kaka umeongea vizur sana ila sasa upo hatarili sana maisha yako kwa kuongea ukweli kaka angu maana kuna msemo unasema ivi uongo unavuma sana kuliko ukweli sasa wewe umeongea ukweli utakufa kaka angu
Allowance, Posho, Huyu Nguruwe anauwezo Gani Wa Kuhoji Mtu anatumiaje Malipo ya Posho kwa Mtumishi, Je Wabunge Posho Wanatumiaje, Yeye Huyu Zero Brain anazo Posho za Vikao, Je Ni Fedha za Kumfanya Awe na Makalio ya Kibashite? Tanzania Nchi ya Unyanyasaji, Ndio Shida ya Rais Zero Brain, Mwenye PHD za Kughushi na Wateuzi Zero Brain!
Thobias Marandu mtajichuja tu, mwanzo mlianza kama watetezi wetu na haki zetu siku zinavyozidi kwenda tunaona matusi "sasa huyu nguruwe zero brain" na wewe uliyekimbilia kufanya kazi za ushamba boy ulaya bora yupi? mnaojinadi mnajielewa mmekimbia ila zero brain ndo anajenga nchi angalia miradi ya ujenzi wa nyumba za walimu na mingineyo, nilikua nakufatilia ila siku zinavyozidi kwenda mizani imepungua "MENE, MENE, TEKEL, UPHARSIN" we changia mada za Trump maana ndo rais wako sisi tuachie Magufuli wetu na Mbowe wetu!
Makonda mmi nakuelewa sana bro utendaji kaz wako PGA kaz Mungu akupe afya njema na uhai mrefu uweze saidia cc wanyonge
Inasikitisha sanaa. Pole broo mungu atakusaidi utapona.mungu aubariki mkuu wa mkoa. Paka machozi yamenitoka.
Mkuu wa Mkoa upo vizuri sana Mwenyezimungu akulinde
Hongeraaa kwa USHUJAA wako uliouonyesha, BROTHER wewe ni MWANAUME WA SHOKA.
Subir matokeo yake
Isue ya makontena imeiishia wapi
Huyu bwana ana moyo wa kishujaa mungu amlinde mmh
Mimi Abdul Mohammed nataka kuonana mkuu wa mkowa MAKONDA..
Sasa ulitaka usijenge nyumba ya bosi wako!!
namuonea huruma kwa ukwel wako umeweka maisha yako hatarini
Namuona Happy anamtonya Makonda Apo kuhusu uyo jamaa sijui ni kwa kheri au fitna kisha Paulo anamwita Mmh Asant cameraman!!!!!
Huyu jamaa ni binamu yangu kbsa
@@michaelthobias9967 Yuko wapi mpk leo? Maana Hawa watu walikuwa wanaweza kumpoteza yeyote hapa Tz.
kaka umeongea vizur sana ila sasa upo hatarili sana maisha yako kwa kuongea ukweli kaka angu maana kuna msemo unasema ivi uongo unavuma sana kuliko ukweli sasa wewe umeongea ukweli utakufa kaka angu
lilian mwakapala
vile nimuonavyo makonda nakumbuka maneno ya raisi aliposema nauona ugumu wakazi ninayoenda kuifanya mniombee mungu awe kinga yenu daima
Unajua watu wengine hawajamuelewa, yeye MWENYEWE alikuwa mfungwa, inamaana anachokiongea HABAATISHI.
Goooodddddd
Hatar sana
HAYA bwana.
Ila sentensi ya mwisho kabisa ya huyo jamaa, nadhani ndo zile zinaitwa NANI-HI-NO
kweli huyu kaka ni shujaa lkn inshaalah mungu at amlinda Kwa ukweli wake
pole sana ndugu ila mkuu wa mkoa makonda mpe ulinzi huyo ndugu wasije wakamuua wapoteze ushahidi
beltila kaphipa
Kaondoka kwausalama lakini? Ila huyo inabidi ajifunze, haya mambo sio ya kuongea public kwa lengo la kujipatia popularity, ni mambo ya siri mno.
tatzowabongo hamna confdenc
Allowance, Posho, Huyu Nguruwe anauwezo Gani Wa Kuhoji Mtu anatumiaje Malipo ya Posho kwa Mtumishi, Je Wabunge Posho Wanatumiaje, Yeye Huyu Zero Brain anazo Posho za Vikao, Je Ni Fedha za Kumfanya Awe na Makalio ya Kibashite? Tanzania Nchi ya Unyanyasaji, Ndio Shida ya Rais Zero Brain, Mwenye PHD za Kughushi na Wateuzi Zero Brain!
duuuh!
Thobias Marandu mtajichuja tu, mwanzo mlianza kama watetezi wetu na haki zetu siku zinavyozidi kwenda tunaona matusi "sasa huyu nguruwe zero brain" na wewe uliyekimbilia kufanya kazi za ushamba boy ulaya bora yupi? mnaojinadi mnajielewa mmekimbia ila zero brain ndo anajenga nchi angalia miradi ya ujenzi wa nyumba za walimu na mingineyo, nilikua nakufatilia ila siku zinavyozidi kwenda mizani imepungua "MENE, MENE, TEKEL, UPHARSIN" we changia mada za Trump maana ndo rais wako sisi tuachie Magufuli wetu na Mbowe wetu!
Daaaah Ni atar
jiandae kutekwa 😁😁😁😁
Nakuonea uluma blo
Huyu jamaa kama ataendelea kuishi sijui😢
😆umeonae
we mkurya hadi mtandaoni duuu
Umetoboa siri wataficha hayo madawa
MALONDA KAMATA HAO ASKARI MAGEREZA WEKA NDANI WOTE
Umenena ukweli lakn kibongo bongo pointi zako zitakuponza lazma utekwe nawasio julikana
Joseph Mpemba Mbona hua mnawahi sana kusema ya kesho wakati kesho yenyewe hamuijui?waTanzania bwana sijui hua mna matatizo gani
Duuuuuu unachokitak utakipata
kama umehongwa utajuta kuzalia
atapata tabu sana
Mnafiki wewe!!!!!
asipo tekwa huyu sio mm
Njaa tu huyo hana lolote!
Ila watu bhna, sa njaa zake zipi? Watu wanasaidia Serikali na kuonesha watanzania wenzao wanavyoteska wewe unasema njaa
Naona aujawi kukaa gerezani.. Uliza walio fungwa
asipo tekwa huyu sio mm
sure mzee