MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.พ. 2020
- MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
FULL VIDEO YA MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID TANZANIA USISAHAU KUTU FOLLOW KWENYE FACEBOOK PAGE YETU NA INSTAGRAM NA KU SUBSCRIBE KWENYE TH-cam CHANNEL YETU KWA VIDEO NYINGI ZAIDI THANKS
SUBSCRIBE
COMMENT
LIKE
SHARE
THANKS - บันเทิง
Shekh walidy wallah nakupnda,kwasjil ya Alla wallah wabillah mwenyezimungu akupe umri mrfu tena wamanufaa"" na akufe mwisho mwena"" nmeandka sms hii kwa mapenz makubwa sana"" allah akuongezee elinu yko mpka ukinahi"" mm bado ni kijana mdgo lakin siku alla atanijaalia nitaoa akisha akanijaalia watto wema lazma nikuletee watto wangu mja wapo umleee"" Allah akuweke mpka hpo nitakapojaaliwa kuoa"" na kma amekuchukua basi akupe daftar lako la amar kwa mkono wa kulia"" napia akuingize peponi bila ya hesabu🤲🤲🤲🤲
Mungu akubariki sana al akh
Yaani umeongea maneno yale tulikuwa tukiyasikia zamani kwa watu aina hiyo
Shukran sana shekhe Walid Allah akuhifadhi na mabaya ya duniani na Akhera
Allah Akuzidishie Elimu imamu na sisi angalau angalau tupate kitu
In shaa Allah.
Allah akutangulia sh. Wetu akuhifadhi na madhila wa masheytwani
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد
Allah akulipe inshallah
Assalam aleykum warmtlh wabrkth sheikhe,mm miko kenya nakufatilia sana Allah akulinde sana.
ALL IN ALL SHEIKH IS SOO CONFIDENCE WHAT IS TALKING ABOUT IT LIKE IT mashallah and I enjoy my self
Unajua ndugu zangu wakat mwingine inategemea pia na umekulia makuzi gani au umezaliwa wapi,na ndiyo maana wengi wanakuwa hawaamini,lakin karama zipo sisi watu wa bagamoyo tulikuwa nao hao watu wengi sana,kwa waliokiwa nje ya bagamoyo walikuwa wanasema bagamoyo kuna wachawi wengi sana,lakin si wachawi illa palikuwa na watu wengi wenye karama,si wanaume si wanawake,ni mkweli mtu akikunyooshea kidole unaathirika kama hautozikwa,so nakubakiana na Maalim Walid maana hata Mimi nimehadithiwa na pia nimebahatika kuona baadhi ya vitu kwa macho yangu
Uchawi mtupu hakuna lolote na ivyo vitabu vya Mambo ayo vipo watu hawavitumii coz ni vya kishilikina
Kabisa wanakataaa karma je miujiza ya enzi hizo nawao sindo wange kuwa katika makundi ya kushirikina kuziita uchawi😭😭😭😭😭tusiwe wajinga hivyo karama zipo zipo zipo
@@abilugome7461
Weww lugome usiwe kama mushrikiina akhii wakina abuu jahli wao miujiza waliipinga kwa lakabu kama hizo kuita uchawi doh😳😳😳😳Chunga imani yako
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 TATIZO LAO HAO NIKIBRI YANI KITU ASICOKIJUA YY BASI HICO HAKIPO. KABAKWAMBA YY NDIO MWENYE KUIDHINISHA KUWEPO AO KUTOWEPO KARAMA.
@@sammarley1413 sasa huyu leo kakutana na mimi aniongopei chochote mpk hapa ajatoa hadith wala aya mm namchapa tu kwaajili ya allah 😆😆😆
Allah akujalie katika kudumu kudarasisha Darsa hili la Quran
Angepanda mnazi angefika America...
Allahumma Aamiyn. Alumri twawiyl ziadah sheikh
Wallah sheikh nimekuelewa sana...
