MIAMBA hawa wanajiita MUSKETEERS: Timu ya walinzi hatari wanaomlinda VLADIMIR PUTIN dhidi ya Wauaji

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 218

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว +28

    Nimemkumbuka djsma ❤ukiniambia mambo ya Putin najisikia raha master plan mtu anasema huzungumzie selikari atafute tv za siasa

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 ปีที่แล้ว +23

    Niko na wachina hapa tunakunywa Tangawizi wanamkubali sana Putin

    • @robartifabiani
      @robartifabiani 5 หลายเดือนก่อน +1

      Bado nyumba zake

  • @abdallahissa7991
    @abdallahissa7991 ปีที่แล้ว +9

    Bundala,,una talent kubwa sana ya habari na simulizzi

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 ปีที่แล้ว +32

    Yupo makini sana mwamba Putin

  • @mosesarchevec8404
    @mosesarchevec8404 ปีที่แล้ว +35

    Hongera sana mutalamu wetu alindwe kabisa. Mwenyezi Mungu akulinde.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +6

    MAKALA - 360 Naipenda sana, Good job bro sky.

  • @mugambarazidjuma846
    @mugambarazidjuma846 ปีที่แล้ว +15

    Asanteni sana mwa alimu haki tunajuwa mengi ku usu africa yetu na habari kutoka kwenye inchi zingine

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx ปีที่แล้ว

      Mapinduzi ya kijeshi yasipo dhibitiwa haraka yatafanyika kila mahali Afrika. wanajeshi watazoea .nikama vile simba akila nyama ya binadamu hawezi tena kula nyama ya mnyama mwingine yeyote tofauti na nyama ya binadamu. hii ni kwasababu nyama ya binadamu ni tamu kuliko nyama ya mnyamamwingineyeyote duniani. ndio maana Simba akila mtu lazima Simba huyo atafutwe ili auliwe kabla hajafanya mazoea.

    • @habibukitwana1552
      @habibukitwana1552 ปีที่แล้ว

      ​@@emmanuelmlowe-ew7gxndy tunayataka hayo mapinduzi ya kijeshi Ili kutoka vibaraka wa wazungu kama ww

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 ปีที่แล้ว +4

    Sky sauti yako inanikumbusha mbali sana toka radio free kipindi cha sitasahau mi mshabiki wako sana

  • @_CyprianBC
    @_CyprianBC ปีที่แล้ว +11

    Kaka Sky,
    No matter what, nakukubali sana Kaka na within two or three years Kaka your the best and leading Online Media coverage Tanzania and eastern Africa na zaidi ya yote wewe ni source ya Habari zinazoaminika na zenye mizani na utafiti mkubwa sana ili kutupatia kilicho bora zaidi, nakukubali sana na zaidi ya sana Kaka

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana,..stori flani tamuu na inafundisha...

  • @deobodaboda9054
    @deobodaboda9054 ปีที่แล้ว +4

    Namkubali Sana mwamba p

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 ปีที่แล้ว +8

    Huyu mwamba ni Simba, amefanya kazi na KGB muda mrefu sana huko Ujerumani ya mashariki na ana uzoefu wa kutosha kwenye hizi kazi 💪

    • @chachamturi259
      @chachamturi259 8 หลายเดือนก่อน

      Hivi huyu mwamba anamke???

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 ปีที่แล้ว +10

    Lkn Mwenyezi Mungu akisema siku Yako imefika ndio hvyo..

    • @habibukitwana1552
      @habibukitwana1552 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa lakini hata makanisa yanalindwa wakuu wa dini wanalindwa mfti wa Tz analindwa kadnari anaulinzi Kwan hawamjui mungu???

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 ปีที่แล้ว +3

    Nakubali sana kaka🔥🔥🔥

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubari ndugu yangu kwa story SUPER 🙏🇹🇿⛴⚓🇬🇷

  • @GeraldDanieltarimo-ke3ik
    @GeraldDanieltarimo-ke3ik ปีที่แล้ว +14

    Mlinzi mkubwa ni mungu,haowengine ni takataka,munguakiamua anamnyonyamavi sekunde, mungu ndiekilakitu

