Ferooz ft. Juma Nature - Bosi (Official Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 3K

  • @pascomasizi1091
    @pascomasizi1091 3 หลายเดือนก่อน +1333

    wanaosema wasanii wa zamani warudie nyimbo zao kwa video ya u ubora kama ivi gonga like👍

    • @Eisd-c7t
      @Eisd-c7t 3 หลายเดือนก่อน +3

      Tumewamiss mno😊

    • @gerysongratian
      @gerysongratian 3 หลายเดือนก่อน +9

      Huyu director kaharibu uhalisia wa wimbo hapo ferooz sio duni ..
      Kweli kwa hii nyimbo unaona ferooz ana maisha duni?? Au elimu ndogo?

    • @mbarakamngayunga9558
      @mbarakamngayunga9558 3 หลายเดือนก่อน +4

      Ni kwel director amezingua, boss alitakiwa awe hapo na wafanyakaz hata watatu hiv iwe mazingira kama ya ugomvi hv

    • @missgeezy1
      @missgeezy1 3 หลายเดือนก่อน +1

      Woteee warudieeeee

    • @JoseRee774
      @JoseRee774 3 หลายเดือนก่อน

      video imepndez

  • @MartinPatrick-g6c
    @MartinPatrick-g6c 3 หลายเดือนก่อน +715

    Team ferooz tujuane apaaa kwa like

    • @issashabani-c7r
      @issashabani-c7r 3 หลายเดือนก่อน +1

      Video inataliwa iendane na maneno unaya yasema kama hivi alivo fanya feruzy🎉🎉

    • @SundaylunulaAbwala
      @SundaylunulaAbwala 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ndiyo mmi ktka kenya

  • @SuperDee-v4h
    @SuperDee-v4h 3 หลายเดือนก่อน +316

    Naomba iludiwe ngoma ya ferooz ft pr jay starehe kama unaungana na mimi gonga like

    • @SukariYao-o5v
      @SukariYao-o5v 3 หลายเดือนก่อน +7

      Starehe video ishajitosheleza ile

    • @mikonoextra
      @mikonoextra 3 หลายเดือนก่อน +4

      Wanashoot nyimbo ambazo hazikuwa na video..

    • @JacklineIkoki
      @JacklineIkoki 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SukariYao-o5vni kwel kabsa

    • @ndaulinendaulina5715
      @ndaulinendaulina5715 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SukariYao-o5vEti! Imeshajitosheleza. Why ruin a classic?

    • @SukariYao-o5v
      @SukariYao-o5v 3 หลายเดือนก่อน

      @@ndaulinendaulina5715 baba majani anatoa video za nyimbo ambazo hazina video elewa hapo

  • @kidtoto4869
    @kidtoto4869 3 หลายเดือนก่อน +1094

    Matusi 0%
    Picha za uchi 0%
    Kipaji 100%
    Elimu/Maarifa 100%
    Ujumbe 100%

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 3 หลายเดือนก่อน +9

      Kuboa 100%

    • @JohnKudafa
      @JohnKudafa 3 หลายเดือนก่อน +1

      🤕🤕🤕

    • @kidtoto4869
      @kidtoto4869 3 หลายเดือนก่อน +12

      Hao wakina inama nipachike Rungu sio wasanii kelele tu

    • @fredyhodari3725
      @fredyhodari3725 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@vinny.morales😂😂😂Daahh nchi imevurugwa

    • @Michael_Msanzya
      @Michael_Msanzya 3 หลายเดือนก่อน +19

      Kuvutia 100%
      Story 100%
      Melody 100%

  • @mtokambali6186
    @mtokambali6186 3 หลายเดือนก่อน +391

    Ferouz basi.. Hebu tuliza nafsi.. Pole sana kwa mkasa wa boss.. Tuombe Mungu apunguze mikosi... Achana na visasi.. (Utakuja jijutia) 😅😅😅 kama wewe ni Legend weka like apa

    • @livinusndibalema895
      @livinusndibalema895 3 หลายเดือนก่อน +5

      Verse ya mtu mzima Solo Thang haimo kabisa.

