FEROOZ AAMSHA VIBE LA WANA SUMBAWANGA APIGA BONGE LA SHOW FIESTA 2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2022
- Ukubwa wa Vipaji vya Wsanii, Ufundi wa Band na ujuzi wa matumizi wa vyombo, unyama wa stage na mvuto wa lights litaku-verify kama mmoja kati ya waliowahi kushudia burudani yenye hadhi ya kizazi kijacho! 🙌🏽 Ikaribie Nelson Mandela Stadium Jioni ya leo.
Clouds Digital Ipo Mubashara Kutokea Sumbawanga
#fiesta2022 #wekamaneno - บันเทิง
Jaman naomben like 👍 kama bado mnazikumbuka TBT
Hawa ndio wasanii tunaowahitaji Kwa performance zote za Fiestaniiiii
Ferooz na Dully walinifanya napenda Bongo fleva kbx love from Burundi 🇧🇮
uzuri wa kufanya hit songs zitakubeba for the rest of your life sio sasa watu wanafanya chewgum songs 2days zimeisha utam big up ferooz
True
Iyi kweli kabisa bon Lee swagger
Saf
Nyimbo za kitambo ni Kali zaidi I tell you ❤❤❤
Mwamba huyu hapa #Ferooz . King of Fiesta 2022
Brother upo vizuri sema tyu ujirekebishe kuvaa mitepesho nyimbo zako Bado Kali sana na nimsanii mzuri sana tatizo LA kata kei naomba ulifanyie kazi
Hyu akiwa stage ndo anavaaga hivi toka kitambo 🤣🤣🤣🤣
Mziki was zamani ulikuwa mzur na wasanini walikuwa wanapendana na kupeana corabo sijui kwann mziki umekuwa Kama niwakujitenga
Daaah nimefarijika sana kusikia sauti ya huyu mwamba ferooz daaah kitambo sana na ngoma zake zitaishi milele🔥🔥
Hongera Msaani Ferooz ,kweli mafundi ni wa wale wale wa zamani 👏
Tujuane jamanii wale pind I izo Ngoma zinatoka feruzzzzz Tisha sanaaaa
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Vyema kumuona huyu legend akiperfom yani ngoma zake kama za Jana tu🔥🔥🔥💪
Kabisa
Kabisa yani
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
This is what it means when you talk about living music.mziki unaoishi milele
This song will last forever.hata ikigongwa 2050 bado💯💥💥💥💥
Mara yakwanza nafurahia fiesta kwakumchukua ferooz mungu awabarik San
Niseme tu ferooz ndo king of fiesta 2022,, salute
Hizi nyimbo za uyu jaman daaah
Tulitoroka sana nyumbani mwaka mpya ili tukaruke nyimbo za uyu jamaa
Dah!!!!
Form is temporary, class is permanent
🥺🔥🙌
Pumzi
BONGO RECORDS ❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wenzangu mlio na vipaji vya uimbaji muigeni ferooz kwani sanaa ni kioo cha jamii ili tuelimshane,ferouz anaweza ferooz (big up)
Legend never die, 💯💯💯
💖💞💖💞💖💖💞💖💖💖💖💖💖💖💖💞💖 CONGRATULATIONS MY BROTHER FEROOZ UKO JUUU SANA NYIMBO ZITADUMU MILELE WALAHI TUMEINJOI MZIKI MZURI SANA UBARIKIWE SANA 💞💞💞💞💞💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Congratulations MY BROTHER Mungu akujaalie afya njema
Kaka unajua sana
@@nickosalvatory9945 Haswaa kabisa tena sana.maana huu ndio mziki mzuri
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Hizi ndio nyimbo nzuri haziishi fashen🖤🏡
Wajina umetisha noma Sanaaaa 👊👊👊
Hatakiwi kukosa hata moja,he is the best one in BOGO fleva
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Kata kundu ni mambo ya kitambo saana!!! Tena ilikuwa ya wavuta bangi!!! Jirelebishe brooo uvaaji
Old is gold, legend will never die
Hakuna wa kumfananisha na Feeroz🤟✌️ Ndiye Baba wa Nyumba buana💯
😭😭😭😭😭 legend up 2001 feroos love from Rwanda
Unsuhurize abo murwanda
Performance ndogo ... Ngoma kali .... Anaua vibe...
Huyu jamaa ni mwamba 🔥
Safi Sana kwa list hii ya wasanii wa zamani big up team nzima ☺️👏👏👏
Unakubalika broo tatizo nyota tu dah mungu akuinue tena
Huu ujinga wa kuacha watazamaji wawaimbie nyimbo zenu sijui mtaacha lini...nyimbo nzuri ..show mbovu..mngekuwa mwajua Imba live msingelalamika njaaa.....watu wengi hawaji cause hamjui Imba live
Sio hawajui hawawezi
Problem iko hapo tuuuuh😂
Anaye lalamika hajaendà kwenye show yupo ndani kalala
@@kivuyotv annangalia kwa TV Kisha analeta lawama
@@kivuyotv wasenge hawa chuki tu
Ferooz apewe respect kubwa coz anajua xana na ana madin makubwa xn kichwan please naomben ashikwe tena mkoon ferooz atawakilixha tz endapo atapat sapot
Ngoma hii ya starlehe ilikamata top 10 redio free wiki 6 ikaja ya bizi man ametolokwa ongelen sana biamba💥💥💥
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
All time legend....254 we gt you...
