Aslay Amvuruga Mbunge wa Sumbawanga, Azidi Kuwasha Moto Tigo Fiesta
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2017
- Mwanamuziki Aslay amezidi kudhihilisha kuwa anatamba kwa sasa baada miji yote aliyopanda kwenye jukwaa la Tigo Fiesta 2017 amekuwa akitumia nguvu kidogo kwa mashabiki wake baaada ya nyimbo zake kuimbwa sana.
- บันเทิง
Nawaombeni sana ndugu zangu tusichoke kumu support huyu kijana aslay kiukweli anaimba vizuri sana
Daaaah yaaaani mm ni timu daimond na alikiba lakini kwahuyu dogo tuache kuongea unafki cozz sehemu zoote zashoozake huimba mashabiki nasio yy hyo nijins gn alivyo mkaali nooomaa saaaaNa
Dogo anajua kuimba na hadhila sure audience that is good I like much
Jamani huyu aslay napenda kazi yake sanah mpka nikiona nyimbo zake najawa na machozi y afuraha mm n upcoming artist lkn akija uku kenya maboodgard ni wakali hauwez mkarbia sjui nitampata wapi angalau anipush am an upcoming artist nikimaliza kusoma namuomba Mungu atukutanishe
0:00 pusha
2:59 natamba
6:07 baby
7:50 tete
9:34 marioo
11:00 muhudumu
16:15 angekuona
Aslay jamani nyimbo hiyo inanikumbusha mama yangu mungu amlaze pema peponi ameen yarabi
uyu dogo atafika mbali sanaa ankipajii kama unmkubli gonga like hapa+254 mpoo
Ok
Kweliiiii
Halma Saidi atafika mbali sana asley
keen j unatixha kijana kikubwa ni kukaza
Warioba
Aslay sasa kwanini hukwenda #afrima badala ya kiba. 💃💃💃🔥🔥🔥
Huyu ndio msaani pekee nnayemkubali Tz....nyimbo zake zinaongelea sanaa historia ya mapenzi
huyu kaka ako sawa tu..watu wengine hapa wamesahau kumeza doze ya daktari wanaposti upuzi tu..ACHANENI NA ASLAY BANA..
Huwa
Nakukubali Adi nashindwa kujizuia jmaniiiiii, nyimbo zko zote huwa zinagusa maixha yng duu!!!!!.Mungu akubaliki uendelee Kuwa Juu.
Daaaah!!! Hii chata nyingine kabisa!!!! Sio kwa mpera mpera huu!!!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
ukizooreka utakua kama wengine ila ney zaidi ya
❤❤
Like nyingi kama unamkubali Aslay👍👍🔥🔥
namkumbili sana
Mudrick Famous big up sana kwako aslay
Mudrick Famous tishaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa
Mudriq Famous m
Namkubali aslay mpaka naugua
Big ups Kijana Aslay 🎉🎉❤❤ much love from Kenya ❤❤❤❤
The guy ana sauti nzuri na anaweza kuperform live..keep it up aslayisihaka.
Huyu dogo hatari sanaaa tena saanaa
piga kazi ndo kazi yako hiyo
Duuuu unatshaa Sana aslay ur real fantastic musician
keep it up Aslay; ufanye na nyimbo za kuchezeka kama enzi za Yamoto; kama kuwaimbisha tu... wameimba sana
Kama uko na watch this video like hapa 2020💯💯💯💯💯💯
Nashindwa hadi kuongea jamani much love kwako aslay you killing it. 😍😘
Hakika asly unalimiliki jukwaaaa saf Sana mungu akutie nguvu katika kazi zako arikiwa sana
pongezi unastahili brother nakukubali
Mdogo wangu uko vizuri sana Aslay
Aslay ww ni ndugu yangu ila unachowafanyia Wasanii wenzio kwenye fiesta me cpendezewi kabisa 😂😂
Felix Kilave 😀😀😀😀😀😀
Felix Kilave jaman anawafanyaje
ASLAY SO MTU MZURI
😂😂😂 bora hata d hajaenda maana huyu dogo mchawi sana 😂😂😂 aibu
Felix Kilave 😂😂😂😂
aslay upo juu kikubwa kuwa na utulivu katikakutoa ngoma zako.
dogobkatisha sana sumbawanga bnishidaaaaaa
San dog as
Historical Artist
daaa umetisha dogo👏👏👏
Hamna background dancers, hata Dj jajificha, bt umetisha kuliko wanaopanda na umati
Aslay unajitaidi ila kwa beka bado unajifunza kaka
aslay ww nakupa saruti kubwa unatisha sana
Nakubar
Severin Bwuma RIDIA ezekier dogo upojuu sana bigapu san
wow noma xana dogo aslay mungu akulinde
Always Rockn'Dogo am locked ,,,ndani ndani kabisaaaaaaaaa am in love with your work so talented Nakurank😎😎
M/mungu akuongoze ufikie malengo yako brother
ubarikiwe aslay ubarikiwe sana, mziki wako ni mziki wetu, tunakuelewa hasa.
Nice mdogo wangu
Uku juu sana aslay
penda sana ww 😍😍😍😍
napenda sana nyimbo zauyu kidjana mwenyezimungu amuzidishiye
NEW KING ASLAY
Namkubali Sana Aslay
Shinning star
Aslay unatisha baba nakubali sana @$--::!;:";'
Flora Willa
Flora Willa aslay
Truely ur blessed go go go am in love with your work
upo vzr dogo ....but imba bila CD ...