    • @innocentboykid2442
      @innocentboykid2442 ปีที่แล้ว +4

      Kwani wamekwambia kuwa wamemsahau Mungu adi useme hvo umasikini unakutesa

    • @GeraldDanieltarimo-ke3ik
      @GeraldDanieltarimo-ke3ik ปีที่แล้ว +1

      Wako mbwa wengi kamawewe nawafuga,mm nilishabarikiwa muda

    • @nurdinmzuzuri1383
      @nurdinmzuzuri1383 ปีที่แล้ว +2

      @@innocentboykid2442 umemjibu vzr sn sab kitendo cha Putin kuwa na walinzi imara au wengi haimaniishi kwamba Putin hamjui mungu au haimaanishi kwamba hatakufa lkn kiukwel point yako ni sahihi kwamba umaskini nao ni shida sn

    • @elibarikimasirori4655
      @elibarikimasirori4655 ปีที่แล้ว +1

      Waliobarikiwa ndo wanatukana wenzao mbwa?? Hzo sio baraka ni laana. Hata makanisa na misikiti kuna walinzi. Kuwa na walinzi haimaanishi humjui Mungu.

    • @rafathealfa2237
      @rafathealfa2237 ปีที่แล้ว

      Mungu unamjua?

  • @marcongeleja9450
    @marcongeleja9450 ปีที่แล้ว +11

    Huyu Fredrick bundala ni yule aliyesoma Tallo ulianzia R.F.A .

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 ปีที่แล้ว +9

    Ukiskia magari ya wenzetu uje ufananishe na ile v8 yetu una ishia kucheka😂😂😂

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ongeraa sana

  • @deejaymsomalytz8910
    @deejaymsomalytz8910 ปีที่แล้ว +7

    Ebwana brother #sky nafwatilia sana MAKALA 360 INAWEZEKANA MI NDO MFWATILIAJI WA HIZI MAKALA NO 1 TZ KWENYE CM YANGU ZIPO ZOTE NAKUKUBALI SANA FRANK BUNDALA

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 ปีที่แล้ว +1

      Fredrick sio Frank kaka nahisi ivo

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 ปีที่แล้ว +2

    Duh sio poa ni nomaaaaa🙌🏽

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 3 หลายเดือนก่อน +1

    IRAN INATAKIWA WAJIFUNZE MENGI KUTOKA KWA URUSI, MASWALA YA ULINZI WA MTU MMOJA MMOJA AU WAKUU WA NCHI WA IRAN WANATAKIWA KUWA MAKINI SANA NA VITISHO VYA NJE

  • @ombeniyohaneaustin8415
    @ombeniyohaneaustin8415 ปีที่แล้ว +3

    Daaah wezetu wapo mbali saaana sisi tupo bizz na mkataba wa bandari😂😂😂

  • @abbasmtaita7203
    @abbasmtaita7203 ปีที่แล้ว +14

    Mlinzi ni mungu pekee

    • @nyabendamubaraq5671
      @nyabendamubaraq5671 ปีที่แล้ว +2

      Jilinde nami ntakulinda

    • @Adamchestemuzaahim
      @Adamchestemuzaahim ปีที่แล้ว +3

      Na amekubali tue nawalinzi binadamu wenzetu think kama musomi ❤

    • @Amirmgunya-pt2zm
      @Amirmgunya-pt2zm ปีที่แล้ว +3

      Umemjibu vizuri huyu kichwa maji

    • @ismailnaramba6438
      @ismailnaramba6438 10 หลายเดือนก่อน

      Julinde akulinde

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 2 หลายเดือนก่อน

      Imeruhusiwa kuchukua tahadhari kwanza ndio umetegemee yeye, mfano kuna mtu aliacha kumfunga ngamia wake akisema mungu atamulinda aakaambiwa kaweke kwa sababu ya kulindwa yani amfunge, hivyo putin lazima aweke sababu ya kulindwa yani walinzi

  • @BrotherR9
    @BrotherR9 ปีที่แล้ว +1

    Thanx bro kwa good newz

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 หลายเดือนก่อน

    Yaaa mzee

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 ปีที่แล้ว +8

    Yasini ni kinga lakini mbio uwe nazo

    • @salama2625
      @salama2625 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 wallah nimejua kucheka

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana brother Sky keep them coming 👏👏👏😅

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 ปีที่แล้ว +1

    Nakubaliiii

  • @aloycekashamakula4153
    @aloycekashamakula4153 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali sana lakin sidhani kama ivi 100% yawezekana ikawa zaidi ya hapo....

