Makonda aondoka na aliyetoa tuhuma nzito kwa Magereza

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 48

  • @ibrahimmzee3237
    @ibrahimmzee3237 6 ปีที่แล้ว +3

    Makonda mmi nakuelewa sana bro utendaji kaz wako PGA kaz Mungu akupe afya njema na uhai mrefu uweze saidia cc wanyonge

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 6 ปีที่แล้ว +2

    Inasikitisha sanaa. Pole broo mungu atakusaidi utapona.mungu aubariki mkuu wa mkoa. Paka machozi yamenitoka.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 6 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu wa Mkoa upo vizuri sana Mwenyezimungu akulinde

  • @zakaliazefania1391
    @zakaliazefania1391 5 ปีที่แล้ว

    Hongeraaa kwa USHUJAA wako uliouonyesha, BROTHER wewe ni MWANAUME WA SHOKA.

    • @AminaRajab-w4n
      @AminaRajab-w4n 5 หลายเดือนก่อน

      Subir matokeo yake

  • @kumulwa
    @kumulwa 5 ปีที่แล้ว

    Isue ya makontena imeiishia wapi

  • @abdulmohamed3240
    @abdulmohamed3240 6 ปีที่แล้ว +3

    Huyu bwana ana moyo wa kishujaa mungu amlinde mmh

    • @abdulmohamed3240
      @abdulmohamed3240 6 ปีที่แล้ว

      Mimi Abdul Mohammed nataka kuonana mkuu wa mkowa MAKONDA..

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

    Sasa ulitaka usijenge nyumba ya bosi wako!!

  • @innowarako328
    @innowarako328 6 ปีที่แล้ว +4

    namuonea huruma kwa ukwel wako umeweka maisha yako hatarini

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 6 ปีที่แล้ว

    Namuona Happy anamtonya Makonda Apo kuhusu uyo jamaa sijui ni kwa kheri au fitna kisha Paulo anamwita Mmh Asant cameraman!!!!!

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 3 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa ni binamu yangu kbsa

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 3 ปีที่แล้ว

      @@michaelthobias9967 Yuko wapi mpk leo? Maana Hawa watu walikuwa wanaweza kumpoteza yeyote hapa Tz.

  • @lilianmwakapala3658
    @lilianmwakapala3658 6 ปีที่แล้ว +2

    kaka umeongea vizur sana ila sasa upo hatarili sana maisha yako kwa kuongea ukweli kaka angu maana kuna msemo unasema ivi uongo unavuma sana kuliko ukweli sasa wewe umeongea ukweli utakufa kaka angu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 6 ปีที่แล้ว +1

    vile nimuonavyo makonda nakumbuka maneno ya raisi aliposema nauona ugumu wakazi ninayoenda kuifanya mniombee mungu awe kinga yenu daima

  • @zakaliazefania1391
    @zakaliazefania1391 5 ปีที่แล้ว +1

    Unajua watu wengine hawajamuelewa, yeye MWENYEWE alikuwa mfungwa, inamaana anachokiongea HABAATISHI.

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 6 ปีที่แล้ว

    Goooodddddd

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 ปีที่แล้ว

    Hatar sana

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 6 ปีที่แล้ว +2

    HAYA bwana.
    Ila sentensi ya mwisho kabisa ya huyo jamaa, nadhani ndo zile zinaitwa NANI-HI-NO

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 6 ปีที่แล้ว

    kweli huyu kaka ni shujaa lkn inshaalah mungu at amlinda Kwa ukweli wake

  • @beltilakaphipa8892
    @beltilakaphipa8892 6 ปีที่แล้ว

    pole sana ndugu ila mkuu wa mkoa makonda mpe ulinzi huyo ndugu wasije wakamuua wapoteze ushahidi

  • @cassianndunguru3560
    @cassianndunguru3560 6 ปีที่แล้ว +1

    Kaondoka kwausalama lakini? Ila huyo inabidi ajifunze, haya mambo sio ya kuongea public kwa lengo la kujipatia popularity, ni mambo ya siri mno.

    • @nestyjay7780
      @nestyjay7780 6 ปีที่แล้ว

      tatzowabongo hamna confdenc

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 ปีที่แล้ว +1

    Allowance, Posho, Huyu Nguruwe anauwezo Gani Wa Kuhoji Mtu anatumiaje Malipo ya Posho kwa Mtumishi, Je Wabunge Posho Wanatumiaje, Yeye Huyu Zero Brain anazo Posho za Vikao, Je Ni Fedha za Kumfanya Awe na Makalio ya Kibashite? Tanzania Nchi ya Unyanyasaji, Ndio Shida ya Rais Zero Brain, Mwenye PHD za Kughushi na Wateuzi Zero Brain!

    • @priscusshirima9977
      @priscusshirima9977 6 ปีที่แล้ว

      duuuh!

    • @smarty1064
      @smarty1064 6 ปีที่แล้ว

      Thobias Marandu mtajichuja tu, mwanzo mlianza kama watetezi wetu na haki zetu siku zinavyozidi kwenda tunaona matusi "sasa huyu nguruwe zero brain" na wewe uliyekimbilia kufanya kazi za ushamba boy ulaya bora yupi? mnaojinadi mnajielewa mmekimbia ila zero brain ndo anajenga nchi angalia miradi ya ujenzi wa nyumba za walimu na mingineyo, nilikua nakufatilia ila siku zinavyozidi kwenda mizani imepungua "MENE, MENE, TEKEL, UPHARSIN" we changia mada za Trump maana ndo rais wako sisi tuachie Magufuli wetu na Mbowe wetu!

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah Ni atar

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 6 ปีที่แล้ว +3

    jiandae kutekwa 😁😁😁😁

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 ปีที่แล้ว

    Nakuonea uluma blo

  • @David-if6nk
    @David-if6nk 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kama ataendelea kuishi sijui😢

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 6 ปีที่แล้ว

    we mkurya hadi mtandaoni duuu

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 ปีที่แล้ว +3

    Umetoboa siri wataficha hayo madawa

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 6 ปีที่แล้ว +3

    MALONDA KAMATA HAO ASKARI MAGEREZA WEKA NDANI WOTE

  • @josephmpemba8951
    @josephmpemba8951 6 ปีที่แล้ว +1

    Umenena ukweli lakn kibongo bongo pointi zako zitakuponza lazma utekwe nawasio julikana

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 6 ปีที่แล้ว

      Joseph Mpemba Mbona hua mnawahi sana kusema ya kesho wakati kesho yenyewe hamuijui?waTanzania bwana sijui hua mna matatizo gani

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 6 ปีที่แล้ว

    Duuuuuu unachokitak utakipata

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 6 ปีที่แล้ว +3

    kama umehongwa utajuta kuzalia

  • @Electri-ambi
    @Electri-ambi 6 ปีที่แล้ว

    atapata tabu sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

    Mnafiki wewe!!!!!

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 6 ปีที่แล้ว +1

    asipo tekwa huyu sio mm

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 6 ปีที่แล้ว

    Njaa tu huyo hana lolote!

    • @alexjosephat9030
      @alexjosephat9030 6 ปีที่แล้ว

      Ila watu bhna, sa njaa zake zipi? Watu wanasaidia Serikali na kuonesha watanzania wenzao wanavyoteska wewe unasema njaa

    • @jumachire9930
      @jumachire9930 5 ปีที่แล้ว

      Naona aujawi kukaa gerezani.. Uliza walio fungwa

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 6 ปีที่แล้ว +1

    asipo tekwa huyu sio mm