Aslm alkm ww... Masha Allah!!!! Uko na miaka 55 kama hungeongea hatungejua. Kweli ukiwa mcha Mungu huzeeki haraka. Shukran sana Kwa darsa. Allah akuzidishie umri. Jazakallah kheir 🙏😊😊😊
Amina shekhe wangu mungu akulipe umri refu wakutumikia dini yetu
Subhanallah, Allahu Akbar baada ya kuomba uwe na umri wenye heri we unataka umri mwingi. Allah akujalie umri mrefu wenye heri nawe. Aamin
Amin
Assalamu Alaykum. Tafadhali ni postiye video zengine. Hizi nisha zi repeat sana. Na khutba za ijumaa pia usisahai kuni postiya
Mashaallah swadaktah sheikh subhanaallah
Mashallha shekhe
Masha Allah
Nimeshuhudia Mimi na mke wangu sana mungu atuongoze na shukran kwa mawaidha
subhaana llah yaani masufi wanatabu sana yaani makosa hayo ya kiaqida yote chafu na mwamsifia..innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
MashaAllah.
Ustad Walid wewe ni Shariff SubhanAllah.
Tu kumbuke kwa dua.
ndugi yangu asgar sidi, shariffu n ambae nasaba yake ni mpaka mtume sallla lahu aleihi wasalam
Toba yarabbbi Allah tizama waja wako wanayoyafanya na dini yako vinavovurugwa ya Allah.
امين يا رب العالمين
Allah Akbar 😭
Mashaallah
Mashaa Allah dini ya Allah hi dini ya Allah haina pengo Tunakuomba YA RABBI ss na vizazi vyetu na vyawenzetu tujitahidi kuelekea ili utuongoze kuwa ktk watu wema ili uweze kupata radhi zako hakika tukipata zako radhi tutakuwa ktk watu tulio faulu tasamehe yetu madhambi hakika ww unasamehe madhambi Alhamdulilah Alahuma swali ala saydina muhamadi S.W.S. Amiin
mashallah tunastafidi kwa elimu hii,
Allah akuweke sheikh
Shukran sheikh Waleed
Jazakallah kheir
أكرمك الله يا شيخنا الفاضل
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
Mashaaaallah
HAWA MASHARIF WALIKUWEPO WALLAH NA NNAHISI MMOJA MMOJA WAPO. ALHAMDULILLAH
maa shaa ALLAH
ALLAHU AK'BAR
maashaallah maashaallah
Mashallah
innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun!!!!!!!!!
Nicee
Baaaaraka Allah
Mimi NI mkristo hakika Huyu NI mtu wa watu.
Mashaallah tabarakya Rahman
Sadiki ukipenda.
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu.
Maashallha shekh nakupata nikiwa tanga mjini hapa
Subhanallah bibi maryam mamake nabii issa alikua akiteremshiwa chakula kutoka peponi direct mpaka nabii zakaria akamuuliza ni vipi? TUMCHENI ALLAH SANA😢
Subuhana allah.
JazzakahAllahkheir.
Yeyote anayeona kwamba sheikh amekosea ni vizuri kumfata kama unaweza vinginevyo utakuwa utovu wa adabu katika ilmi,
mashallwah
Kwaviongozi wa namna hii waislam tuna mtihani wallahi
tunakupa wewe uongozi
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri
Asslam alykum warahamatuallahi wabarakatu sheikh walid naomba niwe mke Mdogo kwa baraka za Allah ndani ya Rajabu hii ya rabby takbar dua ya Yangu
Ucjali q
Allahu akbar
Mashàallaah
Sheikh walid hakika maneno yko ni kweli kabisa ,Mimi Kuna jambo Moja lilinitokea ,nikayaona makarama ya as sayyid abdul qadir bin abdul Rahman Al juneid
Watu wengi tunapenda muhemko unafikia kumwita sheikh walid muongo huku ni kukosa adabu kwa masheikh zetu tuwaheshim hawa ndio walimu wetu na watoto wetu
Uongo ni uongo tu.
Haijalishi shkh wala mtumwa.
@@abubakarmuhammadsaid3244 kweli kabisa bro....kw nini lkn watu tunatekwa nyara kiasi hiki. Dini yetu ni ya dalili c kwa matamanio au rai ya mtu.
@@abubakarmuhammadsaid3244 uongo ni uongo lakin kumuita Sheikh muongo huko ni kukosa heshima na hayo anayohadithia ni ya kweli kabisa
@@aliabdalla9297
Kila anaesema uongo ni muongo.
