Mwanzo mwisho mhamiaji haramu alivyokutwa na kiwanda bubu cha silaha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2020
  • #JumaHomera #UmilikiWasilaha #Katavi

ความคิดเห็น • 382

  • @saidiomali3324
    @saidiomali3324 4 ปีที่แล้ว +34

    Huo ni ushamba wa fikra huyo mzee anakitu ndani yake kwa nn msimtumie ili iwe faida ya inchi

    • @mugishafunuguru2241
      @mugishafunuguru2241 หลายเดือนก่อน

      Mi naipongeza serikali kwa jitihada zote za kupapambana na ujangili ila tutafute jinsi ya kutumia vipaji hivyo katika kuimalisha nchi yetu maana uwezo tunao BIG UP 🤝

  • @wowo1546
    @wowo1546 4 ปีที่แล้ว +11

    wa Tanzania 🇹🇿 bwana!🤔
    sasa huyu mzee wana mfungia nini?
    Mtu mweusi hana Akili kabisa.

  • @nahrmsomi3161
    @nahrmsomi3161 ปีที่แล้ว +11

    Jamani huyu mzee washampiga anachechemea huo ni muogopeni mungu.duniani tunapita.huo ni ujuzi Tanzania ya viwanda.

    • @user-zc1cs2uc3j
      @user-zc1cs2uc3j 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ujui mwalifu kwa kuekti😂

  • @AlfredMakari
    @AlfredMakari 3 หลายเดือนก่อน +3

    Technolojia kama hizi ingefaa ziendelezwe. Ila WaTZ huwa tunapenda sana sifa kuliko kupe da kuelewa zaidi anawezaje kutengeneza vitu kama hivyo ikiwezekana vifundishwe sehemu husika..

  • @godwinbulili1747
    @godwinbulili1747 4 ปีที่แล้ว +32

    Kwanini Wasimwendereze Jeshini Awe Anaisaidia Nchi

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Godwin Bulili “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @mrgodfreyg2501
      @mrgodfreyg2501 4 ปีที่แล้ว +1

      @@africanchocolate4216 wewe unajua sana kuhukumu ? jambazi ulifanya nae ujambazi roho mbaya kama nini usikute wewe ndio jambazi 😡

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Mr Godfrey “😳 Rudini kwenu huko mka mwage damu ndiyo mlivyo zoea 😡😏✌🏾 👊🏾🤛🏾💪🏾😳😏

    • @isiakaugwa1439
      @isiakaugwa1439 4 ปีที่แล้ว

      Unajua wenzetu makachero wengi ukifatilia historia yao walikuwa wezi utotoni wazazi wameiona hiyo kama Fursa na kwaendeleza watoto na baadae wakawa FBI wazuri tu

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Isiaka Ugwa “Ni sawa kama ni fursa, ila aka fanyie huko kwao! Hapa Tanzania 🇹🇿 hatu taki kabisa wahalifu”

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 4 ปีที่แล้ว +35

    mzungu angemtumia kutengeneza silaha za kisasa wa afrika wanamfunga hatuna akili kabisa

    • @frankgervas357
      @frankgervas357 4 ปีที่แล้ว +6

      Wapelekini jeshini wapeni Ajira vipaji hivo

    • @godfreyleka5839
      @godfreyleka5839 4 ปีที่แล้ว +4

      Mzee sisi tunaishi huku. Hayo magobole yanatumika kuwindia tembo vibaya sana. Na ujambazi. Kipaji kwenye uhalifu sio poa

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Frabo Mdemwa “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @davidnicholaus5304
      @davidnicholaus5304 4 ปีที่แล้ว +2

      Yani Africa kuna shida....huyu angetumiwa vizuri

    • @fadhilikawambwa5159
      @fadhilikawambwa5159 3 ปีที่แล้ว

      @@frankgervas357 point

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaani hapo hta raia watajifanya wema kumkandia ikiwa mtu na iyo bunduki kasalimisha na mmemsachi Hana kitu time ingine punguzeni sifa ovyooooo

