35. MAOMBI YA KUFUNGUA TUMBO LA UZAZI | HISTORIA YA MAISHA | DELIVERANCE | MWL. ISAAC JAVAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- MAOMBI YA KUFUNGUA TUMBO LA UZAZI || HISTORIA YA MAISHA
Huu ni muendelezo wa somo la MAOMBI YA KUPONYA HISTORIA YA MAISHA YAKO. Katika siku ya leo tunafanya maombi maalum ya kufungua matumbo ya uzazi ya wanawake.
Tumbo la uzazi ni eneo ambalo shetani analiwinda sana, kwa sababu ndiyo mlango ambao Mungu ameuchagua wa kupitisha watu kuja duniani. Lakini katika maombi ya leo, tunaenda kumg'oa shetani na vyote alivyoviweka kwenye tumbo la uzazi la mwanamke.
Ninaamini Mungu anaenda kufanya kitu kwa ajili yako, na kwa jina la YESU unaenda kuwekwa huru. Mungu akubariki sana. Mshirikishe na mtu mwingine ambaye anaweza kunufaika na maombi haya.
Isaac Javan
Namshukuru Mungu sana kwa maombi ya usiku Mungu asikie maombi haya hakika
Amin bab napokea mapacha kwa jina la yesu
Amen YESU akupe kwa utukufu wa jina lake
Amina bab naitaj tu maomb yako na mim kwa iman nitapokea
Napokea mimba ya mapacha katika mwez huu March kwa jina la yesu
YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina la YESU
Amen nimebarikiwa na maombi ya mtumishi huyu🙏🏼
Namshukulu mungu kupitia maombi aya naamini nimefunguliwa Kwa jina layesu
Napokea ujauzito wa mapacha mwezi huu kwa damu ya yesu
Napokea wasichana wangu by fire by power
Amina napolea ujauzito
Napokea katk jina la yesu krist amen 🙏 nimeon mabadilik naomb maomb yak ten na yen nitume sadak kwa namba ipi
Amina napokea Kwa jina la Mungu
Amina namimi napokea❤
Amen napokea mimba mwezi huu kwa jina la Yesu
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Mungu amfungue ndugu yangu apate watoto naamini amen
Amen..pray for me
Amina apokea
😢pastor namini kilio kwangu nimhekuwa nikipata ujauzito inaharibika mimba tati kilio imefika mwisho Asante mtumishi wa mungu
Napokea mapacha wa kiume ndani ya mwezi huu Murch kwa jina la Yesu Kristo Ameen.
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Nimepokea katika Jina la Yesu Kristo amina
Amen Amen YESU akutunze
Amen napokea uponyaji watumbo langu la uzazi
Naomba no yako mtumishi hakika mungu ni mwema
+255 745 76 45 72 Mungu akubariki na kukulinda
Mungu akubariki mtumishi wa mungu nitapokea uponyaji wa tumbo langu na mungu atajibu maombi yangu nitapata mtoto amina
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake takatifu
Amen yesu msaidie mke Wang ajifungue mapach wawili wakiume uchungu ushike siku ya Leo hii katika Jina la yesu
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Napokea ujauto wa mapacha mwezi huu kwa damu ya yesu
Habar ya uzima
Amina amina❤
Nimepokea kwa imani ktk jina la Yesu Kristo Ameen
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amen 👏 napokeya watoto mapacha kwa imanim, Mungu asifiwe saaana kabisa 👏👏👏👏
Amen Amen YESU akupe haja ya moyo wako, ubarikiwe sana
Amen 🙏🏻🙏🏻
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
naamini Kwa Imani yajuu napokea ujauzit wiki hii kkupitia maombi hay Kwa jina la yesu namini naenda kupokea
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu aliye hai kwa maombi yako naamini Bwana Yesu amenifungua nipo mbali nipo nje ya Africa niombee sana naitwa Bernadetha Abel
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU akufungue na akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Naomba namba mtumishi nikupigie Nina maumivu mali ndani ya moyo wangu
Namshukulu mungu kupitia Aya maombi nimekua nikiludia mara Kwa mara kuyaomba nimemuona mungu akitenda Kwa Sasa ni mjamzito mimba ya miezi mitano
Amen Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele yote. YESU akulinde nakuombea ushindi. Utajifungua salama kwa jina la YESU
DAMU YA YESU ikafungue tumbo la dadangu la uzazi KWA JINA LA YESU abee ujauzitooo 🙏🙏
Amen Amen YESU amfungue na ampe ushindi mkuu
Bwana anikumbuke miaka 10 sasa naenda nami kupilea uzao wangu ❤❤❤❤❤
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
kwa maombi aya naamini nimepona kwa damu ya Yesu Kristo wa Nazaleti aliye hai. asante xana mchungaji Mungu akulinde.
Amen Amen na iwe kwako kwa jina la YESU. Damu ya YESU ikufunike na kukulinda daima. Ubarikiwe milele yote
Napokea watoto mapacha katika jina la yesu
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Amina naamini nimepokea
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Nimepokea amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Nmebbarikiwa sana mtumishi wa mungu ahsate
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
😮Nina miaka 10 kwenye ndoa sjapata mtoto Damu ya Yesu inifungue leo😢😢
Amina napokea uzima kwenye tumbo langu la uzazi
Amen YESU akupe ushindi mkuu
Amen I receive my child in Jesus name be blessed Man of God 🙏🙏🙏
Amen my daughter, be it done to you in Jesus name.
Mungu akubariki naamini nimefunguliwa tumbo langu la uzazi napokea mtoto WA kiume mwezi huu naitwa queen naambatanisha na sadaka yangu amina
Amen mwanangu YESU atukuzwe sana. Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako.