    • @saidsidaz
      @saidsidaz 3 หลายเดือนก่อน +2

      imekatwa juu kwa juu

    • @FUNNYVIDEOS-ek1cm
      @FUNNYVIDEOS-ek1cm 3 หลายเดือนก่อน +3

      Hayupo Tz itakuwa

    • @jumaomary5042
      @jumaomary5042 3 หลายเดือนก่อน +4

      Na mm nilikua najiandaa na hio verse ghafla imekatwa 😮

    • @nyigomakunza4285
      @nyigomakunza4285 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaitwa SOLO THANG!! Dah nimekereka sana kipande hiki kutokuwemo....!!

  • @JessyMaina-k8t
    @JessyMaina-k8t 3 วันที่ผ่านมา +1

    Si hata wewe unaona bosi ni handsome kuliko mwenye mali🙎

  • @user-Zadig
    @user-Zadig 3 หลายเดือนก่อน +149

    Wale tulio muona ferooz kwenye mabanda ya cinéma wekeni like apo chini❤ DRC lubumbashi

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 3 หลายเดือนก่อน +175

    Kama ww umetazama hii wimbo 2024 weka like hapa

  • @nathanijotham652
    @nathanijotham652 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ZAMANI WATU WALIKUWA WANAIMBA AISEE

  • @samuelimshiu6430
    @samuelimshiu6430 3 หลายเดือนก่อน +178

    Watoto wa 2000 huyu ndiye alikuwa Diamondi wa kitambo hicho,

    • @3malis
      @3malis 3 หลายเดือนก่อน +7

      Watoto wa 2000 tuna tabu sana😂😂😂😂

    • @eng.makolal1367
      @eng.makolal1367 3 หลายเดือนก่อน +11

      Usimlinganishe Ferooz na waimba matusi & mashoga.

    • @FabiDthree-ro1ms
      @FabiDthree-ro1ms 3 หลายเดือนก่อน

      @@eng.makolal1367kweli uyu kaimba nyimbo mbk leo zinaish

    • @fredrickmathias5155
      @fredrickmathias5155 3 หลายเดือนก่อน

      Hapana uo uwongo

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @jabbydux
    @jabbydux 3 หลายเดือนก่อน +1091

    Tunaomba ifuate video ya "Elimu Dunia" ya Daz Baba ft. Afande Sele & Ferooz. Kama unaungana na mimi tujuane kwa likes.

    • @Chapajogoo
      @Chapajogoo 3 หลายเดือนก่อน +25

      Dah! Watu walikuwa wanaandika, na wanaimba.. kweli muziki umechakachuka 😢

    • @BrunojnrMz
      @BrunojnrMz 3 หลายเดือนก่อน +6

      Kweli

    • @mlyamalitv1789
      @mlyamalitv1789 3 หลายเดือนก่อน +5

      Alleged hiyo kabisa.

    • @Brighton_the_tutor
      @Brighton_the_tutor 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@ChapajogooTrue

    • @ChallahKim
      @ChallahKim 3 หลายเดือนก่อน +2

      ❤❤❤❤😊

  • @PatrickTz-e9y
    @PatrickTz-e9y 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ferooz na Juma Nature🤝

  • @jaycombat-x3x
    @jaycombat-x3x หลายเดือนก่อน +3

    Fer00z mzee baba bora uvumilie🙏🙏 we nikipaji

  • @izzo_boy
    @izzo_boy 3 หลายเดือนก่อน +220

    Nisiwe mnafiki ili goma nikali sana na sitafanya vizuri nisipo acha comment yangu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪

