SIRI YA USHETANI ULIOFICHWA /USINYWE MAFUTA YA UPAKO WALA MAJI YA UPAKO TIZAMA VIDEO HII LEO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- kabla hujatumia mafuta au maji ya upako je unafahamu kuwa mungu aliagiza haya ambayo wengi hatuyajui leo jifunze hapa siri kubwa juu ya makanisa na manabii feki!! na ni kwanini mtu akijiingiza katika makanisa haya kamwe hatoki leo usitoke baki hapa hapa
#kanisa #mwamposalive #mwamposaliveleo #mwamposamkesha - บันเทิง
Ama kwa hakika upo sawa!
Hata hutumii nguvu nyingi, lkn injili hii inapasua mawimbi na miamba. Sema baba sema. Roho wa Mungu yu juu yako.
Umetimiza wajibu wako kakang mwenye masikio na asikie Barikiwa Sana Sana
Amen 🙏 ubarikiwe ndugu
Mungu ni neno sio mafuta barikiwa sana mutumishi
Sijui kama watu watapata huu ujumbe endelea kutoa elim abayo leo watu atuna Mungu akufunulie zaidi wenda tutakwelewa 🎉🎉🎉🎉asant
Upon sahihi kaka ubalikiwe sana mung akubaliki san
Ubarikiwe mtumishi kwa ujumbe mzuri.
Mungu babaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏ndio maana roho yangu huwa nzito sna huko🙏🙏 Mungu tusaidie
Upo Sahihi Kakà Ubarikiwe Sana "
Abarikiwe kwa uposhaji?. Acheni unafiki acheni unafiki. Hosipitalini mnatoa pesa na kwa wachawi na waganga tena bila kujadili na akuna uzima. Kwa Mungu mkuu anaye wabariki na kuwalinda na mabaya yote amtaki kutoa sadaka. Mnalaana gani au nani kawaloga?. Sadaka ni sehemu ya IBADA kueni waelewa. Endeleeni kupeka sadaka kwa waabudu kuzimu na kuwekewa maagano msiyo yajua. Tambueni KAZI ya Mungu wa MBINGUNI amuwezi kuzuiya kamwe. Wanafiki ninyi.
Baraka za bwana ziwe juu yako
Amina mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi Mungu azidi kukutumia kuwatoa wengi katika minyonyoro ya kishetani
Uyu ni mtumishi wa kuzimu na ajui asemalo kabisa. Amini usiamini ndivyo ilivyo. Waliyo shindikana kwa waganga na wachawi na hosipitalini. Wamerudi kwetu nasi kukamweleza Mungu wetu tunaye mtumikia kwa jina la YESU KRISTO MWOKOZI naye akawaponya tena kabisa. Tafakari masemayo wanafikiri ninyi. Mnakula madawa ya hospitali na waganga ambayo amjui yanenewa maagano gani bila kujadili?. Sibora mara mia hayo maji na mafuta na mengine yaliyo tamkiwa jina la Mungu wetu na jina la YESU KRISTO MWOKOZI?. Acheni unafiki acheni unafiki. Kumbuka kilicho tamkiwa jina la YESU KRISTO MWOKOZI ni hai . Amen.
Asante kwa mafunzo ya kweli ubarikiwe kwa fundisho
Ubarikiwe sana
Ameee MUNGU akubaliki sana,,mtumishi wa MUNGU
YAK 5:13-15 "Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa."
Amina ubarikiwe sana
Tangu MWAMPOSA amejaza watu mkesha usioshaulika. Naona umeendelea kuwatesa sana watu. Jamani hubirini injili achaneni na maono ya watu, tumeacha kuhubiri injili kila siku kuhubiri huduma za watu mnatuboa sana
huyo mwamposa wako ametajwa wapi hapi kuwa na akili bhass
Mwenye masikio amesikia ....
Asante sana wangu akuzidishiye🙏
Acheni watu wafanyekazi mwenye kuchuja watu ni Mungu pekee .hakuna anayejitukunza bila kutumia Jina la YESU.
Kweli NI Lazima watu waijue Ili wawe Salama
Watu wangu wanaangamia kwa kujosa maarifa
Shida ni kuwa maandiko yanayoelezea kuhusu mafuta hamsomi mafuta yametumika sana kwenye biblia sema ndio hivyo watu wanapinga mafuta kwa kujificha kwenye mistari fulani ya biblia kila mtu abaki na anavyoamini kwani shida nini
Hafai kuuzwa mbali kupewa mbure
Nipe japo andiko moja 2 linalo kuongonza kutumia mafuta
Amina ubarikiwe
Barikiwa ndungu katika bwana
Good❤❤❤❤
Katika kusomasoma biblia, sijaona sehemu ambayo Yesu aliwaponya watu kwa kudai pesa kama sehemu ya uponyaji. Nitaendelea kusoma hiyo biblia huenda alidai pesa pia, sijui!
Amina
Ubarikiwe
Amen
Amen🙏
Hakika nikweli mafuta yaupako niya shetani
God bless you 🙏😍Jim😍
Wabish chukuen maandiko msome uzur anawaatajia nag vifungu
Ni kweli Tatizo watu tunavutwa na miujiza hatutaki kusoma neno . Miujiza hata shetani anafanya
ukitafuta miujiza utapata
cha kusikiliza ni Neno
na mtu anajitukuza yeye na kujisifia huyo hakika sio
Mungu ndie wa kusifiwa na kutukuzwa. pekeyake
Anayetoa utumufu ni shetanj tuuuu.
Tuangalie tusivutwe na miujiza
mtu ghafla ni mtume mchungaji kama Irine uwoya😂😂😂😂
YAK 5:13-15 "Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa."
