JAKAYA KIKWETE HAKUTAKA JOHN MAGUFULI AWE RAIS MWAKA 2015? TAARIFA TATA AMBAYO JK ANAIKANA MPAKA LEO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มี.ค. 2024
  • #CharlesWilliam #Zungu #Day2newsTV

ความคิดเห็น • 116

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 หลายเดือนก่อน +9

    Yeye ndio alimbeba kamati kuu jpm alikataliwa jk akatumia kofia yake kulazimisha mnyonge mnyongeni Ila penye haki yake apewe tu

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ulikuwepo kamati kuu?kaawni kimya tugange yajayo mpumzisheni baba wa watu angekuwa baba yako ungekubali asemwe wakati hawezi kujibu chochote yake ya duniani yameisha tukutane akhera mjini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน +15

    Mungu amlaze mahali pema peponi kama hakumpenda alimpenda lakini alifanya kazi nzuri na Watanzania walimkubali na wanaendelea kumuenzi tumshukuru Mungu kwa kila jambo

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน +2

      Alifanya kazi nzuri ya kutoa uhai wa watu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

      @@eliajimmy95 Alitoa uhai wa Baba yako na Mama yako thibitisha

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      @@margarethpolepole7438 je wewe unauhakika kama alitoa uhai wazazi wangu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@margarethpolepole7438 Inaonyesha ni kiasi gani unaroho ya kinyama yaani huna ubinadamu, unajali uhai wa wazazi wako tu.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@eliajimmy95una uthibitisho

  • @RaymondMsuya-de6tq
    @RaymondMsuya-de6tq 3 หลายเดือนก่อน +16

    Mwenyezimungu akikuandikia kwaimani lazima iwe,kiukweli Mwanzoni wengi hatukumuelewa Magu but baadae tuliamini nijembe naangetufikisha mahali kama nchi.Apumzike kwaamani Magu.

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      Jembe la kuuwa watu

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@eliajimmy9511:11

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@eliajimmy95wew hujui chochote, kuna sniper la ccm ndiyo linaongoza kwwa kuua watu.

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 2 หลายเดือนก่อน

      @@zakariamalembela3974 hilo sniper linalouwa watu ulilijua wewe tu?

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 3 หลายเดือนก่อน +6

    Akili kubwa Zungu na Charles william

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli hakuta awe rais,,hata yeye atakufa tu

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 3 หลายเดือนก่อน +1

      Jpm kapigika hadi raha asante Mungu

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน

      hataa utakufaaa ng'ombee wewe unadhani yatarudii ya enzii ya mwalim jinyongee mapemaa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 3 หลายเดือนก่อน +8

    ALISHINDWA Nini kumtoa kwenye uwaziri?Hizo zilikuwa ni Hila za kisiasa lakini Kwa akili tu ya kawaida mtu aliyekuwa KIONGOZI wa NCHI,ALISHINDWA Nini kukata jina la magufuli ,kwahiyo Jk ndio alitaka magufuli awe rais japo kila jambo mungu ndio anapanga lkn kila kitu kina sababu zake

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 3 หลายเดือนก่อน

      Jpm kapigika hadi raha asante Mungu

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@samateryusuf4345wewe hutapigika asante Mungu😊

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 3 หลายเดือนก่อน

      @@zeralucyntazimila6600 mm nimeuwa nani ?? Bado nadunda tu lkn baba ako kapigika hadi raha asante Mungu

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 3 หลายเดือนก่อน +1

      @samateryusuf4345 ndo maana nimekwambia hutapigika mpaka raha jamani!!! Au hukuelewa😁

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 3 หลายเดือนก่อน

      @@zeralucyntazimila6600 samahani sana ndugu

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kikwete alimkosea sana Lowassa, hadi akafariki kwa mateso ya moyoomba tu Mungu akusamehe😢

    • @salumumakombo
      @salumumakombo 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

  • @paulnachenga6302
    @paulnachenga6302 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nini hayo Mungu ndio anajua ukweli kama alimpenda au alimchukia nafsiyake inajua Magu pumzika kwa amani

  • @suwedwakil4392
    @suwedwakil4392 3 หลายเดือนก่อน +2

    Heading inaonesha story teller ni mpuuzi

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereni kwa kazi yenu nzuri! It's right to say you enlighten the dark side.

