This was really cool my long time fan Ferooz, nipe tano was just and it's still a hit.. "Niiiite sajo aka mental" ebwana safi sana ngoma yanikumbusha mbali sana. Be blessed my legendary, from Kenya tunawakubali sana.
Amin usiamini Hawa ndo wenye kiwanda Cha music wanastaili Bigg respect ma br feruz dazz nunda ngwear proffesor j dully Sykes chiddy Benz tid pnc comment na wengine tuwape heshima zao km tupo pa1
Ferouz ni Fundi ambae kichwa chake kilikuw kinawaka vizur kweny uimbaji koras ndo atar I respect your Legacy, changamot zipo ila akuna kam wew katik ulio yafany generations zinachange ila ulichofany bado kinaishi
this guyz made legendary music i cant believe am listening to joslin bella9,chege temba mr blue misosi ngwair,proffesor jay na abby skillz and i feel relaxed and happy
Izo Nyimbo Zikipigwa Hata Ukiwa Unakula Nyama Leo Utakumbuka2 Wakati Ulipokua Ukila Bamia Uko Nyuma Tena Na Kilio Juu Kama Ulikuako Na Masela Na Wakafa Wakati Huo We Wacha2
Mapinduzi gani yamefanyika wakati matabaka kwa Wasanii yanaendelea, why Msanii akiwa na mahusiano na WCB akienda Radio ama TV pinzani ni Sheeeeda kwake, Ferooz badilika huna energy ya show zaid ya kuruka ruka na kuvaa mlegezo
@@mahmoodalghefeili5370 Hàmokinyesi ananuka haogi wanaomshabikia n kwa sababu anamtukana Mond ila sio kwamba ana mziki wa kufanya madada wampende Elewa hivo kama ulikuwa hujui
This was really cool my long time fan Ferooz, nipe tano was just and it's still a hit.. "Niiiite sajo aka mental" ebwana safi sana ngoma yanikumbusha mbali sana.
Be blessed my legendary, from Kenya tunawakubali sana.
Nimekumbuka mbali mpaka nimelia nimemkumbuka marehemu dada yangu mungu amrehemu🙏 alikuwa anapenda saana huu wimbo 😭😭🥰
Poleni Sister,kazi ya Allah
@@D-Man.B-Free miye Sister si brother 😇😊
Pole kaka yng kuna mvulan pia kule kwetu alikuw aupenda sana huu wimbo nipe 5 now ameathirika nikimtizama najikuta naumia kweli kweli
@@munaahmed8499 asante mamy but miye ni msichana naitwa salha siyo mwanaume 😇😊🇴🇲🇹🇿
@@munaahmed8499 pole
Huyu jamaa jembe..Songa zake bdo zina teste kubwa Sana🇰🇪💯 #Ferruz
Amin usiamini Hawa ndo wenye kiwanda Cha music wanastaili Bigg respect ma br feruz dazz nunda ngwear proffesor j dully Sykes chiddy Benz tid pnc comment na wengine tuwape heshima zao km tupo pa1
FEROOZ kitambo kbs unanikumbusha enzi zangu nimekuwa ninapenda kuskia music yako nakupenda sanaa from🇦🇪🇧🇮
Ferouz ni Fundi ambae kichwa chake kilikuw kinawaka vizur kweny uimbaji koras ndo atar I respect your Legacy, changamot zipo ila akuna kam wew katik ulio yafany generations zinachange ila ulichofany bado kinaishi
this guyz made legendary music i cant believe am listening to joslin bella9,chege temba mr blue misosi ngwair,proffesor jay na abby skillz and i feel relaxed and happy
I remember nikiwa Mdogo nikiskiza hii nyimbo I was like maskini so ana ukimwi hatoweza kuimba tena...
Same to i ,nilidhani kweli anaukimwi so any tym he is gonna die,that was my thoughts...but it was just educating the views and listeners
Sound 😂😂😂
Legendary. Keeping the good music alive!
