Dah! Nimeipenda sana hiyo shule.Ina mazingira mazuri, halafu safi kinoma.Big up mkurugenzi wa shule, mkuu wa shule na walimu wote pamoja na wafanyakazi wengine wa shule hiyo.👏👏👏👏
Just love the part of supplementaries😂😂🔥🔥. It's a great idea,,,, I think I need a job in KEMEBOS. This is not just investment but also a great blessing to the founder of KEMEBOS,,, pure heart,, a man of development,,we need more of him in TANZANIA 🔥🔥.
Shule Ni nzuri Mwanangu amesoma hapa amepata Div 1.7 F4 Hongereni sana sana. Mambo ya kuboresha: -Wekeni muda wa watoto kucheza -Wekeni Extra curricular training activities ili Kuibua na kukuza vipawa ; Kama Music, Arts etc -Punguzeni kuchapa watoto tumieni positive Discipline. Non Teachers staff wasipige watoto. All ni all kazi yenu nzuri sana.
Well the school is doing great … but this is the problem of Tanzanian education we all focus on divisions one two or three extra … having general skills will be more important cos the sad part is there is not enough jobs out there at the min unless you can employ yourself… the whole education system needs looking completely
Yani feza ni wasenge tu kwa kaizilege mahana ada ya feza ni kubwa zaidi ya m10 kwa mwaka na ya kaizilege ni ndogo sana m3.5 lakini ina kuwa ya kwanza kitaifa duuuu
👏👏👏👏Duuuuuuu hongereni sana pamoja na yote kuwa mazuri nimependa sana hilo la kutokuchapa watoto maana walimu wengi wanapiga sana watoto jamani mimi mwakani namleta mwanangu kwa nyeupe kabisaaaaaa
Mfumo wa elimu Tanzania ulitakiwa wote ufumuliwe na usukwe upya , mitihani na elimu ya Tanzania haijengi na kuchochea udadisi na ufikiriaji yakinifu. Ni mfumo wa kukalili ili kufauli mtihani ndio maana nchi haizalishi wanasayansi wengi na wabunifu na wagunduzi
Yaani ni maumivu ya mawazo yangu kila siku....huu ni mfumo wa kikoloni ambao walifanyia kazi wakajua kabisa kuwa Africa itaendelea kuwa tegemezi,mfumo ambao tumeurithi toka Kwa wazungu viongozi hawajawahi kuwaza kubadirisha mfumo huu ambao bado unaendelea kufunga ufahamu wa akili zetu..... Hii serikali yetu Bwana
@@sweetbertrwiza5982 ndo uwaze hapo sasa,mtaji anautoa wapi na kasomeshwa Kwa kuungaunga na wazazi wake,wameuza pombe mpaka akili zimeingia ganzi,wakiamini kuwa mtoto atakuja kupata kazi apunguze umaskini nyumbani...... Haya maisha sio jaman tutaishia kuteseka kwakweli
Aiseeee inashawishi , inavutia, inakufanya ufikirie juu ya haya kazi nzuri kaka hongeraa sanaaa hizi shule big up sanaaaaaaaaaa kwa mmiliki na walimu wa ujumla
Wow that is a good strategy.,hii shule haipo mbali na nyumbani, nafurahi kuona hizo mbinu nyingine zipo kama za huku nje.Asante millard Ayo,iam your big fun.greetings toka USA.
Yaan amna mbinu nyingne za ufaulishaji zaidi computation kwa wanafunzi wenyewe na fimbo juu .I really love that school ndo imenifanya nisimame hapa nilipo
Mwenye Shule amefanya jambo kubwa sana ila kuna jambo moja mmiliki huyo wa shule alichoshindwa, Ameshindwa kuzalisha matoleo ambayo yatafanana na yeye au kuwa zaidi yake. Matoleo anayotoa kwa sasa ni watu wanaofaulu mtihani, waajiriwa watakaojificha chini ya kivuli cha Ajira za Serikali au kivuli cha watu wanaofanana na mwajiri huyo ila sio watu watakaofikia kiwango cha mmiliki huyo au kuwa zaidi yake na kuleta mabadiliko kwenye jamii iliyowazunguka kama alivyofanya mmiliki huyo.
Dah! Nimeipenda sana hiyo shule.Ina mazingira mazuri, halafu safi kinoma.Big up mkurugenzi wa shule, mkuu wa shule na walimu wote pamoja na wafanyakazi wengine wa shule hiyo.👏👏👏👏
th-cam.com/video/3GyDw7shVsA/w-d-xo.html
Just love the part of supplementaries😂😂🔥🔥.
It's a great idea,,,, I think I need a job in KEMEBOS.