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kama hukupenda J.P Magufuli ila Sisi tulimpenda tu ila Ifahamu Dunia tutapita wote Mzee kikwete acha Roho mbaya

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ifike wakati Afrika tubadili kabisa mfumo wa vyama vingi wagombea lukuki tafuta mtu mmoja mwenye kuchapa kazi vizuri weka kwenye utawala na fullstop.
    China, Qatar, Vietnam, Sauda Arabia hakuna hizo mambo lakini mambo yao bam bam.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 3 หลายเดือนก่อน +3

    Magufuli mwenyewe hakuupenda uraisi basi ni mungu tu ndo alimuweka pale

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alikamatiwa bastola agombanie uraisi au alitaka mwenyewe?. Acheni kutupumbaza nyie wajinga

    • @user-wh7gj9ug9s
      @user-wh7gj9ug9s 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @shabanitingisha2501
      @shabanitingisha2501 2 หลายเดือนก่อน

      Mmmh ahaaaa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri Zungu❤❤🔥🔥

  • @longinoludovick7909
    @longinoludovick7909 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alimhofu msimamo wake tangia wakati wa utawala wake alimliganisha akili yake nikama computer.

  • @jumahamis5758
    @jumahamis5758 3 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ndo anajuwa ukweri,Apaduniani tunapita

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee hilo Jina la Bernard unavyolitamka hapana aisee!

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k 3 หลายเดือนก่อน

    Zungu ukovizurii hongera

  • @AmiriMchikirwa
    @AmiriMchikirwa 17 วันที่ผ่านมา

    Daar! Eti William Ngeleja alikuwa anataka Uraisi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania hatuna muda na mijadala kama hii, Hakuwa Maguli ila ni kiumbe kama kiumbe wengine, sote tutakufa lini na saaa hilo ni fumbo la imani,kama kuna mtu anamuabudu Magufuli aendelee tu na kaburi lake haliko mbali liko chato, ila Tanzania ina thamani kuliko Magufuli na kinachoendelea ni kumuudhi Muumba ambae alimpenda zaid na ambae anajua kwanini alimchukua mapema Mpendwa wetu, ila kwasasa Kazi iendeleee, na alieshika kijiti ni mtu sahihi mnooo tena saaaaana. Mungu ibark Tanzania, Mungu bark viongozi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @stedymwakalile5849
    @stedymwakalile5849 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ndiyo hakutaja jpm awe rais

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli, yeye alikua mwenyekiti enzi hizo, kwahiyo alikuwa ana uwezo wa kumminya tu, kwa sababu magufuli hakuwa maarifu.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmm ama kweli kikulacho kinguoni mwako hakuna kitu kibaya kama unafiki duniani zmung mlaze mahali pema peponi amina

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo7460 3 หลายเดือนก่อน +3

    Very interesting 👏👏👏👏

  • @user-xc4gb1np7k
    @user-xc4gb1np7k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo magufuli alikuwa mwamba sana tena alipewa jina la tingatinga

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kinachokuponza ndugu yetu JK ni uswahiba wako na yusuph Makamba hilo tu

  • @AndreaHango
    @AndreaHango 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu yeye ndiye anayejua yote yaliyomo ndani ya mioyo ya watu.Nani kwani anabisha hilo?

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo ndie aliratibu mpango wa kifo chake

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      Kama na yeye alivyoratibu vifo vya wenzie

    • @kichenjekichenje2072
      @kichenjekichenje2072 3 หลายเดือนก่อน

      @@eliajimmy95 bila shaka ww ni mgogo,sura yko tu inaonyesha jinc ulivyokuwa zuzu.Cwezi kukulaumu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      @@kichenjekichenje2072 weka profile picture yako tuone kama sio wale wenye sura kama tako

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 3 หลายเดือนก่อน

    Baada ya magufuli mungu kumsimamia wanafiki ilibidi wampende maana hawkuwa na jinsi

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 3 หลายเดือนก่อน

    Jk Asante rip Magu

  • @user-dz2lv6en3z
    @user-dz2lv6en3z 3 หลายเดือนก่อน

    FACT👏🏿👏🏿

  • @edithkovary3654
    @edithkovary3654 3 หลายเดือนก่อน

    Siku zote,Marehemu hupewa sifa akiwa mfu. Lakini kwa Magufuli kuwa jembe,ukweli haufichiki. Kazi ameifanya kwa kweli. Na kwa kweli naamini ameenda peponi. Ikiwa kuna kasoro lakini wajibu ameutekeleza.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 หลายเดือนก่อน

    Tabia ya mchawi ni ya ajabu Sana anakuua kisha analia Sana kuliko hata wafiwa wenyewe. Ogopa mchawi na mnafiki.Ni sawa na kunguni wa kitandani.anakutafuna huku anakuchekea.

  • @ValencyKyando
    @ValencyKyando 3 หลายเดือนก่อน

    Ukisikia Vita vya panzi , furaha kwa Kunguru ndo hii sasa😅

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mzee kikwete alifanya kazi kubwa sana kumwinua magufuli, mungu ampe hekima zaidi. Kikwete ana hekima kama za sulemani.