Kalibu Sana tena bwana Ferouz tulienjoi sana
Huyu mwana🔥🔥. Ingia kwenye gemu na vaibu la zamani mwanagu🤝
when i was young i liked ferroz kupitiliza so one day my sisters lied ati ferroz is dead i really cried😭sitawahi sahau😂
Same
Blaza big sana asee,una ngoma kali sana na zitaishi miaka mingi sana
🤞🤞
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Legend ferooz nyimbo zako zote zko vzr sana.....
Ngoma kali Sana 🔥🔥 DJ pia ako on top
Midundo ya bongo records sio mchezo#pfunk
Kanenepa jamaa mungu amuwek
🤣🤣🤣🤣🤣ati Kwa Leo unaondoka😳😳😄😃😃😄😃much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Fiestaaa zoteee tembeeeni naeee
Bro ferooz wewe ndo msanii wangu maisha yangu yote
Legend ferooz hatari sana kwenye fiesta kama zama zile daznudaz
Ebwana Ndio Legend 🔥💪🔥
Heshima ni heshima tu legend lives forever sio hao wengne walio amua kuwa machawa
Nliwaza be4 Kama ingetokea msanii mkubwa afanye WAY BACK FESTIVAL ya wasanii wa kitambo tu na zipigwe ngoma za long nafkiri hata Hawa machawa watabadili mawazo yao POTOFU
So good sanaaaa Clouds Muzidi kutuletea malegends wakina Inspector haloon, Juma nature na wengine kibaooooo
Legendary forever
Wanamuziki hawatumii nguvu kufikisha ujumbe ila wapiga makelele wasasa mtihani mtupu bigup brother bless this man
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
King of chorus
😄😄😄😄😄😄 daaaaaa nimejiskia poa aiseeee kusikia voice ya huyu mwamba 😁😁😁
Daaah jamaa anajua kinoma always legend is a legend
Legendary never die
Kizazi na kizazi hazitasahaulika kazi zenu,kubali sana ferooz na daznundaz
Clouds peleka fiesta mkoa mpya wa njombe......hawajawai pata hyo huduma
Never disappointed legends shikamoo tulikuwepo kuanzia miaka ya 2000 tunakujua wew ni nan kaka ndo maana tunakuheshim lakin kikazi cha nyimbo za nyege nyegezi syo rahic kukuelewa broh
sikupingiiii
Bonga la tbt. Tunakuenzi kaka, bado kwa game upo sawa💪💪💪
Ferooz I salute you bro
'Hospital madawa bei ghali, mtaani pesa hakuna, tunalia njaa kali' legendary msg
💯💯kaka mkubwa nyimbo zako bado ziko moto hatarii yan hatar sanaaa ni💥💥💥💥💥
Legendary legendary tu wa Kizazi Cha Nyegenyegenyege hawawezo elewa Kamwee...Huu ndio mziki bunaaaaa
Nakukubali mwamba we Ni Moto 🔥🔥
Daah asee kizuri hakipotei mpk leo ngoma zinishi💪✊
Ferooz bro umeuwa ur 🔥🔥🔥🔥🔥
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Froooozzzzyy una frizisha uwanja 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah nimekumbuka shule primary ghafla 😭😭😭😭😭✔️✔️✔️maisha yanakimbiaaaa....
th-cam.com/video/rUpoUR1T-Cs/w-d-xo.html
Sana kaka upo vizuri, nyimbo kama zimetoka leo nyimbo za kwenda
Amakwer wasanii ndo awa wazaman Yan kifup ngoma za feroooz akuna anaeweza kuzivunja rikod zake Kama unaniunga mkono nipen like zangu
DJ anazingua sana, aachie mashabiki waimbe
old skull guy ferooz always king 💥💥
Ooya my childhoo,,,,,noltagia
Ferooz legendary🔥🔥🔥🔥🔥
Big up ferooz.... Nyimbo nzr sana....
Nakumbali sana fe
Umri baba punguza mtepesho Ila Kama ni mziki %mia .
From Congo brother upo vizuri
Umenikumbusha mbali , unatuaga
Show kali sana..ur fun..Ferouz..from 🇰🇪..001..big up bro..
Safia sana cloudz
nakubal legend umebeba kijij chako sarut ming kwko mzeiyaaa
Inanikumbusha Banda la video
Nice song CONGRATULATIONS my brother. Ferooz❤❤❤❤❤❤❤❤
Ferooz amepungua performance naona anaruka ruka tu uwezo wa kuimba mdogo pumzi kisoda sana dj anamsaidia sana big up zero
Mziki ulikuwa zamn jaman daaa htr
Mlege duu piga kilegendary kama legend 🙌
Welcome back man
Fufu kaka mashabiki bado tupo🎉🎉🎉
Dj hajamtendea haki au hawajui kiitikio cha nyimbo zake 🥲
Drcongo tunamupendaka sana uyu masta angali bado kwetu ayazimika
Mzik mnene sanaaa huuu much love
#sapot Kwa feroooz to town**cloud tv=RADIO*****WCB Bring him back...............💯
Change his wearing style%
Mfano tu mshikane na Daz mwalimu Tanzanian... Mfanye uhakika nitapenda"💯
Legend hajawahi Niangusha Kwenye Mtepesho 🤣🤣🤣🤣
Safi xana weka maneno imependeza xana
Bongo Record Nipe Tano
We kenyans cannot forget ferooz.
Sarutiiiii kwa ferooz 😎😎😎😎😎
Huyu majan alikuwa ana beat nzito sana asee
Unaakili sana wewe nakubali
Beat na vinanda ilikua hatari sana
Nakupenda Sana kaka feruzi
Daz Nundaz Noma Sana Aiseee