Heri ya mganga ujinga gani,we bibi sikuogopi usitishie watu bana.mi nikiwa Karibu yako mbona utakbilia uvunguni huwexi furukuta mbele ya Mungu wangu.God is everything.Heri amtumainie Mungu milele
kama ni mzinzi,Sena nakataa uzinzi,au usengenyaji,au ufilaji,au wizi,au kuabudu sanam, kila aina has uchafu ginga kataa na Mungu atakusamehe utaanza maisha mapya ndani ya Yesu
Basi nzima walimwogopa bibi kwa sababu hawakuwa na ufahamu kuhusu uwezo was Mungu,ndo maana hata bibi aliwaona kwenye darubini yake ya kichawi ,hakukua na mlokole ndani ya basis LA kama mlokole angekuwa kwenye hiyo bibi hiyo bibi asingepanda from the start
Kilichosimamisha gari siyo uchawi wala ndumba nimatatizo ya gari sema watanzania kwakukuza vitu vya kishirikina hawajambo huyu mama kasema alipoona watu wanashuka hakujua kinachoendelea alidhan wanaenda kukojoaa achen kuendekeza ujinga ndio maalibino waliuliwa sana Tanzania na kule njombe watoto wadogo ,kupotea ,makonda amesema tusiwe na taifa ambalo lina promote mambo ya hovyo na kuacha mambo yenye faida
Da huyu bibi msambaa bana hata lafudhi. Ila kweli watu waache zarau usimzarau usie mjua kuna Ndugu yangu alimchekaga mtu akashikwa kichwa mpaka leo haoti nywele tanga Raha 😂😂😂
mwingine anasema sitaweza kuacha,jipe moyo mkuu,hata Mimi nilikuwa hivyo na Mungu amenisaidia nimeacha, jionyeshe kuwa Mungu anakupenda mwambie shetani wakati wake umekwisha.sasa umemgeukia Mungu aliyekuumba,Mungu anakupenda sana tena mno
Huyu Mama uchawi wake uko kwenye macho, anatumia macho kulogea, anatumia nguvu za Giza, ila kwa Jina la Yesu kristo huo uchawi wako hawezi kukusaifia ni kwa vile ulikutana na watu walikuwa wakishangaa badala ya kuomba. Mpe Yesu maisha yako Mama uchawi hautakusaidia, baada ya kufa utaenda motoni na uchawi wako.
let me help you,,ukimwamini Yesu na kutubu dhambi,unakuwa kiumbe kipya,utu wako was ndani unahuihwa,unabadilishwa,unakuwa umevikwa utu mpya,yaani George was zamani anabadirishwa unakuwa George mpya,ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya,Yesu anakuja kukaa ndani yako
Wa Tanzania mnapenda sana kuamini amini mambo ya ushilikina Kila kitu ni ushilikina mpira uchawi.Simba na Yanga ushilikina badilikene alafu Huyo sio bibi msipende kuzeesha watu Huyo ni mama.
ndo maana Mungu anasema walipo wawili au watatu wakusanyikapo kwa jina langu Mimi Mungu nipo katikati yao.kwa hiyo umepata picha jinsi Mungu alivyo kwetu. jioni njema, Mungu awabariki
Mmmmmhu aiseee nimecheka 😀😀😀😀😀mama alivyoishika maiki na anavyoongea kama mtangazaji wa taarifa ya habari .Ikabidi wampeleke kwenye usalama wake wa Taifa😀😀😀😀 heri ya mganga wote😀😀😀😀 Mmmmmhu wewe bibi ni hatari.
Aisee reporters mna kazi kweli duh huogop mitambo itazima broo duh wanaokubali Ayo TV gonga like twende pamoja
😅😅😅😅😅😅😅😅
boss imma Mafie
boss imma Mafie
boss imma Mafie ....
boss imma Mafie
usalama wang wa taifaa km kuna aliyeckia gonga like bac😁😁😁😁
Hahahah
Hahaaaa
Kuna Mungu aliye mkuu kuliko uganga, itapendeza sana Bibi ukimpokea Yesu na kumfanya kuwa Bwana na mwokozi wako, yeye ni zaidi ya uganga.
Sylvester Charles wote sio Makafiri
Ameeeen
Sylvester Charles ameeeen,,,tatzo watu kuwa wagum wa mioyo kumpokea yesu
Sylvester Charles b
@@ligayaasamuu637 true
Huo uwezo Wa bibi Wa kuzuia basi aajiriwe serikalini ili azuie na rushwa
dahaa acheni Mila za kishilikina jamani sio kula mzeee mchawi jamani msimtuhumu Bibi wawatu
Simon Magembe 😂😂
Kabisa hahahahaha
Hahaha
😁😁😄😆
Heri ya mganga ujinga gani,we bibi sikuogopi usitishie watu bana.mi nikiwa Karibu yako mbona utakbilia uvunguni huwexi furukuta mbele ya Mungu wangu.God is everything.Heri amtumainie Mungu milele
Bibi uko sawa makondakita wanazalau sana abilia
NILIPELEKWA KITUO CHA POLISI #ARUSHA KWA AJILI YA USALAMA WANGU WA #TAIFA ..nan kasikia hyoo #sentensi kama mm?
