#MadeinTanzania

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Hapa hapa katika Tanzania yetu, kuna kiwanda kinachotoa suluhisho la kuondoa ugumu wa kujenga na kutumia rasilimali nyingi katika ujenzi. Teknolojia ya Mega Panel, inayotumia Maboya kutengeneza nyumba kama hizi na unaambiwa kuta zake hudumu kwa miaka 85-100.
    ⠀⠀
    Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
    Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
    Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
    SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!

ความคิดเห็น • 479

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 ปีที่แล้ว +11

    Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 4 ปีที่แล้ว +11

    Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu.
    Kazi nzuri

  • @montanaprime
    @montanaprime 4 ปีที่แล้ว +5

    Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 ปีที่แล้ว +4

    Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi.
    Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l ปีที่แล้ว

      Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 9 วันที่ผ่านมา

    Well done.... ! Maelezo ya Meneja yamejitosheleza

  • @officialyohanamalisa1873
    @officialyohanamalisa1873 7 หลายเดือนก่อน +1

    Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji

    • @aminapazi3694
      @aminapazi3694 4 ปีที่แล้ว

      kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je

    • @mansooralmahruqi885
      @mansooralmahruqi885 4 ปีที่แล้ว +1

      USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

      Haujui sababu unalabwajika tu

    • @kamanda007
      @kamanda007 11 หลายเดือนก่อน

      @@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie

  • @yusufhassan5
    @yusufhassan5 4 ปีที่แล้ว +7

    Old is gold ! Matofali is the best......
    haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !

    • @jacksonmawole4029
      @jacksonmawole4029 4 ปีที่แล้ว +3

      Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga

    • @khalidgugu4964
      @khalidgugu4964 4 ปีที่แล้ว

      @@jacksonmawole4029 haaaaa

    • @yusufhassan5
      @yusufhassan5 4 ปีที่แล้ว

      @@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว

      @@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 ปีที่แล้ว

      Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh

  • @JK-bi2jl
    @JK-bi2jl 4 ปีที่แล้ว +5

    Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 ปีที่แล้ว +1

      This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.

    • @rumeyswairshad8308
      @rumeyswairshad8308 4 ปีที่แล้ว

      Mashaa Allah
      Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 4 ปีที่แล้ว +7

    We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more

  • @dewaweshawakening9977
    @dewaweshawakening9977 4 ปีที่แล้ว +6

    Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work

  • @rickkariuki4523
    @rickkariuki4523 4 ปีที่แล้ว +9

    from Kenya proud of Tanzania

  • @upendoirenmattoke9860
    @upendoirenmattoke9860 4 ปีที่แล้ว +16

    Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽

  • @ramazaniekenya8312
    @ramazaniekenya8312 3 ปีที่แล้ว

    Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka

  • @gideon_maina
    @gideon_maina 4 ปีที่แล้ว +6

    Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 ปีที่แล้ว +1

      These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!

    • @robertmuiga5255
      @robertmuiga5255 4 ปีที่แล้ว +1

      Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology

    • @djumoja
      @djumoja 4 ปีที่แล้ว

      Build an earth home instead

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 2 ปีที่แล้ว

      @@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.

  • @mamahustru
    @mamahustru 4 ปีที่แล้ว +16

    Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?

    • @samkariuki9424
      @samkariuki9424 4 ปีที่แล้ว

      Mfinyanzi hulia gaeni

    • @mukra44
      @mukra44 4 ปีที่แล้ว +2

      Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda

    • @gilbertcfc2959
      @gilbertcfc2959 3 ปีที่แล้ว

      mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 3 ปีที่แล้ว

      Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 4 ปีที่แล้ว +8

    Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako

  • @geoffreymwangi6627
    @geoffreymwangi6627 4 ปีที่แล้ว +3

    Hapo sawa mko Wa-Tz.