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe Mkapa ndo alishikilia jina la JPM na kumbuka Mkapa alikua mtu aliekua mtu mwenye misimamo sio kama Hayati Mwinyi yeye alikua mpore

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@vanessajames2192uko sahihi, mkapa ndo alikuwa final say, magufuli akawa mgombea aliyepitishwa, lkn waovu walikuwa wapi na mikakati yao! Yaliyotokea ndo kama ilivyokuwa tumebaki tunawakumbuka tuuu! 😢😢😢😢😢

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu yoyote yule angetatizika katika maamuzi yakumuacha Lowasa kwakua urafiki ni mkubwa lakini na wapinzani nao walimchafua kwa kiwango cha juu sana haswa kwa jambo la ufisadi.Lkn unafiki wawana siasa.Hao hao wapinzani wakaja wakamsafisha Lowasa kiasi cha kuonekana kama vile kumuacha ni kumdhulumu.Kwa magufuli ni mzee kikwete ndio alimuomba achukue fomu.na familia yake ilipoelemea kwa Membe aliwaambia tusije tukanuniana mambo yasipoenda vile mnavyotarajia.kuonyesha kwamba aliangalia zaidi maslahi ya Taifa.Na huyu mzee ukitoa kingunge na mzee sefu sharifu anajua sana siasa.kiasi wazee wajuzi wasiasa za nchi hii pia wanamuogopa sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 หลายเดือนก่อน

    Alikua mchapa kazi akiwa waziri kiasi cha kupinga baadhi ya maamuzi ya kupindapinda,lakini alipofika kuchaguliwa badala ya Membe na au Makamba nongwa ikaanzia hapo, Lowasa alijua,na yeye alijua!. Tenda ya barabara zote za lami chini ya tanroad ilikua ya nani vile!

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 3 หลายเดือนก่อน

    Walimkomesha na January atakuja kuwa Rais kamwe

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 3 หลายเดือนก่อน

    Aliemuua ni nani?

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 3 หลายเดือนก่อน

    Huo ndoo ukweli

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 3 หลายเดือนก่อน

    Wampende,wasimpende sisi tulimpenda

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 3 หลายเดือนก่อน

    Hata yeye hawezi ishi mirere

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 3 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tumekuzoma kama kuna watu walio uzika na kifo sha mpendwa watu mkoponzi wa Taifa letu jpm ni wewe kikwete na samia Ata kwa mziba mwrnye kulia sana Nakutangaza history ya marehemu ni muaji

  • @wizwaynetz
    @wizwaynetz 3 หลายเดือนก่อน

    Kikwete nimzee mpole sana anachuki na mtu Acheni uchochezi

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 3 หลายเดือนก่อน

    Hana Lolote labda Unafiki atamfikia Wapi Nabii Suleiman Mtume wa Allah Wakati ni Madhambi matupu Kwa Dhuluma Wizi na uuwaji huwezi kumfananisha Nabii waliyesafika na Madhambi ukamfafananisha Na Mtu mwenye dhambi kibao

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 2 หลายเดือนก่อน

    Ndiyo maana kifo chake JPM ni utata, RIP JPM

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 3 หลายเดือนก่อน +2

    Lowassa alikuwa na kila sababu ya kuchukua uraisi sema fitina ndy zilimuangusha rest in paradise Lowassa

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 3 หลายเดือนก่อน

    Kikwete japo na swaga zake zoote hakuwahi mchukia magufuli.
    Na magufuli pamoja na ukali wake woote hakuwahi mwingilia jk.
    Mambo ya jk yalienda smooth hata wakati wa magufuli isipokuwa wapambe wa jk ndio walikuwa wanamchongea magifili kwa jk.

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 3 หลายเดือนก่อน

      Hujui kitu au ilikupita ile ya makontena ya mkewe Kikwete kuzuiliwa bandarini nakutakiwa walipe kodi ile hali walikuwa wamezoea kupitisha Tu mizigo kinyemela,iliperekea kupishana pakubwa mno biashara zake zilitakiwa zilipiwe kodi kama unavyotakiwa kulipia wewe

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 3 หลายเดือนก่อน

      @@breymbasa3451 .ushasema mkewe tumia Akili Kila kitu anachofanya mkeo inamaanisha umemtuma?

