Kim Yo-jong: Dada Hatari anayesemwa kuwa katili kuliko kaka yake Kim Jong-un, Ukweli Usioujua

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 92

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 ปีที่แล้ว +49

    Jamani tumekubaliana kwamba hatutaki Sky King aajiriwe na mtu yoyote bali hadi tufungue station yetu wenyewe wana SNS inshallah.
    Sky unaweza hadi unakera Big up

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 ปีที่แล้ว +14

    Watu tuna mkubali sana SKY 💪

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 ปีที่แล้ว +11

    Mungu wangu! Wapande wajichushe wavimbe wavimbuke hii ndunia ina mwenye nayo

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 2 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante kaka Sky. hii habari ndo naisikia leo 🙌

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante Sana kwa Habari hii yaani yupo vizuri uyo Dada hataree kabisa

  • @goldenboy8385
    @goldenboy8385 2 ปีที่แล้ว +14

    Thank you Fredrick for this channel , I can't do without simulizi for edutainment🇰🇪🇰🇪

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 2 ปีที่แล้ว +6

    Punch inatoka vizur sana mzee SKY

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 2 ปีที่แล้ว +13

    Wataalam wanasema inasemekana angekuwa mwanaume yeye ndo angerithi kiti cha kim jong il, huyu dada ni moto wa kuotea mbele kama anvyoelezwa, wengine wanaenda mbali kwa kusema yupo behind the scenes lakini ana nguvu kuliko hata kaka yake 😆.

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 ปีที่แล้ว

    Asante sana sky kwa makala hii nzuri

  • @mirajiabdallah1339
    @mirajiabdallah1339 2 ปีที่แล้ว +7

    big up sanaa sky..tokea upo kule sahara media nakufuatilia sana

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 ปีที่แล้ว +2

    Yani hizi nchi zinatakiwa ziwe kama 10 ivi dunia itakuwa na heshima

  • @vanemmy6043
    @vanemmy6043 2 ปีที่แล้ว +8

    Bondaala uko vizuri Sana 👌👌👌,, tatizo tumesha kuzoweya kwenye Maambo ya entertainment 😂😂😂........ Njooo basi kwenye politic karibu tena

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunashukuru sana kk

  • @momomomo2711
    @momomomo2711 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sns

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 2 ปีที่แล้ว +2

    Naskia pia kasema Ata ipa zawadi pia sns

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 2 ปีที่แล้ว +4

    Thank you you Sky,,,,#SNS❤️❤️❤️❤️

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 2 ปีที่แล้ว

    Wow safi nimependa kumfam asante

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 ปีที่แล้ว

    Unasimulia vizuri mimi napenda sana

  • @Wise1983
    @Wise1983 2 ปีที่แล้ว +1

    That way will said.bravo.very interesting

  • @ndiiyolazarolemoloo2164
    @ndiiyolazarolemoloo2164 2 ปีที่แล้ว +2

    Noma sana KIM YO JONG

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 2 ปีที่แล้ว +1

    Kikubwa Kam anabwana atabaki mzaifu tyuu ilaa sky walker. Am on the way napitaa kwenye nyayo izo

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 2 ปีที่แล้ว

    You are the best sky

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 ปีที่แล้ว

    Mari safi

  • @jumalimbende4021
    @jumalimbende4021 2 ปีที่แล้ว

    #Sky hakika unaweza sana sijapatapo kuona aise nitaendelea kuwa wenu

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sky walker🙏🙏

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +3

    Haya ya Duniani tu akhera hayapo.