Mohammed Mkomi 😂😂
😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Haaaaaaaaaa
Hahahahaha
kwa MTU was Mungu yeyote akipanda kwenye gari yoyote lazima aombe,na maombi ya MTU mmoja yanaponya nchi nzima
george king fanya basi maombi mashoga waishe tz, inaelekea unajua
Maombi ya mmoja hakika huponya
Amina
Kwahyo uganga na mungu ni sawa ???acha kuzngua ww
Lushoto Moshi Arusha inakuwaje, stend ya Arusha Tena vipi?
Uwiiiii alikua anakuja kwetu nzega yelewiiiii
Kwaajiri ya usalama wangu wa taifa🤒🤒🤒🤒
Godfrey na mwenzio Vido ni mapresenta wazuri sana. Mungu awaongeze ufanisi
Mm nisha jichukuria namba mudah, mlefu nami nika fanye yangu huko lushoto sijuwi tabora 😁😀😃😄😁😀
Sem brother umenenep sana khaaa MashAllah ila mazoez muhim
bibi ni shda
kama ni mzinzi,Sena nakataa uzinzi,au usengenyaji,au ufilaji,au wizi,au kuabudu sanam, kila aina has uchafu ginga kataa na Mungu atakusamehe utaanza maisha mapya ndani ya Yesu
Yesu wawapi
Karibuni Lushoto 😂😂Daadeki
Ayo tv wametafta bibi fulani tu kwaajili ya kutengeneza pesani
Huyu sio bibi ni mama na namjua hana maajabu hayo
Wizchia Chacha peleka usenge hukoo
Doris unamtukan jamaa. Unaamini kweny giza
Kwanz hyo mama akuzuia gar ila gar walifaulisha kwasabb zao weny campun tatiz la wa tz mnamin giza sana na mnapenda kuckia kuus maajab y giza
Wizchia Chacha Aah kumbee
Kuna kitu nimegundua hilo ni dili la makonda na matapel kuwaaminisha wat kua bib ni mganga ili wawapige watu wanao enda kwa waganga hamna uchawi hapo
Kijana mtangazaji makini Sana na kazi zako makini big up
Namba ya bibi naomba #
Kama nawaona vile watu wa mambo yao wanavyoandika namba ya simu😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 wa kwanzaa mm
Haaaaaaa umeona eeeeee tulivyo makini na number!!!!!!!
Mama noma huyo
@@mariamelias1915 mama Bella and Josie the archana mukunda mukunda mukunda mukunda
@@mariamelias1915 mama Bella and Josie the archana mukunda mukunda mukunda mukunda
🤣🤣🤣🤣🤣kwa usalama wangu wa Taifa nimeipenda hiyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
"Mimi sikuwa na aja ya kujisaidia"😂😂 ili upate muda wa kufanya mambo bibi au sio
Queen Bernard hhahahaha umenivuunja mbavu balaaa
Mandhari mmeiona it’s beautiful
Hongera Sana Bibi nimeilenda
Basi nzima walimwogopa bibi kwa sababu hawakuwa na ufahamu kuhusu uwezo was Mungu,ndo maana hata bibi aliwaona kwenye darubini yake ya kichawi ,hakukua na mlokole ndani ya basis LA kama mlokole angekuwa kwenye hiyo bibi hiyo bibi asingepanda from the start
Nimecheka jaman Bibi alivyoshika maiki na anavyoongea Kama mwandishi wa habari kwa nukta Bibi shikamoo ooooooooooh
Silver Joseph 😂😂😂😂
Linah Goodluck hapana chezea anavyoongea uku amefunga macho anaongea kwa nukta hatareee
X😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Hii Mizimu ya huyu Bibi Mbona inawahi sana kupanic😂😂😂
Raymond jimmy@😂
Kwanzaa lazma ajitetee duh usalama wangu wa taifa haha 😂 😂😂😂😂😂 lakn tusimseme Sana keshakuw 🌟 star
Ally Mohamedi 😁😁😁😁😁😁
unafiki mkubwa,mama mwislam mshirikina mkubwa.mnatuleteya haya waislam.muogope mungu.