    • @TumaAhmad
      @TumaAhmad 3 หลายเดือนก่อน

      Umeongea yupo

  • @MektildaJeremia
    @MektildaJeremia 2 วันที่ผ่านมา +1

    Jilushe

  • @sixbertbudodi
    @sixbertbudodi 3 หลายเดือนก่อน +431

    Tuloumia solo kutokuwemo humu gonga like hapa 😢😢😢

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 3 หลายเดือนก่อน +5

      Nagonga like hapo mwanangu dah sijapenda solo thang japo nahis wameshindwa kumpata yupo ulaya nahisi ata yeye kawanyima ushirikiano kina p funk au feruz au kabanwa na majukumu jaman binadam tunamengi anaweza kua ata aliugua.ila juma nature sijaelewa

    • @furahasibonike5981
      @furahasibonike5981 3 หลายเดือนก่อน +2

      Sijuhi kwann ayupo 😢

    • @rogatusmeleki1660
      @rogatusmeleki1660 3 หลายเดือนก่อน +7

      Kwan kuwa Ulaya si angekutuma clip
      Dunia ya digital sasa

    • @abdulmajidmageja6562
      @abdulmajidmageja6562 3 หลายเดือนก่อน +4

      Solo yuko wapi munaana ubinafs Bila yy umefeli mwamba

    • @abdulmajidmageja6562
      @abdulmajidmageja6562 3 หลายเดือนก่อน +11

      Mungemchukua hata mpoki mungemueka hapo ingekua noma Sana

  • @Tupoog
    @Tupoog 3 หลายเดือนก่อน +25

    Watoto wa 2000 hamuwezi elewaa,wale malegedi tujuane kwa like hapa

    • @ZachariaLufunga
      @ZachariaLufunga หลายเดือนก่อน

      Prefanki Mani kwenye Bett nishida tupu mwamba

  • @Morgan-qr5cf
    @Morgan-qr5cf 2 หลายเดือนก่อน

    La musique consciente de la Tanzanie,ferooz tu as arroser mon enfance avec ta belle musique.Vive ferooz

  • @ibraahkenya4169
    @ibraahkenya4169 3 หลายเดือนก่อน +28

    Upendo mwingi toka Nairobi kenya... Weka like hapa

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 3 หลายเดือนก่อน +191

    Fadhila ya kuwapa awa watu ni kuwapa views za kutosha. Tujongee hapa.

    • @HassanPacha-f9w
      @HassanPacha-f9w 3 หลายเดือนก่อน +4

      Good sana mzazi umeongea kitu kikubwa sana mwingine asiejua ataona kawaida kwa ulichosema

    • @marywanyika6924
      @marywanyika6924 3 หลายเดือนก่อน +2

      Niview ×10 natoka narudi tena

    • @issaomari5297
      @issaomari5297 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel kabisaaa

    • @adamsilumbe8356
      @adamsilumbe8356 3 หลายเดือนก่อน

      Bora nature lkn ferooz aliwahi kupewa gari na mzee mkapa tena jeep sijui alifanya nini hadi maisha yake niyachini

  • @mayarajulius
    @mayarajulius 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubali ferooz ludi kwenye game kaka 🥀🌹🌹🌹

  • @victorngetich4998
    @victorngetich4998 3 หลายเดือนก่อน +22

    Mziki mzuri..elimu na maisha..kenyans here nipe likes mazee..au kweli hivi ndo hali ilivyo

  • @mustafakingwande9459
    @mustafakingwande9459 3 หลายเดือนก่อน +52

    Bora wakongwe mmeamua kutukumbusha enzi ztu maaana kizaz cha sasa ni nyegenyege tu

    • @ROBERTRUGENI
      @ROBERTRUGENI 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sure asa nachukia sana kitu inaitwa amapiano

    • @NabothChaula
      @NabothChaula 3 หลายเดือนก่อน

      tatizo amuwapi nafasi ila wapo kibao

    • @DavidMido
      @DavidMido 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani