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 ปีที่แล้ว +2

    Lakin nimrembo anapendeza akicheka

  • @kimsarahfahyma5604
    @kimsarahfahyma5604 2 ปีที่แล้ว +1

    Sky jamani🙏❤️

  • @wahabimakacha7505
    @wahabimakacha7505 2 ปีที่แล้ว +1

    Fredrick Bundala sky walker mtaalamu

  • @anthonbudoda3420
    @anthonbudoda3420 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama samia mama

  • @farajajosephat6022
    @farajajosephat6022 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah imagine unamkabidhi nchi last born si n hatari hyo

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว

    🤔🤔🤔 mwanamke mwenzangu huyu

  • @laurenciazacharia9197
    @laurenciazacharia9197 2 ปีที่แล้ว +2

    Ukoo wa majembe tu mmh

  • @nassorfeisal3853
    @nassorfeisal3853 2 ปีที่แล้ว +4

    Mumeelewa majina ayo

  • @franksylivestar7344
    @franksylivestar7344 2 ปีที่แล้ว

    The King of story,the narrator himself.wewe nimtu na nusu umetisha sana brother

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 2 ปีที่แล้ว

    Duuh 🔥

  • @benedictmwambanga9544
    @benedictmwambanga9544 ปีที่แล้ว

    naombo munisaidia níkatume posa kwa huyu dada

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtt mzuri kabisa oya pic iyo kwa anaetaka kua shemeji wa kiduku mi simo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 ปีที่แล้ว +3

      Mze Baba apo ukiingia ni malakulmauti tu anakuja live

    • @تةامممن
      @تةامممن 2 ปีที่แล้ว

      🤣😂😂🤣😂😂🤣🤣😂🤣😂🤣🤣😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😁🤣🤣🤣😂🤣😂

    • @تةامممن
      @تةامممن 2 ปีที่แล้ว

      Uyo ukimuacha tuuuu ama kumuchiti unakufa kabisa 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😆

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

      Hahahahaha Hahahahaha

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 ปีที่แล้ว

    Sns❤❤❤❤❤❤

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukute huko walivyomfucha walikuwa wanamfundisha kuchicha watu shingo Kwa msumeno😰

  • @joeboy46ufailo35
    @joeboy46ufailo35 ปีที่แล้ว

    𝕧𝕖𝕣 𝕟𝕚𝕔𝕖

  • @josephraphael425
    @josephraphael425 2 ปีที่แล้ว

    daa 🇹🇿hatuna kesi na nyie au Siyo🙏 usitupe zawadi dada coz izo zawadi mhmh unazopatian🈴🉐㊙️🈸🈚🈺🈲🈵㊗️🈚🉐㊙️🈴🇰🇷🇹🇿🤝

  • @dinolizzytheveronica1292
    @dinolizzytheveronica1292 2 ปีที่แล้ว +1

    SNS 🔥🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 ปีที่แล้ว

    Mwanamke hawez kumzidi mwanaume. Wanaume wanajua mianya mingi ya wanjanja wa nchi,, hata wakisemaje,, huyo dada ataonekana kakopi tu. Huyu Kim Jong Un hamumjui vizur,, mtu hataki hata umri wake waujue US,, akisafiri anatembea na choo chake,, huyo jamaa usimfananishe na watu wote duniani.

  • @josephmmbando2899
    @josephmmbando2899 2 ปีที่แล้ว

    Sky walker 🙌🏾

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    Alinifurahisha kitu kimoja tu,,kumuua yule fisadi kumtia kwenye samaki wakamla,,,aje Tz awaingize kwenye bwawa la samaki wana sisiemu wote

  • @raybby9291
    @raybby9291 2 ปีที่แล้ว +6

    Hayo majina ata sielewi majina yote yafanana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 ปีที่แล้ว +14

    Nchi ndivyo inavyotakiwa iongozwe hivyo, adabu, nidhamu na heshima, huwezi ona mass shooting in North Korea au panya road, korea mbali saana ushawahi sikia panya road Rwanda?? kwa Mzee Kagame, bora uishe nchi ya Dicteka lakini kuwe na amani, sio leo wazazi huko Marekani wana hofu ya watoto wao wanapo enda shule maana anaweza tokea chizi akaanza kuwafyatulia risasi, kwanini huwezi ona mtu anafyatua risasi hovyo Urusi, singapore,china, Saud arabia, Cuba, au korea kaskazini??

