HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ค. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

ความคิดเห็น • 49

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 วันที่ผ่านมา

    Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 หลายเดือนก่อน +4

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @MwanlyGogo
    @MwanlyGogo 14 วันที่ผ่านมา

    Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq 26 วันที่ผ่านมา +3

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 2 หลายเดือนก่อน +5

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @RahimChande
    @RahimChande 18 วันที่ผ่านมา

    ALLAH amjaalie Pepo

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 หลายเดือนก่อน +13

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179 2 หลายเดือนก่อน +3

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f หลายเดือนก่อน +2

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i หลายเดือนก่อน

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 14 วันที่ผ่านมา

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i หลายเดือนก่อน

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 หลายเดือนก่อน +4

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 หลายเดือนก่อน +1

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

    • @lovemamsafricana2611
      @lovemamsafricana2611 หลายเดือนก่อน

      Sema tu ilmu yake ya ufafanuzi haimfikii Sheikh Othman

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 2 หลายเดือนก่อน +3

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmari 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jazaakallahu khair

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga หลายเดือนก่อน

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @farris_2549
    @farris_2549 หลายเดือนก่อน

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai หลายเดือนก่อน

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323 2 หลายเดือนก่อน

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

    • @lovemamsafricana2611
      @lovemamsafricana2611 หลายเดือนก่อน

      Wallahi narudiarudia vipande anaposoma ❤

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r 24 วันที่ผ่านมา

    ❤Mashaallah

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤

  • @businesscenterenglishcours9136
    @businesscenterenglishcours9136 หลายเดือนก่อน

    mashaAllah

  • @a.856
    @a.856 2 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khayran

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr 2 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khaira

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 2 หลายเดือนก่อน +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @alijuma7674
    @alijuma7674 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 2 หลายเดือนก่อน +2

    مشأ الله

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q 27 วันที่ผ่านมา

    Duh

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 หลายเดือนก่อน +1

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 21 วันที่ผ่านมา

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s หลายเดือนก่อน

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l 2 หลายเดือนก่อน

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 27 วันที่ผ่านมา

      Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i หลายเดือนก่อน

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i หลายเดือนก่อน

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatemba หลายเดือนก่อน

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i หลายเดือนก่อน

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