This is not just investment but also a great blessing to the founder of KEMEBOS,,, pure heart,, a man of development,,we need more of him in TANZANIA 🔥🔥.
Mwamba kaishia std 7 tu. Kaajili watu wenye masters, kama hakuna ulichojifunza apo bas tena
Hahahahahahah Kaka P
kabisa apo utumie akili tuu sio kusoma ili uje kuajiriwa na serikali
Shule Ni nzuri Mwanangu amesoma hapa amepata Div 1.7 F4
Hongereni sana sana.
Mambo ya kuboresha:
-Wekeni muda wa watoto kucheza
-Wekeni Extra curricular training activities ili Kuibua na kukuza vipawa ; Kama Music, Arts etc
-Punguzeni kuchapa watoto tumieni positive Discipline. Non Teachers staff wasipige watoto.
All ni all kazi yenu nzuri sana.
Dah wanapiga hao mdg wang kidg wamuue
Mbona kasema hawachapi bila kibali
@@christinagideon961 muongo huyo hyo shule kwnz kuna waganda wengi xn ndo waalimu wa hapo na unawajua vzr wajukuu wa iddi Amin dadaa
Shida inawezekana hopo kuna watoto wa matajiri ndio maana wanaogopa kuchapwa wamezoea kudekezwa, na usipowachapa wanakuwa legelege wacha wanyukwe
@@christinagideon961 hawwzi kusema tunachapa Sana Ila kwa maelezo ya anaetafuta viboko anavipata jibu tosha
Hongera Sana mmiliki na walimu kweli kazi yenu ni njema Sana. Mungu awabariki sana. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
MASHAALLAH MUNGU ambariki sana AMIN AMIN AMIN
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is very impressive for a school director hongera Sana bazuu
Well the school is doing great … but this is the problem of Tanzanian education we all focus on divisions one two or three extra … having general skills will be more important cos the sad part is there is not enough jobs out there at the min unless you can employ yourself… the whole education system needs looking completely
Brother millard Ayo tunashukuru kwa habari mzuri💥💥
Hongera sana mzee Kaizirege
Wagila mayo
Niko Kenya ila natamani Sana mwanangu asomee hiyo shule. Hongera Sana Mzee mkurugenzi💪💪💪.
Nime fanya kazi apo namkubali sana mkurugenzi ukiwa na shida anaga kinyongo anakupa zaid ata ya mshala wako
Ila shule zingne Kila cku vitisho Kwa wafanyakazi
Naomba mawasiliano ya hapo shule namba zao
Yani feza ni wasenge tu kwa kaizilege mahana ada ya feza ni kubwa zaidi ya m10 kwa mwaka na ya kaizilege ni ndogo sana m3.5 lakini ina kuwa ya kwanza kitaifa duuuu
👏👏👏👏Duuuuuuu hongereni sana pamoja na yote kuwa mazuri nimependa sana hilo la kutokuchapa watoto maana walimu wengi wanapiga sana watoto jamani mimi mwakani namleta mwanangu kwa nyeupe kabisaaaaaa
Wana chapa mnooo km mtt haelewi.mm ninawatt hpo na nimekuwa na kesi mara nyingi ya kuchapiwa wtt kikatili.baadhi ya waalimu cjui ni mijaluo?
@@rosemarysulle9288 😳😳😳😳
@@rosemarysulle9288 watoto wako hawaelewi?
Mfumo wa elimu Tanzania ulitakiwa wote ufumuliwe na usukwe upya , mitihani na elimu ya Tanzania haijengi
na kuchochea udadisi na ufikiriaji yakinifu. Ni mfumo wa kukalili ili kufauli mtihani ndio maana nchi haizalishi wanasayansi wengi na wabunifu na wagunduzi
Yaani ni maumivu ya mawazo yangu kila siku....huu ni mfumo wa kikoloni ambao walifanyia kazi wakajua kabisa kuwa Africa itaendelea kuwa tegemezi,mfumo ambao tumeurithi toka Kwa wazungu viongozi hawajawahi kuwaza kubadirisha mfumo huu ambao bado unaendelea kufunga ufahamu wa akili zetu..... Hii serikali yetu Bwana
@@lovenessandrew9121 Kiukweli hilo nalo ni janga kwa Taifa.
Halafu mtu anasoma anafaulu vizuri mwisho wa siku anaanza kutafuta kuajiajiliwa!!
@@sweetbertrwiza5982 ndo uwaze hapo sasa,mtaji anautoa wapi na kasomeshwa Kwa kuungaunga na wazazi wake,wameuza pombe mpaka akili zimeingia ganzi,wakiamini kuwa mtoto atakuja kupata kazi apunguze umaskini nyumbani...... Haya maisha sio jaman tutaishia kuteseka kwakweli
Kuna cha kujifunza hapa... hongeraa sana Mkurugenzi na team yako.