    • @MrA24G
      @MrA24G 3 หลายเดือนก่อน

      Mawazo umeona hawakuwa na ugomvi kbsaa nashangaa watu ndio wanasema mambo ambayo hawana ushahidi nayo.Jpm alisafiri na jk kwenda south Mara kwa Mara wakitembeleana watanzania tuache upuuzi.Jk angeweza kumzuia jpm asiwe raisi tangu huko kumbuka huyooo ni raisi Ana nguvu zote.Watanzania tuwache ujinga

  • @khalfanjembe2668
    @khalfanjembe2668 3 หลายเดือนก่อน +1

    K laanatullah

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tuhuma za kutomtaka jpm zitamuandama tu Sawa Sawa na kiwango cha dhambi hiyo inauzito gani

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 3 หลายเดือนก่อน

      Acheni majungu. JK asingemtaka JPM jina lisingekuwepo, kama aliweza kumpiga chini Lowassa, angeshindwa nini kwa JPM? Tumieni akili tusitumie chuki kwenye kutafakali jambo

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 หลายเดือนก่อน

      Nyie ndio wenye chuki na mze jk

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 หลายเดือนก่อน

      @@martinisadru9899 kwa yy anatupenda

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 หลายเดือนก่อน

      @@kilimanjaro695 kwanza atuambie domo la jz Nila Nani liliibuka kwa kasi 2014 karibu kabisa na utawala wa jpm? Watajua wenyewe upendo wa mtu kwa mwingine unaonekana kwa macho na mwendo na ROHO viambatane mtu kashakufa sasa useme nampenda kwani atakusikia? Mungu ni wa milele shetani atatusitiri kwa Muda membe jpm luwassa wameshapita ww na mm je unaendeleaje kujistiri kwenye ujanja wa Dunia?

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 3 หลายเดือนก่อน

      Common sense is not common sense anymore

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 4 วันที่ผ่านมา

    I can see so many tanzania people angry about jakaya kikwete we don't have to fear jakaya kikwete better tell jakaya kikwete reality underground why fear him tanzania belong to Tanzania 60 million jakaya kikwete can't be much lptantAnt than safering if tanzania 50 mikononi much poor tanzania people

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 4 วันที่ผ่านมา

      Tusiogope hii nchi ni yetu sote

  • @bakarimahmoud8120
    @bakarimahmoud8120 3 หลายเดือนก่อน +1

    Fuatilieni hotuba ya JK Diamond jubilee.

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu ndio anajua sio binadamu

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ikawa kichaa kakabidhiwa rungu, kwa miaka 5 chamoto tulikiona

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 3 หลายเดือนก่อน

      YULE NDIE ALIKUWA RAIC NA KAZI NZURI TULIIONA NDANI YA MIAKA 5 MARAIC 4 HAKUNA ALIEFANYA KAMA YEYE C BINADAMU HATUNA SHUKRANI.MUNGU AMLIPE KWA KUTUTOA TONGO...TONGO KUMBE TULIKUWA TUNAWEZA

    • @Athuman-is2vu
      @Athuman-is2vu 3 หลายเดือนก่อน

      kama ulikuwa fisadi mtu wa zurma lazima chamoto ukione

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      @@Athuman-is2vu kwani Wapinzani akina Tundu Lissu, Mbowe, heche na wengine,walifanya ufisadi gani

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-hd5bg8qw1b kwani wapinzani waliokuwa wananyanyaswa walikosa nini

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h 3 หลายเดือนก่อน

    Lowosa

  • @evaristernest4969
    @evaristernest4969 3 หลายเดือนก่อน

    Ni sahihi sana maelezo ya Mh Kikwete,mengine ni mitazamo tu ya watu.

  • @AwadhiKanyawana-ve2cp
    @AwadhiKanyawana-ve2cp 3 หลายเดือนก่อน +1

    JK ndio Raisi mwenye kifua zege zaid mno kuwah kutokea Tz sijawah kuwa na hofu na maamuz yke

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 3 หลายเดือนก่อน +2

    Lowasa alikuwa bepari Kila ukipita unaambiwa hii Mali ni ya lowasa, tulisikia Vodacom lowasa yupo, kambi ya zamani ya jeshi sakina Arusha tulisikia Sana lile eneo ni la lowasa. Kila mahali ni lowasa kule Richmond yeye, Sasa kwa hayo hafai kuwa raisi. JPM alikuwa chaguo la Mungu. Aliwasema hadharani hata CCM yake, alikuwa mwamba kweli kweli

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 3 หลายเดือนก่อน

      Chaguo la Mungu limepigika hadi raha asante Mungu

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t 3 หลายเดือนก่อน +2

      Sit down and think twice before you suggest anything. Don't be like others whose narrow minded

  • @OmarMgeni-vt5tg
    @OmarMgeni-vt5tg 3 หลายเดือนก่อน

    KIKWETE NDIO MSEMA KWELI

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 3 หลายเดือนก่อน

    😢RIP JPM❤❤❤❤❤