KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2022

ความคิดเห็น • 513

  • @NGOWI-TZ
    @NGOWI-TZ ปีที่แล้ว +6

    Kaka hongera sana umenipa somo hapo ulipo anza na lori moja na poamoja ya kwamba baba yako ni dereva lakini ukaamua kupa mtu mwingine kama derava na baba kumpa cheo cha usimamizi na kazi ikaenda vyema kabisa 🥰

  • @suzanamushi4567
    @suzanamushi4567 ปีที่แล้ว +16

    Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib

  • @abdullahomar8092
    @abdullahomar8092 ปีที่แล้ว +10

    Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini

  • @gradientlife
    @gradientlife ปีที่แล้ว +5

    Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 ปีที่แล้ว +14

    Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie

    • @rodashadrack9474
      @rodashadrack9474 ปีที่แล้ว

      Malori 100 tu

    • @bennymsigwa1527
      @bennymsigwa1527 ปีที่แล้ว

      KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 ปีที่แล้ว

      @@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 ปีที่แล้ว +13

    Mashallah.
    Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 ปีที่แล้ว +2

      Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 ปีที่แล้ว +2

    Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 ปีที่แล้ว +11

    Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk

  • @laisamally3736
    @laisamally3736 ปีที่แล้ว +7

    Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib

  • @user-th1il3zt7o
    @user-th1il3zt7o 27 วันที่ผ่านมา

    Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako

  • @fadhilikiyungi1741
    @fadhilikiyungi1741 ปีที่แล้ว +2

    Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 ปีที่แล้ว +2

    Masha ALLAH Tabarakallah

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 ปีที่แล้ว +9

    Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤

  • @mosesarapkoibei9923
    @mosesarapkoibei9923 ปีที่แล้ว +10

    Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 ปีที่แล้ว +10

    Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah

  • @glorylyimo_
    @glorylyimo_ ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 ปีที่แล้ว +11

    Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU

    • @Cao_ZeKai
      @Cao_ZeKai ปีที่แล้ว +1

      sasa hapo tena Yesu kafata nini?

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 ปีที่แล้ว

      Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 ปีที่แล้ว

      Bila kutoka jasho.mmmm,!!

    • @barakachalres9316
      @barakachalres9316 ปีที่แล้ว

      AMEEEN

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 ปีที่แล้ว +2

    Aisee, hongera sana kwake.

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin

  • @peterkasenga8404
    @peterkasenga8404 ปีที่แล้ว +7

    Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 ปีที่แล้ว +31

    Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽

  • @richardkajembe6939
    @richardkajembe6939 ปีที่แล้ว

    Great brother 🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏congratulations

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 ปีที่แล้ว

    Mashallah M.mungu akulinde

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana twaribu.

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 ปีที่แล้ว

    BarakaLLAHU LAKA

  • @janatiitungo7338
    @janatiitungo7338 ปีที่แล้ว +1

    Masha'Allah

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 ปีที่แล้ว +2

    Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 7 หลายเดือนก่อน

    Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 ปีที่แล้ว +5

    Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂
    Ukweli hawausemagi

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 ปีที่แล้ว

    Inatufariji Sana aisee kwa hili hongera Sana bro

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 ปีที่แล้ว +10

    Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    Awesome

  • @khamissubira9411
    @khamissubira9411 12 วันที่ผ่านมา

    Mimi nipo. Zanzibar Mwalimu. Hassan. Ali. Panga. Imamu. Mkuu. Masjid. Shuura. Uliopo. Wilaya. Ya. Mjini. Kijiji. Cha. Muembe. Makumbi. Sheia. Ya. Masumbani. Inshaallah nahitajia. Nambari. Ya. Simu. Ya. Twalib. Abdull. Hussein

  • @dayana5513story
    @dayana5513story ปีที่แล้ว

    God bless you bro,kijana ata mafuta ajapaka 🙌🙌🙌

  • @abdullyathuman1425
    @abdullyathuman1425 ปีที่แล้ว +6

    He's so innocent but anyway congratulation brother

    • @alfredinaperent26
      @alfredinaperent26 ปีที่แล้ว

      Hongera kijana kweli Manisha nikupambana kaza buti

  • @hadithizetutv
    @hadithizetutv ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa hadithi

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +1

    Big up bro. I appreciate

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 ปีที่แล้ว +52

    Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 ปีที่แล้ว +4

      Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara

    • @jabirjabir4652
      @jabirjabir4652 ปีที่แล้ว +1

      Kweli sioutani

    • @shabanialfani5394
      @shabanialfani5394 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa

    • @ngwelesalu8348
      @ngwelesalu8348 ปีที่แล้ว +1

      @@shabanialfani5394 250M

    • @shamimuabdallah8801
      @shamimuabdallah8801 ปีที่แล้ว

      Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa

  • @salimkweka
    @salimkweka 3 หลายเดือนก่อน

    Awwb naomba kurudi chuo mwaka mmoja brother tatizo adda

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana bro

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 ปีที่แล้ว

    Hongera sana br utafika mbali

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 ปีที่แล้ว

    Mashaallah 🙏

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 ปีที่แล้ว

    MashaAllah 👍🏽

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว

    Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲

  • @jerichomwandenje3657
    @jerichomwandenje3657 ปีที่แล้ว +3

    Naomba kazi mwee

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 ปีที่แล้ว +21

    Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.

