ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mungu nipe neema ya kuwa na utulivu niwapo na hela na nijue namna ya kuzitumia
Kwa uwezo wa mwenyezi mungu Nami nitapga bati nyumba yangu 🙏🙏
Mungu nipe NEEMA kama hiyo maishani mwangu, ameeeni, najiunganisha na madhabahu hiii Katika Jina Yesu🙏
Na iwe hvyo kwako kama ulivyokiri
Mimi pia nabarikiwa sana na madhabahu hii
Pp
Mchungaji Mungu akutunze mifano Yakoinanibariki utaishi milele
Nakuelewa mtu wa Mungu. Mungu akutunze kwa ajili yetu. We love you sanaUmependeza kweli
Mungu anazo njia nyingi za kunyanyua watu wake hii ndio njia jangwani Mungu anasema anafanya njia pasipo na njia na kweli Hii ndio njia Mungu alifanya pale pasipo na njia Mungu akubariki Kila siku
Mchungaji umenifanya nijivunie kabila langu kwa jina la YESU.
Glory to Jesus
mungu naomba unikumbuke na mimi najiungamanisha madhabau
Amina Amina mtumishi
Mungu nibariki na mm kwa upako huu wakupata upako wa fedha
Asante baba nimecheka wa mirerani lakini nimejifunza kitu baba ubarikiwe Mungu akutunze
Nakupenda sana mchngj unaongea Ukweli sana Mungu azidi kukupa nguvu zaid🙏
Mungu Akulinde Baba Nakupenda Sana Baba
Mungu wangu ninayekutumainia naomba unionekanie nami maishani mwangu sitaacha kukusubiri daima
You have a great knowledge of life skills
Asantee unaakilisana mchungaji Mungu yupondaniyako
Mtumishi apo ulifanya Uzi, Yesu aliwaleta, upimwe uwaminiu wako.
Amen, aky huyu mchungaji nampenda sana🥰
Nakuelewa sanaaa Pr. Eliona kimaro
Nibaliki na mimi
Amina
Amen Amen
Mchungaji mungu akubarik
Nakupenda sana dady
🙏🙏🙏🙏
Napokea katika jina la YESU
I tap the annointing
Ni kweli Kuna watu wakipata Hela wanachanyikiwa inakua muujiza Kwa muuzaji mhiyaji
20.7.97 !
Ameen
Arusha oyooo
Daaaah 97 mm ndo nimezaliwa
Yaani nikipataga hela situlii😅😅
Hahaaa, kweli apostale tupoo
Achaaa uongooo shatii lak sanaa mmmmmh axha kudanganya watuu
Chuga wamekuelewa dingili laeee
Kumbe unasema wakristo sio waminifu kumbe nawewe ulikuwa ivyo
Hapa natafakari jambo moja; je hakuna ubaya kubadilisha bei elekezi na kuongeza bei?
Ukiwaza ubaya utakufa masikini😂😂😂😂
Nimewaza pia lakini twende kwa uongozi wa roho mtakatifu tu mchungaji ni mwanadamu asemayo yapime kwa maandiko.
Jamani unanifraisha hela tamu
Watu wa Arusha huwa wanauziwa nguo za ovyo ovyo lakini kwa upande wao wanaona ziko vizuri😂😂😂 ndiyo maana wafanya biashara wa Arusha wanapesa sana.
Hahahahaaaa hivi kumbe ndivyo tulivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amen namwomba Mungu anifungulie malango yangu.nakumbuka kijana wa chips huliyemwombeaga kwenye biashara yake.nami napokea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amina
Mchungaji hapo sikakuelewa kabisa
Sijakuelewa ndiyo maana anahubili kuwa wakristo wezi kumbe yeye ndiyo mwizi ebu some aibu
Kama hujaelewa hayo mafundisho heri ukae kimya tu kwanini umtukane mtumishi wa Mungu?aliyekwambia usikilize nani?umelazimishwa?
Kweli kabisa ❤❤
Mchungaji ni muongo kama msenge
Wewe umelaaniwa
Usimtukane mtumishi wa MUNGUUtapata laana kubwa usipoomba msamaa kwa MUNGU
Mungu Akurehemu ,, maana hujuh utamkalo...ukimtukana mtumishi wa Mungu umemtukana Mungu...
Nipitie baba yangu......
