MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 01

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ค. 2024
  • Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
    Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
    Karibu katika makala zetu za maelezo kwa undani wa taarifa hizi
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #malaysiamh370 #maelezo #makala

ความคิดเห็น • 50

  • @dar24media
    @dar24media  24 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa kutazama makala hizi za #MAELEZO usikose kila siku ya jumapili saa tano kamili asubuhi

    • @rajabumziray1044
      @rajabumziray1044 23 วันที่ผ่านมา

      21

    • @cassanovarcousin7973
      @cassanovarcousin7973 23 วันที่ผ่านมา

      Why us base kwenye pande zile zile kak dupatta story za mabaharia 100% kubw watu walikuw wanakufatilia wengii baharia so hiki kipind kipya cha makala utapoteza wana family yako kak

    • @lisawilliam2491
      @lisawilliam2491 22 วันที่ผ่านมา

      This is the best! Keep up ! Kila siku aina ya story aina. Moja yakera

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 18 วันที่ผ่านมา +4

    Story yako kama Bollywood ila uwaclishaji ufanyie kaz tengeneza tulia edit vzr maneno ucrudie hlf njoo hapa utupe story ikibid soma tu kama Jamal sio lzm tuone sura yako kila wkt. Big up kaza buti mzee fanyia kaz vitu hivyo itakaa poa.

  • @yohanakihumi1356
    @yohanakihumi1356 23 วันที่ผ่านมา +3

    Unaludiludia sana maneno, unaharibu story

    • @iddimoshi8459
      @iddimoshi8459 22 วันที่ผ่านมา

      Ni swag zake tu za kutaka kutuelewesha wenye hatuelewi

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 23 วันที่ผ่านมา +5

    Juanda International Airport. Ipo katika Mji wa East Java- Surabaya. Ndio mji ninaoishi hapa Indonesia 🇮🇩😅.
    Nasikiliza makala hii kutokea hapa Surabaya🇮🇩👍👍

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 22 วันที่ผ่านมา +1

      Vp maisha ya indonesia kaka

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 22 วันที่ผ่านมา +1

      Na unajishughulisha na nn huko surabaya

    • @mkemiabenzn7811
      @mkemiabenzn7811 22 วันที่ผ่านมา

      @@mohrecaps Kusaka tonge kaka😁

    • @Rogervicent-iu3lh
      @Rogervicent-iu3lh 20 วันที่ผ่านมา +1

      Upo mtaa gn jiran mi pia nipo uko

    • @mkemiabenzn7811
      @mkemiabenzn7811 20 วันที่ผ่านมา

      @@Rogervicent-iu3lh we upo wapi?

  • @user-qe1sv4xl7s
    @user-qe1sv4xl7s 23 วันที่ผ่านมา

    Noma

  • @sebastianlee7375
    @sebastianlee7375 9 วันที่ผ่านมา

    Hii ndege mbona ishapatikana

  • @autoroyaledubai
    @autoroyaledubai 18 วันที่ผ่านมา +1

    apa ndio jamal april anpowakalisha awaa

  • @AdonisMniko
    @AdonisMniko 12 วันที่ผ่านมา

    We hujui uchambuzi na ata kufatilia kwenye site trusted hufatilii

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 21 วันที่ผ่านมา

    Thanks again

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 23 วันที่ผ่านมา

    Dupa na kukubalisana uchambuzi wako ipo cku inshallah tutakutana uso kwa uso nitakutafuta kwa ss naishi nje ya nchi

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 22 วันที่ผ่านมา

    Gud story

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 14 วันที่ผ่านมา

    Sema kilichokuleta hapo wacha kuingilia mambo mengine

  • @theprince5253
    @theprince5253 19 วันที่ผ่านมา

    Hii ndege hadithi yake inafanana na ile ya kupotea na kurudi amini kuwa hii ndege itarudi duniani

  • @arnoldlusambo3921
    @arnoldlusambo3921 23 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 14 วันที่ผ่านมา

    Jamaa umemtaja zaidi ya mala tatu au huna kingine cha kusema?

  • @musapfute6608
    @musapfute6608 10 วันที่ผ่านมา

    Dupa

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 23 วันที่ผ่านมา

    Hii siyo Ile ndege waliyosema bawa lake lilipatikana Zanzibar kwenye bahari!

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 14 วันที่ผ่านมา

    Msenge wewe

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mbona unarudia rudia shida nn mzee au unahis sisi tunao kufatlia n washamba hatukuelew?? Acha kulamba midomo lete facts

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 23 วันที่ผ่านมา +1

    Tunataka story za mabaharia kaka hizo story nyengne watu 90% hatuzielew 📌

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 14 วันที่ผ่านมา

    Kuma.wewe kwenda

  • @pendogwisu
    @pendogwisu 11 วันที่ผ่านมา

    Unajikuna nini sasa

  • @user-df5mj2ft4w
    @user-df5mj2ft4w 22 วันที่ผ่านมา

    Nilitamn san hi stol kitambo

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 19 วันที่ผ่านมา

    Hanna kitu hapa

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 21 วันที่ผ่านมา

    Tunaofahamu media na ukusanyaji taarifa kaka umevuka asilimia 90 kuandaa sio poa

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 23 วันที่ผ่านมา

    Kuna siri kubwa ndani yake

  • @mariafilbert8662
    @mariafilbert8662 21 วันที่ผ่านมา

    Achakuzukuka uongei unazunguka tuuu

  • @maronmichael3439
    @maronmichael3439 23 วันที่ผ่านมา

    Tunasubiri episode 2

  • @FazoPhone
    @FazoPhone 22 วันที่ผ่านมา

    Dupa vp kuusu mabaaria

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 14 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi hebu acha ubabaishaji, hujuwi unachokisema wewe kazi kurudiarudia tu maneno kalale umevaa vazi la kulalia

  • @doctorngowi4870
    @doctorngowi4870 20 วันที่ผ่านมา

    Unaelezaa kama mtoto chochote hujui unabahatisha wala hujui kueleza mtu aelewe wewe huna elimu ya kufundisha ovyo kabisa

    • @firstborntz5150
      @firstborntz5150 16 วันที่ผ่านมา

      Toka wew kwenda uko sisi tunamkubari

    • @Mwamba-hc1jy
      @Mwamba-hc1jy 10 วันที่ผ่านมา

      Una stress mzee😅

  • @melchzedekackim8360
    @melchzedekackim8360 18 วันที่ผ่านมา

    Yani huyu jamaa hakuna anacho jua ni njaa labda Ina mtuma uku

  • @FazoPhone
    @FazoPhone 22 วันที่ผ่านมา

    Dupa vp kuusu mabaaria

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 23 วันที่ผ่านมา

    Hii siyo Ile ndege waliyosema bawa lake lilipatikana Zanzibar kwenye bahari!

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 22 วันที่ผ่านมา +1

      Ovyo kabisa

    • @frankevaristo6918
      @frankevaristo6918 17 วันที่ผ่านมา

      Hapana bawa liliokotwa Zanzibar ndege yake iliangukia visiwa vya comoro