  • @murrowbhaiofficial448
    @murrowbhaiofficial448 4 ปีที่แล้ว +7

    Aya maisha mungu mwenyewe ndo anaejua maskini mzee wawatu anakipaji kizuri ila ndo ivyo umaskini ndo yanamfika ayo nawatu kwakufanya kazi kwamisifa wameita adi watu weupe wangemwendeleza nakuupa vifaa vyakisasa ili andelezee kipaji ila hapa bongo ndo basi tena uyo segerea afu wanasema nchi yawiwanja musimpige musifunge bali mpeni pongezi mn nihazina iyo

    • @sadickcheyo2324
      @sadickcheyo2324 2 หลายเดือนก่อน

      Watu kama hawapewe kuwezeshwa kwafaida ya inchi

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbona sioni kama kakosa uyu mzee naomba tu serikal mzee uyu ni talented so apewe kazi ili azidi kulinufahisha jeshi aswa kwenye uhitaji wa siraha .

    • @zakayodionis7748
      @zakayodionis7748 4 ปีที่แล้ว

      Mtu mwenyewe amechoka hivyo

    • @maxjofrey70
      @maxjofrey70 4 ปีที่แล้ว

      @@zakayodionis7748
      Kuchoka ni sababu ya ugumu wa Maisha aliyo nayo lakini yakupaswa utambue ujuzi hauzeheki njombaa.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzungu ameua Mamba mkubwa wa kihustoria amepigwa picha tu. Huyu na umri wote huo mnamtandika, du.

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 4 ปีที่แล้ว +7

    Mzee hana kosa coz alishasalimisha kama mlivomtaka

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakuona Mwenyekiti wangu Hongera

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf7641 3 หลายเดือนก่อน

    Ni mzuri sana huyo asitweswe apewe ajira ya kufundisha jeshi jinsi gani ya kutengeneza silaha aina hio mwisho wa siku tz tutaweza kutengezeza silaha nyingi bila ya kununua nje

  • @joeslaa1909
    @joeslaa1909 29 วันที่ผ่านมา

    Angetengeneza mzungu ni sawa ila kwasababu n mtu mweuc mnamkamia ila ngoz nyeuc tuna shida snaa

  • @emanuelgavile7474
    @emanuelgavile7474 4 ปีที่แล้ว +1

    Acha usenge mzee wawatu mbona safi tyu

  • @user-ow4gt6mu9u
    @user-ow4gt6mu9u 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mzeee akitumika vizuri nchi itapata watalaam watengenezaji wa siraha wazuri kwa bongo ilivyo wataitokomeza fani yake kwakumpeleka jera

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante mkuu wa mkoa katavi juma zuberi

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน

    Serikali zetu za Africa ni jambo ZURI kudhibiti utengenezaji wa silaha kiholela ,BADALA yake wekeni sheria RAFIKI ili kuwaibua watu wenye vipaji kama hivi ili mataifa yetu yanufaike kupitia kazi zao wapelekeni hata majeshini .🙏🙏

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 หลายเดือนก่อน

    Pingu yanini sasa mzee na mshampiga da askari wengine hamjielew kabsa hamna uweled

  • @user-co2ed6dj6p
    @user-co2ed6dj6p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duh yani tanzania sijui tupoje

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 4 ปีที่แล้ว

    Huyo mpelekeni Akaongeze Ujuzi, Afanye kazi ya kutengeneza silaha Inchini Tz, sio kumfungulia Mashitaka..

  • @EMMANUELCHINE
    @EMMANUELCHINE 3 ปีที่แล้ว +1

    Africa tubadilike...ni ujuzi mzuri ila kaufanya tu kinyume na utaratibu...mawazo yangu wasimhukumu...tuitumie kama fursa apewe kitengo jeshini asaidie hata kuboresha saliaha zetu..ama atuundie silaha..yatupasa kujua silaha tunazoagiza nje kiuhalisia hatujui zina nini chaziada ndan yake..kwa hiyo Tue na mawazo yakua na vyetu..