    • @DavidMido
      @DavidMido 3 หลายเดือนก่อน

      Yaan nyimbo ya kitambo kali kama ya jna lkn leo ii et mtu anaimba natka kuweka

    • @AmosMwilongo
      @AmosMwilongo 3 หลายเดือนก่อน

      Hahhahaaaa

  • @amanipaulo8383
    @amanipaulo8383 3 หลายเดือนก่อน

    Vesi ya Afande Sele mzee mzima haipo kulikoni aaaaaaa mmezingua ila poa 💪♥️

  • @GeorgeNyalulu
    @GeorgeNyalulu 3 หลายเดือนก่อน +37

    Bongo records fufua zote in a current version afu uone bongo flava inavyorudi kwenye afya yake sasa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 3 หลายเดือนก่อน

      Idea ya kuzirudi naona haijafanya poa sana..sababu zile nyingine zilishakamilika kwenye audio..ila hii idea ya video ndio itawapa tena hela hawa wasanii..Great idea..na najua ma director wengi wataibuka kuzifanyia video hz nyimbo

  • @khalfanikanga
    @khalfanikanga 3 หลายเดือนก่อน +12

    Watoto wadogo wanajua mzigo mpyaa huu

    • @AnatolliaDesderius
      @AnatolliaDesderius 3 หลายเดือนก่อน

      😅mnatudharau sana, kwamba hata namna ya uimbaji tushindwe kujua kama ni Ngoma ya zamani

  • @AidenKunzi-j6j
    @AidenKunzi-j6j 3 หลายเดือนก่อน

    Mm ni kwa wanokubali nyimbo za hawa ma legend gonga 👍

  • @vocalizertz6868
    @vocalizertz6868 3 หลายเดือนก่อน +9

    Zama hizo maisha yalikuwa magumu sana ,kwahyo nyimbo kama hizi zilikuwa na hisia za kweli.

  • @RichardJavara
    @RichardJavara 3 หลายเดือนก่อน +21

    Majani endelea na mpango huu ili wasanii wetu waanze kupata mirabaha wafurahie matunda ya kazi yao

  • @GodfreyBujiku
    @GodfreyBujiku 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤ dah nimekumbuka mbali sana hii sasa mmeitendea haki sio kma ila ya mtoto idd

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hizi ndio nyimbo sasa zinaujumbe flan amazing, safi sana wasanii wa zamani kuzirudia hizi ngoma 👏👏

  • @samsonkitalala4287
    @samsonkitalala4287 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ferooz basi! tuliza nafsi,Pole sana kwa mkasa wa boss ..........tumalizie vesi ya solo

  • @willymoaziz254
    @willymoaziz254 3 หลายเดือนก่อน

    Chuma mbili za kale zarudi Kwa kishindo🔥🔥🔥

  • @wazirijunior794
    @wazirijunior794 3 หลายเดือนก่อน +17

    Aisee huyu jmaa basi2 ferooz kautendea haki muziki wa Tanzania, ukisikia muziki wenye ujumbe basi ni wasanii wa zaman

  • @kombomwakaribu8252
    @kombomwakaribu8252 3 หลายเดือนก่อน +30

    Gen Z hawawezi elewa...kama Gen Z mnaukubali huu naomba likes zenu hapa✅

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj หลายเดือนก่อน

    Safiiiii ingefaaa zirudiwe za zaman zoteeeee watoto wa 2000. Tupisheni kidg

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 3 หลายเดือนก่อน +19

    Natoa wazo.kwa majani na wasanii wa zamani,warudie video zao na warekodi kwa kiwango kizuri ili wapate maokokoto ya TH-cam 👌👌

    • @missgeezy1
      @missgeezy1 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa maana wanaudai sana huu mziki
      At least wafanye hivi wapate pesaa

  • @desmakanji1434
    @desmakanji1434 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ferooz my Man...wapi likes zake

  • @josephmwangiadjai7166
    @josephmwangiadjai7166 2 หลายเดือนก่อน

    Stivo ukimskiza kwa makini Ako na talent n he really knows how to arrange the lyrics... Ndo manake

  • @omaryomary1042
    @omaryomary1042 3 หลายเดือนก่อน +13

    Oya majani bongo record salute kwako kwa hii WAZO la kutoa video za kitambo

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 3 หลายเดือนก่อน +39

    Tulokua tunamskilizia juma nature atakavyoingia tunyooshe mikono juu🖐🏻😂

  • @vitussimon9696
    @vitussimon9696 25 วันที่ผ่านมา

    Nyimbo nzuri kabsa haina ukakasi hata ukiwa na familia mnatazama bila mawazo au hofu.