Na hayo anayoyasema mimi nina ushahidi kuwa ni uongo.
Je, wewe unaemtetea, unao ushahidi wa ukweli wa hadithi hiyo!?
@@abubakarmuhammadsaid3244 Kwani uongo upi umesemwa hapo tuelimishe tukuelewe
Shukraan sana maa asha allah
ALFU MABROOK SHEIKH WALEED
Shekhe tunakupata vizur sana na tunakupenda kalibu Mozambique
Allah Akbar
Sio kwa uislamu huu ndugu moyo bado mzito rekebisha aqida na simamisha dini tuache hadithi!!
Shekh walidi binafsi ninaomba namba zako ili niweze kukutafuta sh. .in sha allah kwaajili ya allah
Haya anayosema shekhe Walid ni kweli kabisa.
Kila la kheri shekh
Mimi naamini yote aliyozungumza..Karama zipo
Kabisa Kama zilikuwepo zamani na dini ndo hii hii itashindwaje kuepo Sasa
Pamoja tupo waache washirikina walipinge
Nanyinyi WAZEE wakupinga tuambieni masheikh WENU walikuajee Kama mnaoo Hao Masheikh
A/a ndugu wa islam tujaribuni kuisoma Tawheed ndio njia pekee kuujua uislam safi.
Shehe wamwlimu wetu Allah amtehem ilkuwa ukiiba ndiz shambn kwake wapeleka kwako hamaki umefka kwake unasem shehe nimeleta Amana😀
Takbiir
Allahu akbar
Allahu Akbar
Maashaallah
Wengine hawamjui walidi tunaemfahamu tunajua anachokiongea Na Allah atamlinda
Sanaaa
Allah Akbar!!!
Allahu akhubar
Hakuna kinachoshindikana kwa idhni ya Allah refers kisa cha nabii suleyman na malkia balkis kuhusu kiti chake
Twayyib
A/a na muomba mwenye ezimungu atuhifadhi na hizi bidaa uzushi,uzushi za mpeleka mtu atembee kwenye giza bila kuogopa mwenyezimgu aropokwa tu iblis ampeleka bila kujali wala kuzingatia hi ni Dini ya mwenye zimungu, naukikosa imani ya dini ni hatari muislam.
Allah ibarek
Kamba / sound za waziwazi! Tumche Allaah ! Eti mtu kapanda mpapai! Shekh mche Allaah
Naionea huruma nafsi yako ambayo kumbe hata ibada zako hazina faida nawe...haya hata wewe unayaweza ukiondoa huo ujinga kichwani mwako inshaallah
Chaiiiiiii
ndevu hana
sheikh walidi 55 kama miaka 38 vile
Raha iliyooje kwa wale wanazuoni walioleta fani ya mustwalahul hadiith,maana isingekuwepo ile mbona uongo ungekithiri na mtume angezushiwa kila aina ya matukio,lkn alhamdulillah watu wameijua ilmu rrijaal na wakatunza maneno ya mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,asa hvyo visa anavyovitoa sheikh walid ni uongo mtupu,ataka kujifanya yuwaona ghaibu sasa
Wewe adamu juto unaandika usiyo na uhakika nayo kutoka na mashekh zenu wakiwahabi wakina bin tayma waharibifu wa uislamu bin Baaz wote ni waharibifu wa uislamu allah atulinde na shari zao
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kitendo cha kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi tiari nishajua kua kiwango chako cha elimu ni kidogo saana, sasa kasome kisha ndo uanze kutukana hao unaowaita mawahabi kama utaweza,na hautoweza moka qiyaamah
إن الرسول قد جعل الجهل داء،و شفاء العي هو العلم
Hvo soma utoe huo ujinga wa kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi
@@adamjutto5849 mpaka naandika hivi nimesoma mengi na nimetosheka ibnu taymia si mm nilietamka maneno hayo ni sheikh ibin batuta istoshe unataka mjadala???😁😁😁maimamu ni shafi.hambali.maliki na abuu hanifa nimemaliza..