    • @geoffreymwangi6627
      @geoffreymwangi6627 4 ปีที่แล้ว +1

      Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 ปีที่แล้ว +10

    Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 2 หลายเดือนก่อน

    Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 3 ปีที่แล้ว

    Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7

  • @jeanboscomunyarurembo3490
    @jeanboscomunyarurembo3490 4 ปีที่แล้ว

    Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania

  • @mariamayenga5867
    @mariamayenga5867 4 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu

    • @gmstv2043
      @gmstv2043 4 ปีที่แล้ว

      That's an old technology innovated by Chinese

  • @iammarwa
    @iammarwa 4 ปีที่แล้ว +10

    i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.

  • @Watema23
    @Watema23 4 ปีที่แล้ว +3

    Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 4 ปีที่แล้ว +5

    Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi

  • @samniza1763
    @samniza1763 3 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤

  • @noelmgulusi6707
    @noelmgulusi6707 4 ปีที่แล้ว +10

    Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 ปีที่แล้ว +2

      Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 ปีที่แล้ว

      @simply pash ...

    • @merymichael5513
      @merymichael5513 4 ปีที่แล้ว +1

      Cjaelewa

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 4 ปีที่แล้ว +18

    Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 4 ปีที่แล้ว +1

      Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂

    • @francolocco
      @francolocco 4 ปีที่แล้ว

      Swali lako nmelikubali

    • @muciomi
      @muciomi 4 ปีที่แล้ว +1

      Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 ปีที่แล้ว +1

      Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว +1

      @@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.

  • @warialangandossi
    @warialangandossi ปีที่แล้ว

    Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante

  • @confredsangija1796
    @confredsangija1796 7 หลายเดือนก่อน

    hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 3 ปีที่แล้ว

    Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah

  • @jumakaswelele3143
    @jumakaswelele3143 4 ปีที่แล้ว +2

    Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha

  • @hhabusinesspro
    @hhabusinesspro 3 ปีที่แล้ว +4

    Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?

  • @nk-computertraining
    @nk-computertraining 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mnaoomba contact msije mkalia baadae, msije mkalia siku mmeamka mnakuta nyumba yenyewe ishabebwa na upepo mnaanza kushikana uchawii.
    Maboya ujengee nyumba.

  • @jayaron218
    @jayaron218 4 ปีที่แล้ว +1

    Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150

  • @Diana-cn6cf
    @Diana-cn6cf 4 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri... Tanzania inaweza

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +1

    Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g 11 วันที่ผ่านมา

    kwa Zanzibar je inakuaje kupata huduma?

  • @Moses_Mash
    @Moses_Mash 4 ปีที่แล้ว +6

    Great editing $ narration, thumbs up mister

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 ปีที่แล้ว +2

    Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you

  • @josephshayo5493
    @josephshayo5493 3 หลายเดือนก่อน

    Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 4 ปีที่แล้ว +7

    Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika

    • @vinuthagangadharan4171
      @vinuthagangadharan4171 4 ปีที่แล้ว

      Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 4 ปีที่แล้ว

      @@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 ปีที่แล้ว +2

    Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana

  • @muritujamlick5534
    @muritujamlick5534 2 ปีที่แล้ว

    Thank you so much for this show. An eye opener

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 4 ปีที่แล้ว

      nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s หลายเดือนก่อน

    Halafu wao wamejenga kiwanda Chao na matofali😮 ya saruji

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 4 ปีที่แล้ว

    Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja

    • @rehemaothuman3764
      @rehemaothuman3764 หลายเดือนก่อน

      Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi

  • @bahatimwangoka649
    @bahatimwangoka649 3 ปีที่แล้ว +1

    Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 ปีที่แล้ว +2

    Wow. Nice

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 ปีที่แล้ว +1

    Rahisi lakni hamujaongelea bei

  • @silasyadam8943
    @silasyadam8943 4 ปีที่แล้ว +2

    Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?