  • @jtzsafaris9730
    @jtzsafaris9730 3 หลายเดือนก่อน +43

    Jamaa anakipaji sana wanaomkubali ferooz weka like apa 😊

  • @abelmkiba543
    @abelmkiba543 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna watu watajua Ferooz katoa ngoma mpya 🔥🔥🔥🔥

  • @ZainabuMairi-x1q
    @ZainabuMairi-x1q 8 วันที่ผ่านมา

    Dah sio kwa kinyimbo kizurii❤❤❤❤

  • @BERNARDOJORGE-j5z
    @BERNARDOJORGE-j5z 3 หลายเดือนก่อน +8

    I'm Mozambican, but I've loved ferroz since I was a child... get up ferroz, God bless you 🙏🙏

  • @RajabuHamisi-t6v
    @RajabuHamisi-t6v 3 หลายเดือนก่อน +13

    Kuna kipande cha solo theng kimekatw feluz bas embu tuliza nafs pole sana kea mkasa wa boss hii ngoma watoto wa 2000 hawawez kujua kama kina kitu kimepungua

    • @SIMULIZICLUB
      @SIMULIZICLUB 3 หลายเดือนก่อน

      Kipande cha muhimu sana kile na ndo kinaleta maana halisi ya wimbo

    • @Ooppss-q8g
      @Ooppss-q8g 3 หลายเดือนก่อน

      Achana na visas utakuwa vijutia

  • @RubazaReuben
    @RubazaReuben หลายเดือนก่อน +1

    Ferooz enzi izo ndo mlikua mna imba mziki wenye ujumbe mkali sio leo wana imba ume chukua umeweka uwaa

  • @pajokakasasa
    @pajokakasasa 3 หลายเดือนก่อน +25

    Hongera sana Majani kwa Kutuletea video za kitambo ambazo hazikutoka zamani,madogo wa 2000 mlikuwa Tetee,Kaeni pembeni Baba zetu tunaangalia Ngoma zinazoishi milele

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 3 หลายเดือนก่อน

      Hii ilitoka ya zamani ipo

  • @omickeyjimmy5112
    @omickeyjimmy5112 3 หลายเดือนก่อน +11

    🎉🎉daah sina lakusema ila tunatak mrudi kwenye game maana diamond hakuna mafunzo iko anatupa

  • @rashidmoche8709
    @rashidmoche8709 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ndo bongo flava zetu ❤❤❤

  • @amirisimba5629
    @amirisimba5629 3 หลายเดือนก่อน +10

    Miaka 💯 ad sasa cjawai ckia Beat production kali kama za P funk. Hii test na intrumental mixing bdo atujapata Bongo kufikia science ya Pfunk Majan aise ad leo! 🙌🏿🙌🏿

    • @goodluckmchika4072
      @goodluckmchika4072 3 หลายเดือนก่อน

      Halafu kuna takataka moja inajiiya s2kizz inajiona bonge la producer wakati kelele tu

  • @Kigumi_therarebway-fn4dw
    @Kigumi_therarebway-fn4dw 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ze comedy waliitendea haki..hii nyimbo... . ilq kuhusu hii ngoma feruuz ulitisha bro

  • @ibraahkenya4169
    @ibraahkenya4169 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo nimelala niko kitandani starehere zimeniweka matatani..ferooz kanifanya nijifeel mtoto tenaa.. Big up brother❤️

  • @ebbyexaud4125
    @ebbyexaud4125 3 หลายเดือนก่อน +19

    Hiyo nafasi ya boss ingemfaa sana JB!