اللإسناد من الدين فلولا اللإسناد لقال من شاء ما شاء
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kadhaaaab,kaaah ibnu batuutah yupi huyo aliyesema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi,vile vile mie sitaki mjadala na wewe kwa sbbu huwezii,mi najua wewe ni mtu unaeskia sikiaa tuu masheikh alaf ndo unakuja kusumbua huku kwenye mitandao,kaa chini usome dini haipatwi kwa udaku,inatakiwa usome,uelewe na kuhifadhi mas-alah,hahahhaa eti ibnu batuutah kasema wamjua ibnu batuutah wewee au unaropoka tuu
Shetwani anawachezeaga mpaka masheikh msishangae do!!!
Tuletee ya kwako wewe sasa
Hhhhhhhhhh
Anasema kweli sheikh visa hivi vipo kabisa
Mnatumia majini kisha mwajidai makaramaaaa. Hebu acheni uchawi huooo
hayo sio makarama bali ni uchawiiiii
Mm kila nikijitabiria mambo mabaya na mazuri yanatokea kweli sjui nna Nini yaan kama maono yanakuja
Visas visas wengi uongo mnatia chumv ndimu pilipili hii toooo much
Una ushahidi
Mmhh mbn mabalaa hayo
Kama hujui usiseme hakuna anaye jua/ kwasasababu hujui daarsalam unasema hakuna fly over
Hiyo simu ya vibrate yakeraa darsaa
Kweli hata mimi pia ninayo makarama
Si amesema passport yake huwa anasafiria angalau mara 20 kwa mwaka ss iweje kusafir wiki mbili iwe kutoroka darsa!
Brother msikikize vizuri huwa anasafiria but ikifika kipindi Cha darasa ambayo no ramadhani huwa yupo darasani
Hilo darsa liko ktk mwezi maalum tu (ramadhani).
Ndugu yangu jifunze kusiiliza na kuelewa kisha uliza usichokielewa utafaidika hapa duniani na kesho ahera. Darasa hilo la tafsiri ya Quran Shekh Walid alikabidhiwa na Mashekh zake na walimuhusia asiache darasisha mpaka mwisho wa uhai wake yeye ni binadamu kuna wakati anakuwa na safari sasa kama ni kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kipindi alicho elezwa asiache fundisha akipanga kusafiri ndo hua yanamtokea hayo anayoyaeleza sasa. Mwenyezi Mungu akipuka uhai ukafika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jitahidi uhudhurie Masjid Kichangani baada ya swalath Laasiri utafaika sana kwa darasa la kiwango cha juu kabisa linalotolewa pale. Mwenyezi Mungu akuhifadhi.
@@slamecktz shukran na mashaAllh
@@slamecktz Watu wengi wanasikiliza kwa mihemko thn waanamini kwa masheikh wanawajua wao waliowachaguwa kuwa ni wa kweli na wenye dini wengine wamewaweka kwenye daraja la si ktkt watu na masheikh wa kweli
Ndio haya yanakosekana kwao na yanaonekana ya uongo coz kuna vitu hawajashikamana navyoo
Nikweli kabisa
Huyu sio mkweli anapenda sifa, anajifanya mcha mungu kumbe mganga tu.
Weweee!!!!! Usimhukumu mtu huyajui yaliyopo baina yake na mola wake. Hivi waislam wa leo tunanini lakini????
umejuaje kama mganga
Huyo jamaa kapewa mambo wala si uongo wakati huo alikuwa anataka akimbie hasa msikitini
Ni Vizuri ila angalia usije kuingia kwenye Ghurur na Kujisifu....!
Naam alhabib
Subhanallah huyu hasemi kwa kujisifu Bali anazipa uhai nafsi yako na yangu sisi vipofu ndiyo maana karama zote ansema ametendewa siyo yeye mtenda
😂😂😂🤣🤣🤣
MAJITU YA MAULIDI YOTE NI MACHAWI YANALOGANA HADI MISIKITINI
Uongo live alafu wasema karama. Tumcheni Allah
Utakapomcha Allah kikweli utayapata hayo makarama hujamcha Allah bado
Ukiona mtu anapinga ujue huo ni wivu maana yeye hajapewa
She nakuelewa😅😅😅
israaliyaati hizo
swahiih
Uko vizuri sana lkn uvaaji wa hizo pete ktk mikono miwili sheikh sio mafundisho sahihi au mm sikuelewa vizuri!