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 5 หลายเดือนก่อน

      Zile jeshini sio silaha za jadi, hobole ni silaha ya jadi ambayo hata wewe ukiacha uvivu unatengeneza, zile za jeshini mfano SMG ambayo ndio silaha ndogo ya kivita, hujaenda skonga hutengenezi coz kuna physics kubwa! Hizo G3 zikikuwa zikitumika zamani pengine kaiba maana jeshini zimebaki kufanyia zoezi tu sio kwaajili ya vita

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว +3

    Wamempiga sana aisee

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      micah nasake “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 3 หลายเดือนก่อน

    This is my beautiful country named Tanzania 🇹🇿 where by ukikutwa na madini shamban kwako yanakuwa ya serikali ila ukikutwa na bangi inakuwa ni ya kwako.

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 4 ปีที่แล้ว +8

    Wanakijiji wamejaa hofu mama analeleza kiuoga ila hasemi ukweli

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 ปีที่แล้ว

      barick mtery ulitaka aseme ukweli gani zaidi ya huo?

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      barick mtery “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @cossanwambura1614
      @cossanwambura1614 3 หลายเดือนก่อน

      Mmmh

  • @gatuna6
    @gatuna6 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu baba mzalendo wa kweli anaokoa mapesa ya kununua silaha nje ya nchi

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtu anahitajika nchi za watu wenye akili sio kwetu

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 ปีที่แล้ว +3

    Sizan kama huyu mama hajajikojolea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sio kwa kutetemeka huko

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 หลายเดือนก่อน

    Wamuachie mzee wa watu amalizie maisha yake hapa duniani tunapita.

    • @Sufoissaissa-tp7wl
      @Sufoissaissa-tp7wl 2 หลายเดือนก่อน

      We we kuma auna akili unasapoti nini mzee wawatu achiwe sio jambazi fala ww

  • @avitusarchard9926
    @avitusarchard9926 4 ปีที่แล้ว +3

    Hata mataifa makubwa huwasamehe wezi wakubwa wanaotumia akili kuib kwenye mabenki kwa sharti moja la kuelezea akili na mbinu walizozitumia,ili zisaidie hapo mbeleni!! Xx cjui tunafeli wapi

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mama ni Mrundi 100%

  • @user-rs6om1nu1j
    @user-rs6om1nu1j 2 หลายเดือนก่อน

    Watu kamahao sio wakufunga mbali niwakufunza wengine wafunguliwe shule yasilaa

  • @RachelKalumo-iy5um
    @RachelKalumo-iy5um 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo Mzee apelekwe jeshi mtumirn anakipaji kizuri

  • @ibrahimally7637
    @ibrahimally7637 3 หลายเดือนก่อน

    Hatuwezi kuendelea kwa kuwakamata watu ambao wana fani muhimu kama hii.

  • @EMMANUELCHINE
    @EMMANUELCHINE 3 ปีที่แล้ว +2

    Na kinachopelekea Africa bado kutegemea wazungu ni kutochukulia vitu in a +ve way. Mara nyingi tunachukulia vitu negatively. Ni hii hali imekua kama ndio point of weakness kwetu wanaitumia wazungu kuendelea kutuacha...naomba serekali tuangalie hili na mengine kwa jicho latatu

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 3 หลายเดือนก่อน

    Amechechemea kuvuka kwenye mtaro kivuko Cha mbao mngesema amezama wakati anakimbia😢au mngesema kafia njiani akijaribu kutoroka😏hata kumsaidia amini mtazeeka pia🤲

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Mtizame America unanunua silaha yako mwenyewe na unsuwa watu kama kuku sasa huyu anajua kutengeneza ndo mngemtumia awatengenezee

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Mbona amesalimisha hiyo aliokuwanayo sasa mbona mnafanya kama mwizi waliokuwa wanasilaha kwa njia ya ujambazi hamuwachukui

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว

    Ivi Siku Moja Tanzania Aitaweza Kubuni Silaha Zaidi Za Ulaya Jamani Japo Ziwe Serikalini Zaidi Lakini Sio Kufungwa Sema Majambazi Wanaweza Pata Silaha Kwa Wepesi Zaidi

