Waambie Wanaume wapone Mchungaji wajue kabisa akili njema utoka kwa Mungu tumenyanyasika kwenye ndoa kwa kutoa kujua kumbe ni akili eee Mungu endelea kutunza akili yangu nashukuru Jehova
Hili swala nimeliongea sana Kwa Baadhi ya viongozi lakini hakuna Alie nielewa Mtakubaliana na Mimi Hata Ukiwa na Elimu Bado unaitaji Akili Ili Kuongeza thamani ya Elimu uliyo nayo. Nchi yetu Ina watu wenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kutela Mabadiliko chanya Kwa Taifa lakini hawapewi nafasi Kwasababu ya kukosa vyeti Alafu tunataka Africa Imtawale Mzungu Hatutaweza kama hatutaweza kuwatumia wenye Akili. Kuleta Mabadiliko ya Africa na Tanzania Kwa ujumla. 😢😢😢😢
Kina ugumu gani? Ukiona mtu anachukiwa kwenye taasisi yoyote jua ana akili, hawataki aonekane. Ukiona mtu anapenda Solutions au kutatua matatizo ujue ana akili, wajinga watamhangaisha. Ukiona mtu hapendi chochote zaidi ya kujitolea na kutodai risiti ujue ana akili, wajinga watamuogopa na kuhisi anataka vyeo vyao...
Kweli mchungaji,watu wameng'ang'ania vyeti lkn kichwani zero,kazi kuchukia wenye akili kisa elimu ndogo.Mungu atusaidie mno huku makazini ni shida
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.
Amen
Mchungaji ubarikiwe katika utumishi wako.
This morning phylosopy is very fantastic ni mengi nimejifunza kwako lkn hii ni kali
Unasema ukweli🎉
Amen. Mungu akubariki kwa ujumbe bora
Nakupata mpaka nakuget ani
Amina Amina Yan kuroholize na kuishi kanisani bila akili ya kuzaliwa wala haisaidii chochote
I get you, loud and clear!! Amen 🙏🙏
Amina Amina
Dr Eliona nibariki mimi
Waambie Wanaume wapone Mchungaji wajue kabisa akili njema utoka kwa Mungu tumenyanyasika kwenye ndoa kwa kutoa kujua kumbe ni akili eee Mungu endelea kutunza akili yangu nashukuru Jehova
Hili swala nimeliongea sana Kwa Baadhi ya viongozi lakini hakuna Alie nielewa Mtakubaliana na Mimi Hata Ukiwa na Elimu Bado unaitaji Akili Ili Kuongeza thamani ya Elimu uliyo nayo. Nchi yetu Ina watu wenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kutela Mabadiliko chanya Kwa Taifa lakini hawapewi nafasi Kwasababu ya kukosa vyeti Alafu tunataka Africa Imtawale Mzungu Hatutaweza kama hatutaweza kuwatumia wenye Akili. Kuleta Mabadiliko ya Africa na Tanzania Kwa ujumla. 😢😢😢😢
Kweli kabisa Pastor hata Yesu alitambua asipowafumbua watu akili zao wasingeelewa maandiko
Mchungaji umenena makuu kabisa, ni kweli wenye akili wanapigwa vita sana na wajinga, Mungu atusaidie sisi waafrika😢
Akili
😇
hakika akili
Mollel alikuwa na akili kabla hajawa chawa. Mshauri aache uchawa skili irudi!😂😂
Pr. Mmi nakuelewa sana, hata hapa kwetu mwenyewe AKILI HAWANA MAISHA TENA NIKUPOTEZWA, ni hatari!
Nakubali sana mtumishi
Kipimo Cha mtu mwenye akili ni kigumu mno
Kina ugumu gani? Ukiona mtu anachukiwa kwenye taasisi yoyote jua ana akili, hawataki aonekane. Ukiona mtu anapenda Solutions au kutatua matatizo ujue ana akili, wajinga watamhangaisha. Ukiona mtu hapendi chochote zaidi ya kujitolea na kutodai risiti ujue ana akili, wajinga watamuogopa na kuhisi anataka vyeo vyao...
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.
Amen
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.