We Lil Ommmy ni mkali
Mwana we mnyyaaaaaamaaaa
Nimependa vibe umemsaport mwamba hadi nimeenjooooy
Shaaaraaaaaap dude
Duhuu nyimbo jaman inanikumbusha mbali sana jaman nyimbo zaza mani zilikuwatamu sana basitu
Ila bado iko na ladha. Nyimbo za sahii mbovu tu hazikaagi sana zinaisha utamu ela zazamani ndiyo nyimbo
Dah jamaa still yupo na utam wake sema hawamshiki mkono kumrudisha kwenye ubora ule he is a true legend
Mad respect kwa legend himself
Acha mapinduzi yaendelee Cloud walitesa sana wasanii hapa nchini 😭😭
Profile yako kila ngambo nakukuta🤣🤣🤣🤣
100% this was cull ...yani kitw kina miaka but dahh balaa unyama sana ... tbt ingine hatar 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Izo Nyimbo Zikipigwa Hata Ukiwa Unakula Nyama Leo Utakumbuka2 Wakati Ulipokua Ukila Bamia Uko Nyuma Tena Na Kilio Juu Kama Ulikuako Na Masela Na Wakafa Wakati Huo We Wacha2
Mr police police police man napendanga nyimbo za uyu kaka Bure wellkam back ferouz
❤❤ u from Kenya...starehe taught us alot💪💪🌹
ngada sio poa alikuwa msanii ambae nyimbo zake zote naimba mwanzo mwisho daaaa 🤭🤭 sijui kama atarudi vilee kama mwanzo
Uyo kaka alikuwa najuwa imba saana
huyo madam ako na kelele mingi sana kuliko msanii mwenyewe.... niko apa juu ya ferooz sio kwa yy
Mapinduzi gani yamefanyika wakati matabaka kwa Wasanii yanaendelea, why Msanii akiwa na mahusiano na WCB akienda Radio ama TV pinzani ni Sheeeeda kwake, Ferooz badilika huna energy ya show zaid ya kuruka ruka na kuvaa mlegezo
Mapinduzi bado yana endelea ferooz💯
Daah ume nikumbusha mbali mno broo wewe ni fire ....♨️
hao watt wa chuo apo wote hawawez kumuenjoy kama wamezaliwa 2002 wakt hiz nyimbo znatamba walkua wadg sana
😢😢nakubuka bali fruz🔥🔥
I love the show from our legend
Those days when music was music
🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇴🇲miss moor 👊👊👌
HApa ilitakiwa tuwepo wazeee hapo naona pana watoto wa afumbili ambao hawajui chochote kile@kwenye hizi old school please muwe mnaniita
Mbona watu wengi lakin saut mbili? Love you #ferooz
Huyo Mdada ni tatzo ferooz anasubiri kwenye kuimba
Hayu ndie msanii Bora sikina daimond wakuja kutu haribia watoto wetu
Ferooz unajitahid sana kwenye muzic
The man is legend
Big up brother 😍😍😍😍😍
Ferooouz🔥🔥
YES YES YES!!!
Nimefurahi kukuona burooo una sauti insha allah utasimama tena
Umeanza kung'aa kdogo tena bro Ila acha madawa so mazur❌❌❌❌❌❌
Ferooz big up sana
Yani huu wimbo umeniacha', nimelia daa
Na Ashley ana bidi aitwee
Ferooz Anassema a luta continua,kkkkkk
Mupeni support mwana ainuke tena basi
Feruzi miaka mingi sikusikihi mtuwangu
og sana nipe 5
Viva ferooz
Hapo wengi sidhan kama walikua washajua matumiz ya hzo nyimbo. Cc ndio tuliozitumia miaka hyo aiseee yaan ilikua bonge la vibe ukiwa club
Old is gold
Hiki kijamaa hiki daa basi tuu nataman nirudishe muda nyuma coz jamaa alikua anaimba mazee ni hatar sana namic sana hizi vibe aisee
🔥🔥🔥🔥🔥
Legendary
😘😘😘😘😘😘😘🇴🇲🇹🇿💃oyoooooooh
❤️❤️❤️❤️
😇😇👊
😍😍💃💃
Nakubali
Show show
Namkumbali
Msanii anaitwa aimbe anaimbisha wattu
Uko juuu kakabnakumbuka sijuibhao making kiba walikuaga wapi
Kizazi kaka
Sema zilipendwa
acha shbo
Yaukweli hii
Niceeee
Ferooz nakumbali
Remember the time
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Mzigo umefka mahala paka
Unyama mwingi
Mkalii
legendary
Mzee wamasaut
ttzo wasanii wabongo makelele matupu huskii hata wanaimba nn
Weweee wa2 ni kuruka 2
Huwana tamanigi hizinyimbo zirudi kamaza mani hila basitu ayiweze kani
Naaam
Ni kuimba ama ni kelele
Hi n fire kuliko
Nahuzunika xna baada yakuxkia huu wimbo ndio kipindi ambacho naachana na ex wangu. Ferooz xijiu alikwama wap?
🤣🤣
nkbl feluzi
Mzki wake unaish
Wadada hapo angekua kawaida Ali kiba , diamond au konde looh Kuna watu Hadi wangepigwa na boy zao
HAMOKINYESI hana nyota ya watoto wa kike labda ungemueka hapo Rayvany na jux ila sio hamokibonge mziki wake n wa masera
@@009biafra8 utakufa cku c zako unazitumia vibayachuki zako
@@mahmoodalghefeili5370 Hàmokinyesi ananuka haogi wanaomshabikia n kwa sababu anamtukana Mond ila sio kwamba ana mziki wa kufanya madada wampende Elewa hivo kama ulikuwa hujui
Wa dislike 2 wachawi wa konde 😬😬😬
Huyo demu kelele tu atoke hapo
kashaacha bange kwani
Nandy kazimia studioth-cam.com/video/e_uV56dLtMI/w-d-xo.html
Dhahabu isiyo isha thamani tunao kuelewa wewe bushoke na tmk family na wagosi wa kaya
Nyimbo mpya ya Roma
th-cam.com/video/Ge9zDhO7gxM/w-d-xo.html
❤❤ u from Kenya...starehe taught us alot💪💪🌹