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 3 หลายเดือนก่อน

    Tutachelewa sana watanzania
    Ingekua iyo bunduki ametengeza mzungu mungempogia magoti
    Lkn kwakua ametengeza mtu mweusi munamkomalia
    Uyo anakipaji mpelekeni mukampe ushirikiano awaambieni anafanyaje mpaka anatengeza zana hizo

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +3

    Dah !! Ingekuwa inchi ingine angeendelezwa mzee utaozea jela

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว +1

      Ramadhani Suru “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @ramadhanisuru1822
      @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว

      @@africanchocolate4216 kama ni jambazi wamfanyie mafekeche wala hata mahakamani wacmpeleke huyu niwakuuwatu

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Ramadhani Suru “Ndiyo inavyo takiwa 👍🏾”

  • @HafidhAli-lt5xt
    @HafidhAli-lt5xt 5 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania mnbahati huyu mzee mpeni kazi serikalini

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu8475 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nafikiri huyo ni mtaalamu mzuri tu na ni vizuri mkuze kipaj8 chake. Mpelekeni kwenye kiwanda cha kutengeneza marisasi. Kuzeni vipaji badala ya kuwakatisha watu tamaa na msimtuhumu kwa mambo ambayo pengine si ya kweli.

  • @jumajuma3679
    @jumajuma3679 4 หลายเดือนก่อน

    WaTZ kweli hamnazo, huyu anaitwa mhamiaji haramu halafu jambazi anaeleweka nyinyi mna mtetea. Achani umwehu WaTZ wenzangu

  • @danieljackson6655
    @danieljackson6655 4 ปีที่แล้ว +8

    Angalieni watu wakuwakamata mnatafuta media hazina ishu mtamuua tu huyo

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Daniel Jackson “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @Inno-qz2ec
      @Inno-qz2ec 4 ปีที่แล้ว

      Wajinga tu ..poor tanzania..

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Innocent Shiyo “Poor your family tree” 😏

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Kwanini msitumie kipaji chake kutengenezeya silaha tanzania za Jessica ambazo hatunauwezo wa kuagiza nje

  • @gatuna6
    @gatuna6 2 หลายเดือนก่อน

    Mpaka mukanunue silaha kwa mzungu. Wafrika. Tumekosasa nini huyu mzeee ni mtalaaamu wa silaha. Wafrika kunafikira finyu mpeni mkopo afungue kiwanda wazungu nao waje kununua bidha Adium.

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani4775 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 vichekesho hivi ... Yani hy rimu na sufuria ndio inatengeneza bunduki 😂😂

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu5326 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza anatakiwa kusifiwa na pili kaeninae ilimmuwezeshe kwa ubunifu wake kwa faida ya selikali kama hatufai mrudisheni inchi yake

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 5 หลายเดือนก่อน

    Mfungulieni kiwanda huyo mzee taifa linufaike😂😂😂😂

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Kwani nyiyi watanzania mtanunua mpaka lini silaha hata sasa hiv8 mkiambiwa vita hiyo hapo mnashindwa sasa mmpata fundi mnamfunga si mnaona angekuwa na pesa tu mngemuachia hebu mpekeninni jeshini akafundishe judo

  • @erastolyimo2423
    @erastolyimo2423 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo wamempiga alitaka kukimbiaa au amewashinda nguvu au, yaani nimecheka me babu wa miaka 70 nimkamate nimpige! Yaani ni udhaifu mkubwa sana, unampiga babu wa miaka 70 wa kumshika tu kwa mkono mmoja na kumpeleka utakapo! Mapoti wameniaibisha sana

  • @thomasthobias1398
    @thomasthobias1398 4 ปีที่แล้ว +3

    MuendeleZe basi sio mnaweka ndani ndo Tanzania ya viwanda jamani

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Thomas Thobias “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @libangadarius4693
      @libangadarius4693 4 ปีที่แล้ว

      @@africanchocolate4216 mbona mzungu akitengeneza mnanunua

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      libanga Darius “Kuna mzungu gani aishiye hapa Tanzania 🇹🇿 anaye tengeneza silaha kisha kuwa uwa wanyama pori, kuonea watu, kuwa ibia watu na kuwa uwa watu?”

