💖💞💖💞💖💖💞💖💖💖💖💖💖💖💖💞💖 CONGRATULATIONS MY BROTHER FEROOZ UKO JUUU SANA NYIMBO ZITADUMU MILELE WALAHI TUMEINJOI MZIKI MZURI SANA UBARIKIWE SANA 💞💞💞💞💞💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Huu ujinga wa kuacha watazamaji wawaimbie nyimbo zenu sijui mtaacha lini...nyimbo nzuri ..show mbovu..mngekuwa mwajua Imba live msingelalamika njaaa.....watu wengi hawaji cause hamjui Imba live
Never disappointed legends shikamoo tulikuwepo kuanzia miaka ya 2000 tunakujua wew ni nan kaka ndo maana tunakuheshim lakin kikazi cha nyimbo za nyege nyegezi syo rahic kukuelewa broh
Ferooz apewe respect kubwa coz anajua xana na ana madin makubwa xn kichwan please naomben ashikwe tena mkoon ferooz atawakilixha tz endapo atapat sapot
Heshima ni heshima tu legend lives forever sio hao wengne walio amua kuwa machawa Nliwaza be4 Kama ingetokea msanii mkubwa afanye WAY BACK FESTIVAL ya wasanii wa kitambo tu na zipigwe ngoma za long nafkiri hata Hawa machawa watabadili mawazo yao POTOFU
kiukweli kama ulibahatika kusikiliza muziki wa bongo fleva kuanzia 2000 hadi 2006 kama mimi basi ulisikiliza MUZIKI MZURI na Wenye mafundisho na hekima, hawa jamaa walikuwa hatari sio mziki wa BIG G
Hawa ndio wasanii tunaowahitaji Kwa performance zote za Fiestaniiiii
Jaman naomben like 👍 kama bado mnazikumbuka TBT
uzuri wa kufanya hit songs zitakubeba for the rest of your life sio sasa watu wanafanya chewgum songs 2days zimeisha utam big up ferooz
True
Saf
Nyimbo za kitambo ni Kali zaidi I tell you ❤❤❤
Daaah nimefarijika sana kusikia sauti ya huyu mwamba ferooz daaah kitambo sana na ngoma zake zitaishi milele🔥🔥
Brother upo vizuri sema tyu ujirekebishe kuvaa mitepesho nyimbo zako Bado Kali sana na nimsanii mzuri sana tatizo LA kata kei naomba ulifanyie kazi
Hyu akiwa stage ndo anavaaga hivi toka kitambo 🤣🤣🤣🤣
Mziki was zamani ulikuwa mzur na wasanini walikuwa wanapendana na kupeana corabo sijui kwann mziki umekuwa Kama niwakujitenga
Hujawai mjua ferooz tulia kawarekebishe wanao huyu tumeanza nae hiv hv na atabaki kuuwa hiv atupe morali kama kawaida
Hizi nyimbo za uyu jaman daaah
Tulitoroka sana nyumbani mwaka mpya ili tukaruke nyimbo za uyu jamaa
Ferooz na Dully walinifanya napenda Bongo fleva kbx love from Burundi 🇧🇮
Mwamba huyu hapa #Ferooz . King of Fiesta 2022
Hongera Msaani Ferooz ,kweli mafundi ni wa wale wale wa zamani 👏
Tujuane jamanii wale pind I izo Ngoma zinatoka feruzzzzz Tisha sanaaaa
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Vyema kumuona huyu legend akiperfom yani ngoma zake kama za Jana tu🔥🔥🔥💪
Kabisa
Kabisa yani
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Mara yakwanza nafurahia fiesta kwakumchukua ferooz mungu awabarik San
Ngoma hii ya starlehe ilikamata top 10 redio free wiki 6 ikaja ya bizi man ametolokwa ongelen sana biamba💥💥💥
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Kanenepa jamaa mungu amuwek
Niseme tu ferooz ndo king of fiesta 2022,, salute
Kata kundu ni mambo ya kitambo saana!!! Tena ilikuwa ya wavuta bangi!!! Jirelebishe brooo uvaaji
Toka Pepo huyu ndo ferooz juzi kama Leo na kesho na hatutaki abadirike
Blaza big sana asee,una ngoma kali sana na zitaishi miaka mingi sana
🤞🤞
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Legend ferooz nyimbo zako zote zko vzr sana.....