Kilichosimamisha gari siyo uchawi wala ndumba nimatatizo ya gari sema watanzania kwakukuza vitu vya kishirikina hawajambo huyu mama kasema alipoona watu wanashuka hakujua kinachoendelea alidhan wanaenda kukojoaa achen kuendekeza ujinga ndio maalibino waliuliwa sana Tanzania na kule njombe watoto wadogo ,kupotea ,makonda amesema tusiwe na taifa ambalo lina promote mambo ya hovyo na kuacha mambo yenye faida
wewe mama acha uchawi njoo kwa BWANA YESU KRISTO, akuponye, uchawi sio sifa zuri
Sylvester Aron huko uliko hakuna usalama hata kidogo soma vitabu ujue unachokiamini sio sahihi
Unauhakika kama mchawi ama unaropoka
Amina
Unayesema Una uhakika mchawi wewe unaona anaimba kwaya hapo au na wewe ni mteja wake.
@@husenimareja1907 sasa na wewe si ungeandika comment yako kwa huko unakohisi kuko sahihi 🙄
YESU KRISTO ni jibu
nan anaamin bib kajitangazia biashara yake 😂😂😂😂😂
Mapepo wanayaogopa apo ni kukemea tuuu na uyu bibi asingekua na chochote kile kawatisha tuu kwakua Ameona wotee amna yesu ndani yenu
kwa ajili ya usalama wangu wa Taifa .
Hhhhhhhj atari
Kama una soma comment kama mm likes
Bibi kama wewe mwanga c ungepaa tu au ndio tungeskia mbele imeuwa wote😁😁😁
Tangaaa mko vizurii😅😅😅😅
Asante mungu mamangu kafika Salama nyumban
dah! ndo tuamini dawa zipo
Naona bibi katoa namba wenye iman za kishilikina wa ruke hewani
Saidi Omali moja wapo ni ww
nimempigea amesema atanikomeshea wanaonisumbua
@@josestudio4534 😂😂😂
Bibi😘
Usalama wangu wa taifa😂😂😂😂😂
jamani mwanikumbusha mbali jamani home huko we kaka unatisha big up God
Bibi oyeeeee
Huyo bb niwakuombea yesu yuko kazin
Safi Sana lafiki yangu hawa watu inatakiwa tuwanyoshage jinga kwel
Usalama wake wa taifa😂😂😂
Tarents Tv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka jaman
hahahahahaaaaa
Shauri yako we mcheke tu
usalama wang wa taifa hahahahahahahhahahahahahahah
hahahahahha
Da huyu bibi msambaa bana hata lafudhi. Ila kweli watu waache zarau usimzarau usie mjua kuna Ndugu yangu alimchekaga mtu akashikwa kichwa mpaka leo haoti nywele tanga Raha 😂😂😂
Sasa hivi unaleta Habari motomoto safi sana
aaasee Kali ya mwaka
mwingine anasema sitaweza kuacha,jipe moyo mkuu,hata Mimi nilikuwa hivyo na Mungu amenisaidia nimeacha, jionyeshe kuwa Mungu anakupenda mwambie shetani wakati wake umekwisha.sasa umemgeukia Mungu aliyekuumba,Mungu anakupenda sana tena mno
Usalama wake wataifa,lazima ulindwe halafu wewe mwenye kuuliza maswali unaendeshaje kipindi wakati simu inapiga fujo
Daaaaaaaaaaaa ametxha
Bibi wacha uchawi ww utakufa vibaya ushirikina ni kitu kibaya sana
Moto wa jahanam unawasubiri
Salim Mohamed bhgb
Huyu Mama uchawi wake uko kwenye macho, anatumia macho kulogea, anatumia nguvu za Giza, ila kwa Jina la Yesu kristo huo uchawi wako hawezi kukusaifia ni kwa vile ulikutana na watu walikuwa wakishangaa badala ya kuomba. Mpe Yesu maisha yako Mama uchawi hautakusaidia, baada ya kufa utaenda motoni na uchawi wako.
Edwin Alexander kwani kasema yeye ni mchawi
Edwin Alexander mchawi ndiio sasa anaongea naninii vitu havionekani au alikuwa anaongea na malaika
Tumpe Mungu maisha yetu na sio Nabii Yesu.
🤣🤣🤣😂😂😂umemkagua macho tayar
Jaman uyo atar
Sahi man'a tabia zako kusha Sha wata jifunza
let me help you,,ukimwamini Yesu na kutubu dhambi,unakuwa kiumbe kipya,utu wako was ndani unahuihwa,unabadilishwa,unakuwa umevikwa utu mpya,yaani George was zamani anabadirishwa unakuwa George mpya,ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya,Yesu anakuja kukaa ndani yako
AMEN
Madeleva wamezoea sana natamani aje namorogoro doma bibi njoo nauku
Huyu bibi akiongea kama lowasa anapiga kampeni
Itakuwa ni ndg ake😂😂😂
Abdulla Yahya hahahahah umenivunja mbavu na iyo comment yako
😀😀😀😀😀
@@leonardmrope9528 afadhali huyo mama kuliko lowasa hawezi kujieleza hana speech,
Abdulla Yahya
Wa Tanzania mnapenda sana kuamini amini mambo ya ushilikina Kila kitu ni ushilikina mpira uchawi.Simba na Yanga ushilikina badilikene alafu Huyo sio bibi msipende kuzeesha watu Huyo ni mama.
Aisee mm sjawahi kuwa mshabiki Wa timu za tz kwa kua spendi hata kidogo hayo mambo yao ya kichawi
Aiseee uyoo bb ni Nomaa kwan up ni ufundi na sio uganga
Huyo bibi atakua ni wasumbawanga😂😂😂😂😂😂😂
ndo maana Mungu anasema walipo wawili au watatu wakusanyikapo kwa jina langu Mimi Mungu nipo katikati yao.kwa hiyo umepata picha jinsi Mungu alivyo kwetu. jioni njema, Mungu awabariki
mi mwenyew apa naogop kuangalia cm yngu icjezima buleee😂
Huyu bibi anasoma tarifa ya habari au
Haha
Hahahahaha ww shauri yako
😂😂😂😂😂
Farid Bawazir haaahaaaaaaa. Uwiiiiii
Umeonaee anaongea kwa kituo bila ht hofu anajiamini usipime
Bibi safi sana
Daaa kazi nzuri ayo tv
Hana uwezo wakuzwia mazao shamban ye nigar na pkpk tu
hahahahahaaaaaaaaa hpna mmmmh
A ha kbsaaa watu wa lushoto noma uyo bibi namjua mganga nyoko aki kwambia subhi uamkia uamki kwer shikamoo bibii
Uwe unatembea na gari yako basi na kama hujui kuendesha tafuta dereva.....hapo ndio utaonekana mganga mjanja
Dah ayo ni noma
bibi weweee hatar fire mama nakufaaaa bibi utabak kuwa juu
mchawi mungu2 usi2tishee
Salimisha maisha yako kwa yesu we bibi
Kbs yesu ndie kiboko ya wachawi na mapepo
😂😂😂😂😂😂😂usalama wang wa taifa
Bibi mbona unafunga macho umeishika mike sawa sawa wasikuchezee bibi hee
😂😂😂😂
Mtapeli huyu
Wewe jamaniii 😂😂😂
kapagwa uyu co mwenyewe
Promo ya uganga, kuanzia boda boda ad dereva la basi walipangwa, uchawi haupo
Huyo bibi anabalaa
mnaitaj coment tu hahahaha mnafer uyo bb namfaham afi kwake du ase poleni ay tv
Haaaaaa hatari eti semeni wote heri ya mganga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari sana
Nice home
mbna mtangazaj hujamhoji kwa karibu jaman uxo kwa uxo ndo tamuu au umemuogop
kaaa jamn huy mbibi nae bhn mbon anavihimambo ivo jamn duh!!! hofixho kweli jaman
Nice mama
interview ya kwanza alisema anakwenda Tabora Leo yuko lushoto Khaaaaaaaaa
Hahaaaaa itakua kua km yule mwenye gunia la mahindi aliyesema limekataria mgongoni kibahaaa watu wapo kazini
Mwenye huyu mam nampa pole
S
Good
Hapana hlo gali linanguv ya mung!!! Bibi hakua m2 was mung' alitaka afany chchote !! Ila uwezo wa mungulihisika
Boda Boda nmekuelewa Boda Boda kuwa smart Inawezekana Sana.
Dah !!!
Bibi njoo kwangu unace
Mmmh hatareee xan
Mkali uyu bibi
Loool bibi mchawi🤭
Mmmmmhu aiseee nimecheka 😀😀😀😀😀mama alivyoishika maiki na anavyoongea kama mtangazaji wa taarifa ya habari .Ikabidi wampeleke kwenye usalama wake wa Taifa😀😀😀😀 heri ya mganga wote😀😀😀😀 Mmmmmhu wewe bibi ni hatari.
Insonyesha hata anayo ongea anaambiwa ongea hivi maana sio kwa vituo hivyo shikamoo bibii
@@mathaadam2608 mmmmmhu kwa kweli shikamoo bibi😀😀😀😀😀
Ndugu yangu asije akasoma comment cm zetu zikazima bibi nimepiga magoti shikamoo
Nimecheka jaman Bibi kiboko
Jamani huyobb nimfano wakuigwa kwani makondakta samezidi kuwamatapeli
Bibi noma
Kwaajili ya usalama wangu wa nini kwa mwenzengu aliyesikia vizuri
😀😀😀
Hahahahhaha kwa ajili ya usalama wangu wa taifa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa taifa
Karibu kwetu Lushoto