Kazi nzuri Sana kaizilege na kemebos, Pia Asante Sana Millard Ayo kwa makala hii nimejifunza mengi🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Huyu mzee ajengewe sanamu
kusoma sio ishu ishu maisha kwakweli unaweza ukasoma na usiwe na plani kwakweli nimejifunza kitu..hapa
Hongereni sana mkuu. Ni mfano wa kuigwa na wawekezaji wengine.
Safi sana, kweli hakuna mtoto mjinga. Muhimu ni Malezi tu! Shukrani sana Ayo TV, hii interview ina kiwango cha Hali ya juu.👌
Hii makubaliana nayo nimewahi.kuwa na mtoto WA wifi yangu alifiwa na mama akabaki na wa kambo alipata zero nikakaa naye akamaliza na 2 form 6
Aiseeee inashawishi , inavutia, inakufanya ufikirie juu ya haya kazi nzuri kaka hongeraa sanaaa hizi shule big up sanaaaaaaaaaa kwa mmiliki na walimu wa ujumla
Wawooooo....Mashaalah. Serikali njooni mjifunzee hapa
Mmmh! Mbona izo mikakati ya kawaida tu
Na matokeo ya form 6 bado mmeshikilia nafas ya kwanza kitaifa hongeren sana
Millardayo:Kun walimu wenye masters hapa?
Mwalim mkuu: Ndiyo ikiwemo na mimi mwenyewe tunao walimu 9 wenye masters😆😆😆😆😆😆😆😆😆💪💪💪
😂😂😂 noma sana. Watu wengi wanadhani ualimu ni kazi ya waliofeli kumbe ni tofauti sana
Mungu ambariki huyo mwekezaji
MUNGU AKUBARIKI
Nimependa mazingira rafiki yenye madhari na miundombinu ya kutia hamasa ya kusoma, hongera kaisare
Kwa kweli
Mkuu wa shule anafafanua vizuri Sana Hadi raha
Wow that is a good strategy.,hii shule haipo mbali na nyumbani, nafurahi kuona hizo mbinu nyingine zipo kama za huku nje.Asante millard Ayo,iam your big fun.greetings toka USA.
Muonekano wa shule, usafi yani baba huyu Big Salut 🤠🤠🤠
Hongera Sana shule ya Kaizirege, kweli kazi inafanyika
Namjua vizuri alikua dereva gari yake alikua anaendesha gari kwende lzimbya
Yusto nimempenda sana, mwenyezi mungu amlinde😭😭
Hapo Kwenye suala la Ada nmewakubaliiiii Huwa inatuaribu Sana kisaikolojiaaa kweny suala la kudaiwa
Aisee hongereni sana Mungu awabariki sana na huu uwe mfano kwa shule zingine
Serikali nayenyewe ijitahidi maana wanafunzi wa shule za serikali majanga tu.
Yaan amna mbinu nyingne za ufaulishaji zaidi computation kwa wanafunzi wenyewe na fimbo juu .I really love that school ndo imenifanya nisimame hapa nilipo
UBaarikiwe sana Mzee Kaizerege. Hongera sana
Mtu mwema sana ni tajiri wa asili ana mbwembwe na huyo mwanalimu mkuu ni mtu poa sana pahala hapo lazima pawe na bless
Imenichallange kiakili bigup kwa kipindi cha leo..
Mwalimu huyu yuko vzr big sana teacher
Milion tatu😳🤔 mi nilifikiria itakuwa labda mamilion kum na kuendelea uko 🙆♀️ aise wapo vizur sana mungu ampe umri mrefu uyu baba
Hongera sana mkuu wa shule kwa uongozi wako bora akiwemo mwenye shule.Naomba namba ya simu.
Dah! Amegusa moyo wangu.
Keep it up mwamba
Amazing man.....i do booking for my son in next 3years to come
Nshomile njooni hapa. Huyu mzee anatuinua Abahaya.
Muno munonga, let's keep the ball rolling.
Amazing protols, kama juli ughaibuni 👏👏👏👏👏
THE BEST STRATEGY FOR A SUCCESSFUL SCHOOL!! PROUD TO KNOW THERE'S A TANZANIAN DOING AN AMAZING JOB IN CHAMPIONING A NO.1 SCHOOL IN TZ
Mtembelee na mmiliki wa chuo cha Mbalizi polytechnic (mbeya) aliishia darasa la nne.
Work hard as a slave and ...you will live like king.
If you had a best school this is the one.best of the best
Kaizirege wagira mayo. Shule hii iwe ni mfano wa kuigwa Tanzania.Wizara iamie pale ijifunze.
