MUHASIBU ashikwa NA KIGUGUMIZI AKIJIBU MASWALI YA MAKONDA, AOMBA DAKIKA 10 ZA KUJIFIKIRIA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 184

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 28 วันที่ผ่านมา +5

    Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 29 วันที่ผ่านมา +6

    Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f 29 วันที่ผ่านมา +13

    Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi

  • @jamalomaryhuyushekhhakunak9020
    @jamalomaryhuyushekhhakunak9020 29 วันที่ผ่านมา +6

    halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 29 วันที่ผ่านมา +19

    Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.

    • @YusufSasamalo-uz4ii
      @YusufSasamalo-uz4ii 29 วันที่ผ่านมา +2

      Very unprofessional

    • @cornelkapinga8926
      @cornelkapinga8926 29 วันที่ผ่านมา +1

      Very sad for this country

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 29 วันที่ผ่านมา +2

      90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 27 วันที่ผ่านมา +1

      Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.

    • @user-lz8zm3nv4i
      @user-lz8zm3nv4i 27 วันที่ผ่านมา +1

      sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.

  • @user-pu1oe5ke4f
    @user-pu1oe5ke4f 29 วันที่ผ่านมา +3

    Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 29 วันที่ผ่านมา +9

    Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 29 วันที่ผ่านมา +12

    Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 29 วันที่ผ่านมา +10

    Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 29 วันที่ผ่านมา +1

      Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 26 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- 26 วันที่ผ่านมา

      Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 29 วันที่ผ่านมา +8

    Hakuna kitu hapo 😂😂😂

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 29 วันที่ผ่านมา +7

    Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 29 วันที่ผ่านมา +5

    Makonda unaweza sana

  • @Petronkambi
    @Petronkambi 29 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu ndo makonda bna safi kabisa

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks 29 วันที่ผ่านมา +7

    Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz

    • @mwakimedia291
      @mwakimedia291 29 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli Kabisa 😂😂😂😂

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka 29 วันที่ผ่านมา +7

    Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu

    • @cornelkapinga8926
      @cornelkapinga8926 29 วันที่ผ่านมา +1

      Aissee nimeshangaa sanaa

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 18 วันที่ผ่านมา

      Na ni Lugha ya kiswahili

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 29 วันที่ผ่านมา +8

    makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 29 วันที่ผ่านมา

      Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali.
    Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu.
    Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.

  • @dawhacker2216
    @dawhacker2216 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa

  • @Mckiatu
    @Mckiatu 29 วันที่ผ่านมา +7

    Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 29 วันที่ผ่านมา +2

      Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s 29 วันที่ผ่านมา +2

      Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah!
      Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi
      Aende akapike mama ntilie maaokoni

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 26 วันที่ผ่านมา

      Kuma

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 26 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤

  • @kasimnamesou4226
    @kasimnamesou4226 29 วันที่ผ่านมา +5

    Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo

  • @JustineZepha
    @JustineZepha 26 วันที่ผ่านมา

    Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor

  • @DocuWave
    @DocuWave 18 วันที่ผ่านมา

    Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mhh hizi ajira za kujuana 🤣

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 29 วันที่ผ่านมา +3

    Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.

    • @elizabethmiho9574
      @elizabethmiho9574 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana

  • @mwasunga
    @mwasunga 29 วันที่ผ่านมา +3

    Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 29 วันที่ผ่านมา +4

    Ondoa huyo Sasa hivi

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe

  • @luganosimon7471
    @luganosimon7471 29 วันที่ผ่านมา +1

    Sio muhasibu ni Mhasibu

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 28 วันที่ผ่านมา +1

    FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 29 วันที่ผ่านมา +5

    Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 29 วันที่ผ่านมา

      Kazi za kupeana ndo madhara haya

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 29 วันที่ผ่านมา

      Ngono ni nyingi kak

    • @justice607
      @justice607 29 วันที่ผ่านมา

      Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 29 วันที่ผ่านมา +2

    Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 29 วันที่ผ่านมา +5

    Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 29 วันที่ผ่านมา

      Asee umenichekeshaaa Sana😂😂😂

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 29 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania ya 50 kwa 50

  • @mwajabukapemba5458
    @mwajabukapemba5458 29 วันที่ผ่านมา +1

    Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo

  • @stn4873
    @stn4873 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂

  • @FranciscoAmos-cx2zh
    @FranciscoAmos-cx2zh 29 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz 29 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kaazii ipo kazini

  • @user-pt4jf7lg3z
    @user-pt4jf7lg3z 29 วันที่ผ่านมา +1

    Wanapena nafasi,hawana sifa
    Wenye sifa wanaachwa

  • @johbernard3628
    @johbernard3628 29 วันที่ผ่านมา +4

    Anaonekana anadharau sana huyu dada

    • @magzeeee
      @magzeeee 29 วันที่ผ่านมา

      Hapana

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 29 วันที่ผ่านมา

      Muwoga tu 😂😂😂😂

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 29 วันที่ผ่านมา +1

      Hawa ni wale wa vikaratasi " nenda karioti uanze kazi"

    • @cornelkapinga8926
      @cornelkapinga8926 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @user-qh2bx5em6j
      @user-qh2bx5em6j 22 วันที่ผ่านมา

      @@deogratiusyudatadei5658kweli ni muoga

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 29 วันที่ผ่านมา +3

    Badae taasisi

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 29 วันที่ผ่านมา

    Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje.
    Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 29 วันที่ผ่านมา +1

    Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 29 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu demu mbona kama mlevi

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 26 วันที่ผ่านมา

    Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 29 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 27 วันที่ผ่านมา

    Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!