    • @BobErick-er6qm
      @BobErick-er6qm 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yes true JB could b much better thanks u 4 big thoughts +254

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nyimbo Kali,ujumbe mzuri,wasanii wa zamani kwa mashairi mazuri walitisha sanaa,🔥🔥🔥

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 3 หลายเดือนก่อน

    Daa nimekumbuka mbali bongo za zamani zilikuwa moyoni ..kama kweli put ❤

  • @ahmedshabani1260
    @ahmedshabani1260 3 หลายเดือนก่อน +51

    Watoto wa 2000 watajua ni msaniii mpya na nyimbo ni mpya

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ferooz pacome wa bongo fleva🔥🔥🔥🔥weka like kama unamkubali

  • @NibigiraDesire-u4t
    @NibigiraDesire-u4t 3 หลายเดือนก่อน

    Namkubali mwamba tang utotoni ❤❤❤❤

  • @snaidertv1857
    @snaidertv1857 3 หลายเดือนก่อน +33

    Tholo thang mmemtoa dah piA hapo nature niltaman nmuone boss akiwepo but tunasubiria Barua 🔥nazan utaua sanahisia ziendane na matendo

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tholo thank aliua sana humu

    • @emmanuelreuben8506
      @emmanuelreuben8506 3 หลายเดือนก่อน +1

      Barua imefanywa na bongo records.?sio mika mwamba.?

    • @peterkamote6215
      @peterkamote6215 3 หลายเดือนก่อน +3

      Sijapenda......kwann mwenye bongo fleva yake au sauti yenye mamlaka na ujazo hayupo🤔😞alafu kipande chake mkakiruka"hamjui kwenye utamu wa hili gharika ulikuwa pale boss anapozwa???

    • @Ibrahshayo
      @Ibrahshayo 3 หลายเดือนก่อน +2

      Upo sahihi apa Kuna Namna mtendo piah hayajaendan na matukio.. piah kumtoa solo wamearib

    • @AzeezHunter
      @AzeezHunter 3 หลายเดือนก่อน +1

      Barua mika mwamba aligonga

  • @omukachiheritage
    @omukachiheritage 3 หลายเดือนก่อน +47

    Huyu jamaa anaongea 1000 words per second na hakosei😂😂

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa 3 หลายเดือนก่อน

    P funk mtafute na mwanamkiwa🎉🎉🎉

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 3 หลายเดือนก่อน +8

    Feruzi,ganwe mzulu,,,,,,karibu sana good time bus ,,,mzee mgido Peace ✌️

    • @slimpeewee1426
      @slimpeewee1426 3 หลายเดือนก่อน

      Wape Hi chama la wana Moshi wa d*w@...

  • @CheobaObadia
    @CheobaObadia 3 หลายเดือนก่อน +16

    Wazee tulipiganie ii dude!!! Ikae trending ata sku mbili awatingishe awambnga wa nynyenye!!??

  • @momadesuales
    @momadesuales 3 หลายเดือนก่อน

    Ngoma imetulia na ipo juu zaidi🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @africangirls482
    @africangirls482 3 หลายเดือนก่อน +6

    Sema ile waliyo fanya ze comedy masanja na joti nikali kuliko hii

    • @iddyluswaga1821
      @iddyluswaga1821 3 หลายเดือนก่อน

      Ile ilikua Kali sana

  • @DilanFamous
    @DilanFamous 3 หลายเดือนก่อน +7

    Video imeliret namatukio safi kabisa SEMA ves ya neture ilibid awe anamchana boss😂😂 ingekua noma zaid maana alikua anamfokia ferooz mambo yaboss all in all video kali ❤

    • @ommygraphics4355
      @ommygraphics4355 3 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi niliona ingekuwa ivyo lakini uwenda wakawa na sababu zao za msingi