    • @erickmahujilo4643
      @erickmahujilo4643 4 ปีที่แล้ว

      Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza

  • @wiljoe22
    @wiljoe22 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka

  • @bsrabbitfarm
    @bsrabbitfarm 4 ปีที่แล้ว +2

    Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 4 ปีที่แล้ว +1

    tofali bado ni bora zaidi

  • @omarysebastian3208
    @omarysebastian3208 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea

  • @kimstvonline6411
    @kimstvonline6411 4 ปีที่แล้ว +2

    Nilikuwa nasubiri sana hii technology

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 4 หลายเดือนก่อน

    sasa website yao ipo wapi

  • @kingj9606
    @kingj9606 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?

  • @billysquad488
    @billysquad488 4 ปีที่แล้ว +1

    Kiwanda yenyewe haijajengwa na maboya yenyewe mumetumia matofali

  • @mathayokingomela5658
    @mathayokingomela5658 4 ปีที่แล้ว +2

    Hawa jamaa mi nawakubali sana na mimi niliwahi kua mtaalam wao wa kuyajenga ni lahis na inachukua muda mfupi kuyajenga

    • @erickmahujilo4643
      @erickmahujilo4643 4 ปีที่แล้ว

      Kwa makadirio inaweza ikawa bei gani kwa nyumba ya vyumba viwili

    • @laynerngole2119
      @laynerngole2119 4 ปีที่แล้ว

      Nyumba ya vyumba vitano makadirio garama sh ngapi?

  • @loycemalima7490
    @loycemalima7490 3 หลายเดือนก่อน

    Gharama ya ujezi wanyumba kama iliyoonyeshwa hapo ni ngapi?

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 ปีที่แล้ว

    Tecnologia nzuri

  • @zaharahasan1912
    @zaharahasan1912 4 ปีที่แล้ว +1

    Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo

  • @joels.orinda6352
    @joels.orinda6352 ปีที่แล้ว

    Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿

  • @denisjrmgulambwa1866
    @denisjrmgulambwa1866 4 ปีที่แล้ว

    Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje?
    Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?

  • @peterdarlington6599
    @peterdarlington6599 7 หลายเดือนก่อน

    In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.

  • @jumachilundajr4853
    @jumachilundajr4853 4 ปีที่แล้ว

    Nafahamu hayo maboya yana gharama sana kuliko uwazavyo ujenzi huu mtanzania wa kawaida hawezi,,,,

  • @margarethjoseph1971
    @margarethjoseph1971 3 ปีที่แล้ว

    Naomba no ya simu.

  • @movieindustry9253
    @movieindustry9253 4 ปีที่แล้ว

    Hata jamaaa wanapatikanaje boss

    • @xtreme-media
      @xtreme-media  4 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

    Wabongo tunapenda kuvishana sana 😂 hayo mabody utumia kutengeneza restaurants saloon nk na sehemu zakibiashara pamoja na viwanja vyakukodisha ufanya hivyokwasababu hiwe lahisi kuvunja yani temporary kama atakuja mpangaji mpya au ardhi kutumika kwa shughuli zingine pia shughuli nyingine utumika kwakukata vyumba baada kuta kujengwa kwa matofali au zege na hivyo zaidi katika majengo yakupangisha , so kama mimi haunitanganyi 😂😂😂

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 4 ปีที่แล้ว +2

    He hakuna athari zozote za kiafya kwa binadamu kutokana na haya material???? Material fulani zilitumika kujenga na baadae kunawa na asbestos ambazo zinasababisha cancer. Je mnatuhakikishiaje kuhusu hizi kama hazina athari???

  • @fatmaali4794
    @fatmaali4794 3 ปีที่แล้ว

    🤔🤔🤔Mim nyumba yangu najenga na matofali weeeeee

  • @stevencosmas3106
    @stevencosmas3106 ปีที่แล้ว

    Fundi alluminium Pvc cating wool tupo Dubai alluminium mbezi brach

  • @victoriamabele7671
    @victoriamabele7671 4 ปีที่แล้ว +2

    Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.