    • @alexchungu6263
      @alexchungu6263 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize

    • @sarafinaoscar1360
      @sarafinaoscar1360 ปีที่แล้ว +1

      @@alexchungu6263 🤣🤣

    • @andiqueantonio3377
      @andiqueantonio3377 ปีที่แล้ว +1

      Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 ปีที่แล้ว +6

    Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa

  • @kelvin8831
    @kelvin8831 ปีที่แล้ว

    Hongera brother

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli6342 ปีที่แล้ว

    ALLAH akuzidishi pia usihau dini yako toa kwa ajiri ya ALLAH utafanikiwa

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 ปีที่แล้ว +1

    JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Ujumbe Mzuri sana Hongela Sana

  • @lawrencmagwaja9480
    @lawrencmagwaja9480 ปีที่แล้ว +6

    Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao

  • @sadiqahmed5216
    @sadiqahmed5216 ปีที่แล้ว +3

    Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????

  • @hedwigjohn6276
    @hedwigjohn6276 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Twalib

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako

  • @husnasamdia4176
    @husnasamdia4176 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kaka.

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 ปีที่แล้ว +16

    Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.

  • @saulomaganga6259
    @saulomaganga6259 ปีที่แล้ว

    hongera sana kaka

  • @masudially4669
    @masudially4669 ปีที่แล้ว +1

    Big up to my bro

  • @zahariasongolo9362
    @zahariasongolo9362 ปีที่แล้ว +2

    Afu jamaa Wala hujisikii mashaallah

  • @janechristophermkumbi9046
    @janechristophermkumbi9046 ปีที่แล้ว

    Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah

  • @jinamabrio-duel8894
    @jinamabrio-duel8894 ปีที่แล้ว

    Great👍

  • @zawadisospeter827
    @zawadisospeter827 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.

  • @mohamedsalum378
    @mohamedsalum378 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana bro,Mimi namawazo namba ntapataje,tatizo mtaji

  • @binally1alkindy511
    @binally1alkindy511 ปีที่แล้ว +1

    Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 ปีที่แล้ว +1

    Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.

  • @RioIpo
    @RioIpo ปีที่แล้ว

    Masha Allah Twalibu

  • @zainab8251
    @zainab8251 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka

  • @yusuphjonas2988
    @yusuphjonas2988 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 ปีที่แล้ว +1

    Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏

  • @aishashaibu4772
    @aishashaibu4772 ปีที่แล้ว +1

    Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele

  • @salimsaid9852
    @salimsaid9852 ปีที่แล้ว

    Allah baarik fiiyka

  • @issaadinaniissa6487
    @issaadinaniissa6487 ปีที่แล้ว

    twalibu abdul, sean king ston

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 ปีที่แล้ว

    Mashaaallah

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa Yuko vzrii.sio rahis kama a mnavo fikriaa

  • @fredikigodi4372
    @fredikigodi4372 ปีที่แล้ว

    Naomba kazi

  • @zawadisospeter827
    @zawadisospeter827 ปีที่แล้ว

    Hongera sanaaaaaa

  • @petersmart8107
    @petersmart8107 ปีที่แล้ว +46

    Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake
    Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana

    • @janemhangomhango5841
      @janemhangomhango5841 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣 bola iwe kweri

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 ปีที่แล้ว +2

      Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 ปีที่แล้ว +5

      Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana

    • @kibabumlelwa71
      @kibabumlelwa71 ปีที่แล้ว +3

      Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 ปีที่แล้ว +1

      @@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +1

    Kaka naomba kazi. Nitakua muaminifu

  • @machajeremia7870
    @machajeremia7870 ปีที่แล้ว

    Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 ปีที่แล้ว

    Kongore kaka, Allah bless you and Ayo Tv

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mungu azidi kukuinua nasisi pia ameen

  • @consolatambuya4370
    @consolatambuya4370 ปีที่แล้ว

    Good work

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana mungu mwema

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 ปีที่แล้ว +2

    Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 ปีที่แล้ว +2

    Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2

  • @robertraulence2445
    @robertraulence2445 ปีที่แล้ว

    Jamaa yangu hongera sana

  • @AhmedMohammed-vm2sf
    @AhmedMohammed-vm2sf ปีที่แล้ว

    Absolutely

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 ปีที่แล้ว +5

    Wakwanza nipeni like... Hongera sana milionea

    • @japhetadelard9465
      @japhetadelard9465 ปีที่แล้ว

      Ndio wewe ni wakwanza hatujakataa .

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 ปีที่แล้ว

      Uzipeleke wapi hizo like

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc ปีที่แล้ว

      Like zinakusaidia nini wewe zwazwa? Watu wanatafuta pesa kuwa mabilionea wewe unaomba likes

    • @masala04official22
      @masala04official22 ปีที่แล้ว

      @@Burner_Acc 😂😂😂😂

  • @adamathumani7737
    @adamathumani7737 ปีที่แล้ว

    Hongera broo mungu mkubwa tutafika huko japo robo

  • @alphoncekihwili
    @alphoncekihwili ปีที่แล้ว

    Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana

  • @hgltv5336
    @hgltv5336 ปีที่แล้ว +2

    Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake.
    Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏
    barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅

  • @jeremiahkaliwa741
    @jeremiahkaliwa741 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 ปีที่แล้ว +1

    amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏🙏

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 ปีที่แล้ว

    Duh hongera sana jamani