    • @damasmwalongo5178
      @damasmwalongo5178 3 หลายเดือนก่อน

      sure niliwaza hivo pia

  • @deomaiko5321
    @deomaiko5321 หลายเดือนก่อน

    Kipaji akipotei Bado upo vizuli❤❤❤

  • @gRaY_S9N
    @gRaY_S9N 3 หลายเดือนก่อน +6

    Director aliyeshoot amefanya kazi nzuri kutengeneza uhalisia wa nyimbo...👊🏿😊

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 3 หลายเดือนก่อน +6

    saffi sana bongo Records

  • @Malikamtajir
    @Malikamtajir 3 หลายเดือนก่อน

    Huu ndio mziki ulio na mafunzo ❤❤❤

  • @cait8932
    @cait8932 3 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani wa 198.. Na 199.. Pia early 200.. CD's... Hizi zilikua ni moja ya Bangs zetu. 2024 nipo glad na feel the music one of the legends.
    2024 goes ==> 2025 zilipendwa gather here 💽 🇹🇿

  • @slimflows
    @slimflows 3 หลายเดือนก่อน +5

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 siku zote 🤴 tunakuskiza story line deadly 😢😢

  • @gidionabraham2404
    @gidionabraham2404 2 หลายเดือนก่อน +1

    Noma sana...
    Ila kuna kipande Kimeondolewa...
    "Ferooz basi Hebu, Tuliza nafsi
    Pole sana kwa mikasa ya Bosi......."

  • @michaelwashington7492
    @michaelwashington7492 3 หลายเดือนก่อน +6

    MSG delivered ferooz ni mwamba Hizi ndio nyimbo tunahitaji za mafunzo.upande wa pili mukae kwa kutulia

  • @chalaisihaka
    @chalaisihaka 3 หลายเดือนก่อน +4

    Twende pamoja na watoto zetu na wadogo zetu wa 2000 kwani huu ni wakati wao ... for this time...ulio tengenezwa na wakati wetu ndani ya nyimbo hii

  • @DocteurDeBrowski
    @DocteurDeBrowski 2 หลายเดือนก่อน

    Old school ata Congo tuko pamoja 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @gweja882
    @gweja882 3 หลายเดือนก่อน +6

    Feruzi basi tuliza nafsi
    Pole kwa huu Mikasa wa bosi

    • @festosabatele8173
      @festosabatele8173 3 หลายเดือนก่อน

      Tumwombe Mungu, aondoe mikosi. Achana na visasi utakuja jijutia.......

    • @wigofleva6142
      @wigofleva6142 3 หลายเดือนก่อน

      Dah vers ya solo thang haipo😢

  • @ratconblackie5321
    @ratconblackie5321 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna watoto hawadandishi kit'u apa......ila siie wa miaka ya tisini

  • @WizzyMnyama-w6k
    @WizzyMnyama-w6k 3 หลายเดือนก่อน

    Ndomana nimejiuliza mbon video imeng'aa kumbe imeludiwa unyama❤❤

  • @MC_ALOYCE
    @MC_ALOYCE 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kipengele cha solo sijakisiia ferooz basi tuliza nafsi pole sanaa kwa mkasa wa boss tuombe mungu aondoe mikos

  • @Africanvillagecookingfood
    @Africanvillagecookingfood 3 หลายเดือนก่อน +7

    nani kashtuka kuna kipande imekatwa hapo sijui cha solo thang kile, ''ferooz bsi hebu tuliza nafsi, pole sana kwa mkasa wa bosi.......

    • @timothypengejoshua8692
      @timothypengejoshua8692 3 หลายเดือนก่อน

      Tena imekatwa fasta

    • @kidatokassim7616
      @kidatokassim7616 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo jamaa alikufa ama vipi màana sijaelewa kwanini kipande kimekatwa

  • @MudathirMuhammadsalum
    @MudathirMuhammadsalum หลายเดือนก่อน +1

    Huyuu jamaa tumpe mauwa yake🎉🎉

  • @Mr_G_Amarc
    @Mr_G_Amarc 3 หลายเดือนก่อน +6

    Wa kongomani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mfalmepharao
    @mfalmepharao 3 หลายเดือนก่อน +5

    Timu Sir Nature Juma Nature tujuane❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @ahmadshee-ew5rj
    @ahmadshee-ew5rj 3 หลายเดือนก่อน