  • @dominicklema1835
    @dominicklema1835 ปีที่แล้ว

    Naitaji kujua zaidi kuhusu I program

  • @chosenfrank4286
    @chosenfrank4286 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya mtalaam

  • @nestormsigwa8551
    @nestormsigwa8551 ปีที่แล้ว

    Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 4 ปีที่แล้ว

    Mko vizuri et

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 4 ปีที่แล้ว +2

    Interesting!

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 3 ปีที่แล้ว

    Dah simin kam kwel nasi tupo kwenye lever nzur ya kiwanda cha ujenz... ila chonde chondo jaman tusije tukakanyaga gorofa tukajikuta tumetumbukia chini... naomba tengenezen kwa ubora jaman

  • @SalvataMrosso-yr7fm
    @SalvataMrosso-yr7fm ปีที่แล้ว

    Naomba namba za simu

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph 4 ปีที่แล้ว +1

    Me nataka kujenga nyumba kama hii

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว +2

    Vp kuhusu ajali ya moto kwa nyumbaa hzoo ,hyoo materials mnayosema ni maboyaa hayawezi yakawa kuni kweli kwa kuteketeza nyumba yenyewe

    • @AbduRahman-os2vx
      @AbduRahman-os2vx 4 ปีที่แล้ว +1

      Hapo kwenye janga la moto umewaza kama mimi na zima moto wenyewe wanavyokuja mwisho wa moto utakuta nyumba yako imebaki kiwanya..

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 4 ปีที่แล้ว +1

      Hazina joto na pia kwa ndani hazishiki moto material yake ni yale yanayotumika kutengeneza gypsum

    • @franklineshikanda9820
      @franklineshikanda9820 4 ปีที่แล้ว +1

      Naomba contacts zenu

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว +1

      @@AbduRahman-os2vx huhuhu weachaaa tu mzazi

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว +1

      @@josephstephen2047 aaah saw ilaa mpk nifnye utafiti manana sio mmbo yakuuzianaa kondoo kwnye kirobaa hyaa

  • @owlbig
    @owlbig 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice interview ❤️🇧🇮

  • @caseyjason-ws3fr
    @caseyjason-ws3fr 4 ปีที่แล้ว +1

    Tunawapataje jamani
    Mbona hamna contact information
    Kaka yangu alikua anataka nyumba

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmm Amen Tanzania.

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo 4 ปีที่แล้ว +1

    Naona yanfaa kwenye partitioning

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 2 ปีที่แล้ว

    Mi naamini kuna utaalamu mwingi wa kureduce cost za ujenzi tatizo liko kwa wataalamu wenyewe wamekuwa na bei kubwa sana kwa kazi zao so haileti maana ktk kuminimize cost. Ukilinganisha gharama zao na ujenzi wetu ule wa ki concrete unaona bora urudi kule zilipendwa...

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 3 ปีที่แล้ว

    Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi

  • @abellmawio8694
    @abellmawio8694 2 ปีที่แล้ว

    Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?

  • @abbytaurus652
    @abbytaurus652 4 ปีที่แล้ว +4

    Panya anazuiliwaje ktk hizo panel

    • @BenLeeBl
      @BenLeeBl 4 ปีที่แล้ว

      Ukiwek sumu

    • @caseyjason-ws3fr
      @caseyjason-ws3fr 4 ปีที่แล้ว

      Hahahahahha Maswali mengi yaanaitaji majibu

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hamjaweka nambazasimuu ?

  • @nalotayecamara5423
    @nalotayecamara5423 4 ปีที่แล้ว

    I really appreciate your video thanks u 😘 brother

  • @rithamremi5515
    @rithamremi5515 6 หลายเดือนก่อน

    Swali langu ni moja mbona kiwanda chao wametumia tofali za kawaida badala ya kutumia za kwao...