  • @bensonmwakipexle8960
    @bensonmwakipexle8960 29 วันที่ผ่านมา

    Muhasibu

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 29 วันที่ผ่านมา

    Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 หลายเดือนก่อน +2

    Hizi kazi za kupeana matatizo yake ndio haya MTU hata kujieleza hawezi

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 29 วันที่ผ่านมา

    Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!

  • @user-ge4ul5fq2k
    @user-ge4ul5fq2k 21 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 28 วันที่ผ่านมา

    Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 29 วันที่ผ่านมา +1

    Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 29 วันที่ผ่านมา

      Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 26 วันที่ผ่านมา

    Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 29 วันที่ผ่านมา

    Jamani Aibu naiona mimi. Hivi huyu anafaa kweli kwenye nafasi hii. ? Mbona hanauelewa kabisa na hiyo kazi?

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 29 วันที่ผ่านมา

    Duh balaa hili

  • @user-qy4vk2qp9t
    @user-qy4vk2qp9t 26 วันที่ผ่านมา

    Million mbili,na Million mia8😀😀😀

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 25 วันที่ผ่านมา

    Makonda akiwatimua mbaona hafai😮

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga 29 วันที่ผ่านมา

    Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??

  • @mazikungusa
    @mazikungusa 25 วันที่ผ่านมา

    huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 29 วันที่ผ่านมา

    UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 29 วันที่ผ่านมา +1

      NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI

  • @DelvinJohn
    @DelvinJohn 29 วันที่ผ่านมา

    Mh Makonda naomba mm unipe KAZI nifanye KAZI na wewe mm naona watu wanachezea KAZI ....

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 29 วันที่ผ่านมา

    Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 26 วันที่ผ่านมา

    Hao ndo wanawafukuza wananchi hao pindi wameenda ofsn kwao😢

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 29 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Mwasibu huyo haloooh!

  • @imanijuma1804
    @imanijuma1804 11 วันที่ผ่านมา

    alafu ukimkuta ofcn sasa

  • @JafariHussein-vb6pd
    @JafariHussein-vb6pd 29 วันที่ผ่านมา

    tatizo la kupeana kazi kwa connections

  • @kenedymwilikwa5408
    @kenedymwilikwa5408 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 27 วันที่ผ่านมา

    Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 25 วันที่ผ่านมา

    Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 29 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu nae ni kiongozi wa halmashauri 😂😂😂😂😂

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 29 วันที่ผ่านมา

    Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 24 วันที่ผ่านมา

    Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 29 วันที่ผ่านมา

    Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??

  • @odejose556
    @odejose556 27 วันที่ผ่านมา

    Mh. Mkoa 😅

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 13 วันที่ผ่านมา

    Uyu dada ni kiburi tu.Hajui anachokifanya .

  • @user-vl5pu4mm5z
    @user-vl5pu4mm5z 22 วันที่ผ่านมา

    Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂

  • @rashidiamani8645
    @rashidiamani8645 29 วันที่ผ่านมา

    Mkuu jipu iro

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 29 วันที่ผ่านมา

    kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 29 วันที่ผ่านมา

    Noumer kinoumer yani

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 19 วันที่ผ่านมา

    Ahahahahaha😂 hao ndio wasomi bhana wenye nafasi zao Tanzania 😅😅😅

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 29 วันที่ผ่านมา

    Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 29 วันที่ผ่านมา

    Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 29 วันที่ผ่านมา +6

    Unaweza ukajichanganya ukasema mheshimiwa Mungu.....😂😂

    • @jumamgeni6403
      @jumamgeni6403 29 วันที่ผ่านมา

      Wefala kwer ivi umefikiliya nini 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @rutakihama3523
      @rutakihama3523 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 29 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣

    • @KennethMgona-jy4vc
      @KennethMgona-jy4vc 29 วันที่ผ่านมา

      Kwan uongoo kapagawa

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂mamaeee

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 29 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂dada dada dadaaaaa

    • @elizabethmiho9574
      @elizabethmiho9574 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti .

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 29 วันที่ผ่านมา +3

    Mheshimiwa mkoa 😀

  • @raymondlyamuya6900
    @raymondlyamuya6900 29 วันที่ผ่านมา

    Dada ni kurembua tuu hamna anachojibu cha maana sijui hata kazi kapataje huyu khaaaa

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 29 วันที่ผ่านมา

    Fifte fifte ndo iyo sasa 😂😂😂

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 28 วันที่ผ่านมา

    Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?

  • @anthonymtui5719
    @anthonymtui5719 29 วันที่ผ่านมา

    Confidence mhasibu hakuna

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 28 วันที่ผ่านมา

    Hana uwezo hao ni watoto wa mabosi

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 29 วันที่ผ่านมา

    Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan

    • @juliethkitali597
      @juliethkitali597 7 วันที่ผ่านมา

      serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile

  • @Tetesizausajili152
    @Tetesizausajili152 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu muhasibu mzuri ana kasura ka upole

    • @user-us2ng9tf7h
      @user-us2ng9tf7h 29 วันที่ผ่านมา

      Mashabiki wa yanga 😂😂😂

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s 29 วันที่ผ่านมา

    Eti mtumishi wa serekali, yaani Tanzania ina mambo