    Makamandaa vioo za jamii huu ndioo usaniii Asantee Ferooz n J❤

  • @AllyNdola
    @AllyNdola 3 หลายเดือนก่อน +14

    Kipande Cha nature razima boss akiwepo mmezingua wazee

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sana alafu video haina different location haijachangamka kabsa. Nguo zile zile. Sehem ya solo thang wangeweza kufanya hata kama kapokea simu na jamaa anamshauri kupitia simu sio lazm awepo physically . Na mazingir yalitakiwa yawe local kdgo au kijijin kabs ndy ingependeza

    • @mkitotv7621
      @mkitotv7621 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@thabitdaudi9815wangetakiwa wafanye kama wakina joti walivofanya ingekua noma

    • @41Company-g5d
      @41Company-g5d 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wanatumia gharama lakini ubunifu mdogo

    • @jifunzeinadvance1782
      @jifunzeinadvance1782 3 หลายเดือนก่อน +1

      Katika Mazingira ya kawaida Hakuna mfanyakazi Mwenzako ataenda kumchana boss Moja Kwa Moja Kwa sababu ya kutoka na mke wako. Lakini atakushauri tu kutokana issue ilivo

  • @farajitv4745
    @farajitv4745 3 หลายเดือนก่อน +7

    Oyaaaa hili goma limenikumbusha mbali sana

  • @maxwellmutanya
    @maxwellmutanya 3 หลายเดือนก่อน

    Huu ndio mziki sasa. Sio ujinga unaoendelea siku hizi. Bongo flavour ilikufa kitaaambo.

  • @asserymmary2696
    @asserymmary2696 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mkasa wa boss...
    Asante saana Mdachi

  • @exodivvodacyfer3816
    @exodivvodacyfer3816 3 หลายเดือนก่อน +8

    Wimbo freshy lakini mie hapo pa bora niangamie ng'o namtimua naleta mwingine maisha mafupi kujipa stress

  • @shettabwoay9836
    @shettabwoay9836 6 วันที่ผ่านมา

    From Kenya,much love to ferooz...nampenda

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wanangu hiki ndiyo kitu ambacho
    Ulikisaau Mr ferooz

  • @ezehabari947
    @ezehabari947 3 หลายเดือนก่อน +246

    Watoto wa 2000 wakae pembeni kwanza 😂

    • @Abuumpunga1
      @Abuumpunga1 3 หลายเดือนก่อน +2

      😁 😁 Kwel kabsa

    • @Lg4343
      @Lg4343 3 หลายเดือนก่อน +5

      Nipo hapa unaachaje vitu classic kama hivi

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 3 หลายเดือนก่อน +11

      Tuwaache na Amapiano zao😂

    • @africamoja2924
      @africamoja2924 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kabsaaaaaaa

    • @zacharialughano3541
      @zacharialughano3541 3 หลายเดือนก่อน +5

      😅😅😅😅kabisa nyimbo zao zamatusi😅

  • @MelesianaElenist
    @MelesianaElenist หลายเดือนก่อน

    Kwel kwel goma za miaka ya nyuma do zilizo naubola naomba waludie 😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤

  • @AlexJohn-z7c
    @AlexJohn-z7c 3 หลายเดือนก่อน +4

    Live ..ila apo kwauyo mwamba ajaitikia wamezingua saana ais .....mukali yule ndo alichinja hawajui w2 bhas

  • @festnighne_badooh
    @festnighne_badooh 3 หลายเดือนก่อน +4

    Daaah TBT waanajuaaga sna

  • @IDDNZARO22-eu5xx
    @IDDNZARO22-eu5xx 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba wa enzi zetu karudi❤❤❤

  • @BANTUONLINEMEDIA
    @BANTUONLINEMEDIA 3 หลายเดือนก่อน +10

    Ferooz popote ulipo izi ngoma ndo tunazozitaka
    #Wasanii wengi wanapotea kwa kuiga midondoko ya mond
    #Ferooz fuata njia yako mtaa bado inakuheshimu bado unanafasi kubwa