REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA KUTOKA KENYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2022

ความคิดเห็น • 44

  • @elizabethbatazari2288
    @elizabethbatazari2288 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe kila hitajilako 🙏

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 ปีที่แล้ว +4

    Mungu Azidi kukuongoza Mchungaji,Mifano hii nihai na Mungu Huwapitisha watu wake

  • @user-el9rq6px1j
    @user-el9rq6px1j 11 หลายเดือนก่อน +1

    Glory 2god

  • @LivingstoneShuma-xn9in
    @LivingstoneShuma-xn9in ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Mchungaji Kwa mfano huu mzuri wa jua la haki,ni kwamba limenibariki sana

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 ปีที่แล้ว +3

    Powerful testimony have learnt something here

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto267 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana, hii ni sawa na story ya Esther alivyomuomba Mungu, mambo yakamgeukia naaman,na alifikilia ni Mordecai ndio atauwawa,Mungu ni mwaminifu kwa walio wake.

  • @glorylaban5861
    @glorylaban5861 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema,jua la Hali liwe kwangu Amina

  • @InChrist2024
    @InChrist2024 ปีที่แล้ว +2

    Glory to God. Hallelujah!

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 ปีที่แล้ว +2

    Malaika wa Bwana, Fanya kituo kwangu

  • @LivingstoneShuma-xn9in
    @LivingstoneShuma-xn9in ปีที่แล้ว

    Nami naomba jua la haki likanizukie na mimi,napokea ushuhuda huo Kwa mikono miwili

  • @aishahaisha4941
    @aishahaisha4941 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏 Kwa kweli umeugusa Moyo wangu mchungaji Mungu akubariki Sana

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 ปีที่แล้ว

    Asante Yesu wangu. Jua la haki, Mungu unatisha naogopa matendo yako

  • @emanuelaugust
    @emanuelaugust ปีที่แล้ว

    Mungu akupe maisha marefu kama no za vocha chungaji wa Mungu iko siku Mungu atanipa kibali nije kusal na nyie

  • @daudikirway9428
    @daudikirway9428 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa Sana mchungaji barikiwa sana

  • @olengelatamoleltzolengelat3696
    @olengelatamoleltzolengelat3696 ปีที่แล้ว

    Amen . Asante sana mchungaji nimejifunza mengi sana

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeeeeeerrreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @lutangilooffice8604
    @lutangilooffice8604 ปีที่แล้ว

    Ameen Ameen

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba3963 ปีที่แล้ว +1

    Just la Haki

  • @edithaladis9077
    @edithaladis9077 ปีที่แล้ว

    Amina haleluya

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 ปีที่แล้ว +1

    Wala siwashangai hao Anania na Safira ,kikubwa shetani alikuwa ashaona nyota ya jamaa inawaka akaanza vita

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @hamurabani5386
    @hamurabani5386 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @user-nx9eh3ex9y
    @user-nx9eh3ex9y ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 ปีที่แล้ว

    Amen Mungu ni mtenda haki

  • @elidaburton8737
    @elidaburton8737 ปีที่แล้ว

    Mafunzo yako mchungaji yananitia ujasiri sana kwenye ndoa yangu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 ปีที่แล้ว

    Amen kubwa baba mchungaji

  • @InChrist2024
    @InChrist2024 ปีที่แล้ว

    Jesus Christ!

  • @innocentmassawe7160
    @innocentmassawe7160 ปีที่แล้ว

    Palipo na mzoga ndipo wakusanyikiapo tai

  • @sia4867
    @sia4867 ปีที่แล้ว

    Jamaniiiii anayemjua huyu Anipe njia yakumuona ninashida Sana najua Akiniombea naweza vuka ninayopitia

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 ปีที่แล้ว +1

      Wewe upo wap sasa hivi

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 ปีที่แล้ว +1

      Upo maeneo gani dar es salaaam

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว

      @@highzacknnko9685 mbez kimara

    • @lynmichael2537
      @lynmichael2537 ปีที่แล้ว +1

      ni Mchungaji kiongozi kanisa la Kkkt Kijitonyama, kwa sasa amesafiri kwa ajili ya maombi unaweza kupata watumishi wengine wako hapo kanisani

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว

      @@lynmichael2537 ok poa asant sana Mungu Akubark

  • @tedygodwin5431
    @tedygodwin5431 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 ปีที่แล้ว

    Ameen