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 2 หลายเดือนก่อน

    Ivii mataifa yawenzetu waliwezaje wao kutengeneza silaha nasisi tukawa tuna nunua kwao na sisi tuna shindaje jamani nimesikia Apo kasema bunduki ya kijerumani

  • @jacksonmodaha1810
    @jacksonmodaha1810 3 หลายเดือนก่อน

    Badala ya kumwezesha Taaluma yake anafungwa na Magereza

  • @edsonbaitholomeo7414
    @edsonbaitholomeo7414 หลายเดือนก่อน

    watu weusi akili atuana kiujumla tunapuyanga tu sasa huyo mzee kwanini msimuwezeshe ukte mnaenda kumfunga akili zenu bwana bac tu

  • @SimonJeshi-nq1hs
    @SimonJeshi-nq1hs 3 หลายเดือนก่อน

    Wakoloni walishatharibu huyu mzee anakipaji mpelekeni sido atawatengenezea vitu viingi

  • @halimaibrahim9319
    @halimaibrahim9319 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni hizo wachukueni hao mka watumie kwenye viwanda vyetu

  • @AllyMkwenjele
    @AllyMkwenjele 3 หลายเดือนก่อน

    Wazungu wanaeshimu sana vipaji hira sisi kwakukosa akiri nau zarendo tuna tumia nguvu kubwasana kupoteza watu wabunifu kama awa nachaajabu tunawapakess

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 หลายเดือนก่อน

    Mpelekeni kambi ya jeshi awe anatengeneza slaha kama hizo

  • @applestru_cape2219
    @applestru_cape2219 4 ปีที่แล้ว +5

    Kwani silaha ni bunduki 2 kissu jee?

  • @goldensensemedia.7906
    @goldensensemedia.7906 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana makamanda, Hawa watusi dawa yao ni Moto.

  • @paulinasemindu1292
    @paulinasemindu1292 4 ปีที่แล้ว +1

    mnadhqmbi sana babu wa watu mmempiga jmn hd,anashindwa,kutembea😭we nae unaongelea pombe kama alikuwa na kiu anaomba hapew afanyeje

    • @lucytango8708
      @lucytango8708 3 ปีที่แล้ว

      Ni ujinga tabia yakupiga watu

  • @blessedstudiostz3812
    @blessedstudiostz3812 2 หลายเดือนก่อน

    Huo ni uonevu kabisa huyo mzee mnamuota jangili kweli?? Huyo mzee mnataka mkamtoe kafara? Sijaelewa mnataka nini kwa huyu mzee

  • @nsabiolohaga5364
    @nsabiolohaga5364 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mtu na ujuzi wake muacheni ikibidi mumusaidie kutegeneza silaha maana nikipaji Cha ke

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f 3 หลายเดือนก่อน

    Anafua chuma, mnamuonea. Mbunifu sana. Awo ndio wanafaa

  • @elneussimeo1275
    @elneussimeo1275 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtu asaidiwe hyo sio oparation mzee angalia wenzio wanavofanya

  • @asteriayusuph4871
    @asteriayusuph4871 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwa namna anavyotembea inaonekana ameshapigwa sana aseee

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Asteria Yusuph “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

    • @geraldtarimo9960
      @geraldtarimo9960 3 ปีที่แล้ว

      Kweli waafrika vichaa,aendelezwe

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 2 หลายเดือนก่อน

    Mpelekeni jeshini Aendeleze kipaji chake

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu 3 หลายเดือนก่อน

    Hii sekali yetu ni ya ajabu sana mtu kama huyo mwenye kipaji wangemchukua wakamboresha awe anatengeneza siraha za ndani kuliko kutegemea kununua siraha nnje ya nch jambo ambalo litatufanya kua nyuma siku zote