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 26 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 2 ปีที่แล้ว +2

    Akili mbovu zao tu za kutesa watu

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 2 ปีที่แล้ว +2

      Kateswa nani

    • @svt3
      @svt3 2 ปีที่แล้ว +3

      Christer cheru: Africa nzima watu wanateseka saana duniani,na sio wao wanatawala Africa

    • @bernardsamwelmapuga406
      @bernardsamwelmapuga406 2 ปีที่แล้ว

      Ukiwa jeuri utateseka

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 2 ปีที่แล้ว

    To be continued

  • @francescorutinwa502
    @francescorutinwa502 2 ปีที่แล้ว

    Ushasema dada. Huyo ndo mwanamke sasa. Wataalamu wanasema ukitaka kujua kma baba wa familia mkali au la ww mtizame binti yake wa pili kuzaliwa kma ana dada ake au kma ni wa pekee mtizame mwenendo wake utajua

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 2 ปีที่แล้ว

    Sky Walker,

  • @elopheygandabway
    @elopheygandabway 2 ปีที่แล้ว

    Mwamba huyu hapa Sky walker

  • @regankimaro5352
    @regankimaro5352 2 ปีที่แล้ว +1

    Kosea ukaoe hapo🤣🤣
    Watu wanachezea mabomu kama manati

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.

  • @kawawamamaya8543
    @kawawamamaya8543 2 ปีที่แล้ว +5

    Tubadilishane viongoz japo kwa miez 4

    • @mondladenikharam2724
      @mondladenikharam2724 2 ปีที่แล้ว +2

      Kabisaa kiongozi itabidi tubadilishane viongozi

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 ปีที่แล้ว

      We unawajua vizur hawa wajomba hawana mchezo 😆.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 ปีที่แล้ว

      @@jumahamis227 YAANI UNAAMBIWA PUTIN CHAMTOTO

    • @تةامممن
      @تةامممن 2 ปีที่แล้ว

      @@jumahamis227 🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣😂🤣😂😂🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

      @@mondladenikharam2724 mnaweza?

  • @ilembozakayo2585
    @ilembozakayo2585 2 ปีที่แล้ว

    🇺🇸🇺🇸

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi ปีที่แล้ว

    Hawana makamu wa raisi

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 2 ปีที่แล้ว +4

    Inakuaje kila mtu analazimisha kuwa km millard ayo kisauti,nadhani kila mtu abakie njia yake mradi ujumbe unafika

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 ปีที่แล้ว +1

      nani unamuongelea sasa

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 2 ปีที่แล้ว

      @@MtuSafi wewe apo

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 ปีที่แล้ว

      @@faridhassan6834 ndo najifunzia kutangaza baadae nitakuwa mm.

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 2 ปีที่แล้ว

      Dada unaifahamu Victoria fm? kama unaifahamu hautaongea ulicho kiandika, huyu jamaa ni mkali kutangaza hana longolongo

    • @evathomas7907
      @evathomas7907 2 ปีที่แล้ว

      Ungemjua huyu n wa muda sana kuliko hata huyo millard wako hata usnge sema hvo

  • @chichmlol465
    @chichmlol465 2 ปีที่แล้ว +2

    Saf tyuu

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukiona hivyo ujuwe amepinga kutumika na mabepari maana mabepari ukikataa kuwa mtumwa wao wanakuharibia kwenye vyombo vya habari

  • @issalyanalijr-8610
    @issalyanalijr-8610 ปีที่แล้ว

    Propaganda,,,,,yule dada wa kim ni mpole sana ,,anahuruma,,,,sana.

  • @jaymelody7178
    @jaymelody7178 2 ปีที่แล้ว +1

    Familia ya vichaa😂🙌 okay tuliskia hii 👇
    th-cam.com/video/VzZFSs4qqi4/w-d-xo.html

  • @tonnymasizi3331
    @tonnymasizi3331 2 ปีที่แล้ว

    Ol

  • @mpandamohamedmsoke5985
    @mpandamohamedmsoke5985 ปีที่แล้ว

    Ĺp5