    @VeronicaMarsel 8 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana chaliingu mungu atalipa

  • @B-horbir
    @B-horbir ปีที่แล้ว +2

    B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie

    • @user-tb3hb6cm2s
      @user-tb3hb6cm2s 10 หลายเดือนก่อน

      Hello, uko Drc sehemu gani please

    • @utaani1
      @utaani1 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo

    • @annafredinandmatandiko8438
      @annafredinandmatandiko8438 7 หลายเดือนก่อน

      Yes

  • @Ibrahim21784
    @Ibrahim21784 ปีที่แล้ว +2

    eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdogo wangu

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan 4 หลายเดือนก่อน

    Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama

  • @user-ux2xo5sl3c
    @user-ux2xo5sl3c 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kijana

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 ปีที่แล้ว +2

    Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 ปีที่แล้ว

      Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine
      Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu
      Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo
      "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta
      "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa
      Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ?
      Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama
      Vipo kwaajili ya wahalifu?
      Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ?
      Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu
      Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu

  • @AdrianNtarambe
    @AdrianNtarambe 3 หลายเดือนก่อน

    Aisee

  • @user-fl3tj2tp3e
    @user-fl3tj2tp3e 11 หลายเดือนก่อน

    Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa

  • @user-hc2hb8yi6s
    @user-hc2hb8yi6s 10 หลายเดือนก่อน +1

    Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata

  • @user-qs1ii7vq7w
    @user-qs1ii7vq7w 6 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana kijana!

  • @Shimboy-hl4eg
    @Shimboy-hl4eg 11 หลายเดือนก่อน

    Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.

    • @KsmTv-yl5fy
      @KsmTv-yl5fy 10 หลายเดือนก่อน

      Pole sana Kaa
      ,

  • @rubenimajura
    @rubenimajura ปีที่แล้ว

    Pole kaka

  • @user-lq9cy3il4o
    @user-lq9cy3il4o 9 หลายเดือนก่อน

    Da! Pole

  • @BARIKIELMICHAEL-fc7oh
    @BARIKIELMICHAEL-fc7oh 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kaka

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa.
    Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe.
    Wamsoka yote hayo

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 ปีที่แล้ว +5

    Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 ปีที่แล้ว +2

    Hiyocm nitaipataje nijulishe

  • @user-wb2by4pw9f
    @user-wb2by4pw9f 5 หลายเดือนก่อน

    Pole san kaka

  • @user-yp2wk1ic5o
    @user-yp2wk1ic5o 7 หลายเดือนก่อน

    pole sàn

  • @JeanIradukunda-qw6eb
    @JeanIradukunda-qw6eb 3 หลายเดือนก่อน

    Pore sana kaka yangu

    • @ESTERMKALI
      @ESTERMKALI 3 หลายเดือนก่อน

      3:11

  • @PAUlWEKESA-de6tb
    @PAUlWEKESA-de6tb 10 หลายเดือนก่อน

    Pole sana brother yangu

  • @user-in9cg4pw4o
    @user-in9cg4pw4o 6 หลายเดือนก่อน

    Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.

    • @BraysonKileo
      @BraysonKileo 4 หลายเดือนก่อน

      Daah MUNGU atamwonekanaye

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 4 หลายเดือนก่อน

      Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 4 หลายเดือนก่อน

      Yamini ni muongo
      Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine

  • @JohnsonMpweza
    @JohnsonMpweza 2 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @UswegeRichard
    @UswegeRichard 11 หลายเดือนก่อน

    Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA

  • @frankjulius12
    @frankjulius12 ปีที่แล้ว +1

    Part 2 ikowap

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 ปีที่แล้ว +1

    Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA

  • @safnosmosha
    @safnosmosha ปีที่แล้ว +1

    So sad

  • @user-ji6vg2vq4p
    @user-ji6vg2vq4p 9 หลายเดือนก่อน

    Pore sana

  • @VeronicaMilinga
    @VeronicaMilinga 3 หลายเดือนก่อน

    Yanga usajil 19:02

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 ปีที่แล้ว +1

    Polle sana Kijana

  • @user-cm9uc4fv2n
    @user-cm9uc4fv2n 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana uyo mam ana matitz

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 10 หลายเดือนก่อน

    pole saaana dogo .