Triza Mwei me namkubali
Aslay kama. Aslay ❤️❤️❤️❤️📌📌📌
salute kwako dogo nakukubali mpaka bac
Dogo amebakiza siri moja tu amfunike kila msanii, dancers. Akipata dancers wa uhakika atawaaibisha watu wengi wenye timu zao
fire aslay
kipaji unacho kjana wawatu
yupo juu
Nakupenda sana Aslay
I like all your songs 🎵 keep going bro
aslm alkm,ni Claris aka jamillah kutoka Kenya,ur the boom,kip up the spirit ,man ur good n swt,iove u
Ubarikiw bab nakupendag san nasan unasaut nzuli
Mim mtanzania naishi Sweden siwez kuongea kiswahili vizur.ila napenda kumsikiliza Aslay kila ngoma yake sichoki kama na wew unapenda Nyimbo za Aslay Gonga Like hapa👇
namkubali
RAMADHANI AKILI nampendasana
Mung atujalie tufike hichi kiwango. Barikiwa sana Aslay. Lots of love
Namupenda sana Mungu amuzidishe 💞💞
Wengine hapo Show ikiisha wanadandia Ungo wanarudi magetoni Fresh tuu
Mtokambali kkkkkk aah wwe umenichekesha
+hamisi nyale unavituko ww! hapo kuna wengine wameingia hta bila kulipa chapaaaaaa
Mtokambali kkkkkk
Mtokambali hahahahaha wamepaki fisi
Mtokambali haaaaa haaaaaa haaaaaa haaaaa haaaaaa
firee 🔥 🔥 fire aslay
Aya
NGUVU YA UMMA 👊👊
hongera sana kijana mwenzetu
🏃🚄💨💨💨
coming!
dogo ulitisha sana..ulituburudisha sana ck iyo
Mm jamani nampenda nyimbo zake
we fundi aslay nakubali xana kazi zako
gonga like team slay huyu dogo noooouma
Nahic fella anajuta kumuachia uyu dogo coz uyu dogo ni hela. Apo amna cha #kiba wala #mond
dogo nishidaaaaaaa
Mwaka wako huu
Lv ur show and ur songs dogo keep up bro
like kama zote toka kwangu. uko juu doooo
kama ni dawa mdogo wangu naku dm unipe niweke kwenye biashara yangu ila kama dua bhasi nifundishe namna yankuiomba sio kwa love hii ya wananchi yani watu wanasahau njaa za mjomba magu kwa muda mzee.... we mkali dogo lake
Hahahhahahahaaaa umenifurahisha sanaaaa
kweli atuambie dua gan nasi tuiseme daaaaaah
sele Big duuh
AaaaAaaaaaaahhhg
Aki nakupenda sanaaaa Aslay najua husomi hii message lakn ukweli lazma usemwe
Aslay nakukubali asee songea kwa wakwe zangu hongereni mmemuona king wa baadae
Nakubali na naipenda.....Nakupenda bure Aslay
Jaman fiesta imepowa tafuta wengine bhana
Namwelewa sana pacha wangu
Emungu mzibishi uyukumbe
God be with you #aslya utimize ndoto zako
Hatareeeeeeeeeeeee aslay jomoniiii
Aslay gonna be a big thing in coming days i believe God bless
BREEZYBOY LEWIS Amen
Umetisha Aslay,uko juuu
aslay daaaaah! basi tu nashindwa hata nseme nn
Aslay nakkubali dog
nakukubali sana aslay
Aslay watamba kbs hiyo ndiyo furaha yetu utambe
Asly y best ever Kila time
Daaaa hyu dogo Anabalaa zto nakbli sn Asly
Jamon wew mtot mbon unakuja💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥unajua kunikonga moyo🎶🎶🎵🔔🕭mzik mzur upo vizur
mungu hakupe uwezo zaidi
Saaaanatyu naili poa saana. Happy new year 2018
Fundi sana uyu sema ukimya wake una nichanganya sana rudi mzee
Aslay rudi kwenye game usumbuwe jiji
Kwanini hujaja 2022 jamani sumbawanga umeniangusha shabiki wako
nimeipenda hiyo ngoma
Aslay unachowafanyia wasanii wenzio cyo Poa😂😂😂😂😂😂😂
diamond and kiba u gotta watch out,,he soo guud..
nakubali xna aslay uko juu broo 😘😘😘😘
Nice sana aslay big up am from 001
Aslay hiyo reggae yako inauwa from 254
Umetishaa sama\aaa🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🙏🔥🔥🔥🔥
nomaaaa xhow kam xo bongooo,kaza aslay Bob we lovev u
Asley ❤❤❤❤❤❤❤
mwaaaa😘😘😘😘karibu tena Swax Bwana
Napend xna nyimbo za Aslay
Fiesta ya mwaka jana nlikoma hadi mwaka huu nimeona bora nikaenyumbani maana huo umati wa watu umenishinda kupumua vzuri ukipumua left harufu za jasho ukipumua right unavuta pumzi za wengine na ukipumua centre nyuma kuna wanaokutach wowowo.yani nilijutia kwa kweli nimeenda kuenjoy napata maudhiko
Nafisa Mohamad we ni shida
ha ha haaa
Hiyo ndo raha ya kuparrrrty
Hio ndio raha yake
nakubali aslay we n mkali from kenya
Very nice
Kali sanna