  • @juliusmaranga-zh6be
    @juliusmaranga-zh6be 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mhandisi wa heshima.apewe ulinzi na mkopo kuimarisha ujuzi wake

  • @NyehuDaudi
    @NyehuDaudi 2 หลายเดือนก่อน

    Watu weusi hawajui km mtu kama huyo ndiyo wakutumia kabisa nikumufigulia kiwanda tu chini ya serekali Rakini mulivo nyumbo mutamuweka ndani

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 2 หลายเดือนก่อน

    Mpeni ajira huyo mzee afundishe asikari wetu kutengeneza

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tujitambue jamani inatakiwa MTU apewe kipa umbele aendelezwe kipaji chake atasaidia uchumi WA nchi nyie mnamuazibu zuruma kubwa sana kwamungu MNA jukumu kubwa sana MTU mwenyewe masikini mnaona kabisa ndio maana nchi haiyendelei

  • @hassanowaziri1587
    @hassanowaziri1587 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwendelezeni huyo mtuu mwenye kipaji

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Hassano Waziri “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

  • @bangimbayatv5323
    @bangimbayatv5323 5 หลายเดือนก่อน

    hapoooo mnakoseaasaa .huyoooo ambayeee awezaaa kutezaaa risasi muwekeni.kwenye chumba maalum alafuuu aendelee kutengezaaa hizooo goboreee.mmezoeaaa kununuaaa vituu kutokaaa nchi zingine hiyooo siyo swaaaa

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 ปีที่แล้ว

    Uonevu tu badala angechukuliwa na kuendeleza kipaji chake mtamzushia ,mengi tu

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania bwana yaani ingekuwa nchi nyngn huyu anapelekwa jeshini na kuendeleza ujuzi.Tumieni ujuzi wake kwa faida ya nchi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +3

    Aendelezwe huyo shida nn kwan

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว +2

      Hussein Konz “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

  • @user-ej7zc8nz9m
    @user-ej7zc8nz9m 3 หลายเดือนก่อน

    Africa uyu afunguliwe kiwanda tuache kununuwa silaa injeya Africa

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z 2 หลายเดือนก่อน

    Mchukueni mzee akawe mwalimu wa veta.hao ndo wanaitajika.kwa serikari ya viwanda.ikiwa kama akiri mnazo

  • @ramadhanyusuph1340
    @ramadhanyusuph1340 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwacheni ila pateni ujuz kwake wa kutengeneza hizo silaha

    • @johnmaningo5732
      @johnmaningo5732 4 ปีที่แล้ว

      Hivi unadhani jeshi la Tz halina ujuzi wakutengeneza gobore!!!

  • @amanicharles5456
    @amanicharles5456 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni hazina, mnaweza mkamtumia kwa ajili ya uchunguzi wa kutengeneza silaha kwa ajili ya jeshi letu, kumtumua kitaalam lingekuwa jambo jema

  • @nanadenbygreconanadenby1111
    @nanadenbygreconanadenby1111 4 ปีที่แล้ว

    Jaman izo n dhambi... Angekuwa mzungu angepewa na uraia na angefungua kiwanda...

    • @user-nn8yj7fe4n
      @user-nn8yj7fe4n 3 หลายเดือนก่อน

      Weeee Acha tuuu,..Africa jaman !!😂 nacheka kaa mazurii

  • @SamwelTito-xb4nr
    @SamwelTito-xb4nr 2 หลายเดือนก่อน

    Mpelekeni aweze kuwa kwenye ukumbusho jeshini aweze kuwa mtengenezaji silaha ktk jeshi aoneshe ujuzi

  • @user-jz5tk2fx7g
    @user-jz5tk2fx7g 4 หลายเดือนก่อน

    Achaneni na hiyo Mzee wacheni kumnyanyasa huyo Mzee ye mwenyewe masikini

  • @user-ht9hp9br2e
    @user-ht9hp9br2e 3 หลายเดือนก่อน

    Arudishww kawo

  • @VitusHaule
    @VitusHaule 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania yetuu oyeee

  • @tashone7884
    @tashone7884 3 หลายเดือนก่อน

    Magobole ni ya kuwindia wanyama huko wanyama ni wengi

  • @faidamasegenghe3379
    @faidamasegenghe3379 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu anatakiwa apelekwe kwenye kanana ya jeshi kwa kutengeneza silaha kwa maslai ya taifa letu

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      FAIDA MASEGENG'HE “Huwezi kumu endeleza na kumtunza mtu kama huyu, Ni jambazi, ame kuwa akionea watu, kuwapora vitu vyao, kuwa piga, kuua wanyama pori (Ni ku angamiza na kuhujumu uchumi, kuharibu utalii) Ana hatarisha maisha ya Wa Tanzania 🇹🇿😳😡! Anyang’anywe uraia, afungwe jela kisha arudishwe nchini kwao”! Mki sikia familia nzima wame uawa kwa mapanga au risasi, basi “Hawa ndiyo wahusika wauaji wenyewe”! Tanzania 🇹🇿 haiku wahi kuwa na historia ya mauaji ya namna hii, ila tu baada ya kuingia wakimbizi ambao wame uana huko kwao, ndiyo na Tanzania tuka anza kusikia mauaji yafananayo na nchi hizo zimwagazo damu za wenyewe kwa wenyewe 😳😡❗️ Ni kufukuza warudi kwao na hizo roho zao za giza❗️ Hatutaki laana za umwagaji damu hapa Tanzania 🇹🇿✋🏾❌🛑🚨😏”

  • @RomboBoy-bl7ql
    @RomboBoy-bl7ql 3 หลายเดือนก่อน

    Viongoz wasenge wanahabari wasenge coz wenzenu watu kama hawa hata wananchi hatafai kuwajua coz hii ni mali kumanina zenu

  • @eagtmjiwamakimbilio
    @eagtmjiwamakimbilio 4 หลายเดือนก่อน

    😊😊

  • @user-up1fx4vt4r
    @user-up1fx4vt4r 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni ushamba wakijinga kamawewe unaakili huyo mzee anafani

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 4 หลายเดือนก่อน

    Wazungu walikalilisha waafrika kuuwa viwanda vya waafrika na kutukuza vya kwao hadi leo hakuna nchi ya afrika ambayo inasilaha officially lakini wenzetu wakipata watu kama hawa wanawekeza pesa kwa ajili ya uzalishaji lakini sisi unadharirisha na kufungwa jela

  • @MohammedMselo-pe6yw
    @MohammedMselo-pe6yw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sis nimasikini tu kwasababu yauoga wetu

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu 3 หลายเดือนก่อน

    Mnajisifu kabisa kumkamata wakat mnauwa vipaj vya wanach tutabak ss wakutawaliwa na wazungu siku zote mana kila kitu kinatoka nje

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn 7 หลายเดือนก่อน

    Ss watanzania tunacherewa sana

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 ปีที่แล้ว +3

    Kosa analo kwakua hata mtu akiuza mbao bila kibali anakamatwa.Hatua ya kwanza kwa mwalifu kama huyu nikukamatwa,Alisaidie jeshi la polisi amewauzia watu wangapi naakina nanai.? kisha hayo mengine sasa yanaweza kufikiliwa katika kipaji cha ufundi alicho yako.

    • @user-hp1im5ek4r
      @user-hp1im5ek4r 5 หลายเดือนก่อน

      Kichwa maji ww

    • @TengaJ
      @TengaJ 4 หลายเดือนก่อน

      Akili kubwa sana saimonjonas

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-hp1im5ek4r Ungekuja na hoja yako ili tupime mimi uliyeniita kichwa maji yawezekana na wewe baada yakutoa maoni yako ,tungeshangaa kumbe wewe ndo kichwa mavi.Kumbe mimi kichwa maji ningekusafisha.

  • @khalimamchapo8659
    @khalimamchapo8659 9 หลายเดือนก่อน

    Hataree

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeamini maneno ya Bob Marley kwamba " EDUCATION MAKE YOU A DAMN FOOL "