  • @OscarOuma-ho6hl
    @OscarOuma-ho6hl 7 หลายเดือนก่อน

    Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari

  • @ramadhanmzagira7831
    @ramadhanmzagira7831 ปีที่แล้ว

    kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike

  • @user-kg2mw1jl2h
    @user-kg2mw1jl2h 10 หลายเดือนก่อน

    Pel❤

  • @user-rg9ny6ll8o
    @user-rg9ny6ll8o 8 หลายเดือนก่อน

    Bv

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 8 หลายเดือนก่อน

    Like

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp ปีที่แล้ว +1

    Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu

  • @JohnKapwaga
    @JohnKapwaga 9 หลายเดือนก่อน

    Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,

    • @user-lq9cy3il4o
      @user-lq9cy3il4o 9 หลายเดือนก่อน

      Da; hatar

    • @Teddygeorge-ub7su
      @Teddygeorge-ub7su 7 หลายเดือนก่อน

      Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!

  • @ondb.tv593
    @ondb.tv593 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani.

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og ปีที่แล้ว +2

    Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2

  • @josephatpius5594
    @josephatpius5594 ปีที่แล้ว

    Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake

  • @aboually2472
    @aboually2472 5 หลายเดือนก่อน

    Maturubai hyo

  • @user-nv6rz3kd5p
    @user-nv6rz3kd5p 5 หลายเดือนก่อน

    Walioko jela wengi wao hawana makosa?

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 8 หลายเดือนก่อน

    Iike

  • @AbdiSekarani
    @AbdiSekarani 3 หลายเดือนก่อน

    😊😊😊😊😊😊❤😅😊

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 10 หลายเดือนก่อน +1

    ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 ปีที่แล้ว +1

    Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU

  • @JumaLichombo-ev9zi
    @JumaLichombo-ev9zi 9 หลายเดือนก่อน

    Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba

  • @SellahMohamed-it7dg
    @SellahMohamed-it7dg 7 หลายเดือนก่อน

    Pore Mwanang San

  • @user-mp5uq2mb8u
    @user-mp5uq2mb8u 10 หลายเดือนก่อน

    Mambo vp pole

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn 5 หลายเดือนก่อน

    Loho inauma

  • @user-qg8wl2gi2o
    @user-qg8wl2gi2o 7 หลายเดือนก่อน

    Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay

  • @WarwinuKaremeri
    @WarwinuKaremeri 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo mama ni shetani

  • @JamesKisabo
    @JamesKisabo 6 หลายเดือนก่อน

    Hata mm lazima nibake kwahali hyo

  • @user-us3sv3pp1t
    @user-us3sv3pp1t 10 หลายเดือนก่อน

    Mh inauma

  • @AredFered
    @AredFered 9 หลายเดือนก่อน

    Dah wafanyakaz kaz tunayo

  • @user-ss9nr1ol1d
    @user-ss9nr1ol1d 10 หลายเดือนก่อน

    Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi

  • @user-tq7xj5tr3k
    @user-tq7xj5tr3k 10 หลายเดือนก่อน

    Sipowa

  • @cosmasibundala
    @cosmasibundala 5 หลายเดือนก่อน

    Mambo vp

  • @LadslausKyandoh-ru1il
    @LadslausKyandoh-ru1il 11 หลายเดือนก่อน

    Ooe

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu.atasimama.nao
    Inshalla.watoto.wote

  • @user-fi7zr2xy3m
    @user-fi7zr2xy3m 6 หลายเดือนก่อน

    Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu

  • @ferguslyagoda4049
    @ferguslyagoda4049 ปีที่แล้ว

    Hii ni kiki?

  • @HasanOmar-c3p
    @HasanOmar-c3p 13 วันที่ผ่านมา

    Man ndochangamoto

  • @JamesAndrew-xs5bt
    @JamesAndrew-xs5bt 8 หลายเดือนก่อน

    Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.

  • @user-no2ug6td1c
    @user-no2ug6td1c 10 หลายเดือนก่อน

    mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 10 หลายเดือนก่อน

    Ufanye uchunguzi ulipwe fidia

  • @JumaCharura
    @JumaCharura 10 หลายเดือนก่อน

    Dah pol San wem s wot

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 ปีที่แล้ว

    Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?

  • @MulugaKajana
    @MulugaKajana 2 หลายเดือนก่อน

    nataka nyimbo za din

  • @LameckOSadiq
    @LameckOSadiq 10 หลายเดือนก่อน

    Angemgonga kweli ili akome

  • @frenkamosi-sz1gr
    @frenkamosi-sz1gr หลายเดือนก่อน

    Mwana mama uyo aritaka🍌. 😂😂

  • @ramadhanimaganga8068
    @ramadhanimaganga8068 ปีที่แล้ว

    Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri