EXCLUSIVE: MJUE RIDHIWANI KIKWETE -MTOTO wa RAIS ALIYEPEWA KASHFA ya MADAWA CHINA na KUMILIKI SHELL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 63

  • @danielmadale
    @danielmadale 4 หลายเดือนก่อน +11

    OK, MMEAMUA KUMSAFISHA. HATA JIK HAIWEZI

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +3

      Kumbe simulizi inaendana na kumsafisha mtu?

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mfikishie na hizi comment aliekutuma

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +5

    Haloooo ya Ccm hamna kitu hapo wewe simulia tu ufanye kazi ya kumsifia wala hana nyota ya kupendwa ila upambe tu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ndugu wewe ni Mtanzania kweli???

  • @snakekobra6943
    @snakekobra6943 20 วันที่ผ่านมา +1

    Msafisho

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 4 หลายเดือนก่อน +2

    Umepewa shilingi ngapi ndugu mwandishi kwa hii propaganda uliyoitoa?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani wewe sio Mtanzania 🤓

  • @deusdeditishengoma4335
    @deusdeditishengoma4335 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mwandishi kahongwa! Ridhiwani Ni Kweli Ni muuza unga na alishikwa China! Pumbavu anajisafisha saa hizi!

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kwann unamsifia kwann et Kuna nn et

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Mtu anasifiwa kutokana na uhodari wake ,Ikitokea amefanya kitu chanya Kwa jamii sifa zake Atapewa Tu kwaiyo nawewe jitahidi Uje usifiwe kama Mhs;

  • @JumaSafari-x5l
    @JumaSafari-x5l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Upofu wetu atujui unajua wewe ayo tusimulie wtz mazombi wote. Ata majani ya mpapai yanafua nguo

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 4 หลายเดือนก่อน +8

    Umelipwa shilingi ngapi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +2

      Tuendelee kuipenda Nchi yetu!!!!!!

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 4 หลายเดือนก่อน +4

    Sijui utatumia lugha gani ili watu wakuelewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Kivipi mkuu?

  • @kwelimohamedtrueman1282
    @kwelimohamedtrueman1282 หลายเดือนก่อน +1

    Anamiliki sheli, sheli ndio Nini? Mbona hata kwenye kamusi yetu ya kiswahili hakuna?.. Usituharibie lugha, naona hata matumaizi ya R na L hayako sawa unatamka Rindi badala ya Lindi. Sahihisha makala yako kabla hujatoa jamii

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Shukrani 🤝

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hatuhusu

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe siku hizi hamna simulizi zaid ya kumsafisha mtu . Huku anawalipa bei ghali inaonekana

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 หลายเดือนก่อน +1

    Siwezi kumjua,bora watoto wa nyerere,huyo ni kibaraka wa wazungu, Rip JPM

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mkoani RINDI au LINDI,jifunze kwa kiswahili ndio ufanye hii kazi,RIDHIWANI sio LIZIWANI.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa mkuu nitabadilika natumai video zijazo sitokuangusha💥📌

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 2 หลายเดือนก่อน

      Wanaokota mananga yasiyojua kitu hata kiswahili ndiyo yawasafishe maana mweye akil😅. timamu hawezi kufanyahii kazi

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hebu mwogopeni Mungu,haonekani kwa macho ya nyama lkn yupo

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba flani ivi kutoka chalinze.

  • @mugyabusolwehabura
    @mugyabusolwehabura หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mama yake hatajwi?

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ili iweje kwa maelezo haya

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Muuza madawa ya kulevya ni nani

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 หลายเดือนก่อน +2

    Njaa mbaya. Na democrasia ni ushetani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Tuendelee kufanya kazi Kwa bidii "Njaa Hakuna

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli Ridhiwani hausiki na uuzaji unga anayehusika ni Miraji sio Ridhiwani ni bahati mbaya watu wengi hawamjui Miraji ambaye ni mama tofauti na Ridhiwani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      👊👊👊

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani huyu bibisikumoja nitienda kwake na bibiangu kimsrimia arikuwa hivi hivi na kanga hii irijitanda arikuwa mkarimi sana na mpendawatu mungu iraze roho yake mahar pema peponi amina kubwa pia tunamshuru mungu kwa kutuzaria mtu huyu mwamba wa charinze mungu mrinde mbunge wetu kwani nichaguo retu

    • @aishamtaula1959
      @aishamtaula1959 3 หลายเดือนก่อน +1

      Pia mumewe nirimkuta barazani umri huuu anasuka jamvi hawana makuu wazee Hawa wawir mtu na mumewe bibiangu bitirajabu msakamar armuita bibi Goya na mumewe arimwita murisho Asante kuturetea makara hii naitwa Aisha mtaura wa charinze miono huna baya aropewa kapewa cheo kinamruhusu kufanya biashara afanye tuu ajira zinaongrzeka Kwa vijana wetu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      🇹🇿🤝

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahah😮

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi unatumia fagio gani mbona unasafisha sana atajuana huko mbinguni au motoni

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      😆😆😆😆

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yote ya Nini maneno hayo

  • @ibrahimmussa1775
    @ibrahimmussa1775 หลายเดือนก่อน +1

    Yaylyagayagaglyaylylyagqyqyayqyayl

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      🤩🤩

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vv 4 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 29 วันที่ผ่านมา

    Upuuzi, Umekosa habari za maana.

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtajua wenyewe huko

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi nani alisababisha bandari ya bagamoyo apewe mchina kwa miaka 132? Kwa maslahi yake na family yake?🤔🤔

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Embu Tujiulize wote sasa!!!🤔🤔

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 2 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo walivofanya ?Jamani watu walirogwa
      JPM baba hebu rudi kwa namna ya kiMungu ushuhudie viroja vya watanzania

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 2 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo walivofanya ?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tafuta cha kuongelea😮uache uchawa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Unadhani kuzungumzia Maisha ya mtu Kwa wasiomfahamu ni uchawa !!!!!???🥺🥺🥺

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba ,mama na mtoto wote wanakula nchi.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiongea jaribu kuwa na Fact kidogo 😥

  • @theopisterchalle7059
    @theopisterchalle7059 3 หลายเดือนก่อน +1

    Na wewe mwiz

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      😢😢😢

  • @JackM.-mh5cs
    @JackM.-mh5cs 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni birionea mkubwa sanaa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 4 หลายเดือนก่อน +1

    HUU NI MPANGO WA WATU MAHASIDI!!
    RIDHIWANI ANATABIA NZURI KAMA ZA BABA YAKE,HANA MAJIVUNO WALA MAJITAMBO!!HILO LINAWAKERA WALE WENYE UHASIDI MNO!!
    ANAFAA KUWA RAISI WETU MIAKA IJAYO!!

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      🤝

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 4 หลายเดือนก่อน

      Kumbe kama za baba Yake bas tumeelewa

    • @ShadowScreamStudio
      @ShadowScreamStudio 4 หลายเดือนก่อน

      We ni zombi kweli..

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 4 หลายเดือนก่อน

      Kafirwe na babaako shoga wewe

    • @StephanoMoses
      @StephanoMoses 4 หลายเดือนก่อน

      Mpuuz mwingine