Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaja majina ya watuhumiwa wengine 65 wa madawa ya kulevya, wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Elikael Mbowe, Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Askofu Josephat Gwajima na Mbunge Mstaafu wa Kinondoni, Idd Azzan
Hongeren kwa kaz mzr mrio ifanya na bba maguful🙏lkn sasaiv wamerud kwa kaz na kusingizia kes watu leo sabaya leo makonda chuki ya kisasi hii ndio leo hi wanaripiza...lkn mrisaidya sana watto wetu wariasirika sana viongoz wa chadema hawana dimukasia bar ni uchafu wa madawa ya kuleva na ushoga...
Huyu fala tu hongera ya nini bwegee tu huyu
Congratulations 👏👏👏👏 Kwa kazi ya kupambana na madwa ya kulevya
Hongeraa kwakazi unanyoifanyaa mheshimiwaa hakika mungu akupee maishaaa marefu
Tumepitia mengi sana hii nchiii...pwaa
Hii vita siyo yetu.ina wenyewe
Kazi Nzuri
Ulev wa madaraka mshamba
Hi laaana ya kumchafua Manji inakutafuna
Nchi iliharibika sana hongera Mama umetuliza nchi
Akili ndogo
Na wewe mwenyewe ujitaje dhuma inazo zudhumu watu
This was not a serious conversation about crimes especially a serious crime like drug trafficking… kwanza unakula na list ilokamilika na inatangazwa na police maana ndo ana wadhifa wa kufanya uchunguzi. Chombo cha dola
Wew jamaa ulikuaga lijinga sana enzi za Maguful ulikuwa unaonge kwa kibul sana
😂😂😂😂