Hakuna wa kumfananisha na Feeroz🤟✌️ Ndiye Baba wa Nyumba buana💯
This is what it means when you talk about living music.mziki unaoishi milele
This song will last forever.hata ikigongwa 2050 bado💯💥💥💥💥
💖💞💖💞💖💖💞💖💖💖💖💖💖💖💖💞💖 CONGRATULATIONS MY BROTHER FEROOZ UKO JUUU SANA NYIMBO ZITADUMU MILELE WALAHI TUMEINJOI MZIKI MZURI SANA UBARIKIWE SANA 💞💞💞💞💞💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Congratulations MY BROTHER Mungu akujaalie afya njema
Kaka unajua sana
@@nickosalvatory9945 Haswaa kabisa tena sana.maana huu ndio mziki mzuri
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Mwanangu Ferooz nakutambua Sana. Nawakilisha Kasarani Nairobi Kenya
Huyu mwana🔥🔥. Ingia kwenye gemu na vaibu la zamani mwanagu🤝
Huu ujinga wa kuacha watazamaji wawaimbie nyimbo zenu sijui mtaacha lini...nyimbo nzuri ..show mbovu..mngekuwa mwajua Imba live msingelalamika njaaa.....watu wengi hawaji cause hamjui Imba live
Sio hawajui hawawezi
Problem iko hapo tuuuuh😂
Anaye lalamika hajaendà kwenye show yupo ndani kalala
@@kivuyotv annangalia kwa TV Kisha analeta lawama
@@kivuyotv wasenge hawa chuki tu
Hatakiwi kukosa hata moja,he is the best one in BOGO fleva
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Old is gold, legend will never die
Midundo ya bongo records sio mchezo#pfunk
Wajina umetisha noma Sanaaaa 👊👊👊
Dah!!!!
Form is temporary, class is permanent
🥺🔥🙌
Pumzi
😭😭😭😭😭 legend up 2001 feroos love from Rwanda
Unsuhurize abo murwanda
The man is one of the best Tanzania 🇹🇿 has produced.
Nuff love from Meru County in Kenya 🇰🇪
'Hospital madawa bei ghali, mtaani pesa hakuna, tunalia njaa kali' legendary msg
Verse ilikuwa kali
Legend never die, 💯💯💯
Safi Sana kwa list hii ya wasanii wa zamani big up team nzima ☺️👏👏👏
BONGO RECORDS ❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Performance ndogo ... Ngoma kali .... Anaua vibe...
All time legend....254 we gt you...
Hizi ndio nyimbo nzuri haziishi fashen🖤🏡
Clouds peleka fiesta mkoa mpya wa njombe......hawajawai pata hyo huduma
Huyu jamaa ni mwamba 🔥
Wanamuziki hawatumii nguvu kufikisha ujumbe ila wapiga makelele wasasa mtihani mtupu bigup brother bless this man
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
😄😄😄😄😄😄 daaaaaa nimejiskia poa aiseeee kusikia voice ya huyu mwamba 😁😁😁
Unakubalika broo tatizo nyota tu dah mungu akuinue tena
Legend ferooz hatari sana kwenye fiesta kama zama zile daznudaz
Ferooz I salute you bro
Kalibu Sana tena bwana Ferouz tulienjoi sana
Dj hajamtendea haki au hawajui kiitikio cha nyimbo zake 🥲
Bro ferooz wewe ndo msanii wangu maisha yangu yote
Never disappointed legends shikamoo tulikuwepo kuanzia miaka ya 2000 tunakujua wew ni nan kaka ndo maana tunakuheshim lakin kikazi cha nyimbo za nyege nyegezi syo rahic kukuelewa broh
sikupingiiii
Ngoma kali Sana 🔥🔥 DJ pia ako on top
🤣🤣🤣🤣🤣ati Kwa Leo unaondoka😳😳😄😃😃😄😃much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
when i was young i liked ferroz kupitiliza so one day my sisters lied ati ferroz is dead i really cried😭sitawahi sahau😂
Same
Inanikumbusha Banda la video
Amakwer wasanii ndo awa wazaman Yan kifup ngoma za feroooz akuna anaeweza kuzivunja rikod zake Kama unaniunga mkono nipen like zangu