Mungu akuhurumie ndugu yangu
Alafu ni kweli aisee Arusha noma sanaaa kwa kupendeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu nipe neema ya kuwa na utulivu niwapo na hela na nijue namna ya kuzitumia
Kwa uwezo wa mwenyezi mungu Nami nitapga bati nyumba yangu 🙏🙏
Mungu nipe NEEMA kama hiyo maishani mwangu, ameeeni, najiunganisha na madhabahu hiii Katika Jina Yesu🙏
Na iwe hvyo kwako kama ulivyokiri
Mimi pia nabarikiwa sana na madhabahu hii
Pp
Mchungaji Mungu akutunze mifano Yakoinanibariki utaishi milele
Nakuelewa mtu wa Mungu. Mungu akutunze kwa ajili yetu. We love you sana
Umependeza kweli
Mungu anazo njia nyingi za kunyanyua watu wake hii ndio njia jangwani Mungu anasema anafanya njia pasipo na njia na kweli Hii ndio njia Mungu alifanya pale pasipo na njia Mungu akubariki Kila siku
Mchungaji umenifanya nijivunie kabila langu kwa jina la YESU.
Glory to Jesus
mungu naomba unikumbuke na mimi najiungamanisha madhabau
Amina Amina mtumishi
Mungu nibariki na mm kwa upako huu wakupata upako wa fedha
Asante baba nimecheka wa mirerani lakini nimejifunza kitu baba ubarikiwe Mungu akutunze
Nakupenda sana mchngj unaongea Ukweli sana Mungu azidi kukupa nguvu zaid🙏
Mungu Akulinde Baba Nakupenda Sana Baba
Mungu wangu ninayekutumainia naomba unionekanie nami maishani mwangu sitaacha kukusubiri daima
You have a great knowledge of life skills
Asantee unaakilisana mchungaji Mungu yupondaniyako
Mtumishi apo ulifanya Uzi, Yesu aliwaleta, upimwe uwaminiu wako.
Amen, aky huyu mchungaji nampenda sana🥰
Nakuelewa sanaaa Pr. Eliona kimaro
Nibaliki na mimi
Amina
Amen Amen
Mchungaji mungu akubarik
Nakupenda sana dady
🙏🙏🙏🙏
Napokea katika jina la YESU
I tap the annointing
Ni kweli Kuna watu wakipata Hela wanachanyikiwa inakua muujiza Kwa muuzaji mhiyaji
20.7.97 !
Ameen
Arusha oyooo
Daaaah 97 mm ndo nimezaliwa
Yaani nikipataga hela situlii😅😅
Hahaaa, kweli apostale tupoo
Achaaa uongooo shatii lak sanaa mmmmmh axha kudanganya watuu
Chuga wamekuelewa dingili laeee
Kumbe unasema wakristo sio waminifu kumbe nawewe ulikuwa ivyo
Hapa natafakari jambo moja; je hakuna ubaya kubadilisha bei elekezi na kuongeza bei?
Ukiwaza ubaya utakufa masikini😂😂😂😂
Nimewaza pia lakini twende kwa uongozi wa roho mtakatifu tu mchungaji ni mwanadamu asemayo yapime kwa maandiko.
Jamani unanifraisha hela tamu
Watu wa Arusha huwa wanauziwa nguo za ovyo ovyo lakini kwa upande wao wanaona ziko vizuri😂😂😂 ndiyo maana wafanya biashara wa Arusha wanapesa sana.
Hahahahaaaa hivi kumbe ndivyo tulivyo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amen namwomba Mungu anifungulie malango yangu.nakumbuka kijana wa chips huliyemwombeaga kwenye biashara yake.nami napokea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amina
Mchungaji hapo sikakuelewa kabisa
Sijakuelewa ndiyo maana anahubili kuwa wakristo wezi kumbe yeye ndiyo mwizi ebu some aibu
Kama hujaelewa hayo mafundisho heri ukae kimya tu kwanini umtukane mtumishi wa Mungu?aliyekwambia usikilize nani?umelazimishwa?
Kweli kabisa ❤❤
Mchungaji ni muongo kama msenge
Wewe umelaaniwa
Usimtukane mtumishi wa MUNGU
Utapata laana kubwa usipoomba msamaa kwa MUNGU
Mungu Akurehemu ,, maana hujuh utamkalo...ukimtukana mtumishi wa Mungu umemtukana Mungu...
Nipitie baba yangu......
Mungu akuhurumie ndugu yangu
Alafu ni kweli aisee Arusha noma sanaaa kwa kupendeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