Neno la bwana yesu linakata pande zote
Ul
Kabisa Amen
Shida Kila dini na dhehebu unavichamba sasa dini safi na ya kweli ni ipi?
Dini zote zinazomwabudu mungu Ni za kweli sasa Jitahidi umtafute na umjue mungu usimtukuze na kumwabudu binadamu
Yalitumika kwa kuuza au? Maana tunaangamia kwakukosa maarifa
Kwani mafuta ya upako hayako kwenye maandiko? Mbona tinatumia ya kupikia nyumbani shida ni nini hapo? Tuache kupigana vijembe hakuna aliyekwenda Kwa Mungu na akamwambia njia ipi ni sahihi kupita
The bible is very clear,mulipewa bure toeni bure,soma mathayi 10
Mafuta yalikuwepo lkn hayakuwa yanauzwa... hata msimuliaji amesema kuwa makini na wanao uza upako
Teddy Mwageni hao wanaopinga mafuta na maji ya upako ni wanga hao. Ndio hao waliomzushia Kiboko cha wachawi akafukuzwa. Pale wachawi wakiaibika hasa. Mafuta matakatifu na Maji ya Baraka yapo RC unapakwa ukibatizwa, ukipata kipaimara na unapozikwa, kupata upadishisho. Tunabeba maji ya baraka ktk vyupa vyeti Kanisani tunakwenda nayo home. Kwa Bulldozer Mwamposa unawezakwenda na mafuta na maji yako unaombea hata ikiwa home kupitia TV, TH-cam na watu wanatoa ushuhuda . Watu WA dini mbalimbali wanatoa ushuhuda. Maji yake anauza Lita SHS elfu moja anatengeneza kiwandani na chupa za mafuta pia. Atarudishaje gharama ya chupa za maji na mafuta akitoa bure. Hauzi mchanga hata anaombea unachukua unachanganya na wako unamwaga ktk ardhi na Shamba lako kuondoa uchawi. Watu wapo nje ya DSM mikoani na Ulaya wanafuatilia maombi Kimtandao na wanatoa shuhuda za uponywaji na mafanikio. Wao daima mitandaoni kuwasema wenzao wanaosaidia watu tena bure Kwa Mwamposa hulipii anapokushika kukuombea. Utatoa sadaka kama utoavyokanisani. Biblia inasema na kuelimisha watu. Walaaniwe hawa pumba tupu👹
We mwenywe evil.
Kaka hiyo ni riho ya woga ok tuseme YESU KRISTO naye alikuwa na roho ya utambuzi?muone alivyo mwoga
kasome biblia kwanza ndo uje na makala
Mbona akosawa shida watu wamepotea hawataki kutii neno la Mungu niwavivu wakusoma tu lakini yote yako wazi ikiwa tunaamini maneno ya Mungu kwanini tunafuata wanao tuibia maandiko matakatifu hakuna pahali Yesu Kristo aliitisha pesa eti mugonjwa anunuwe mafuta au maji wanaopotea waacheni wapoteye tu
Asomae na afahamu!!
We mwenyewe mmojawapo muongo
Msikilize vizur huyo jamaa yeye yuko sahihi
Daah wew @edinamathews7717 unasikitisha sana, huyu jamaa yupo sahih kabisa. Mungu atambariki kw hii kazi njema.
Ni kweli vitu hivyo vinaonekana kutumika kwenye biblia lakini tujiulize maswali yafuatayo: kwanza, wapi tumeagizwa kuvitumia? Pili, wapi Yesu au manabii waliuza vitu hvyo? Tatu, wapi vitu hivyo vilitumika kwa kutudia rudia?
Manabiii wa ukwelii utawajuaaa
Rudi kwa Yesu kutubu
KILA MWAMBA NGOMA, NGOZI HUBUTIA KWAKE. TUMA NUMBER YA M PESA TIGO PESA NA AIRTEL MONEY TUKUTUMIE MTUMISHI.
Ukweli mtupu ndungu
Sasa kama nilishawah kutumia then nikaacha ,najitoaje kwenye hiyo laana kaka?
Mrudie mungu mungu yupo sehemu yoyote mkuu muda wote Sali kwake ukipata tatizo mkimbilie mungu usimkimbilie binadamu
@@BONGOSTARMEDIA kanisani tusiende......tutajie manabii wa uwongo unao wajua ndo tusiende kwa church zao pls
Anza kujirekodi tutumie hapa humu humu kwenye chaneli yako tuone kwamba hautumii na kama sio wewe kuna nyuma yako ama mke wako na familia yako mmojawapo anatumia na kubariki maji ya nyumbani ya upako na unatumia kubwaikubwi 😂😂😂.hahahaaa
Sjakuelewa hpo
Kwani huwezi kuongea harak harak? Kama 7 bits? Ili story iishe haraka
Real kabsa bro wanaoamin haya mamb hakuna nabii kipind hik
YAK 5:13-15 "Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa."
Na neno halijaandika wamuuzie mtu mwenye kuhitaji kuombewa na awaite wazee wakanisa na sio awaombe!! Lakini je yaliyo andikwa katika kitabu kitakatifu cha #ukristo yanafuatwa?
Na neno halijaandikwa, "Mafuta wanayopakwa wagonwa yakachotwe bure kwenye kisima kinachosadikika chenye kutiririsha mafuta bure!" Je, Kijijini kwenu, kipo kisima cha hivyo?
Nikweli wako wengi manabii wauwongo
CHIZI na KIPOFU kabisa wewe, unatafuta followers tu
Chizi ni wewe hapo usiye jua Neno la MUNGU linasema nini
Jitafakari.. inaonesha wewe ni mmoja kati ya walionasa huko..pole sana...tunakuombea
Ukweli mtupu wa Biblia
Amen
Amen