Ubarikiwe mtumishi Mimi ni shida ya kuzaa kwa operation naomba msaada wako mtumishi
Asante Bwana Yesu naamini utanipa wimbo mpua na mm maziwa yangu yatanyonyesha mtoto
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen asante YESU napokea mapacha kwajina la YESU
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
YESU akupe haja ya moyo wako. Pokea kwa jina la YESU
Barikiwa saaaana na mungu wambinguni akutunze zaidi wewe na familiya yako
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen. Asante Yesu napokea uponyaji katika tumbo la uzazi 🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Damu ya yesu ni fungu kizazi changu amina
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen napokea uponyaji katika jina la Yesu
Amen mwanangu, YESU akubariki na kukupa amani na ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Napokea in Jesus name
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante sana Mungu akubaliki.
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Barikiwa sana sana
Amen mwanangu ubarikiwe pia na BWANA YESU milele
Napokea kwa jina la Yesu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen 🙌 nimepokea Kwa jina la yesu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
I recieve a child in Jesus mighty name 🙏
Be it to you according to your faith, in JESUS name
Amen
You are not from Kenya?
Sandaka tutuma aje?
Are you Charles gwaro okerio?
@@lucymutua9525 No, Isaac Javan
Amen Amen god bless you
Amen thank you, God bless you too
Amen 🙏 🙏 🙏 God bless you
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mungu akubariki mtumishi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina nafunguliwa
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Nimeolewa na miezi miwili ktk ndoa ndoa yangu Haina Aman sabb sijapata mimba kupitia maombi haya napokea kufunguliwa ktk jina la Yesu Kristo napokea mimba ktk damu ya Yesu ameen🙏🙏🙏
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa na BWANA YESU. Nakuombea YESU akupe haja ya moyo wako.
Miez 2 tuu😢 tupo hap tun miaka jmn huyo mwanaume mbona hana hofu ya Mungu
Asante kwa maombi
Ni miezi 2 tu daaa Mungu akusaidie
Mungu akusaidie
Amen nmepokea kwa JINA LA YESU🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU na uzidi kutembea katika uzima na ushindi mkuu ndani ya KRISTO YESU
Amen🙏🙏
Amen Amen nabarikiwa
Amen Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na kuhudumiwa na BWANA YESU
Amen,napokea kwa jina la Yesu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Asante kwa maombi napokea watoto wangu kwanzia leo
Nime pokeya kwa jina la yesu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mungu azidi kunena nawe muchungaji maana tumefunguliwa nakushinda wachawi naroho ZA majiniwakichawi
Amen Mungu akubariki sana na YESU azidi kukushindia daima
MUNGU wape uzao wa mapacha wa kike na wakiume nifanyie rafael sanga lashack Adam Nguvila Neema yako damu ya YESU iwafungue
Amen 🙏
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Maombi yamenipa majibu apa apa tumbo lilikua linauma mungu Yu mwema siamin limepoa kabisa nimepokea miujiza huu mwez nitabeba mimba Kwa jina la yesu
Amen Mungu akubariki na akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake takatifu
Napokea uponyaji wa kizazi la tumbo langu
Amen mwanangu, pokea ushindi wako kwa DAMU ya YESU
amen napokea uponyaji katika tumbo langu la uzazi
Amen mwanangu YESU akutendee makuu
Baba nashukuru kwa jina la yesu maana umenipa wimbo mpya
Amen baba napokea mimi nisha kata tamaaa ya uzazi nateseka sana nimebalikiwa nitatuma sadaka yangu
Naomba jina kamili kama nikituma sadaka
Be blessed pastor
Amen God bless you my daughter
Nimepokea mapacha kwa jina la yesu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
@@IsaacJavan nimeteseka sana baba kwenye ndoa yangu kutokuzaaa kwa imani napokea uponyaji
Ameen🙌
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
@@IsaacJavan ovhb
u k g
j
Amen amen amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
@@IsaacJavan amen
Ameeen ameeen
Amen Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen Jesus name
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Namshukuru sana MUNGU aliyeniambia niingie kwenye TH-cam na kusearch maombi ya uzazi.
Nimebarikiwa sana na ninaamini nimepona.natuma sadaka yangu Kwa wakala Leo.Mungu akubariiki Mtumishi wa Mungu.nina amani.
Amen Amen YESU azidi kukuonekania na kukushindia kwa utukufu wa jina lake takatifu
Ameen baba
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
ni miaka 13 sasa wifi yangu hajabahatika kuongeza uzao kazunguka kwenye hospital amechoka sasa MUNGU mkumbuke damu ya Yesu imfungue tumbo lake apate watoto mapacha 3 wakiume 1 wakike wawili
Baba kuna vitu vinatembea ukiwa unaniombea naona kugguliwa na kupokea watoto natuma sadaka yangu tarehe 24 naomba maombi tena na tena theresia James Peter
Mungu akubariki na kukupa haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina la YESU
MUNGU naomba inene mema juu nifanyie rafael sanga na lashack adam nguvila MUNGU wajalie uzao wapate watoto watakaozunguka meza yao
Amen
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen napokea kwa jina la YESU 🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen amen .Nimefunguliwa
Amen mwanangu, sifa kwa YESU
Amen 🙏🏾
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeen ❤
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen
Amen
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU kwa baraka za milele yote
@@IsaacJavan napokea baraka hizo kwa jina la YESU
Amen
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeen 🙏🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen ...
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
P
Pp
Amen and amen 🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
@@IsaacJavan Mungu pigania ndoa yangu
Mungu nisaidie nitoe uchungu ndani yangu
May Almighty God bless you servant of God for your prayers , may God bless my womb