Kwakweli brother
Serikali iliisha enda pale kwa Siku 7 za Kazi ukiondoa Siku za mapumziko,pia wamepeleka wabobezi wa usimamizi wa mitihani Taifa mara kadhaa.
Our school 🔥🔥@class of 2019
Ila hii chanel naipenda sana Millardy ayo Mungu akubariki Sana,ipo siku nitawaita mje muone mafunzo nilojifunza kwenu, maana nanijenga mno
Mungu akubariki sana sana ... Nimefurahi mno
Ana akili zakuzaliwa na siyo za darasani! Hiyo ni very mportant!
Hongera kwa mmiliki wa shule mungu azikumuongoza
Hahahaha😂😂😂hata mie tuu ningekaza butiii aisee nan asiependa zawad nchii hiii anyooshe mkono nimwoneee nimeipenda sana
daaaaah, nzuri sanaa
Kongole kwa omukama wote..!!
Hii shule usisimuliwe binafsi nimefurahi sana Sana
Hongora sana kaizilege shule iyo nimeikubari sana Mungu akubariki sana
Mwenye Shule amefanya jambo kubwa sana ila kuna jambo moja mmiliki huyo wa shule alichoshindwa, Ameshindwa kuzalisha matoleo ambayo yatafanana na yeye au kuwa zaidi yake. Matoleo anayotoa kwa sasa ni watu wanaofaulu mtihani, waajiriwa watakaojificha chini ya kivuli cha Ajira za Serikali au kivuli cha watu wanaofanana na mwajiri huyo ila sio watu watakaofikia kiwango cha mmiliki huyo au kuwa zaidi yake na kuleta mabadiliko kwenye jamii iliyowazunguka kama alivyofanya mmiliki huyo.
Just another way of looking at it(quite allowed). But the word 'ameshindwa' has been misplaced
/Misused here.
Amazing ❤️❤️
Shule nzuri sana hiyo, hongereni
Inspired 💪🙏🏼
Mnafanya vizuri sana ila naomba uwekeze pia iwe university ndo habari nzuri na siyo vyuo vya kati
Big up kwa wahaya🙌
Appreciate Kemebos
Wauw, big up baba kaizerege 👏👏👏💪
Mashallah ALLAH barik am on the way..
Woow safi saana nimependa shule yenyewe 🇶🇦🇹🇿
Uyu jamaaa kiboko aise daah living legend 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥 My best school 👏👏👏
Daaaah...... nimeipenda sana hii shule aisee
Hongera kwa mwl mkuu, anajua kujieleza kwakweli na kueleweka. Ila rafudhi yake sasa
🤣🤣🤣rafudhi
Lafudhi bhn sio rafudhi
Ongera Mr kaizilege jambo jema Mwenywzi Mungu akujarie 🤲
Hayoo ni mkulugenzi mwenye utu wa kipekee mungu amlinde palikiwa babaa
Hongereni sana!
Wow mashallah
Safi sana Kaizirege, kwenye viboko na ada nimeelewa sana
very interesting
Shule Ina mazingira mazuri ya usomaji . Hiki ni kigezo Cha kwanza. Conducive environment. Kudos 🔥🔥🔥🔥🔥
hongera sana kwa mwenye shule. yuko makini sana na biashara yake
Perfect!
Kuna cha kujifunza hapa hongera sana mkurugenzi pamoja na team yako
God Bless Mzee Kaizerege
Perfect
Mungu awabaliki walimu
Safi sana mzee Kaizilege, ongera sana .., Kagera one ...
KWA KWELI NI SMART SMART SANA🤝🤝🤝
Mkuu wa shule anaongea kiswahili cha kihaya
Nilitaka niseme hvyo hata mimi
Divizheni WANU😅
Wewe kama ni mtoto nitakuelewa lakini kama ni mkubwa basi ni kubwa jinga maana komenti yako ya kijinga.
Mchanga ataongea chakichaga...msukuma ataongea
kiswahil ataongea kiswahil chakisukuma....sasa wewe unaongea nni???
@@asumaathuman6094 kweli
Ukiwa na ela peleka mtoto akasome haijalishi ata fika wapi daah hiyo shule hatar
Mupo vzur na hongeren
Hivi nyie mnawajua WAHIGHER😂😂🙌🏻🙌🏻
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bahaya bana maeraaa
Safi sana Mungu ambariki sana huyu baba na amebarikiwa
Very smart
Daah kwakweli hata zawadi zinashawishi kusoma na kufundisha vizur
Hii ya ada! Dah! Imenigusa
Noma sanaaa mzeee kaizeregee
Manshalah manshalah manshalah mungu azid kuipa sifa shule hiyo