  • @moberoministries3610
    @moberoministries3610 ปีที่แล้ว +3

    Good narrative

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว

    Asante kwa hili

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 ปีที่แล้ว +2

    Putin super super president Vladimir

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 6 หลายเดือนก่อน +2

    Na Magufuli angejifunza kwa putin kuhusu ulinzi wake

  • @bakarrajabu3607
    @bakarrajabu3607 5 หลายเดือนก่อน

    Nimepata taarifa ambazo sijawahi kuzisikia juu yaa ulinzi what Putin. Safi sana

  • @user-pv6so7sk3i
    @user-pv6so7sk3i 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vzr mchambuzi

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sn mkuu

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 ปีที่แล้ว +5

    Kati ya watoto watakao zaliwa kwenye tumbo langu likatoe usalama wa taifana mwenye akili Kama za putn

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni Dalili yakua raia hujawatendea haki na sawa

  • @user-mt9my9nj4i
    @user-mt9my9nj4i 5 หลายเดือนก่อน

    Namkuba sana mwamba

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 ปีที่แล้ว

    Jamaa noma sana

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 ปีที่แล้ว

    Sky 🎉🎉🎉Asante kwa Makala hii

  • @hoseamusso1568
    @hoseamusso1568 5 หลายเดือนก่อน

    Big up

  • @simongiathi1308
    @simongiathi1308 6 หลายเดือนก่อน

    Good one.

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c 5 หลายเดือนก่อน

    Good docomentary.

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7pe ปีที่แล้ว

    Asant sana kwa kutujuza habari zako

  • @RobinsonMworia-el8ic
    @RobinsonMworia-el8ic 11 หลายเดือนก่อน +1

    Bravo @putin

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd ปีที่แล้ว +2

    Hii angeipiga Dj Sma ingependeza zaidi

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 7 หลายเดือนก่อน

    Sana kiongozi najifunza mengi toka kwako

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ni wachumba tu nawakubali wale wa mama bhana

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahahahahaha unanipa raha kwelikweli

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 ปีที่แล้ว +4

    Wanadai Vladimir Putin anatembea na Chigatti(Remote control) ya kulipulia Makombora kwny Briefcase km nchi yake itavamiwa yy akiwa safarini?

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk ปีที่แล้ว +1

    Yupo vizuri sn namm najua hivyo huo ndio ulinzi

  • @TAMay-vf5xt
    @TAMay-vf5xt 11 หลายเดือนก่อน

    Well documented

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji samahani na❤omba Namba yako Nina bo❤nge la tangazo

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nampenda Putin sana. Huyu mtu ana uzalendo wa juu sana!! Magufuli, Putin, hawa watu kweli ni wazalendo wa kweli. Sema tu Magufuli hayupo kwa sasa lkn alikuwa mzalendo wa kweli!!

  • @eliudimwakasenga9754
    @eliudimwakasenga9754 ปีที่แล้ว +3

    ❤❤ nakubari kaka

  • @DavidJanvier-jx3pe
    @DavidJanvier-jx3pe 3 หลายเดือนก่อน

    Raïs anaye tisha ulimwenguni

  • @selemansteven1003
    @selemansteven1003 ปีที่แล้ว +3

    Pongezi nyingi kwenu kwa kutujuza habari adimu kama hizi

  • @duvaboy
    @duvaboy ปีที่แล้ว +6

    mwamba 😂😂😂

  • @zeshsulesh6084
    @zeshsulesh6084 4 หลายเดือนก่อน

    Mmoja hapo ni ndugu ya putin

  • @jonathanmaengo4281
    @jonathanmaengo4281 ปีที่แล้ว

    Mwamba huyu namkubali sana

  • @ombenimhina8826
    @ombenimhina8826 5 หลายเดือนก่อน

    Walinzi hawa hakika wamesheheni weledi wa hali ya juu

  • @DeusRobart
    @DeusRobart หลายเดือนก่อน

    aishi mlele

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu942 ปีที่แล้ว

    Hatari

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ukita putu uwa média yako kila siku lazima fungulie

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o 5 หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana put

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 8 หลายเดือนก่อน

    Fact 👍

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 ปีที่แล้ว +1

    SA🇿🇦 shabiki yako kindakindaki hebu Reply comment yangu nivimbe sky please 🙏

  • @AliyIbrahimMohammed
    @AliyIbrahimMohammed ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤❤

  • @ameulmontan6753
    @ameulmontan6753 4 หลายเดือนก่อน

    Sikuyakufa hatakufa mnamkumbuka jpm😢😢😢😢

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 ปีที่แล้ว +1

    Hao Marais watatu wamechafukwa akili!😂😂😂

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 ปีที่แล้ว +1

    Mfalme wadunia

  • @user-dn1vy3ov3i
    @user-dn1vy3ov3i ปีที่แล้ว

    Simba

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 ปีที่แล้ว

    Good

  • @winaface
    @winaface ปีที่แล้ว +1

    Maua yako Sky

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน

    Putin hana baya

  • @salimsaid2588
    @salimsaid2588 5 หลายเดือนก่อน

    Yoootee hayoo ila siku yake yakifoo ikifika hakuna wakuzuii,,,,,,Mungu mkubwa kweli kuliko vyote vya dunia

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe huelewi, unafikiri yeye Putin hajui kama siku moja atakufa.? Anajilinda na watu wabaya, unataka asijilinde na watu wabaya ili wamuue 😅

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 ปีที่แล้ว +1

  • @tangamwalimu514
    @tangamwalimu514 7 หลายเดือนก่อน

    Live long Putin and big up or keep on keeping on the good to Russia and the world atlarge. The whole world is proud of you His Excellence Honourable Mr president Putin

  • @user-xj2uy4nk4r
    @user-xj2uy4nk4r ปีที่แล้ว

    Sana tu

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 ปีที่แล้ว

    Tulete hutuba ya mwisho ya gadafi kea ufafanuzi zaidi mkuu

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq ปีที่แล้ว +1

    wana sns popote pale mlipo

  • @user-gm5bd5kk3u
    @user-gm5bd5kk3u 5 หลายเดือนก่อน

    Putini.ndokomando shujaa.sana.namkubari

  • @omarybakary1234
    @omarybakary1234 ปีที่แล้ว

    Du simchezo🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @geofreyisaya184
    @geofreyisaya184 ปีที่แล้ว

    Unaju kaka

  • @owenmutale8686
    @owenmutale8686 ปีที่แล้ว +7

    Like pls 😂😂

  • @xhenially-fw6cu
    @xhenially-fw6cu 11 หลายเดือนก่อน

    Putin ni mwamba sana

  • @OsmanShakur-ly7hp
    @OsmanShakur-ly7hp 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka nimeanza kukujua kabla sijafika umri huu. Enzi hizo hapo Mwanza Ilemela a akiwa na kina Jumaa Ahmed Baragaza, Fred Fidelis Fredwaa.Leo niko France

  • @AdamuStar09-zz6bl
    @AdamuStar09-zz6bl ปีที่แล้ว

    Simuliz nzur kwely

  • @peterkasenga8404
    @peterkasenga8404 ปีที่แล้ว

    Duh!

  • @PauloJohn-s6r
    @PauloJohn-s6r 24 วันที่ผ่านมา

    Mtu na nusu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx ปีที่แล้ว +1

    Mapinduzi ya kijeshi yasipo dhibitiwa haraka yatafanyika kila mahali Afrika. wanajeshi watazoea .nikama vile simba akila nyama ya binadamu hawezi tena kula nyama ya mnyama mwingine yeyote tofauti na nyama ya binadamu. hii ni kwasababu nyama ya binadamu ni tamu kuliko nyama ya mnyamamwingineyeyote duniani. ndio maana Simba akila mtu lazima Simba huyo atafutwe ili auliwe kabla hajafanya mazoea.

    • @mirajiwenge
      @mirajiwenge ปีที่แล้ว

      Tatizo viongozi wa africa wamelewa madaraka bora hao wanajesh wachukue nchi tu tena kwa muda usiojulikana

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahahahahahaha nyama ya binadamu ni tamu kwelikweli? Hahahahahahaha sisi ni watamu kumbe jmn hahahahahahaha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956 ปีที่แล้ว

    Mfalme wa africa huyoo

  • @shaibukhamis863
    @shaibukhamis863 7 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @deobodaboda9054
    @deobodaboda9054 ปีที่แล้ว

    Mbabe vp uendelee kuwepo hakaika na manyangau wataelew tu wametuaminisha muda watajua hawajui

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 11 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka kifala sana

  • @RespinaRuben-qi6te
    @RespinaRuben-qi6te ปีที่แล้ว

    Dah kaka unatisha sana aseee

  • @bushiridems
    @bushiridems ปีที่แล้ว +2

    Tatizo history zenu huwa fupi tena Tamu kuweni naweka hata ya saa moja😅

  • @yamusahmasoud9107
    @yamusahmasoud9107 ปีที่แล้ว +1

    Sky wewe nijicho la eagle 🦅 🦅 🦅 kwawana SNS woote