Ferooz apewe respect kubwa coz anajua xana na ana madin makubwa xn kichwan please naomben ashikwe tena mkoon ferooz atawakilixha tz endapo atapat sapot
Daaah jamaa anajua kinoma always legend is a legend
Fiestaaa zoteee tembeeeni naeee
Heshima ni heshima tu legend lives forever sio hao wengne walio amua kuwa machawa
Nliwaza be4 Kama ingetokea msanii mkubwa afanye WAY BACK FESTIVAL ya wasanii wa kitambo tu na zipigwe ngoma za long nafkiri hata Hawa machawa watabadili mawazo yao POTOFU
Sasa kaka mkubwa,mpaka kumaliza nguo itakuwa chini
nakubal legend umebeba kijij chako sarut ming kwko mzeiyaaa
Umenikumbusha mbali , unatuaga
Wenzangu mlio na vipaji vya uimbaji muigeni ferooz kwani sanaa ni kioo cha jamii ili tuelimshane,ferouz anaweza ferooz (big up)
Kizazi na kizazi hazitasahaulika kazi zenu,kubali sana ferooz na daznundaz
Mziki ulikuwa zamn jaman daaa htr
DJ anazingua sana, aachie mashabiki waimbe
King of chorus
Huyo dj anaharibu kwa kuongea ongea
Mfano tu mshikane na Daz mwalimu Tanzanian... Mfanye uhakika nitapenda"💯
Nakumbali sana fe
Umri baba punguza mtepesho Ila Kama ni mziki %mia .
Fezooz mzee wa kazi , kazi nzurii sana mzee, big up bro
Sana kaka upo vizuri, nyimbo kama zimetoka leo nyimbo za kwenda
Nyimbo za zamani haziishi hamu ni mpya kila unapozisikia
So good sanaaaa Clouds Muzidi kutuletea malegends wakina Inspector haloon, Juma nature na wengine kibaooooo
Drcongo tunamupendaka sana uyu masta angali bado kwetu ayazimika
Bonga la tbt. Tunakuenzi kaka, bado kwa game upo sawa💪💪💪
Ferooz bro umeuwa ur 🔥🔥🔥🔥🔥
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
💯💯kaka mkubwa nyimbo zako bado ziko moto hatarii yan hatar sanaaa ni💥💥💥💥💥
Ebwana Ndio Legend 🔥💪🔥
From Congo brother upo vizuri
Safi xana weka maneno imependeza xana
Yan wasanii mavazi dah.mister blue atazd kua juu na heshima zake
MZIKI MZURI UKIPIGWA UNAUSKIA MOYONI UNAJKUTA TU UKITABASAMU
Huyu majan alikuwa ana beat nzito sana asee
Unaakili sana wewe nakubali
Beat na vinanda ilikua hatari sana
Show kali sana..ur fun..Ferouz..from 🇰🇪..001..big up bro..
Sema asaivi anakua ajaribu kuvaa vizur watu wanasikiriza ngoma sio lazma ashushe suluali
😁😁😁😁
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Asa Ferou, umeshusha sarawili hadi "mwamba" anaonekana!
Froooozzzzyy una frizisha uwanja 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah asee kizuri hakipotei mpk leo ngoma zinishi💪✊
old skull guy ferooz always king 💥💥
Nakukubali mwamba we Ni Moto 🔥🔥
Ferooz amepungua performance naona anaruka ruka tu uwezo wa kuimba mdogo pumzi kisoda sana dj anamsaidia sana big up zero
Utakuwa Bora zaidi maana jamii nyingi inakutizama kama kioo Cha jamii
Legendary never die
Daz Nundaz Noma Sana Aiseee
kiukweli kama ulibahatika kusikiliza muziki wa bongo fleva kuanzia 2000 hadi 2006 kama mimi basi ulisikiliza MUZIKI MZURI na Wenye mafundisho na hekima, hawa jamaa walikuwa hatari sio mziki wa BIG G
Huyu jamaa....ndo msanii ambae ana hit song zote....
Nimependaaa body yake ilivyo ... Mzik mzur unaishi
We kenyans cannot forget ferooz.
Oyaa Daz Baba Hamujamfanyia Powa
Mzik mnene sanaaa huuu much love
Daah nimekumbuka shule primary ghafla 😭😭😭😭😭✔️✔️✔️maisha yanakimbiaaaa....
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html